Maybach 🌴 Profile Banner
Maybach 🌴 Profile
Maybach 🌴

@shadradeen

Followers
3,518
Following
3,737
Media
429
Statuses
10,899

Great Thinker life Guru Enjoy little things 😃

East Africa
Joined January 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@shadradeen
Maybach 🌴
1 day
UZI🧵👇 Kumekua na mambo mob sana hapa ndani na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba kumuhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kutokumuhudumia mwanamke amini hana hela Tafuteni hela kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili.
Tweet media one
2
4
10
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Hivi kweli aina za mofimu zikupe kitu kama hii kweli 😅.
Tweet media one
88
34
661
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Watu wako mbele ya muda ukipata chance itumie legend ametisha sana 😂.
Tweet media one
71
28
637
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Leo mchungaji kapigwa shoti na nyaya ya maiki akasema kmmke 😂🙌
52
57
545
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Imagine huyu ndiye mke wako anaetukana hivii 🚮.
Tweet media one
70
20
282
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Ebwana ebwana eeh 😂🙌.
Tweet media one
33
24
255
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
R.I.P Kaka mkubwa tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi 😔.
Tweet media one
41
25
231
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Kuna kitu kimoja hakipo sawa kwenye hii picha kama umekiona kitaje apo chini 😅👇.
Tweet media one
67
31
186
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Humu ndanii bila vita huwa hakupendezi kabisa 😂.
Tweet media one
21
21
174
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Mtandao baada ya kurudi tu watu washaanza kutoana akili sasa hapa sijui anazungumziwa nani 😂👇.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
16
147
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Nachukua fursa hii kuwashukuru Tanesko umeme wa mia Tano sasa unamaliza mwezi ahsanteni sana ✊
Tweet media one
24
25
142
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Nani mkali wa punches kati ya @YoungLunya na @Conboicannabino 👇.
Tweet media one
28
10
112
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Baada ya futari 😂
Tweet media one
14
18
117
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Alafu mnataka tusicheat 😂.
Tweet media one
16
10
112
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Hizi bookmarks zote mnanitafuta Nini aisee 🤔
Tweet media one
12
12
109
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Monday imeharibika mapema sana katika harakati za kusambaza CV 😅.
Tweet media one
15
25
92
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Kidudu mtu bhana 😂🙌.
Tweet media one
10
16
91
@shadradeen
Maybach 🌴
3 months
Vijana wa hovyo sana aisee 😂🙌.
Tweet media one
27
13
78
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Leo tuko pande hizi hapa kwa anaepafahamu atuambie...👇
Tweet media one
12
6
79
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Wakali wa location nipo hapa now mnaweza kujua ni pande gani 😎
Tweet media one
12
15
77
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Bila D mbili Huwezi elewa hii mambo🤔.
Tweet media one
8
11
71
@shadradeen
Maybach 🌴
3 months
Tukiwa busy na mambo yetu mnasema tunadharau, Tukiwa busy na mambo yenu mnasema tunajipendekeza...✍️
8
11
65
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Sijui walikosea Nini kwa mungu washika bunduki Hawa 😂.
Tweet media one
10
8
68
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Wakali wa location hapa ni wapi 😀.
Tweet media one
21
12
67
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Uyu mjomba kafanana na muuza perfume gani apa bongo 😂😂.
Tweet media one
12
15
60
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Muda haurudi nyuma hakikisha unatengeneza kumbukumbu zako na watu sahihi...✍️
7
19
61
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Aisee mbona imekuwa mapema sana 😂
Tweet media one
9
7
62
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Hakuna kingine zaidi ya kufokea wahudumu 😂.
Tweet media one
7
8
58
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Humu ndani simu yako iwe na chaji tu nimecheka sana 😂😂😂🙌.
Tweet media one
Tweet media two
8
10
59
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Hakuna kitu kibaya kwenye hii Dunia kama kukosa amani ya moyo, Good morning X 🌄 family 🙌.
Tweet media one
6
10
57
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Mjini mambo ni mengi sana yanii dalali wa magari anatembelea baiskeli 😂, Imebidi tusitishe kwanza biashara🙌.
5
17
60
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
"Nyakati ngumu hazidumu" ✊
Tweet media one
10
18
58
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Imekuwa mapema sana wanangu 😂.
Tweet media one
14
14
58
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Kabla ya kumkopesha pesa ndugu au rafiki yako mkumbatie kwa mara ya mwisho
Tweet media one
13
11
56
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Mwamba kaanza vizuriii baada ya kuharibiwa mood akachenji gear angani 😂😂👇.
