Baba_Arthur_Ariella Profile
Baba_Arthur_Ariella

@BPKAA_

Followers
4,338
Following
2,058
Media
1,466
Statuses
78,485

#CCM #Simba

Igunga Tanzania
Joined December 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
We met on twitter mazeee.. DM tu afu mambo ndo kama hivi... 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
444
577
4K
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Jana precision imekaa kwa maji almost 12 hours in that time, ZERO chopper, ZERO speed boat, ZERO air ambulance yani nothing kabisa. Ila sasa subiri uone Waziri wa mmoja akiwa anaenda field ana chopper, ambulance, speed boat etc😔😔😔
59
218
1K
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Mwalimu kama mwalimu nazama darasani..
Tweet media one
52
21
864
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Levels babyyyyyy😅😅😅 sitaki mapovu jamani😁😁
197
91
708
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Wataalamu wa Maabara si mpo huku ndani? Internal Quality Control (IQC) na External Quality Control (EQC) huwa zinafanyikaje? Si unapeleka Known POSITIVE na Known NEGATIVE sample then kuona kama utapata majibu accordingly Hii yakupeleka sample za oil chafu si kutaka kuua machine😅
47
48
678
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
6 years
Mko wapi??
Tweet media one
236
107
606
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
1 year
I was in the same situation in 2014.. 1. Nibaki Dar nipige mzigo M/nyamala hosp nile take home ya 980K 2. Nipande Kigoma na Benjamin Mkapa foundation nikale take home ya 1.4M Nilichukua Adventure bus next day in the morning😅😅
@mchachu_
Mchachu, PhD🐐
1 year
Umepata offer 2 za kazi, moja Kigoma mshahara 1.3m na nyingine Dar 900k. Utachagua wapi hapo...?😇☟
Tweet media one
460
122
2K
57
29
613
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Shida ya wabongo yani mkitofautiana mitazamo na wenzako basi eti ni adui zako.. Elimu yetu kweli trash sana...
16
43
572
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Hivi kugossip na wife is it right? Au ndo nishalogwa...
53
15
559
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Hivi twitter mbona kama nimebaki uvccm mwenyewe tu😂😂😂
51
8
501
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Awamu ya Tano imefeli kwenye ajira..
38
15
482
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
6 months
Kuna mtego nitaomba Simba yangu muiepuke.. Ukiona Yanga ka top up group Ijumaa, sie Jmosi na Galaxy tuwaache waende tu😅😅😅 ule moto mpaka leo nauota.
39
25
487
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Ubatizo kama Ubatizo🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
20
18
474
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
How it started How it is now
Tweet media one
Tweet media two
25
18
465
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Hivi Kidimbwi na Tips wana marketing strategy gani? Maana si kwa nyomi na hype hizi.. au basi tu? Or hakuna joint zingine kali za level hizo???
29
2
462
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Tulisema maisha baada ya uchaguzi yatarudi kwa normal, ila humu naona mambo yamekataaa Vipieni imegoma😂😂😂
13
3
454
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Mapema sana leo mitaa ya Morogoro😁😁😁
Tweet media one
47
8
447
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Wacha tule sasa Ifakara moja
Tweet media one
41
12
447
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Wife anauma jamani, hata kumuona anacheza music mbele za watu😭😭😭 huu ni wivu gani jamani...
22
16
437
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
And Boom 1 year Anniversary😁😁
Tweet media one
31
13
423
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
🔥🔥🔥🦁🦁🦁🦁
Tweet media one
9
13
416
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Kuna lakujifunza hapa wakina dada mliopo humu.. simama na Mumeo popote pale.. linda heshima ya familia yako no matter what... asanteni..
