Jenerali Ulimwengu Profile Banner
Jenerali Ulimwengu Profile
Jenerali Ulimwengu

@raiyajenerali

Followers
32,975
Following
123
Media
88
Statuses
576

Official Twitter Page for Rai ya Jenerali Juzuu III, by Jenerali Ulimwengu. Launch Date - 6 Aug| Tweets are my own personal opinions| @jeneralionline hacked

Joined June 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
10 months
6
73
219
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Happy Anniversary to my wife Josephine and I. Miaka 31.
Tweet media one
91
176
3K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa baba mkwe wangu Mzee Gaspar Marealle. Ametimiza miaka 102.
Tweet media one
Tweet media two
112
141
3K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Juzi mimi na mke wangu tulienda kumpelekea baba mkwe wangu, Mzee Gaspar Marealle, nakala ya kitabu changu. Mzee Marealle alitimiza miaka 100 January hii.
Tweet media one
95
186
3K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
26 days
Wasemao Freeman kakaa muda mrefu Mkiti Chadema, hawamjui Julius Nyerere? Alikuwa Mkiti wa chama chake 1954-1990. Mbowe cha mtoto.
65
275
2K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
27 days
Nimefuatilia hili la Msigwa, na napenda kumshauri aombe radhi kwa Free kama alivyoomba kwa Abdul, kisha aachane na kauli asizoweza kuthibitisha, ni hatari. Musiba yuko wapi? Mwanaharakati huru kapoteza nini: uanaharakati au uhuru? Free hataki hela bali ushike adabu tu, basi!
73
264
2K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
5 months
Ni kwa huzuni, natangaza kifo cha baba mkwe wangu. Mzee Gaspar Marealle alifariki tarehe 16 May usiku. Alikuwa na miaka 103. @theGandhiStore @UlimwenguJm
Tweet media one
Tweet media two
232
116
2K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
25 days
Mr Ali Mody Kibao has paid a terrible price for living in a country where everyone is a merchant and some of us are selling our souls. We are one big Faustian contract and soon the Devil will come to collect his dues. Don't run, stand and deliver your souls! Rest in peace, Ali!
25
381
1K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Tweet media one
10
111
1K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 months
Hivi huyu Sugu aliyepigwa na polisi na kusafirishwa kama gunia la mihogo ni yule yule show yake ilibarikiwa na Samia miezi michache iliyopita, na hivi Samia ndiye huyo huyo polisi wake wamefanya hayo ya kumtesa Sugu kwa niaba yake? Audhubillah minas shaytanir rajiim! Tumeisha!
36
241
1K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Nikimkabidhi @AnanileaN nakala ya kitabu cha Rai ya Jenerali Juzuu III.
Tweet media one
20
98
1K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
@freemanmbowetz speaking at our meeting in USA River.
Tweet media one
15
98
1K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 months
Maneno kuhusu kulishana sumu yamekuwa mengi nchini na hiyo si hali salama. Wanasiasa wanazidi kuisukuma nchi hii kuelekea kuzimu na tusipofanya hadhari tutafika huko. Sifa ya uwezo wa kiongozi ni pamoja na kuitambua hii kama hatari na kuikemea na kuiondosha. Itatumaliza!
64
181
1K
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 months
Hebu,jamani,tuache kumpaka Rais wetu mafuta kwa mgongo wa chupa. Rais haleti pesa za maenddeleo. Hiyo ni kazi ya Bunge, msimdanganye Rais, naye aache kusikiliza upuuzi huo. Wanafiki wakubwa kesho utawasikia wakisema tulimwambia lakini hakusikia. Hamjisikii haya?
53
205
963
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
9 days
Wapo miongoni mwetu wahalifu wengi na watenda dhambi wa kila aina. Mara nyingi hushirikiana katika usasi wa Dinari ya Kaisari wakitumia madhabahu ya Memon. Wanaouza maji ya DAWASA wakidai yamebarikiwa ni pamoja na hao wengine, makuwadi wa Ibilisi rajiim, na sote tuseme Amina!
