Godbayo Profile Banner
Godbayo Profile
Godbayo

@Amgodba

Followers
1,522
Following
1,190
Media
373
Statuses
39,345

official MJITA || FEAR ALLAH || Young Africans fan 🟢🟡 || Be you 💪||

Tanzania
Joined May 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Amgodba
Godbayo
5 months
Kuna dogo hapa jirani kama 20years hivi kajinyonga kwenye nyumba ya boss wake aliokua amepewa kusimamia wakati wa ujenzi. Askari wamekuja kuchukua mwili wakapiga na search kwenye chumba chake alichokua kapanga jirani na nyumba aliokua anasimamia wakakuta barua dogo kaandika...
43
28
546
@Amgodba
Godbayo
7 months
Wahuni wamesema huu ndio wimbo bora wa mwaka 2024😂😂😂 Mimi naupa rate ya 10/10 Ebu usikilize unaupa rate yangapi out ya 10 mkuu ? 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
63
120
433
@Amgodba
Godbayo
6 months
Niliwahi kudate na demu mmoja hivi, Penzi likadumu almost kama 1 year hivi. Alikuja kunivuruga sasa baada ya kuniambia et "Mpenzi ukitaka kunioa utabadirisha Dini". Nilimuacha pale pale hakujua jinsi nilivyo sota Madrasa mwaka mzima nikila kipigo cha ostadhi DAMU MMBAYA.
23
27
251
@Amgodba
Godbayo
7 months
"DEAR GAMBE" ya young killer ni career nzima ya muziki wa Young Lunya. Bisha kwa fact. YOUNG KILLER ~DEAR GAMBE 🎶🎶🔥🔥🔥🔥 Kama hutaki finya ukuta.
36
30
246
@Amgodba
Godbayo
5 months
Mambo ni magumu humu humu tu 😂😂
Tweet media one
19
16
212
@Amgodba
Godbayo
6 months
Kijana aliyezaliwa MUSOMA pale mitaa ya nyakato akasoma shule msingi nyakato B akasoma mwisenge sec kisha akajiunga MUSOMA UTALII chuo bora cha uandishi. Baadae akazamia njombe kuuza parachichi akawa maarufu leo hii amenyimwa mwaliko na @OfficialAliKiba kwenye #20yaking sio sawa.
Tweet media one
26
31
151
@Amgodba
Godbayo
10 months
Watu walioko hapa ni zaidi ya elfu tano..chuo kimetema asee wafanya biashara wa maeneo haya, biashara zao hasa wauza vyakula waneeemeka wenye nyumba za kupakingisha wameongeza kodi mala dufu.
Tweet media one
13
15
151
@Amgodba
Godbayo
6 months
Wakati naelekea masjid nikakutana na huyo jamaa hatujuani lakini tukaanza kupiga story jamaa akaniambia amepata kisehem cha kijishikiza ko anaenda kukutana na mamaake ili amwambie, basi nikamsubili.niliona mama ake akimwombea tu asee tena barabarani 🥺🥺 hapo ndio nimeona upendo
Tweet media one
15
21
140
@Amgodba
Godbayo
5 months
"Kajinyonga Kisa mapenzi pia amechoka kumpa hela demu alafu hapewi mzigo" Washikaji zake wanasema mpenzi mwenyewe alikua ni binti wa mwenye nyumba aliyopanga hapo na binti yuko form two.😂 Akili za @DullahTheking2 na Aisha hizi😂😂
2
4
123
@Amgodba
Godbayo
8 months
Hivi nyie huwa hamgombani na wapenzi wenu wakuu😥 ? Kwamba nyie muda wote ni mahaba Niue.!! Huyu wangu kila muda ni ugomvi😂🙌🙌🙌
19
20
109
@Amgodba
Godbayo
7 months
Haya tren hilo hapo unaweza kulipanda kwa gharama yoyote ile mkuu. Long shot bet🚀 Sportbet ✅ 0CD78E2 Blood @goligani mkono wako upite hapo.🙏
8
8
54
@Amgodba
Godbayo
6 months
