Kuna guy alikuwa anaishi next door so every time nilikuwa napika chapo nilikuwa nampea tatu,kuna this day nikampea tuu hivo tatu alafu akaniambia aty nimwongezee mbili ako na mgeni. Guess who mgeni was.... dem yake.😭kutoka hiyo siku sikuwahi mpea chapo zangu tena
Lakini wanaume hukuwa aje, mumetoka job nyinyi wote akuje aketi sitting room na remote.bibi aingie jikoni apike aoshe watoi, awafundishe home work.bwana badoo ako kwa kiti ni kuswitch tuu TV stations.Apelekee maji kwa bafu ya mzee. Na usiku badoo mzee anakungoja kwa bed.
At this rate, kujeni tuu mazishi.Kwetu ni nakuru heshima, juu wtf weight is this na age yangu .
Like a normal human being with 27 years. Mnipee remedy ama mkuje burial.
Yess Niko na rabbit teeth na Zi za brown, kwetu ni Nakuru . Acha niwaletee coloured muone vizuri, mudigithie mùcéné . BULLIES the floor is yours ,Na kutoka Leo muzoee hii sura,
At this rate, kujeni tuu mazishi.Kwetu ni nakuru heshima, juu wtf weight is this na age yangu .
Like a normal human being with 27 years. Mnipee remedy ama mkuje burial.
Men usually pretends aty wanakam jikoni kukuhelp kuprepare the meal, kazi yake tuu ni kukupea tuu story akikushika. Mi sidai unishike .shika kisu chonga viazi pia. Maneno ya bedroom usilete jikoni.
They look at your body and eventually want to have s£x with you, with no intentions of loving you. They make you feel so loved for a certain period of time, then leave you like a stranger. Yes, that's what MEN do. 💔
If a man leaves after you've cheated he wasn't a real man. Real men would go through it and help you become a better woman,, they accept you with all your flaws.
Tuna celebrate our 3rd Anniversary na opening of a new clinic. Be part of the celebration na story ni simply quote this tweet and get the most RTs by 14th July 5PM and we will pick 5 lucky tweeps to join us for lunch and get a voucher for free teeth cleaning
#LoveYourSmile