BakizaHamiss Profile Banner
Hamiss Bakiza Profile
Hamiss Bakiza

@BakizaHamiss

Followers
2K
Following
51K
Statuses
34K

Prince Bakiza

Geita, Tanzania
Joined January 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
7 minutes
Gm jeshi ๐Ÿ“Œ
@AboU_002
Aboutrica
17 minutes
Maisha ya dereva wa masafa marefu siyo hoteli kila siku. Asubuhi una amka unatoa kitu cha โ€”ugali na samaki unapiga safi kisha๐Ÿ”ฅ๐Ÿš›. Safari ni safari, lakini tumbo lazima liwe na amani! Good morning wadau. #TruckLife #FoodOnTheRoad
1
1
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
16 minutes
RT @CivitoLuxury: ๐Ÿ”ป ๐—ฉ๐—ถ๐˜๐˜‚ ๐—•๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—น๐—ถ! ๐Ÿ• SAA 7 MCHANA (01:00 PM) ๐ŸŒ #CivitoLuxury ๐Ÿ“ธ Jimykeke
0
4
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
16 minutes
RT @OriginoZee17: Kama Yupo Hai Bado Kwanini Wamemshikilia Mpaka Sasa Tena Kwa Siri Kubwa? Kwanini Wanafanya Siri? Kwanini Wasimpeleke Maโ€ฆ
0
1
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
17 minutes
Kumekucha sasa tukatowane akili Gm jeshi la X โœŠ
Tweet media one
0
0
2
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
10 hours
Bado hujasema Mpaka useme.
@Kunde0
#ฮœฮฒฮตสฮฑฮฒฯƒส
11 hours
Unampigia mtu simu hapokei na yupo online na status anaweka aisee๐Ÿฅน
Tweet media one
1
0
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
10 hours
@munyamambogo Kuna kitu natamani kusema ila naogopa Ila wangesepa tu.
0
0
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
11 hours
@Kangaboy_ @munyamambogo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
0
0
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
@millardayo Hatuwezi mkodi kwa mwezi aje Afghanistan?
0
0
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
@tanpol Kuna umri nilifika nikasema wacha niwaumize watakao fuata ila siyo kuumizwa wala kuwekeza ๐Ÿ’ฏ kama zamani.
0
0
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
@ibabu1 @tanpol @spana_Konki ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
0
0
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
RT @IAMartin_: Nchi yote hatuwezi kuleta mageuzi kwa pamoja. Wengine watakuwa Kizimkazi, wengine watakuwa BAR, wengine watakuwa bizee na maโ€ฆ
0
100
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
Kina @Kunde0 igurusi,chimala,igawa, uyole, mbalizi, mlowo,vuawa lazima atashusha vioo tu Unyaki taabu sana Ila hii ikija tanga walah haishuki kioo.
@GodemaE
๐“๐ซ๐ฎ๐œ๐ค๐ž๐ซ๐ฌ ๐จ๐Ÿ ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š
13 hours
Hii ni sebule na ni marufuku kuvaa viatu na kushusha kioo kutaka kusalimia watu kama wanyakyusa kila kituo lazima asalimie ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Tweet media one
2
1
5
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
@YoungAfricansSC Mnazinguwa ikibidi na ubingwa tukose ili muone sasa manunuzi ya jezi ya mwakani sasa.
1
0
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
@TBoundBuses Ikatanuwa ikapita ikaendazake.
0
0
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
12 hours
@MSAMBATAVANGUJ Kwanza hapa tunamlinda mwenyekiti wetu @bajabiri kwa nguvu zote.
0
0
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
16 hours
RT @MWLOrg_en: Statement from the #MuslimWorldLeague:
Tweet media one
0
284
0
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
17 hours
@beingwalaga Kigoma ni kigoma tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
0
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
17 hours
@beingwalaga Huko ni Bujumbura ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
1
0
1
@BakizaHamiss
Hamiss Bakiza
17 hours
RT @bajabiri: Hapa anayeumia ni DALALI
0
2
0