Chuma imenasa toka saa 8 mchana,tukapiga huku na huku lakini wapi🙌😔 ikabaidi tupunguze mzigo na wanangu allihamdullah mpaka imetoka 12jioni ila hiyo swaumu iliyonishika sasa🥺🙌🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
15
52
@Amgodba
Godbayo
9 months
@Benjaminkamo Kipindi tupo wadogo kuna jamaa alikua ni brother mkubwa wetu akawa anatupa story eti inasababishwa na kulala na wasichana wengi dah 😂😂🙌
4
1
57
@Amgodba
Godbayo
1 year
nafollow back chap
22
22
45
@Amgodba
Godbayo
5 months
wakati nimeenda kasali nimekutana na huyo mzee pichani👇. Mzee anapita misikiti tofauti tofauti kuomba msaada ana shida ya Cancer na pesa inayohitajika ni Tsh 416,000/= tumejitahidi kuchangisha pale masjid LUQMAN MWANZA (walio enda kusali hapa watakua wamemuona huyu mzee)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
23
46
@Amgodba
Godbayo
6 months
Oyaa king @OfficialAliKiba binafsi mimi sio shabiki yako ila nasikiliza ngoma zako. Hili suala la kutommpa mwanetu @DullahTheking2 mualiko sio sawa kabisa ilihari jamaa anafanya ngono humu ya kuandika makala zako kila siku kama kubadirisha dada wa Riverside.
8
14
47
@Amgodba
Godbayo
6 months
Mtu unafunga mashine vizuri kumbe nimesahau kuweka bering moja ni mbovu nimefungua tena kmmk 🥺🥺😔 Lunch yangu yote niliokula mchana imeisha tumboni kmmk🥺🥺🥺
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
10
43
@Amgodba
Godbayo
6 months
OFA OFA Kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani. #GodbayoRicesupply kwa kuheshimu na kutambua umuhimu wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani uwe ni muislam au sio muislam nitatoa punguzo la bei kwenye bidhaa yangu ya mchele super. Hapa nitakua na package tofauti tofauti kulingana na
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
29
38
@Amgodba
Godbayo
6 months
MWANZA, TANZANIA 🇹🇿 sema jua leo ni kali hapa Rock city.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
7
39
@Amgodba
Godbayo
6 months
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni mwezi bora ambao unaotukumbusha kuyatafata na kuyaishi matendo yote bora ya mitume yetu hivyo ndivyo tunatakiwa kuishi. Hivyo, unakila sababu yafukanya toba kwa kuomba msamaha pengine kusemehe waliotukosea. Asalaam alyekum ndgu zangu katka imani.
3
16
39
@Amgodba
Godbayo
6 months
Huyu mzee huwa anatema madini sana ni moja masheikh wangu huwa napenda kuwasikiliza hapa masjid LUQMAN
Tweet media one
1
6
40
@Amgodba
Godbayo
8 months
Bado naendelea kula misele yangu. Leo niko mitaa moja moto moja baridi 😂😂yaani niko jikoni kwao leo, wazee wa location hapa ni wapi ?
Tweet media one
13
9
39
@Amgodba
Godbayo
8 months
Nilikua nimekaa zangu nimtulia mara akapita huyu jamaa 😂😂🙌..unadhani atakua kabila gani huyu ?
Tweet media one
4
10
38
@Amgodba
Godbayo
7 months
Nimeshangaa sana kuona watu wanauliza kivipi mchele utauzwa Kg kwa Tsh 1000 kwenye ile tweet yangu ya mwanzo. Kwa hizi mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mengi nchini kuna uwezekano mkubwa sana wa mazao ya chakula kuwa mengi mnoo tena kwa bei ya chini sana. Mfano, Mwanza.....