90
209
951
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
9 months
Leo Baba Mkwe wangu Mzee Gaspar Marealle ametimiza miaka 103. 🎊🎊🎊.
Tweet media one
38
78
902
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
21 days
Kweli IGP anaamini jeshi lake linafanya kazi ya kupongeza? Aaangalia picha hiihii yetu au anayo yake binafsi? Picha ninayoiona ni ya nchi inayoendelea kusasambuka hasa katika medani ya usalama wa raia wake. Naomba aangalie tena picha ya nchi, ataona ninachokiona. Asione haya.
30
183
862
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Tuachane na utamaduni wa rais kuteua watu asiowajua, na mara kwa mara kuwatengua kabla hata hajawaapisha. Nafasi zitangazwe, anayejiona anatosha aombe , wasailiwe wote walioomba na aliye bora apewe. Usaili ufanyike hadharani, wananchi wawajue vyema hao wote wanaotaka nafasi hizo
74
139
820
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
9 days
Waliomo madarakani wanaipaka matope nchi yetu na kuonajisi hadhi yake. Wanatutangaza kama watekaji na wauwaji,,wezi, waporaji na majambazi ndio wanaiendesha nchi ya Kambarage. Hawa ni watu haramu .
15
211
812
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
11 days
It is obvious we have become a police state with no legality or legitimacy and those in charge don't give a damn who knows it. They have cloaked themselves in a web of impunity and a Devil-may-care arrogance. They are taking us to he'll and we are paying the fare.
24
242
741
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Makada wa chama-tawala walikuwa wamezoea kubebwa na ngivu za dola. Unafiki wa kisiasa ulitawala. Hali hiyo sasa imebadilika, na wanasiasa wote watalazimika kusimama kwa nguvu zao. #socialcontract #crucialconversations Episode 2:
31
201
646
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Masikini Rais Samia! Mbowe anaweza sasa kudai kesi future kwa sababu Rais amekwisha kumhukumu kupitia matamko yake katika mahojiano na Kikeke. Majuzi tu Rais Samia alisikika akisema eti 'rais hakosei'. Hapa kakosea pakubwa. Kwa utaratibu wa mahakama halisia, Freeman is a fee man!
10
92
607
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
7 months
ACHA BETTING. NI UTUMWA,,KIMBIA BETTING, NI UJINGA. EPUKA BETTING, NI UJUHA,! LAANI BETTING, NI UTUMWA. RPUKA BETTING. OGOPA BETTING, NI WIZI WIZI WIZI WIZI WIZI WIZI WIZI! SIYO BETTING INAUPIGA MWINGI BALI MNAPIGWA WENGI!
61
148
613
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
9 days
Seven years ago a heinous crime was committed by someone whom the government doesn't want to reveal. Now our babysitters in London are trying to wash our diapers, and show us who the criminals are but I won't be surprised if our dumb governors just say we are a sovereign nation.
16
196
657
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani KAMARI. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa KAMARI.Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu . Acha kucheza KAMARI na iepuke kuliko UKOMA na UKIMWI!
27
144
564
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 months
It's shocking beyond words what the Tanzania police is doing! I know it's not the whole force that is rotten but what we witness is proof that the country is in trouble and needs to take action lest we become another Sierra Leone, Somalia or Chad. I swear we are in a bad way!
23
166
551
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Vazi, siyo various, samahani. Hakuna vazi lolote duniani linaloitwa la taifa lililoundiwa tume. Hakuna! Kuwafanya Watanzania watumie muda wao kusaka vazi la taifa ni wild-goose chase na diversionary tactic ili wasahau mambo muhimu yaliyowashinda watawala. Tusipotezeane muda wetu.
38
164
528
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
5 months
Mapya yanaibuka kila uchao! Kukosekana kwa fikra za kisiasa na kuendesha utawala na siasa kwa hisia za siku hadi siku ndiyo mambo yanayotuonyesha sasa kwamba tunapeperushwa na upepo na hatujui tuendako. Mkuu wa mkoa Arusha katumwa na nani kufanya kazi ya JESUS kwa mavazi yale?