@millardayo
millardayo
5 years
MKE WA GWAJIMA: “Mimi ni Jasiri kama Simba, ukweli ninaufahamu, Mume wangu ninamfahamu na ninamuamini, na ukweli huo hakuna anayeweza kuubadilisha, niko pamoja na yeye, nitasimama na yeye na Mungu akiwa upande wetu hakuna atakayeweza kuwa juu yetu‘’ #MillardAyoUPDATES
74
45
503
47
53
398
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Maisha ni connections na networks.. Hata uwe na shule vipi bila hizo vitu viwili hutoboi popote.. utatoboa entry jobs, starter business then u will need to have the 2 sasa.. na hivi huvipati shule bali mtaani tena uwe na karama za utu na utulivu..
16
67
416
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
TL imechafuka Ndoa ndoa ndoa...😂😂😂😂 jamani vijana waoeni hawa wanawake humu ndani
22
10
386
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Jana katika pita pita zangu humu niliona mtu aliachwa sababu alikua anatafuna vibaya walivyoenda date one😂😂😂😂😂
15
13
376
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Ukitaka kutrend kama Dotto be real.. Dotto anatrend sababu amekua yeye 100%.. kuna fundisho hapa watu wamechoka na fake life za Social network and now wanaanza lilia real life zakitaa na kuona kuna watu wana ushujaa huo.
14
26
375
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Enzi zile JK alisemaga wao wakisema matusi au makelele sie tuseme yetu.. na wala sijawahi ona Tume inatusemea sie eti tunataka Afya, Maji etc😅😅😅
8
25
373
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Makambako, Njombe Tanzania...
42
30
362
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Moro sehemu gani wana mdudu mzuri???
73
6
361
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Mngejua kwenye NDOA Mke kumpikia Mume wake nakufanya yote ya ndani ni kitu ambacho wake zetu wanadream off.. hata msingesema chochote.. no farahi ya wife kupika namie kula na kushiba vizuri... MKE lazima afanye kazi za ndani tena kwa upendo woteeee
19
26
361
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Naombeni list ya best restaurants in Dar for dinner na Mama Arthur jamani… maana sie wengine wazee wa kwa mangi tu
36
25
344
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Sio lazima uache legacy kwa taifa au dunia nzima… acha legacy hapo home tu kama bro, sister, wife husband etc…
13
63
342
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Viongozi ifike muelewe issue yetu sio kodi wala tozo bali issue ni how nyie mnaishi kutumia tozo/tozo zetu… mnakula tozo zetu bila huruma kwa kisingizio cha kwamba mnachapa kazi.. this is SAD. kwani ukiwa kiongozi huwezi ishi kama commoner? Au ni nini?
14
54
323
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
31/08/2019 This happened It has been a great journey of Love Live together Die together thats our Motto
Tweet media one
28
25
323
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Bahati mbaya sana VIONGOZI wetu tukiwaambia ukweli juu ya mambo wanachukulia kama SIE Tuna WIVU na CHUKI na pia ni WAZEMBE wakufanya KAZI
14
34
309
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Kizazi chetu cha sasa nafikiri katika Historia ya Tanzania ni dhaifu kuliko.. Kizazi ambacho hakiwezi hoji wala jenga hoja.. Kizazi ambacho kutwa kuchwa ni kusifia tuu.. Anyways tupige kazi..
17
25
315
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
So kimusic Konde ni bigger than Dai hapa bongo?
45
10
310
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
UVCCM tukila ubwabwa mahali😁😁😁
Tweet media one
34
5
309
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
WanaCCM Tunduma wanaweza piga kura za Hasira mjue..
14
5
264
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Where is Daudi Albert Bashite???
23
8
264
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
😁😁 Pink sio mbaya
Tweet media one
18
6
255
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Kuna aina ya transactional sex inafanyika humu twitter.. I hope we all use rubber aisee.. HIV is still present and still kuna watu kibao wanaishi na VVU na hawajui hali zao.. bora yule ajue hali yake na yupo kwa huduma matunzo..
