Nimejaribu kuangalia mpira wa Ten Hag tokea yupo Ajax mpaka saiv nkagundua kuwa akipata wachezaji sahihi na wenye ubora wa hali ya juu kwenye nafasi zao kuanzia kwenye nafasi ya beki mpaka mbele basi ataibadilisha sana Man U
Kwa mfano De bruyne akienda Manchester United na Bruno Fernandes akienda Manchester City, unafkir ni mchezaji gani ataperform vizuri zaidi ya mwenzake?
RVP anasahaulika sana kwenye mijadala ya mastriker wazuri pale EPL hasa ukizingatia kwamba alifanikiwa kuchukua golden boot mara 2 mfululizo tena akiwa kwenye timu tofauti
Huwezi kuwaongelea wachezaji wanaopiga pasi ndefu mithiri ya ruler bila kuwataja Pirlo, Scholes, Beckham, Xabi Alonso, na Rooney 🌟🔥🔥
Nani mwingine nimemsahau?