34
84
521
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 months
Eti Rais kawapatanisha wakulima na wafugaji kwa kuwafanya wapeane mikono. Hii ni komedi isiyo na uhalisia wowote katika hali halisi. Matatizo ya wakulima na WACHUNGAJI ni ya msingi mno na Serikali imekua ikiichezea nachi muda wote. Haya makurdi yataendelea kupigana!
20
107
508
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
6 months
Nimeona mahali TUME YA UCHAGUZI Inatakiwa iitwe TUME HURU. Ahsante sana! Tuongeze kidogo na MCHANA tuuite USIKU na USIKU uwe MCHANA. George Orwell anakusanya makuhani na waumini kila uchao na nguruwe wanapaka lipstick na wanageuka kuwa walimbwende! Short-cut metamorphosis.
16
124
498
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Yesterday, July 10, I took a Bolt cab from Nyerere Airport to Mbezi Beach, close to Shoppers Plaza. To my utter dismay, the fare was Tshs 58 000, which I'd never been charged even by ordinary cabs. I protested but the driver told me it was due to high demand. I didn't get it.
71
48
477
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Heri ya Siku ya Wapendanao kwa Mke Wangu Josephine
15
26
486
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Miaka kadhaa iliyopita wakati mimi na mke wangu tupo safarini, tulikutana na @SolManOfficial #COYG #Arsenal #Gunners
Tweet media one
13
33
453
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 year
76
64
455
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 month
Hey! Does anyone think Samia is unravelling ?
25
58
453
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Kadri tunavyozidi kuishi ndivyo tujitahidi kupunguza uongo tuliomezeshwa kwa muda mrefu sasa. Kwa mfano kuna ofisi inayoitwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kweli tunaye mtu kama huyo, au tuliye naye ni Waziri Mkuu wa Tanganyika ru? Tufikiri kidogo, tutaona.
28
82
414
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 year
Watch "Jenerali Ulimwengu Exclusive" on @TheChanzo Full Video Here -
4
110
391
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
11 months
Kwa keeling inachosha kusikiliza kila dakika sifa kwa Rais Samia, kutoka kwa kila anayehojiwa redioni. Mama Dokta imekuwa ni wimbo kila pembe... kumsifu bila kikomo hadi inakifu. Hivi hatuoni tunamfanya aonekane kama Kim Il Sung ambaye yeye na uzao wake wamekuwa miungu?
65
74
380
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Tukemee jitihada zote za kijinga za kufufua uchifu nchini wakati ulikwisha kufa na kuzikwa. Sababu za kuufuta zilikuwapo na zilielezwa sawasawa wakati huo na wala hazijaondoka. Sasa hawa wanaotaka kuurejesha wantumia mantiki ipi? Wakati mwingine tunachezea moto bila kujua Atari.
29
63
369
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Loliondo, Loliondo, Loliondo...hivi ni kwa nini watawala wetu ni viziwi, vipofu na vichwamaji hadi wanapoondoka madarakani? Ni ulevi, ulafi au ulimbukeni unaowafanya waamini kwamba wao tu ndio wana akili na wananchi hawana la kuwaambia? Hii ni laana kubwa itakayotutesa siku moja
16
64
353
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Maradhi mengi yametukuta., na mengi tunaweza kuyatibu iwapo tutafanyà juhudi za dhati. Mojawapo ni la lugha. Chukua matamshi ya maneno yenye R na L na maneno yenye H . Watu wanasema 'Nyelele' au 'fulaa' bila haya. 'Ninaflai kuwa apa kusheleekea uulu wetu! Huu ni ugonjwa mkubwa.
49
52
352
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
7 months
Ali Hassan Mwinyi atakumbukwa kwa ujenzi wa demokrasia kisiasa na kiuchumi ,ujio wa yama vya siasa mbadala, uchumi huria na upanuzi wa uhuru wa habari. Katika masuala haya hakuna mwingine katika wakuu wetu wote aliyafanya kama yeye. Mpole., mnyenyekevu.,mstahamilivu, muingwana.
