OPACHO🇰🇪 Profile Banner
OPACHO🇰🇪 Profile
OPACHO🇰🇪

@tweetbyezra

Followers
1,276
Following
1,617
Media
12
Statuses
3,627

Still Liverpool representative 💯💯

🇰🇪
Joined July 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
Ata niitwe kienyeji lakini iyo song ya oozambe bado inaniingia siet!
8
37
58
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
1 month
Kenyan police Na English Ni kama Isaac Mwaura Na jua
8
18
38
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Uku ukieka seriousness Sana hautoboi😅😅
7
28
41
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
20 days
Hawa madem wa Siaya wanaishi Kwa Neema Tu ju venye wanapanda miti Na hata wajali nawahurumia
2
19
36
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
20 days
Ukitaka kukosana Na mama wa Kakamega call her mukoro
3
20
32
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
Sai kuna simp mahali anaambiwa I messed up 😅😅
1
18
30
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
29 days
Ni masaa ya kunguni kufanya mashambulizi hapa Na pale 😅😅😅
4
10
28
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
20 days
Unashinda the whole day ukitoa some errors Kwa content unataka kutetemesha watu nayo then ukitweet inapata like 3 with no retweets iyo feelings mazee😅😅
5
18
29
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Sai kuna pastor mahali anategea iyo sadaka ya kesho
1
18
29
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Kuna age utafika tuh Na utaacha kusikiliza wakadinali
2
14
23
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Unapeleka mbuzi forest alafu along the way unapatana na mpoa anatokea kuchukua maziwa ako ka feelings mtu husikia wuueeh😅😅
0
11
21
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Views zingekua replies watu wengi wangekua fao
3
16
22
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
Unajiona important Sana Na apart from sex what else unaeza offer to your man
2
14
22
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Unashinda umecrashia rashford Na Kwa ground Sisi ndo tuko☹️☹️
1
9
18
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
18 days
Naingia uku kujibamba napatana Na quotes za how kukuwa in a healthy relationship mafuns wa hii mambo mjiheshimu
0
14
20
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Dem anawaringia Na uku ushago ameachia shosh wajukuu😅😅
2
6
19
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
Nikifikiria kesho Niko Na foreman pale site naisha nguvu☹️🤔
1
12
21
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
20 days
Unaharakisha kuoa ndo uzae watoto wasichana ukule mahari mapema alafu wanakua malele
1
12
19
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
Wengine tushaanza siku Na maulana wewe bado unalala enyewe hatuwezi fanana
1
11
20
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
16 days
Sai ndo nimerealize nilifanya poa kuitisha fun man u deni yangu mapema 😅😅
0
15
20
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
Good morning friends and enemies of opacho
6
12
19
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
25 days
Mnapata wapi nguvu ya kulala Na that dangerous creature in the earth beside you mpaka morning
1
12
20
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Unaambiwa oa ati your role model ni Pato na bado ajaoa umesahau alipeaga 3 gals ball akiwa highskull
0
9
19
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Mkenya amemka mapema lakini atangoja 11am ndo uone tweet yake ati good morning ndo kuamka😊☹️
1
8
18
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Nimevumilia Sana kuelewa tweets za Nigerians ati a go dey na Davido na burna come dey stedi Na Africa 😅😅☹️☹️wewe umeelewa kitu
3
10
19
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Ba mdogo endelea kupenda nyash u think ukiingia Kwa marriage itasaidia
0
12
18
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
The moment utaanza kuona kila dem Ni like your grandma except your mpoa apo unaeza ingia sasa Kwa ndoa😅😅
0
10
18
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
@Omwami1672 Nafollow back bila kiburi
0
0
18
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Laana ya mode wa maths ilikunasa au bado haijaanza kufanya kazi😅😅
1
14
17
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
25 days
Simp dem yake ajadress fitie lakini hawezi comment vibaya juh ya kuogopa kuachwa☹️😅
1
7
16
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
young boyz mlikua mnajiita bad Boyz life ikoje😅😅
0
14
17
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
30 days
Na tuendelee kusonga mbele by following each other
3
12
17
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
