Book your November & December appointments…as early as possible so you don’t miss your glam🥰
For bookings:
Call/ Whatsapp 📲 0676335537
📍Mikocheni, Rose Garden Rd
#glammedbyqueeenminah
Thanks for booking your appointment with me & supporting my business 🥰🫶🏼
@bvrbvra
you were absolutely stunning last night, karibu tena
For makeup bookings
Call/ Whatsapp 📲 0676335537
📍Mikocheni, Rose Garden Rd
#glammedbyqueeenminah
Hivi kwanini wazanzibari wanachukia kuwa part of utanzania na wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli mkijiangalia kwenye kioo mnajiona kabisa nyie ni waarabu?!😂😂😂
Sio kwamba tunawachukia uanachama wenu…wengine hata vyama vyebyewe hatuna…kitu tunachochukia ni kwanini tusaidiane tu kwenye matatizo binafsi na mnakataa tusiwaquestion kwanini hatusaidiani kupush ajenda zenye maslahi ya wananchi na jamii kwa ujumla? Kwanini likimpata mtu jambo
Dogo kila akirudi shule either kapoteza kifuniko ya water bottle, fork ya lunch box, and always anarudi hana pencil atleast 3 times a week, na kila morning anapewa pencil mpya😂😭🙌🏽Mola nijaalie uvumilivu tafadhali 🤦🏽♀️
I have so much to thank GOD for🥰🥺🙏🏽my Best Friend is 4 years old today, Glory to GOD🙏🏽❤️
Im blessed with the smartest, funniest, compassionate and loving friend for life, Happy Birthday Shayan❤️
My uber driver wa leo identified me from Twitter as Queeen Minah😅...sasa kwenye story mbili tatu nikaulizwa “kwani huyu Sangatiti ni kweli amechukuliwa Coco wake na Madenge?” And i just...🤣🤣🤣🤣🤣Atleast someone is on Sangatiti’s side mwaya sio mbaya🤣🤣🤣
Ukiwa frontline kusupport juhudi hata zile kandamizi kwa wananchi kindly stick to that side you picked…sio leo unacompare bundle za TZ zilivo cheaper kuliko SA alafu kesho unalia why 10GB inaisha in 1 day…you said its cheap anyway, you made your bed now sleep in it
Also tuache tabia ya kusema “ila ametufanyia mambo mengi mazuri, ametujengea 1,2,3” as if wanatufanyia favors...NO! It is their job and duty to ensure we are getting good things and live comfortably as a country...kwani si ndo sababu hata tunalipa kodi no?!😒🤷🏼♀️
Mtu hata hamdate unapata wapi ujasiri wa kumtext “umenichunia” “umenisusa” 😂🤦🏽♀️you want them to text you everyday for what? Ni attendance sheet hiyo?!