Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿 Profile Banner
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿 Profile
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿

@5Madas

Followers
3,963
Following
866
Media
3,487
Statuses
19,303

-June 2015 - Sept 2015 Volunteer at Raleigh International as an(ICS) -Alumni St. Augustine University of Tz (Journalism and Mass Media)|Hassanmada @iCloud .com

Tanzania
Joined August 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Huyu Jamaa walimuondoa kwa figisu kuna vitu alikuwa anataka kuwaambia walimwengu dakika za mwisho Video iko chini
Tweet media one
46
42
841
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
2 years
Mnamo 2021, Sadio Mane baada ya kufungua hospitali aliyofadhili, alirudi nyumbani kwa mama yake, akachukua embe kubwa lililoiva kutoka chini, akaliosha na kuling’ata upande. Kila mtu aliguna na kuangua kicheko na kusema.👇🏾
Tweet media one
57
68
2K
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Itoshe kusema Morrison anaipenda Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
23
32
2K
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Hili tukio lilivyotokea watu walishindwa kabisa kuamini lakini ukweli ni kwamba Boxing na MMA Fighting ni vitu viwili tofauti Video iko chini hapo
Tweet media one
38
34
1K
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Kama Marekani wana Hollywood Nigeria wana Nollywood India wana Bollywood Tanzania tuna ?????
Tweet media one
455
47
1K
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Couple ambayo hainaga mambo mengi taja couple nyingine kama hii ambayo haina mambo mengi
Tweet media one
60
30
693
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Naomba kuuliza hivi hawa wanaoiba haya mafuta huwa wanaenda kufanyia shughuli gani
Tweet media one
138
36
681
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Unadhani hapa Mhe. Atakuwa anaelekea wapi
Tweet media one
78
16
325
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Sema hii nchi kuna watu huwa wanavimba sana kuna kijana kachomekewa na hiyo gari nyeusi ila kosa limemrudia tena kijana na hiyo haitoshi akawekwa chini ya ulinzi. Angalia video mpaka mwisho kijana Mjomba wake ni Mbunge.
91
65
298
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
2 years
"Nyota wakubwa hula maembe kama wanakijiji wote." Mmoja wa wanasoka wanaopendwa zaidi duniani♥️♥️
0
1
293
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Huyu ndo mlinzi kwenye kampuni unalipa 450k kwa mwezi
127
73
293
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
6 months
@IAMartin_ Kama uko unapita comments kama mimi gonga like tujuane hapa
1
0
286
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
3
49
281
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Kwahiyo wanataka kusema Mke wa Obama sio mwanamke kwamba hata wale watoto hakujifungua yeye
Tweet media one
57
20
267
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Unacho jiuliza wewe na mimi najiuliza hicho hicho
Tweet media one
14
24
259
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Palipo na nia pana njia.
Tweet media one
6
7
245
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Hili litakuwa jeshi la nchi gani hapa Africa
Tweet media one
38
14
232
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
6
15
237
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Huyu nyoka huwa anaitwaje
Tweet media one
108
22
185
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Naomba kuuliza huyu ni ndege gani na huwa analiwa
Tweet media one
45
14
193
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Wali unaopikiwa kwenye jiko la mkaa na ule unaopikiwa kwenye jiko la gesi upi huwaga ndo mtamu zaidi
Tweet media one
48
7
172
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Lori la mafuta lilivyo lipuka baada ya kuanguka huku watu wakiwa wanaendelea kuchota mafuta
34
38
157
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Kaka Kipanya hapa anataka kutuambia nini
Tweet media one
12
26
153
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Francis Ngannou alipata dola milioni 20 kutokana na pambano lake dhidi ya Anthony Joshua. Pia alipata dola milioni 10 kutoka kwa pambano la Tyson Fury. Joshua alipata dola milioni 50 kutokana na pambano hilo. Ameingiza dola milioni 30 kutokana na mechi mbili za ndondi. Alipata
9
2
154
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
GM Wapanaji Wenzangu
Tweet media one
6
10
143
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Ujugu umenyooka sana huu
Tweet media one
7
25
141
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Niko huku napambania madeal ya hapa 𝕏 dua zenu wapwa 🙏🏽
Tweet media one
17
26
134
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Kwa Mara ya Kwanza ndo nasikia kampuni inazungumzia kuhusu fidia kwa wahanga wa ajali
Tweet media one
3
9
136
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Huyu ni msanii gani maarufu hapa kwetu Tanzania
Tweet media one
34
11
128
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Sema hili game la kuuza chakula @OfficialShilole kaliwezea sana kushinda hata game la muziki apewe maua yake 💯 #Shishifood
Tweet media one
2
12
124
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Huyu ni msanii gani mkubwa hapa nchini Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
23
11
119
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Dogo D kakutwa na nini tena mbona kama anatumia
11
8
118
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Mwenyewezi Mungu atujaalie watoto wenye upendo na kutuambia thamani ya wazazi wote wawili📌
Tweet media one
3
11
119
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Hawa viumbe kweli wapo duniani au wapo kwenye movies tu
Tweet media one
24
8
114
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Tukiwa kwenye Majukumu yetu ya kila siku
8
24
118
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Swali lenye faida hivi Soda ina faida gani mwilini
Tweet media one
16
15
111
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
0
0
99
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Huyu samaki anaitwaje na hua analiwa ?