12
35
250
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
9 months
Ila seriously hawa viongozi wa serikali (mawaziri, wamakatibu na wasaidizi wao, wakurugenzi etc) huwa wanapata wapi time yakusoma Masters na ma PhD faster tu na kumaliza within time allocated😂😂😂
27
27
260
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Mzee anacomposure ya hali ya juu.. natamani nikiwa mkubwa niwe kama jamaa hapa.. huyu jamaa ni nani??
@zittokabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
5 years
Nashukuru sana bado kuna Watanzania wenye kujali weledi ( professionalism ) kama huyu. Anajibu bila woga na kwa ufasaha mpaka Amiri Jeshi Mkuu anakosa maswali wala mifano ya kujenga hoja zake. Natumai Rais @MagufuliJP atakuwa amejifunza kusikiliza wataalamu
588
360
3K
13
7
251
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
📍 Mufindi Mzee wa FIELD
Tweet media one
16
3
252
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Wazee wa IT mmeshindwa kabisa link token za LUKU nakuweka online? Yani lazima niende kwa LUKU ndo niweke? Mtu uko room floor ya sita mita iko chini, imagine hustle lake😰😰😰
32
16
253
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Sisi wa Igunga tunataka Mh Rais atupe pesa tu hayo mengine wala hatuna shida nae😂😂😂
Tweet media one
15
15
242
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Wataalamu wa Uongozi huyu nae ni kiongozi? Yani kiongozi anasema hivi team yake? Hajui kwamba failure ya team yake ni failure yake? Huu sio uongozi bali ni usnitch tu😂😂😂😂
50
27
240
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
10 months
@SimbaSCTanzania Kaka Kajula na team yenu hapo juu.. tafuteni creative agency na digital muachieni issue zote.. acheni fanya mambo kienyeji enyeji tu.. Simba ni timu kubwa mpeni mtu hela afanye hizo kazi. Designing zenu mbovu, digital content mbovu… yani mnabebwa na
50
58
245
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Hivi does the government know kwamba majority ya wa Tz wanaishi kusurvive and not otherwise? Hiyo tozo unayochukua ili mtoto wa maskini asome ukiambiwa ndo huyo mtoto alikua anategemea ili ale, avae aende shule utaamini??? 😔😔😔😔
@swahilitimes
Swahili Times
2 years
"Nachukia kumtoza mtu fedha yake. Lakini nachukia zaidi kuona mtoto wa maskini ndoto yake inaisha kwa sababu ya umaskini wa familia yake."- Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba
Tweet media one
492
56
1K
18
38
236
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Kuna Mashangazi humu wanapiga Safari Lager hadi raha.. wanajijua😁😁😁
12
2
225
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
11 months
Jana naingia kwa meeting moja kwenye hotel moja jiji la lawama kisa nina IST naulizwa umekuja chukua mtu?😅😅 hii gari basi sasa.. its time😁
27
8
237
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
My greatest asset of all the time ni Wife wangu aka Mama Arthur🙏🏾🙏🏾🙏🏾
9
13
230
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Kuna haja yakua na program za kuelimisha na kupima VVU vyuoni.. kuna biashara ya ngono huko ya hali ya juu...😔😔😔😔
25
23
217
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
11 months
Azam kakubali leo iwe public holiday…
Tweet media one
14
21
228
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Top of the table… no worries kabisa.. back to work… hii 2023 ipo na mambo mazuri🔴🔴🔴🔴
Tweet media one
21
8
215
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Baada ya mnuso wa Christmas tabasamu kama zote🎄🎄🎄🎁🎁🎁
Tweet media one
5
6
213
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Dar katika kila gari 10 unaona white coat kwa driver seat... hawa wote ni madokta au wapo na wamiliki wa mabucha humo??
21
2
202
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Tukahudumie Wananchi sasa🥶🥶
Tweet media one
6
8
205
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Jamani tunaboresha Maisha huku kisayansi..😁😁😁
Tweet media one
11
10
205
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
😁😁
Tweet media one
10
11
207
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Kuna haja yakuanzisha a degree in crisis management kwa uni zetu kama haipo... maana our response has been catastrophic....