5
12
38
@Amgodba
Godbayo
5 months
TWITTER NI MARVELOUS NETWORK 🔥 🧵 Jana wakati nimeweka tangazo langu la Bidhaa ya mchele ,haikuchukua muda nikapata mteja tokea pande za A town arachuga babake🔥 Mteja hakua na mambo mengi,kikubwa nilimpa taarifa zangu muhimu na akanitumia kibunda anataka mchele kg 80
3
11
36
@Amgodba
Godbayo
5 months
OFA❗OFA❗OFA❗ Bidhaa ya mchele inauzwa kulingana na ubora wake ndio maana mimi #GodbayoRicesupply kwa kuzingatia ubora na mahitaji ya soko,nitakuuzia mchele mzuri umenyooka na msafi kwa bei kitonga. NI MCHELE MPYA NA MKUKUU (wazamani)"
3
27
34
@Amgodba
Godbayo
6 months
Piga picha tuone kilichopo kazini kwako
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
7
36
@Amgodba
Godbayo
6 months
Karibu jinumbu na ichai yamata ( karibuni viazi na chai ya maziwa ). Kutoka hapa Gold Crest Mwanza. Ubaoni imesoma 22,000.😎
Tweet media one
10
8
33
@Amgodba
Godbayo
7 months
Bango langu kesho kwenye maandamano: WAZEE WAPUMZIKE, SASA NI WAKATI WA VIJANA KUSHIKA HATAMU.
3
9
35
@Amgodba
Godbayo
8 months
Ndio nimemaliza tour yangu hapa Saanane Island national Park mnalipi la kunishauri baada ya kuteketeza kama 100k😥
Tweet media one
8
5
33
@Amgodba
Godbayo
6 months
Tayali kishawaka 😂😂😂alafu wote ni madamu, ngoja tuone
Tweet media one
2
4
32
@Amgodba
Godbayo
5 months
Wanangu Kwani kuna mnyakyusa anaitwa Prince permado wakuu sema Papa bear ni tapeli kmmk😂😂
Tweet media one
2
5
29
@Amgodba
Godbayo
8 months
Wakuu hapa sio nyoko City ya marekani ila hapa ni kwenye jiji la miamba yaan Rock city,sio majengi mazuri tu hadi werembo wapo man unaweza sema ni Dubei😂😂 Hapa niko wapi mkuu 10k kwa atakae patia.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
5
30
@Amgodba
Godbayo
6 months
Kafanyaje tena huyu nae ?
Tweet media one
2
5
30
@Amgodba
Godbayo
5 months
Msijitoe akili basi wanagu,hata kama ungekua ni wewe kila siku utumiwe 50k ya lunch na mama iko Amsterdam ungekataaa ??😂😂
Tweet media one
2
3
28
@Amgodba
Godbayo
7 months
@Profesa__ Hii ni kweli kuna jamaa angu anafanya kazi MSD saivi ana maduka ya dawa kama manne tena yako full alafu kila mwaka ananunua gari moja na ana nyumba kali
6
0
29
@Amgodba
Godbayo
6 months
Wazazi wako wanakesha kukuombea kila siku mtoto wao juma kumbe mtaani unajiita Snake boy.! Sawa mkuu.
6
7
27
@Amgodba
Godbayo
5 months
Hii leo ni hatari mvua nayo imeanza kunyesha tena🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
4
27
@Amgodba
Godbayo
1 year
WAWE HURU. sote ni nchi YETU🇹🇿. Usipite bila kurepost💪
@Sativa255
SATIVA17
1 year
TUNAWATAKA WAKIWA HAI. WAACHIENI HURU. Repost hii🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
370
644
1
16
23
@Amgodba
Godbayo
8 months
Kwa haya yanayoendelea humu kwa hizi hashtag kumbe hata yule jamaa alikua mkweli kusema hawa wasomi ndio chanzo cha matatizo kwenye jamii. Imagine mwanetu @Adventure_36 tena mwanasheria ana push #🤔🙄, sometimes vingine tuviache vipite wakuu.