57
19
107
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Sitawapa mbinu nyingine hii ndo ya mwisho kabisa
Tweet media one
20
26
106
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Umemtambua nani kwenye hii picha
Tweet media one
8
8
107
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Yani ni follow 4 follow afu ni permanent follow📌
58
35
93
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Kuna wale wanaoenda shule afu kuna hawa ambao wanabaki nyumbani
Tweet media one
11
13
98
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Influencer wakiiona hii picha tumekwisha
Tweet media one
13
13
99
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Muda wa kuongezeka mfate hizo handle hapo chini wako active muda huu 🔥🔥🔥
Tweet media one
40
38
97
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Najaribu kuwaza kwa sauti kwa alichokifanya Mh @jokateM kingeweza kufanyika kwa ukubwa zaidi kikaweza kuwafika vijana wengi zaidi kijana angeweza kufika mbali kimaendeleo vijana wengi wanavitu ambavyo vinatija ila kwenye suala la kuwezeshwa ndo inakuwa changamoto. Hongera sana
Tweet media one
3
16
100
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
@IdrisSultan anafanya vitu vikubwa sana sema vijana wengi hawazigatii na kumchukulia kama mtu wa masihara lakini ni mtu ambaye anaishi sehemu ya ndoto zake. Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo kwenye moja kati ya interview aliwahi kusema ni lazima afike Levels za Hollywood na
Tweet media one
4
8
94
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
6 months
Shikamoo Ndoa
Tweet media one
Tweet media two
12
6
91
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Hivi hasira za hawa jamaa huwaga zinatokana ni nini cheki Mjeda anavyompiga Derevara Daladala
25
13
91
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
@masoudkipanya Easy pazia ndo system na nyumba ndo nchi yanyewe kinachofanyika ndani ya nchi system huwa inakificha na hayo maji ni machache tunayoyajua mengi hatuyajui yanayofanyika ndani.
6
2
95
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Kuzaa account kwa wafuasi wa Tanzania impressions ziko hapa 📌
54
32
80
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Tuwatendee wema wazazi wetu 🙏🏽
Tweet media one
3
18
91
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Mambo yanayoendelea kwenye tasnia ya Movies huko Marekani huwa yana siri kibwa sana hili sio jambo la kawaida kwa msanii kama huyu kuingia katika jukwaa la Oscars akiwa uchi wa mnyama Video iko hapo chini
Tweet media one
8
4
88
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Akili kisoda
Tweet media one
9
8
82
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Usikute anatembea na mume wa mtu huyu mdada
Tweet media one
10
8
84
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Naomba kuuliza huyu samaki huwa analiwa
Tweet media one
24
16
75
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Huyu Mwamba leo anatrend sana kwani kafanya nini ? @McinikaWaLamar
Tweet media one
3
2
83
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Huyu dogo kaongea ukweli au anatudanganya tu hakuna ukweli Ni kweli hawajasoma Video kwenye comment
Tweet media one
5
7
74
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Bado tunasafari ndefu sana
Tweet media one
9
10
80
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Tunakuza account Repost Like Follow 📌
33
27
71
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Mafanikio ya mtu huendana na juhudi zake binafsi
Tweet media one
7
8
76
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Hivi vyote tumepewa bure leo tunapaswa kushukuru
Tweet media one
3
14
75
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Kwa haraka haraka unaweza sema ni picha ya kweli kumbe ni AI Generated Photo
Tweet media one
4
7
70
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
0
0
69
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Mwamba kayatimba kwa raia wenye hasira kali
Tweet media one
9
9
74
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
@mokertz__ Anaongea kwa uchungu utadhani aliambiwa msaada utakuwa ni laki na nusu
2
1
73
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
@masoudkipanya Easy iko hivi bunduki ndo system yetu na inaforce tuzungumzie mazuri ya system tunauhuru wa kuongea ila sio tunavyotaka sisi kuviongea.
