-June 2015 - Sept 2015 Volunteer at Raleigh International as an(ICS) -Alumni St. Augustine University of Tz (Journalism and Mass Media)|Hassanmada
@iCloud
.com
Mnamo 2021, Sadio Mane baada ya kufungua hospitali aliyofadhili, alirudi nyumbani kwa mama yake, akachukua embe kubwa lililoiva kutoka chini, akaliosha na kuling’ata upande. Kila mtu aliguna na kuangua kicheko na kusema.👇🏾
Sema hii nchi kuna watu huwa wanavimba sana kuna kijana kachomekewa na hiyo gari nyeusi ila kosa limemrudia tena kijana na hiyo haitoshi akawekwa chini ya ulinzi.
Angalia video mpaka mwisho kijana Mjomba wake ni Mbunge.
Francis Ngannou alipata dola milioni 20 kutokana na pambano lake dhidi ya Anthony Joshua. Pia alipata dola milioni 10 kutoka kwa pambano la Tyson Fury.
Joshua alipata dola milioni 50 kutokana na pambano hilo.
Ameingiza dola milioni 30 kutokana na mechi mbili za ndondi. Alipata
Najaribu kuwaza kwa sauti kwa alichokifanya Mh
@jokateM
kingeweza kufanyika kwa ukubwa zaidi kikaweza kuwafika vijana wengi zaidi kijana angeweza kufika mbali kimaendeleo vijana wengi wanavitu ambavyo vinatija ila kwenye suala la kuwezeshwa ndo inakuwa changamoto.
Hongera sana
@IdrisSultan
anafanya vitu vikubwa sana sema vijana wengi hawazigatii na kumchukulia kama mtu wa masihara lakini ni mtu ambaye anaishi sehemu ya ndoto zake. Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo kwenye moja kati ya interview aliwahi kusema ni lazima afike Levels za Hollywood na
@masoudkipanya
Easy pazia ndo system na nyumba ndo nchi yanyewe kinachofanyika ndani ya nchi system huwa inakificha na hayo maji ni machache tunayoyajua mengi hatuyajui yanayofanyika ndani.
Mambo yanayoendelea kwenye tasnia ya Movies huko Marekani huwa yana siri kibwa sana hili sio jambo la kawaida kwa msanii kama huyu kuingia katika jukwaa la Oscars akiwa uchi wa mnyama
Video iko hapo chini
@nyuki_malkia
Kwenye matamanio muoneokano ndo yambo la kwanza ila kwenye kudumu kwenye mahusiano tabia ndo jambo la kwanza uzuri muonekano wa mtu ndo hufuata
Kwani hili bifu la Baraka na Ali chanzo hasa ni nini mbona kama Baraka akigusiwa suala la Ali anakuwa zaidi ya mbogo la lazima akiwashe na hasira zisizo zuilika