1
5
26
@Amgodba
Godbayo
6 months
Hivi sasa ni saa sita mchana hakuna gari hata moja barabarani, bado mgomo wa magari unaendelea sijui leo itakuaje kama hari ikiwa hivi hadi kufika jioni.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
6
25
@Amgodba
Godbayo
6 months
Kuzaliwa masikini kwenye familia masikini sio kosa, kosa lako kufa masikini.
2
8
25
@Amgodba
Godbayo
9 months
Tangia vyuo vimefunguliwa watu hawajapewa boom,mtu katoka nyumbani na hela ya nauli na ziada kidogo ya kujikimu almost wiki mbili huku akitegemea boom litoke mwisho wa siku bodi inachelewesha pesa,akiba uliyokuwa nayo inaisha ndani huna chakula,imebaki wiki moja kodi ikate.
4
6
26
@Amgodba
Godbayo
5 months
Mimi muda huu nasikiliza mawahidha ya Tafsiri ya Quran, tunapewa na kisa cha MFALME Firahuni hapa masjid LUQMAN Wewe unafanya nini muda huu mkuu ?
Tweet media one
4
7
25
@Amgodba
Godbayo
7 months
Hyu sheikh wa leo hapa masjid LUQ MAAN mkuyuni, Ametema madini mengi sana kuhusu sisi binadamu wenyewe kupendana. I feel peace of mind.🙏🙏
4
8
24
@Amgodba
Godbayo
5 months
Wangu kaniambia kapokea boom leo niende nikalile sasa sio kama julip mpaka adanganye anauza kinyeo anaogopa kutoa hela.😂😂
2
5
24
@Amgodba
Godbayo
6 months
Sijui huyu jamaa atakua na hari gani huko aliko asee😂😂😂
Tweet media one
1
4
23
@Amgodba
Godbayo
6 months
Play list yangu Leo Hammer Q ~ Lady🎶 Jaguar ~ kigeugeu 🎶 mataonya ~ Vailet🎶 TID ~ Zeze🎶 Hafsa Ft Banana zoro ~pressure 🎶 Ongeza zingine 5 hapo jumla ziwe 10 mkuu
5
10
23
@Amgodba
Godbayo
8 months
Sikuizi mdada akiwa mweupe anavaa na miwani alafu awe na kiflem cha duka utasikia bidhaa zake anaagiza china😂 🙌🙌
3
6
22
@Amgodba
Godbayo
5 months
Nimefanya hii Research yangu kwa muda mrefu sana,Mademu wa ST. AUGUSTINE wanajauza asee🙌 kwanzia mida saa 4: 30 hivi baadhi yao huwa wanakua na maeneo ya kona ya SWEYA pale huwa wanatega hapo wengine wanaenda LUCHELELE kule kuna Bar moja hivi inaitwa KEMPISK..
4
5
22
@Amgodba
Godbayo
7 months
Kwaiyo niongeze nini hapa...hii nimeagiza hapa MWANZA HOTEL wanangu mpaka sasa bill inasoma 20k
Tweet media one
4
8
20
@Amgodba
Godbayo
8 months
Humu ukitoka kidogo ukija kurudi unakutana na mambo mengine, Hata huyu nae kafanyaje wakuu ?
Tweet media one
4
5
21
@Amgodba
Godbayo
5 months
AGIZA NA #GODBAYORICESUPPLY Uzuri ukifika ofisi kwetu utapata kila aina ya huduma ukiachana kuuza na kununua Mchele moja ya huduma nyingine ni tunasaga unga,kukoboa mpunga na kutengeneza makande. Lakini bado #Godbayoricesupply sujakuacha nyuma mkuu wewe niagize tu mchele
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
11
19
@Amgodba
Godbayo
5 months
Nani yuko hapa muda huu aje tukafturu Passion hotel hapo mkuu😂
Tweet media one
2
5
22
@Amgodba
Godbayo
8 months
Jana nimejipanga kufanya unyama kwenye space ya KARAOKE nikiwa na shemeji yenu @rellythex123 lakini mauzauza yakaanza na tanesco kukata umeme mala airtel nao network ikaanza kukata viuno😥😥 kmmmk 😡 . Tajiri @DullahTheking2 tutakua hewani lini tena kaka ?