20
63
353
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
The death of Angola's Jose Eduardo dos Santos marks the end of another great African thief. He came to power apparently reluctantly but soon became a kleptomaniac surpassing Mobutu in his appetites. Dour and pleasant. Jolly and charming. A sportsman and a fan of soccer. A thief.
24
56
342
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Moderating conversation between rtd CJ Maraga and rtd CJ Chande and trainee Fellows of CSL at Usa River TCDC on Wednesday.
Tweet media one
6
30
339
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Tumeona mikutano ya hadhara inafanyika bila fujo na watu wa hoja kwa utilivu. Huu ni ukomavu mkuu wa watu waliofungiwa kuongea kwa miaka 7 na bado wakajua kufanya uungwana wa kiwango hiki. Maana yake ni kwamba Magufuli ndiye aliyekuwa na fujo akilini mwake, si wapinzani.
0
72
331
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Wahubiri wa mtaani wamesnza Tena Mbezi Beach kwa vipaza sauti vinavyovuruga amani yetu. Tafadhali acheni utapeli wenu kwani mfanyacho ni kuwadanganya masikini wawatajirishe nyiye. Acheni ulaghai kabla hatujaomba mahakama iwaondoshe matapeli nyiye.
25
43
302
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Wanampaka MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA. Hawaamini hayo wayasemayo, wanajikomba, wanajipendekeza, hawana haya hata kidogo. Ni watu hatari. Samia hatakiwi kuwaamini, na kama atawaaminni atajikuta amekwama muda si mrefu. Ajizungushie wigo wa washauri mahiri wasiosita kumweleza ukweli.
0
51
293
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
6 months
Anayechonganisha serikali na wananchi ni serikali yenyewe, ama kwa kutosema ukweli juu ya hali halisi ama kwa kuchanganya watu kwa DOUBLESPEAK.
12
58
280
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Do our officials know the difference between an official visit and a state visit? Naona Waziri Tax anayachanganya.
10
36
270
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
"haki ni kwa wote, kokote, bila ubaguzi" #jeneralionline Watch here:
5
71
268
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Natumai Sheikh Alhad sasa atakuwa na wasaa wa kushusha pumzi, kutuliza akili na kuomba radhi kwa kufru aliyoitoa kuhusu utukufu aliomvika Magufuli kwa kujipendekeza na kutudhalilisha sote Waislamu na Wakristo. Sasa anao muda wa kujutia ujinga na kiwewe cha kipindi kile cha hovyo
0
38
260
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
5 months
Jamani, kuna mtu hataki/ kitu hakitaki kupunguza gharama ya maisha ya Watanzania; mtu huyo /kitu hicho hataki/hakitaki kuunganisha magari yetu na nishati ya gesi asilia. Naambiwa mtu huyo/kitu hicho ni wamiliki wa SHELI zinazoongeka kila siku wakati gesi ipo. Kulikoni?
10
48
248
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Ningependa kushiriki mjadala wa Katiba, kuhusu masuala kadhaa ninayoyaona kuwa na muhimu mazito. Leo naanza na mdaraka ya rais, jambo ambalo limejadiliwa sana. Naunga mkono msimamo unaolenga kupunguza madaraka hayo, kwa sababu yanapunguza ushiriki wa wananchi katika maamuzi.
12
50
244
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Iwapo tunataka kitu cha kututambulisha kama taifa tujadili mbinu za kutufanya watu wa kuchukia na kupambana na rushwa na uonevu. Tukivaa sare hivi tulivyo mavazi hayo yatakuwa utambulisho wa waongo, wala rushwa na walaghai. Tutafute kitu kingine cha kututambulisha duniani
12
95
249
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Apropos of nothing at all, Queen Elizaeth ll left Kenya to become monarch at the very time the Mau Mau uprising was used by British officials to torture, rape and kill tens of Kenyans in what was termed the 'Pipeline'. She never once spoke a word of the crimes. Just remember
8
50
238
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
7 months
MASHIKOLO MAGENI! Hivyo ndivyo wangesema Wasukuma kwa kuangalia msukumo mzito uliowekwa nyuma ya bisshara ya BETTING. Ni kwa nini? Nadhani waendeshaji wamegundua sisi ni majuha na wahirikina tunaoamini tutaokota dodo chini ya mchongoma. Wametuelewa sisi na serikali yetu.
