Please
#Repost
🙏🏽
Karibuni Mniunge Mkono Fam❤️ Katika Viwanja Vya Maonesho
#SABASABA
🔥
✅Free Wine Tasting
✅Chupa (750mls) 10,000 (Kwanzia 6 Ni 8,500)
✅Dumu 35,000
✅Box (5ltrs) @ 40,000 Badala Ya 45,000
📍Banda La
#TWCC
Karibu Na Banda La Utalii Na Maliasili
📞0628780856
Bodaboda alikua ananipitisha katikati ya malori😭
Nikamwambia “Kaka naomba usikatize tena hivo mwenzako kwetu tuko wawili tu na sina ata mtoto wa kubahatisha🙌🏾”
Nlivoshuka akaniambia “Dada we mzuri ivo huna mtoto bado..fanya mpango mda unaenda🤣”
Again..i think its time guys😍
Karibuni Kwenye Banda Letu La
#MalotWine
🍷 Kwenye
#TotBonanza
Apa Posta Grounds🔥
Tumekaa Hapa Pembeni Ya Basketball Pitch..Tunaonjesha Na Kuuza Wine Kwa Bei Elekezi😋
Tuko Mpaka Saa Sita Usiku ✅
#WainikaNaMalot
🍷❤️
Nashukuru Mungu kwa neema na baraka ya kumaliza Internship Programme salama.
Nimejifunza mengi na nina amini ujuzi nlioupata wa mwaka mzima utanifanya niweze kuajirika kitaifa na kimataifa.
The future is exciting.
#Grateful
❤️🙏🏽
Last Friday Ya Mwezi Mrefu Wa January🙌🏾
Let’s Celebrate With A Perfect Glass Of Ma•Lot Wine🍷
•Chupa 10,000
•Dumu 35,000
•Box 40,000
We Provide Services For 24 Hours🔥
📍Sinza Madukani
📞0628780856
KARIBUNI SANA❤️
Spoilt Smiles☺️☺️Thank You
@Dream_onlineshp
For the classic pull neck😍😍 I have always been your customer na hujawahi nipa kitu cha hovyo🔥🔥Endelea kuupiga mwingi my good friend!!
Dear Family,
Natoa shukurani kwa wote walioni support kipindi chote cha maonesho ya
#Nanenane
🙏🏽
Asanteni wote mliokua mnapost na kuretweet maana mmefanya wengi wajue 🙏🏽
Asante sana kwa wote mlioitikia wito na kuja kwenye banda kunisupport.
God bless you all.
Nawapenda❤️
Naomba Mniunge Mkono Fam❤️ 🙏🏽Katika Viwanja Vya Maonesho
#SABASABA
Kwanzia Leo Hadi 13/7/2023.
#MALOTWINE
Zitakuepo Katika Package Zote Na Huduma Ya
#FREETASTING
Itafanyika Kwa Kila Ataefika Meza Yetu🍷
📍Banda La
#TWCC
Karibu Na Banda La Utalii Na Maliasili
📞0628780856
Ndio napigiwa simu apa kutoka bonanzani kuulizwa mbona nimepungua sana🤣🤣
Sio mimi uuwi..niwe na hili body niringe🤣🤣
Tuendelee kusogea banda la
#Malotwine
😋🍷
I love my mummy❤️😭
First thing nkifika home baada ya hustle za sabasaba, after salamu the next thing anauliza mauzo yameendaje..if good ana encourage nisichoke if bad ananipa moyo nisikate tamaa
Kisha tunasali pamoja kumshukuru Mungu🤲🏾
Mungu anitunzie mama yangu🙏🏽
Happiest Birthday Bestfriend❤️
@McinikaWaLamar
Umekua with me through all hustles since day one adi kesho🙏🏽Nashukuru Mungu sana kwaajili yako na nakuombea baraka neema na furaha katika maisha yako yote😍😍Tuendelee kuishi..Wewe ni mtu sana!!🙌🏾🙌🏾
Asanteni kwa maneno mazuri ya kheri na baraka mliyonipa jana na napokea yote kwa Imani🙏🏽
Asanteni kwa zawadi, maombi na support kubwa mnayonipa bila kuchoka..
#Malot
🍷
Naomba msamaha sikuweza jibu comments zote lakini i appreciate the love so much❤️😭
Mungu Baba Awabariki Fam🙏🏽
🔥SABASABA DAY🔥
Karibuni Meza Ya
#Malotwine
Katika Banda Kubwa La
#TWCC
Ujipatie OFA Ya
#Sabasaba
Chupa (750mls) - 10,000✅
Dumu (5 Ltrs) - 35,000✅
Box (5 Ltrs) - 40,000✅
>Kuonja Wine Ni BURE!!🍷
📞0628780856 Nikupokee Getini🥰
Naomba Mniunge Mkono Fam❤️🙏🏽
Katika Maonesho Ya
#NANENANE
Yanayofanyika Kwanzia Leo Hadi 10/8/2022.. MBEYA, Tanzania.
#MALOTWINE
Zitakuepo Katika Package Zote Na Huduma Ya
#FREETASTING
Itafanyika Kwa Kila Ataef🍷
📍Banda La
#TWCC
, Opposite Na Jukwaa Kuu.
📞0628780856
Moyo wangu haushiwi
#Shukurani
kwa
#Support
mnayotoa katika biashara yangu
#Malotwine
🍷
To me
#Twitter
ni Baraka maana nimekutana na watu wenye upendo mno🙌🏾
Nawashukuru sana kwa kunishika mkono siku zote na ninawapenda sana kutoka moyoni❤️
Mungu Baba Awabariki🙏🏽