9
21
206
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Tukubali tu kwa Siasa zetu Diwani na Mbunge hawana nafasi yakutuletea maendeleo jamani.. wako kama wasindikizaji tu.. kazi zao za msingi wameshindwa wote probably ndo maana watu wanaona ni fursa kwako kiuchumi...
18
15
190
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Naona Mkuu kachapa pongezi Ug kwa bro sevoooo... vipieni au ako na special net yeye?
13
2
182
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
MUNGU Awabariki sana MAMA zetu🙏🙏🙏
5
31
189
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
One for the Tradition... Ignore hizo beer mie sio balozi wa vilevi nchini...
Tweet media one
10
5
186
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Ukiona watu wanatema yai huku wanacheka... wako at easy jua hao sio wenzako.. siwezi ongea ngeli na kucheka at the same time jamani...
@Rek_ree_eyt
RECREATE
5 years
Drumrolls anyone?
12
60
184
42
22
180
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Hakuna sehemu imejaaa sifa zakijinga kama twitter... Unaweza fikiri wewe ni super human
16
12
180
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
10 months
Vijana tokeni kwenye comfort zone.. hapo ulipo bado sana. Tafuta vya juu zaidi… tafuta vinono zaidi.. accept challenges, allow to be challenged.
16
35
187
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Jamani wazazi nipo na swali... At what age mtoto anatakiwa anza lala chumbani kwake na alone? Acha chumbani kwa dingi kwa side bed yake hapana.. alone alone kwa bedroom yake??
48
8
178
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
19
15
182
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Kuchukua form noma, kurudisha noma, kuteuliwa noma, kuapishwa mawakala noma, kupiga kura noma, kuchaguliwa noma na kutangazwa noma zaidi...🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️
16
35
175
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Hivi Ulaya huko unaweza kuta msemaji wa club anaongea pumba na ujinga juu ya timu pinzani yake kama hapa kwetu?? Afu bado tunauliza kwanini mpira wetu haukui??
25
4
169
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Ngoja tutest kidogo kina cha maji..
Tweet media one
14
2
172
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Udokta, unesi ni kazi zakujitolea na wito🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
18
5
165
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Hakuna kitu kizuri kama kujua kuna mtu ambae she will always stand by you no matter how tough and hard its get🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
6
21
162
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 months
Leo nilipata fursa yakushiriki kikao cha mjengoni.. quality ya vikao vyetu ni poor sana, quality ya michango noma. Utulivu wa wakuu hamna.. watu wanatembea tembea tu.. wanachat wanapiga soga wanacheck insta na snapchat..😅😅
22
13
168
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
😅😅😅😅😅 Kwa lugha nyingine Rais hakosei... ukisoma Kitabu cha Mh Rais Mkapa kuna mahali alikiri kosea kwakushauriwa vibaya... so sio kwamba kila litokalo kwa Rais ni safi maana anashauriwa na watu kama mimi na wewe..
@HKigwangalla
Dr. Hamisi Kigwangalla
4 years
Rais ana vyanzo vingi vya taarifa, na yeye kama taasisi, jua tu kwamba ana washauri wengi, rasmi na wasio rasmi. Hawezi kutoa uamuzi ukawa mbaya, halafu mawazo yako wewe yakawa mazuri zaidi! 🤷🏾‍♂️
48
8
145
12
15
167
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Hela zetu za kodi mnaita pochi la Mama😅😅😅
@millardayo
millardayo
2 years
Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuanza maandalizi ya ujenzi wa madarasa mapya 8000 kwa ajili ya Wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza January,2023 “Kabla ya mwezi haujaisha pochi la Mama (Rais Samia) litatema” #MillardAyoUPDATES
134
32
400
26
20
162
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
😁😁
Tweet media one
11
6
162
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Good morning Tanzania😁😁😁😁
57
16
163
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Wacha twende tibu watu sasa maana ni kazi yetu na ni wito😁😁
Tweet media one
10
4
162
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Nasema chapeni kazi.... Kazi kazi...