18
49
240
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 year
Agiza "Rai ya Jenerali" in Dar es Salaam: 071 287 7034 Full Video Here -
3
65
240
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Baada ya kuwa shughuli za kisiasa zimefungiwa kwa ZAIDI YA MIAKA 6, sasa zimeanza tena kwa maelekezo ya Rais Samia. Mikutano ya hadhara imeanza na imeamsha uchangamfu mkubwa miongoni mwa washiriki nchini wote. @CSLitigation @Benson_Bagonza @SheikhPonda
7
50
229
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
6 months
A whole stream of jokers, clowns, comedians, stuntmen and jugglers in all walks of life including politicians, clergy, varsity dons and intellectual acrobats.. singing the same songs of praise to the throne with no shame or pity to themselves,only pursuing the crumbs of bread
14
61
211
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
We are ruled over by jokers. Only we dont laugh. Because the jokes are in such bad taste even a clown would cry. These people are irredeemable in their stupidity and cluelessness.
0
80
200
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Hivi kuna mtu anajiuliza maana ya kumwita Rais Hussein Ali Mwinyi "Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi"? Nini hasa shughuli za Baraza hill? Nauliza tu.
19
28
209
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
4
56
208
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Tweet media one
8
46
194
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Njia moja ya kupunguza madaraka ya rais kupunguza sana nafasi za wakuu wanaoteuliwa na mkuu mmoja kama rais. Hawa ni wengi mno, na haiwezekani rais akawajua. Napendekeza inapotokea nafasi katika idara muhimu, itangazwe na watu wenye sofa waombe, wahojiwe hadharani,na waajiriwe.
7
36
192
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
7 months
PESA FASTA! PESA FASTA! PESA! FASTA! PESA FASTA! !PESA FASTA?? PESA FASTA?? PESA FASTA!! PESA FASTA!! PESA FASTA!! PESA FASTA!! PESA FASTA!! PESA FASTA!?PESA FASTA?? PESA FASTA!? PESA FASTA!! PESA FASTA!! PESA FASTA!? PESA FASTA?? PESA FASTA!! PESA FASTA!! PES.unaliwa fasta!
11
26
198
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
22 days
I love Donald trump's predictability. The Harris team want a debate rematch,saying it was a party and they want more. Trump says it's because HE won Taylor Swift endorses Kamala Harris and Trump responds he is no fan of hers. You can never beat Donald Trump. He is the bestest.
12
21
192
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
7 months
Waziri Damas Numbaro, usiwatishe watu kwa kuweka marufuku ya kuwapokea wapinzani wa Simba au Yanga . Wahawishi, wawe na haya, wafanye kama zifanyavyo nchi nyingine. Usitoe amri wala vitisho kuhusu hili, la sivyo tutafikia hali ya kupewa amri tufurahi au tupende au tuchukie!
8
31
189
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Kuna tatizo limekaa mbele yetu linatutazama isoni lakini sisi tunajifanya hatulioni. Ili turejeshe siasa za ushindani inabidi serikali ieleze hizo siasa zilikuwa zimezuiliwa lini na nani. Nijuavyo mimi hakuna sheria ya Bunge wala tamko rami la zuio kama hilo. Ni matamko tu, basi.
6
48
169
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Somo hili ni kwa wote mlio maofisini na mnadhani mna madaraka makubwa. Hamna lolote isipokuwa hiyo mirage of power, kivuli cha madaraka ambayo unaweza kukitumia kuiba, kubaka na kula hadi ukavimbiwa, lakini machoni mwa watambuzi, wewe utabakia kuwa mwizi, kibàka, mbwa-koko tu.
18
39
168
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Bahati njema nimemsikia msemaji mkuu wa setikali Mobhare Matinyi akisema yale yanayosemwa kila siku bila maelezo ya martini. Matinyi atueleze hizo fedha anazotoa Rais kwenda kujenga hayo yote, anazitoa wapi? Nilidhani yeye ndiye angesaidia kunyoosha maambo, kumbe naye yumo !