2
1
72
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
0
0
65
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Samahani naomba kuuliza hivi huu moshi huwa unatokana na nini
Tweet media one
11
9
69
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
@nyuki_malkia Kwenye matamanio muoneokano ndo yambo la kwanza ila kwenye kudumu kwenye mahusiano tabia ndo jambo la kwanza uzuri muonekano wa mtu ndo hufuata
0
5
73
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Huu mwaka tutatumia mafuta na maji ya Upako au tubaki kumuomba Mwenyewezi Mungu na juhudi vinatosha
Tweet media one
10
9
68
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
@mokertz__ Mwanangu nisije sikia umemgusa mama ako hayo maadali tuwaachie huko nchi za ugenini nitakufua hakuna rangi utaacha ona
12
2
69
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Mwenyewezi Mungu atujaalie watoto wenye upendo wa kweli watakao tupenda na kutujali bila kuangalia hali za kimaisha tulizo nazo.
Tweet media one
3
18
67
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Dj Misso Mosondo akipata shavu awachukue na hawa Raia
Tweet media one
2
6
67
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Alipangalo Mungu hakuna anaeweza kulipangua
Tweet media one
2
7
69
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Tuwatendee wema wazazi wetu📌
Tweet media one
0
15
64
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Kimbilia kufanya matukio ili uende ndani ukapokee mshahara ila kumbuka kuna Manyapala kule ndani
Tweet media one
10
8
65
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Kuna watu watesema hii ni bia
Tweet media one
14
8
63
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Kwanini zamani Vocha zilikuwa zinaitwa Dola
Tweet media one
4
6
67
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Chuma ya @iamcleopatricia hii hapa hiyo ni namba Mbili iko na namba Moja imetulia
Tweet media one
9
6
67
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Follow upate Permanent followers afu Weka na handle hapo chini 📌
35
27
63
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Bila kuchoka ni Alhamisi nyingine tena ya kumalizia mwaka na unasoma hii post hakika tuko pamoja GM Wapambanaji Wenzangu
27
32
63
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Tweet media one
3
5
66
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Huyu ni msanii gani wa musiki Duniani
Tweet media one
9
7
64
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Hizi chuma zinaelekea wapi zinapita Dodoma muda huu
Tweet media one
24
7
64
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
J2 ya kujaza acc zetu shusha Emoji hapo chin mfate analike Emoji yako🖤
23
15
62
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Kwani hili bifu la Baraka na Ali chanzo hasa ni nini mbona kama Baraka akigusiwa suala la Ali anakuwa zaidi ya mbogo la lazima akiwashe na hasira zisizo zuilika
Tweet media one
Tweet media two
10
9
60
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
2005 Umemtambua nani kwenye hii picha
Tweet media one
11
11
64
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
2 years
0
0
57
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Ni Jumatatu ikiwa umeamka poa hakuna budi kushukuru mengine ni ziada sana GM Wapambanaji Wenzangu
25
30
59
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
11 months
Jifunze kushukuru kwa kila jambo hata hii siku nayo shukuru kwa kuipokea GM Wapambanaji Wenzangu
12
23
62
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Kama unafahamu samaki hivi ni vipande vya samaki gani
Tweet media one
21
3
63
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Naomba kuuliza huu utakuwa ni mkoa gani hapa nchini Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
9
7
60
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
Baada ya dhiki ni faraja
Tweet media one
7
8
61
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
Weekend ya kujaza acc 𝕏 familia ni kubwa wapwa mfate kila mtu atakae like post hii 🖤
Tweet media one
50
20
59
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
10 months
La kuambiwa changanya la lako
Tweet media one
5
10
62
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Waliokubali kujishusha ili kujifunza biashara ndio waliofanikiwa
Tweet media one
0
5
56
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
7 months
Kama Elon Musk angekuwa Mtanzania
Tweet media one
6
3
56
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
8 months
Mungu ni Mwema siku zote hatimaye ni siku nyingine tena
Tweet media one
7
16
58
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
9 months
Hili Cover linawafaa vijana wa maeneo gani
Tweet media one
Tweet media two
14
10
57
@5Madas
Kaka Ujugu 𝕏 🇹🇿
1 year
0
0
52