![Shabiki Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1810415718229565440/4y43uy9n_x96.jpg)
Shabiki
@shabiki_jr
Followers
15K
Following
15K
Statuses
22K
Story Teller | Movies Analysis | Reviews | Celebrity Stories | Subscribe To My Telegram Channel To Download HD Movies & Series | DM For More Info & Work
Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2020
@mulansix Yeah, ile uzuri wa movies za James Cameron huwa hazichoshi kabisa yaani, mwamba hata akiamua kuifanya movie iwe na masaa 6 bado utaona inanoga
0
0
0
@mulansix Yeah ni unyama sana. Ile experience kuipata nyumbani ni ngumu sana, labda kama uweke setup ileile
0
0
0
Jack Quaid ambae ameigiza kama Nathan Cane humu ndani, ni mshkaji ambae hasikii maumivu regardless ya kitu chochote kitakachompata whether umchome kisu, agongwe na gari, apigwe na mshale etc π Sasa bhana siku moja, manzi yake alikuwa kidnapped, sasa jamaa kwa kutumia hali aliyokuwa nayo, akawa anataka kumkomboa manzi yake Kwanini manzi alitekwa? Je, Nathan alifanikiwa kumuokoa? Majibu haya yote utayapata March 14, 2025
0
0
1