Tweet media one
11
5
153
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Ifamike tu hakuma nchi ilikua na case ya corona afu eti ikaishia hapo hapo.. so tusidanganyike... tujipangeeee unless case ziende undiagnosed...
4
10
149
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
6 years
Everybody needs a mentor/coach. Watanzania tunakosa sana hili.. mtu unaanza kazi/biashara yani ndo kila kitu unajua. Jitahidi kupata mentor/coach ambae atakua anakupa msaada wa kiufundi. Utafika mbali sana..
5
38
148
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
My extremely broke best friend
Tweet media one
@Obi3Z3k
O'Brien
3 years
My broke best friend…
Tweet media one
15
17
274
7
9
151
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
At Work Off Work
Tweet media one
Tweet media two
9
9
149
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
I have lost my Uncle today... Pumzika Mjomba ulijua take care of your relatives... popote na muda wowote ulitokea tena ulikua mtu wa kutoa solutions...
26
6
147
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Medical Doctors jamani.. Ruvuma sasa nafasi 24 wazi wazi...
Tweet media one
15
35
146
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
TRA na Tanpol why msiweke online driving license renewal??? Yani kuna haja kabisa ya mimi onana na VECO?
10
9
142
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Tanzanian boys want financially stable women/partners but they cant deal nao😂😂😂😂😂
6
13
140
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Never thought kwamba ukubwani maisha ni tite hivi.. day in day out.. mvua kwa jua, usiku kwa mchana yani hakuna likizo😞😞😞
13
12
138
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
8 months
Jana Mama Arthur aliniacha na Ariella for 2 hours… 2 hours maisha yalistop kabisa😅 Mothers ni watu wa ajabu sana… hawa watu wako na nguvu na special hearts sana sana. I did enjoy ila the moment she got back mkabidhi Ariella chap haraka😂😂
20
10
142
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
2 years
Jamani nikiwa nakudai ukiwa unarudisha pesa uliza kwa namba ipi? Sasa mtu anakutumia hela bila uliza Songesha sijui mpawa wote wapo macho😅😅😅
17
5
141
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
5 years
Jana nilipata fursa yakuhudhuria Nane Nane Mkoani Tabora.. niseme waz kabisa hii sherehe huku ni kubwa sana.. Tabora huwa haina foleni ila jana foleni ilikuwepo.. Big up sana kwa wakulima wa Tabora na Mikoa jirani..
6
7
132
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
6 years
Kuna pisi mbovu humu ila zinaishi kama kali hatari... tuwe makini...
14
18
124
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
One of the worse personality ni ujuaji na kuishi maisha yasio yako.. Mungu nijalie kuwa mkweli na kukubali maisha na hali yangu.
4
16
131
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
11 months
Women used to stay at home, kufua, kuzaaa na kupika.. ila siku hizi wako wanajiuza kwa mitandao
@__Rouselyn__
KING👑
11 months
Men used to go to war ,but now mko mnajiposti tu🤣🤣🤣
29
8
88
28
22
136
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
3 years
Duniani bwana... Chuma alisimama na sheria akavunja Ubungo kimara watu wakasema angetengua maamuzi yake awe binadamu.. Mama anataka tengua maamuzi yake watu wanasema ataoneka weak, sijui legevu.. sasa mnataka nini wakuu? Uongozi huwezi furahisha watu wote hauzi icecream hapo
16
14
129
@BPKAA_
Baba_Arthur_Ariella
4 years
Kwa Maza Moza kuna misosi bwana... Eeeh nimemtumia wife hiyo picha jamani imeniletea shida sana.. sidhani kama leo nikirudi nitakuta misosi.. Nimeambiwa niende kwa huyo Moza...😅😅😅😅😅
12
4
125