Tweet media one
14
12
54
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Simba kapewa muamuzi kutoka south Africa na yanga kapewa muamuzi kutoka Misri kwa kifupi tumeisha😂.
Tweet media one
5
9
55
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Good morning X 🌄 family 🙌.
Tweet media one
11
8
55
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Brother anafurahi baada ya kuona madili yanamuangukia kama yanatoka juu😎
Tweet media one
7
11
56
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Kwa picha zilizopigwa eneo la tukio zinaonesha kabisa kalaba alikuwa tayari ameshafariki 🥹.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
7
54
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Droppin ur favorite song from the highest group in the world "Migos"👇. Mimi naanza na "Narcos" Ilifanya nianze kuwaskiliza Hawa jamaa 🔥🔥🙌.
Tweet media one
17
11
54
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Chupa limeamka na chai wakali wa location hapa ni wapi 👇.
Tweet media one
12
8
52
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Huyu ndo mwanetu sasa mwenye namba yake aje dm plzz 🤝 kanifurahisha sana Leo 😂.
Tweet media one
5
7
52
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Mamae Fetty wakuache 😂😂🙌
Tweet media one
19
4
49
@shadradeen
Maybach 🌴
8 months
Tanzania bwana sukari kilo moja 4000 bia 1800 sasa utachagua mwenyewe kati ya kulewa au kunywa chai 😂😂.
Tweet media one
13
12
53
@shadradeen
Maybach 🌴
3 months
Hizo nyakati ngumu mnazopitia wengine ndo maisha yetu ya kila siku😔.
8
13
52
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Upi upande wako Bora kati ya NBA YoungBoy na lil Durkio jus goo🔥🔥👇.
Tweet media one
Tweet media two
16
9
50
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Usiweke imani kubwa kwa mtu anaekwambia anakupenda, Weka imani kubwa kwa mtu anaeonesha kuwa anakupenda...✍️
6
19
48
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Ya Leo imeanza mapema sana aisee 😂.
Tweet media one
5
10
49
@shadradeen
Maybach 🌴
3 months
Tutafika mbinguni tukiwa hoi aisee 😂🙌.
Tweet media one
4
4
50
@shadradeen
Maybach 🌴
2 months
Jifunzeni matumizi ya emoji bana sasa mtu anaandika hivi "Nakupenda 💔" 😂.
10
12
50
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Pray for Congo 🇨🇩
Tweet media one
3
22
48
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Aliyeilewa hi pic atuelezee kidogo kama hujaelewa repost mpaka tujue maana 👇.
Tweet media one
4
10
43
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Taarifa mbaya sana kwetu majobless 🥹.
Tweet media one
9
11
47
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Kuna Muda inabidi ujifanye mjinga Ili kumpa ushindi mjanja aliyekuzidi ujinga ✍️
3
16
49
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Hii sio swaumu, Hii ni njaa wazee 😁🙌.
Tweet media one
3
7
46
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Mudau unasogea 🕞. Kumbukumbu zinapotea 💭. Hisia zinabadilika 💔. Watu wanaondoka 😔. Good morning X 🌄 family 🙌.
Tweet media one
7
12
45
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Hivi sumu ya panya iliyoexpire inaweza kuua.
Tweet media one
10
7
45
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Weka msemo mmoja wa huyu mjomba 😂.
Tweet media one
7
5
46
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Kitu pekee walichoshindwa wasanii wa bongo 😂.
Tweet media one
6
8
47
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Kidogo nishangae kusiwe na vita humu ndanii 😆😆
Tweet media one
12
6
43
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Yanii huu uwanja mnapostponed mechi wenzetu Kenya wanakipiga vizuri tu tena kwa derby 😅.
Tweet media one
4
9
44
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Kaligraph kaanza tena kutuchokoza 😂.
Tweet media one
7
7
44
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Leo ni kivumbi mgeni anataka kula ndo aondoke lakini na sisi tunasubiri mpaka aondoke ndo tule yaani 😂😂.
Tweet media one
7
9
44
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Swali kidogo ndugu zangu 😁. Kwa mfano imetokea mwenyezi Mungu amekupa nafasi ya kukuumba upya ungependa kurudi duniani kama kiumbe gani 😂👇.
7
9
41
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Mwaka 2010 ndo ilikuwa mara yangu ya mwisho kwenda church maana mchungaji wetu alipigwa shoti na nyaya ya maiki akasema kmmk..😂😂.
Tweet media one
5
8
42
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Sasa Mimi kosa langu Nini aiseee 😆.