Tweet media one
4
4
20
@Amgodba
Godbayo
6 months
Kuwa Hai Mpaka Sasa Hakuna cha Maana au cha ziada Tumekifanya Mimi na Wewe Kuliko Maswahaba na Mitume waliotutangulia Mbele za Haki Isipokuwa Rekhema za Mwenyezi Mungu. Hivyo hatuna budi kumshukuru mwenyezi mungu Subuhana watahallah. Asalaam alyekum ndugu zangu katika imani.
3
4
21
@Amgodba
Godbayo
7 months
Ndo naingia humu haya kuna habari gani ? Nani tena kashiriki challenge na umri umemtupa mkono?
2
2
21
@Amgodba
Godbayo
6 months
UJANA NI NUSU YA WENDAWAZIMU.
1
8
20
@Amgodba
Godbayo
6 months
DJ nipigie kibao cha MABANTU cha kuitwa "leooo ohhh mungu ameniona ameniona" usinye chikichiki mpaka iishe.😂😂 Umekula leo mkuu ?
Tweet media one
Tweet media two
1
4
21
@Amgodba
Godbayo
6 months
Mh. @SuluhuSamia unakua ni kama huoni post zetu tunavyolalamika kuhusu watu wako lakini umekaa kimya. 😢 Juzi watu post zao za kuomba cherehani mara BEZIDEI zao umejibu lakini sisi walala hoi tunalalmika sukari bei juu nikama hutuoni Mh.
4
8
21
@Amgodba
Godbayo
6 months
Kwanza mimi nilijua tu manula ni tapeli ngoja nikajipikie zangu mwana lunyasi
Tweet media one
0
4
19
@Amgodba
Godbayo
5 months
Jana nilichukua challenge ya @FKihamu nikamwambia bila kupangua Aya hata moja kutoka kwenye Quran,hupati ABAYA labda UBAYA 😂😂 ALHAMDULILLAH 🙏kapunga zote na nikama unavyoona ila ananiambia baby hii sio ABAYA ni JUBA😂🙌 Kwani kuna tofauti gani kati ABAYA na JUBA wakuu ??😂😂
Tweet media one
Tweet media two
5
3
19
@Amgodba
Godbayo
8 months
Safari imeanza ya kusogea home Nipate kitu baada kupiga hesabu za mchele.
Tweet media one
1
3
18
@Amgodba
Godbayo
7 months
Wanangu kama demu zenu hawajui mnapitia hari gani kwenye utafutaji wako achana nae mkuu😂😂 Huyu wangu saizi anajua nina hari gani 😂😂😂 Lavu is beautiful singi😂😂❤
Tweet media one
4
5
18
@Amgodba
Godbayo
6 months
Huyo dogo flame no.1 hajaenda shule wala hajui kusoma lakini kaimba TENGE TENGELELE now days anaalikwa kwenye matamasha makubwa duniani lakini - ndugu yetu flame no.2 kila siku kelele twitter na Degree yake ya NGONI MIGRATION hana uwakika wa kula leo 😂😂😂 Maisha hayako fear.
Tweet media one
Tweet media two
2
3
20
@Amgodba
Godbayo
5 months
TIBITII CHALLENGE 🔥🔥 TBT: 2016 na mama yenu mkubwa hapa @jobles_bukujero na mwenzie @bonifacejoseph_ walikua wanajitafuta form one😂😂 Lakini tuliacha mkuu licha ya kuangaliwa hivi😂😂🙌 Kaka @DullahTheking2 kila penzi litaonja mauti jiandae kisaikolojia 😂😂🙌
Tweet media one
Tweet media two
3
7
17
@Amgodba
Godbayo
5 months
@OriginoZee17 Sema ndugu zake hawapo huku yeye alikuja tu kutafuta maisha ila hakika ndugu wakija kuchukua mwili kwenda kuzika lazima watamramba bakora
1
1
19