10
28
162
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
More reports are coming to us of people getting knocked over by bodaboda cycles. If has to be stopped . We need to be able to walk on the pavements without being killed. Police have totally abdicated their responsibility and become passive onlookers. Someone help us please!
1
33
162
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
7 months
Kama vile homa za vipindi. Kila baada ya muda. Sukari huwa chungu. Kila mara tunabaika. Kila mara ni suala jipya. Kila mara waziri atajiuzuru. Kila mara tutarudia tena. Kila mara hatujajifunza. Kila mara.
8
33
158
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 month
@MariaSTsehai Endelea, Maria, na hizo spana. Inabidi sasa kuongeza na funguo za kufungua masikio yaliyozibwa kusudi ili vyura wasisiikie. Bora kuweka kumbukumbu hizi ili wakija siku moja kuzinduka kutoka uziwi huu wa hiari wasidai hatukusema.
3
24
160
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Waswahili walisema'Mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi'. Ndivyo walivyolelewa. Anayempinga rais apigwe, akamatwe, auliwe. Its deeply ingrained in the psyche of these people and they just can't help it. It has become religious and knee-jerk. Zero thinking and all reflex.
@Twaha_Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
2 years
"Hakuna maelezo ya ziada zaidi ya yale niliyosema ndivyo nilivyostahili kusema" Tulia Ackson Hiki ni kiburi cha mamlaka. #KatibaMpyaNiSasa
144
84
509
12
54
153
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Tweet media one
5
21
148
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Judge Joseph Sinde Warioba at the launch of the RAI YA JENERALI book on 06. 08. 2021.
Tweet media one
5
20
150
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
11 months
❣️
@UlimwenguJm
Josephine Marealle-Ulimwengu
11 months
Celebrating 33 yrs with @raiyajenerali !Reflecting on our journey-a tapestry of love, laughter, shared struggles & the joy of raising beautiful children. Here's 2 the countless chapters we've written & the adventures yet to come. Cheers to a lifetime of love & cherished memories!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
76
94
883
6
6
147
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Edward Lowassa's passing is a very sad event in our country and its politics. He served with unmatched dedication and energy but was done in by circumstances he couldn't control. May his soul rest in peace and may his family find courage and fortitude in rhese sad times
2
18
145
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
22 days
Now Trump says he won't debate again. Does this mean something? Kamala says let's have some more but Trump says no more. The small lie has run its course and the big bully knows he's licked fair and square. No more, he says, the whole debates thing is rigged!
15
25
142
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Huku kupanda kwa bei ya mafuta kunatukumbusha tena yale mambo mengi ambayo huwa tunayachukua kirahisi mno mpaka linapotokeza jambo la kutuzindua kutoka usingizini. Ni hivi: si kila wa kipato wastani kama mwajiriwa anaweza kumiliki na kuendesha gari binafsi. Gharama zake ni kuwa!
1
20
136
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Juzi nilimkabidhi Sheikh Ponda Issa Ponda nakala ya kitabu cha Rai ya Jenerali Juzuu III
Tweet media one
2
17
135
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Historia ya Maisha ya Mwalimu Nyerere #jeneralionline Full Video:
2
27
135
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 months
Kamala Harris' arrival in the US campaign circuit.has visibly rattled the Trump/Vance ticket and I suspect they will shoot themselves in the foot multiple times as they grapple at adjectives to smear Kamala and whomever she picks for VP. Stay tuned for fun and laughs.
18
22
133
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Haitoshi tena kusema kwamba tunaendeshwa na IGNORAMUSES. Sema jingine
4
16
128
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
11 months
Hakika ni vyema kutoa sifa zifaazo panapostahili. Ikikithiri inakuwa unafiki na kujikomba, kujipendekeza kwa kutaraji kitu toka kwa huyo tunayempaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Inachusha kwa mtu mwenye hisia za utu na heshima. Tupunguze angalau kidogo huu unafiki uliopitiliza.