29 days
Phone imezoea I follow back adi unadai Ku withdraw unajikuta umefollow back amount
0
8
17
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Ushago unakam Na kiherehere mingi kuongea sheng tunakupea wiki moja then unarudi to your normal language kesho nitaendako sokoni
2
8
17
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
18 days
Kuna mrembo amefika home from Nairobi anasema awekewe kitheri Kwa bakuli nimepigwa Na butwaa!! 😅😅
0
12
17
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
16 days
Brighton finya ako Katimu vizuri 😅😅
1
7
16
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
Jackson to score naona odds ziko Sawa niekelee au 😅😅
2
12
16
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Unatweet ati avoid that gender Na wewe mwenyewe umejaza madem adi mtu anaeza Dhani kwako unapiga biz ya salon
0
9
16
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
Mrembo unapost boobs zako zimejaa mizizi Ka za miti za Savannah alafu unatushow ati cheki apo 😅😅
1
8
15
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Masai nao hua Dunia Yao siku zotee utachonga aje masikio yotee ubakishe rim pekee 😅😅maajab
0
7
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Enda kanisa you never know labda Leo ndo angel Gabriel anaeza Tua ekaluni
1
10
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Unacheat sana mpaka mpoa wako anakuota Kwa ndoto ukiwa Na wairimu😅😅😅
0
10
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
Good morning friends of OPACHO🇰🇪
1
10
15
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
Who is the early bird today
3
6
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Nikikam chemist yako usiulize Sana personal questions wewe nijenge za strawberry ka nimesonga
1
8
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Nikiwa Kwa relationship Na wewe Na unajua vitu mingi kuniliko wewe kanyagia tuh juh I want to feel the power of being head in that game😅😅
1
8
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Design watu wanarudiana Na wapoa wao hainifurahishi
1
6
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
25 days
Dem anaeza kuwa Na masters ka zote lakini still akiambiwa that you're the only that I have bado anaamini😅😅
1
7
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
Watu wakifikiria kusonga mbele wewe Uko nyuma kila siku ati unacheki pale highschool sai ningekua naibia mtu socks 😅😅
0
7
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
'shida 'ni baadhi ya majina ya watu Kule busia
0
9
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
Sai kuna ninja anasema man united ikipigwa hawezi tweet kesho unamcheki akijitetea ati uzuri season ikiisha tutatoka Na cup unlike arsenal
1
7
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
@Omwami1672 I follow back 💯💯
2
1
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Unatweet ukijua that the post itapata impression Ka yotee lakini at the end of the day iyo ndo inakutoa Kwa bet bure sanaa😅😅
2
7
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Watu wa man u si mmenyamaza sana kwani Nini kimefanyika haswa😅😅
1
11
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Unaenda Na hasira ya kukamuliwa fea unazimwa Na babe umefanya poa kukam very nais😅😅
1
7
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Mcoast apa ameitisha strungi Na mahamri imebidii tumuulize Ni mzaliwa wa wapi😅😅
2
9
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
16 days
Mafuns wa man u sai ukiwauliza mbona wamepigwa wanaanza personal questions
5
8
14
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Mtu atasema allow me to use English here 'all gals are angels from above but Hawa wa kutkulia fea apana😅😅
0
10
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
29 days
Kisii watu Ni hardcore adi mosquito nets haiwezi kuwa distributed uko 😅😅
1
6
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
13 days
Ma fans wa man u they think tumesahau that Sunday wanacheza Na Liverpool😅😅
2
7
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
Good morning friends of OPACHO🇰🇪 who is the early bird today
1
12
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
Motivation speakers walikuaga Na story za jaba pekee ati tym zao walikua wakisoma Na light ya sigara how is that possible
0
10
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Tunaanza Na Nani this wonderful day
4
4
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
Sikuizi cases za divorce zimereduce adi imenipea wasiwasi
2
6
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
1 month
Natweet I follow back in 1 sec alafu naona umenifollow then nakufollow back juh lazima tuinuane