Tweet media one
Tweet media two
6
13
43
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Kila mtu huwa na nguo au kiatu alichonunua bei kubwa lakini akivaa hakimpendezi 😂. Sijui kwanini 🤔.
6
9
43
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Kuishi kwa dada ako ni stress sana, Imagine shemeji ako anakuamsha usiku umbembeleze dada ako ampe utelezi 😂.
Tweet media one
12
11
44
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Nasikia venga nae kateketea kwenye moto huu 🤔
Tweet media one
8
9
42
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Viongozi wa kike wenyewe ndo Hawa🚮
Tweet media one
6
8
43
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Hivii ni kitu gani ambacho Kila ukimaliza kukifanya ni lazima ujutie. 😂 jus goo 🔥👇.
8
7
42
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Kidunda kadundwa jamaa kanyimwa ushindi tu 😂
Tweet media one
5
7
42
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Kumbe mwamba ndiye aliyekuwa control room 😂.
Tweet media one
3
6
40
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Usidharau fukara maana sio Kila maskini ni mvivu, Pengine milango yake ya ridhki bado haijafunguka tu...✍️
3
20
38
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Haters wakija wataanza kusema tatizo lilianzia apo kwenye nembo ya Chelsea 😎.
Tweet media one
7
7
38
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Umechukua muda gani kuelewa hii pic maana me naona nachanganyikiwa tu 😂.
Tweet media one
12
6
42
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake bac watu wakaanza kutoa 50000, 30000 na 20000kuna jamaa akatoa 500 MCHUNGAJI akamuita akamuuliza Ina maana mkeo siyo mzuri? Jamaa akajibu mchungaji ukimuona mkewangu utanirudishia CHENJI
Tweet media one
2
10
39
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Lile jamaa lililokuwa linaongea kama jaivah kwenye space ni nani 😅.
5
10
39
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Sura nzurii inaburudisha macho,Tabia nzurii inaburudisha moyo Ishi ndani ya ndoto zako...✍️
2
13
40
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Usikubali kugombezwa kwenye simu yako kata simu...😅
10
13
39
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Sisi ndo wale ambao tumezaliwa miaka flanii ivii ambayo ukifanya kosa unaadhibiwa na mtu mzima yoyote yule afu ukirudi nyumbani kwenu unaadhibiwa tena...✍️
7
9
34
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Hili soko linapatikana maeneo gani 🤔.
Tweet media one
12
2
39
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
🚨 Anaitwa Eric AKA Young killer msodoki, Miongoni mwa ngoma zake nayo ikubali zaidi ni Sitaki kuwa single 🎶🎶🔥. Wewe ni ngoma ipi unayoikubali kutoka kwake jus goo 👇.
Tweet media one
6
11
39
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Aisee sijui nani kapaki vitz yake apa pande za mbagala Kuna mtu anaibaka...😅.
Tweet media one
6
3
37
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Kuna watu wa hovyo sana aisee 😂👇.
Tweet media one
6
7
39
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Kabla ya kujiunga na Twitter (x) ni habari gani ambazo uliwahi kuziskia kuhusu watumiaji wa Twitter (x). Tuambie hapo chini 👇.
8
6
38
@shadradeen
Maybach 🌴
1 year
@nyuki_malkia Kweli🤔
0
0
35
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Ogopa kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu utaonekana msumbufu tu...✍️
5
17
36
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Sijui kama watu wangebaki bongo 😂.
Tweet media one
7
8
38
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Mwanetu Yuko police kumbe 🤔
Tweet media one
5
5
38
@shadradeen
Maybach 🌴
4 months
Hii ndio nchi yangu sasa nayoijua Mimi 😂.
Tweet media one
4
4
36
@shadradeen
Maybach 🌴
5 months
Morning run imeingiliwa leo 😂.
Tweet media one
5
12
37
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Mademu wabovu na kulazimisha kuhudumiwa 😂.
Tweet media one
8
7
34
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Na Leo wameamka na sisi tena mwaka huu uishe tu tunapigwa spana mpaka tuzeeke, 😂😂.
Tweet media one
8
9
35
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Kama Kuna mchongo wa kupush hashtags tustuane wazee Niko vibaya 😎
5
12
35
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
@nyuki_malkia Uwazi wa dole gumba na vidole vingine 😂
3
1
35
@shadradeen
Maybach 🌴
6 months
Quote ulicho shika mkononi 👇🔥🔥.
Tweet media one
4
4
35
@shadradeen
Maybach 🌴
7 months
Hapa ni wapi 😀👇.
Tweet media one
7
3
33