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
11 months
Kwa keeling inachosha kusikiliza kila dakika sifa kwa Rais Samia, kutoka kwa kila anayehojiwa redioni. Mama Dokta imekuwa ni wimbo kila pembe... kumsifu bila kikomo hadi inakifu. Hivi hatuoni tunamfanya aonekane kama Kim Il Sung ambaye yeye na uzao wake wamekuwa miungu?
65
74
380
11
38
126
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
11 months
Tell me somebody, on what record did our Speaker run, what credit dies she have as a legislator in her country that she can be hoped to transfer onto the international stage? Or does it not matter what you have done nationally when you seek office outside your country?
14
40
123
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
16 days
Israel (2024): we have many capabilities.... Nazi guards( 1943): ve haf many veys... No coment
4
18
126
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 month
@KKagasheki Huyu ndiye yule tabibu alikataa UCHAWA kwa Magufuli kwa kuheshimu taaluma yake. Wengine ni waroboto hadi leo na uroboto umewaganda kama sumaku. Aibu kupoteza fedha ya nchi kuelimisha waroboto wasio na faida kwa Taifa lao wakati hiyo pesa tungewagawia ombaomba. Hongera Faustin!
3
17
125
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Inabidi tujenge utamaduni wa kufikiria kila tunachoona na kuambiwa. Ni muhimu kujiuliza swali moja kuu, linaloitwa swali la Kisokrati, the Socratic Question, nalo ni, Kwa nini? Why? Kijerumani Varuum? Kifaransa Pourquois? Kihispania Porque? Hata Wahaya wanalo: Kubaki?
12
22
122
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
8 months
Vladimir Putin has finally eliminated his best known opponent and the world is powerless to do anything. It may have been pretty obvious that this young man was risking something as dark as this. But the duty of patriots sometimes makes them moving targets.
3
26
122
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
2
38
121
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 year
I've heard a lot said about the growing number of churches in our countries and the revesal of the trend in Europe. It is a question of the difference between superstition and enlightenment, between BELIEF in miracles and KNOWING they don't work . It's very simple, really.
7
30
120
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Vijana wetu wanaotafuta kazi watumie mitandao kusaka fursa za ajira, biashara, ujuzi na taarifa ili kupanua upeo wao kwa kujiunganisha na ulimwengu mpana, siyo kujifunga katika umbeya, udaku, ubazazi, uzuzu na uzezeta na aina nyingine za udumavu wa akili. Turekebishane pamoja!
3
24
114
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
5 months
@ulimwegujm .I join our children in wishing my darling wife Josephine a hearty Happy Birthday and many more returns of the same. I look forward to a life of continued love and happiness with wife, who has shown all around her the true meaning of love and friendship. 61 Cheers!
9
5
120
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Njmemwona mzee mmoja wa jijini Mwanza ktk kipindi cha TBC kuh vijana wanaoenda Butiama. Mzee Hamisi anasimulia alivyomjua Mwalimu JK Nyerere miaka ya 1950 na jinsi wananchi walivyokuwa wakichanga senti 50 kumwezesha Mwalimu kwenda UNO. Siku hizi moyo huo uko wapi, mbona hatuuoni?
15
18
120
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 years
Rai ya Jenerali Juzuu III, ukurasa 107.
Tweet media one
3
17
116
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
1 year
So good they named him twice #JayJayOkocha @VCWC2024
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
15
112
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
3 months
Once again Israel is confirmed by thr ICJ as a pariah state practising Apartheid against the Palestinians. Of course Israel will ignore this verdict because Washington, London, Paris etc will continue backing this illegality but international public opinion is so clear again.
5
26
113
@raiyajenerali
Jenerali Ulimwengu
2 years
Mzee Hamisi amenikumbusha mzee mmoja wa TANU wa njini Bukoba, Ali Migeyo, au Ali Migeyo Matata, mtu machachari kweli! Alikuwa na ujasiri wa kipekee kupambana na wakoloni na kuhimili vitendo vya kupigwa mabomu ya machozi nk. Hawa wamesahaulika kabisa siku hizi, siku za miyeyusho!
4
10
106