1
8
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
@SheeChumba Active connecting
0
0
13
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
25 days
Unaniheartbreak then unaexpect niumwe umesahau arsenal hunipiga heartbreak Kali sana pale betika
0
5
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Today let's try to create something fantastic out of nothing
1
7
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Sai kuna ninja mahali anaona mbaya arsenal iki score goals what for Na unajua haiwezi beba ligi😅😅
0
7
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
Iyo timu ya Kuvaa school uniform naona kamepigwa😅😅
1
5
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
A Luo guy atakuambia omera ongea kiswali buana Na yeye mwenyewe anamumunya kijaka
1
6
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
20 days
An ordinary girl atakupea pressure that anafaa aende salon kuchange hair style kila siku Na wanjigi's dota hair style ake imeka almost a month mzee huoni unatumiwa
0
3
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Ulisema hutaki kuelewa iyo wimbo ya 'wababaz wamamaz watapita ' ati wewe Bora mali
1
6
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
23 days
Nakufollow unanifollow back vyo ndo inaitwa kusonga mbele
1
7
12
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Uku Ku msongamano sa usijali ka sijaengage juh siezi ona tweet ako alafu nipite tuh vyo wakuu
1
5
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
@Omwami1672 I'm following back in 1 sec
2
0
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Mzee punguza hasira hii kazi haitaji hasira
0
9
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
Masaa ifike tulipue ako Katimu ati Ipswich unlike man u
1
5
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Birth certificate ya my first kid apo Kwa date of birth nilieka 31st Feb sa sai awezi nisumbua ati birthday yake imefika
1
8
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Unajiona ninja adi vegetation ikikuona unakam inaanza kufurahi juu any tym itapokea hewa Mara dufu😅😅
0
3
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
@Omwami1672 Active and connecting let's go
1
0
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Nimerealize watu wengi uku ikifika izi masaa wanatweet mambo ya bed sanaa na reality Ni ati hawana watu lakini Sisi watulivu wacha tuh
1
7
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Kuna kazi apa Kiambu ya kubeba tyre nne za tractor once adi ghorofa ya Sita ka payment isikupee wasiwasi uko ready tupatane pale Bez ya mtura
1
5
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Leo nikiwa Tao ninja ameangusha kinde ikabidi niangalie ka macho ya mtu wa mrima juu design nilikua nimevaa haingeruhusu
2
3
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
Well spoken words from boss
Tweet media one
0
4
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
@Omwami1672 Ata Mimi nafollow back
1
0
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
1 month
Uzuri ya uku mtu ako na freedom Ka yotee uwezi ulizwa Na mpoa ati dem unashinda umepost Ni nani
0
5
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
Ati sina huruma napita adi Na kilema how's life there btw 😅😅
0
6
11
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
18 days
Good morning Africans who is the early bird today
2
8
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
21 days
Ushago dem anakukata juh hua unaskiza ngoma za burnaboy ati Ni ya mashetani 😅😅😅
0
5
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
26 days
@Omwami1672 @tweetbyezra nafollow back haraka
5
0
9
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
22 days
Acha Na ya Saudi Arabia connection yangu Ni sure.....let's connect
0
5
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
24 days
Badoo umelala Sisi tuko ndani Twitter
1
5
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
1 month
My fellow Kenyans habari zenyu
1
5
9
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
16 days
Naona ambulance inaingia ICU kwani Nini kimetokea juh wagonjwa wote wamevaa jezi ya man u 😅😅
3
6
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
27 days
Leo nayo nimeona kivumbi the whole day more retweets but no views au nimefinywa kidogo Na kiongozi Na sijui 😊☹️
0
4
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
29 days
Nimelala nikakumbuka that Hawa watu wa kutupiga gain train Ni wa nguvu sanaa and I believe mtapata iyo blue badge soon
0
4
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
28 days
Sai kuachwa labda Na nganya za kayole
2
4
10
@tweetbyezra
OPACHO🇰🇪
19 days
GOOD MORNING AFRICANS
0
5
9