mmassy_godfrey Profile Banner
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ Profile
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ

@mmassy_godfrey

Followers
2K
Following
13K
Statuses
4K

💊💉The presence of the doctor is the beginning of a profession where knowledge,power and heart come together💪

online
Joined January 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
4 days
1
0
1
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
11 months
Kama una mahusiano yenye future unayoamini tofauti na yangu DFW 💞 endelea nayo ., vinginevyo njoo kwangu tutengeneze kesho yetu 😂
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
11 months
zingatia 📌 Dear Future Wife (DFW 💞) siwezi kuweka ahadi ya kukupenda kwa dhati kipindi chote tutakapokuwa pamoja watu tuna badilika sana, Ninacho ahidi utakapo tia juhudi na mimi nitatia juhudi pia... Blessed Sunday 🙏
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
11 months
Zingatia 📌 Sio kila lenye kuwahi linakuwa sawa na sio kila lenye kuchelewa linakuwa baya ndio maana hadi leo waswahili bado wamechanganyikiwa juu ya kuwahi na kuchelewa, waliosema haraka haraka haina baraka, ndio hao hao waliosema ngoja ngoja yaumiza matumbo.. Good evening 😴
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
11 months
Zingatia 📌 Unapo muomba Mungu akupe mke/mme mwema hakikisha na wewe ni mwema. Maana hakutanishi shetani na malaika 😂
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
11 months
Mdada/mwanamke six-packs na muonekano wake hivi ni vitu vya muhimu kwa watoto wa miaka 20's ukishayajua maisha u'handsome wa mtu doesn't matter unachotakiwa kuangalia ana uwezo wa kusimama kwenye nafasi yake ya uongozi kama Baba wa familia??
0
1
1
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
11 months
nawakumbusha tu 😂 Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke kwa ajili ya kuoa ,hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa tu 📌
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
1 year
@Mzungu_pori1 @kitudike Na VAR ipo duuu
0
0
1
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
1 year
@rollymsouth Kabisa
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
1 year
@rollymsouth Mabeki uchawi
0
0
1
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
1 year
RT @Mashinakelvin: @MarekaMalili Chukua hii Ushauri bora ni usiinvest kwenye nyumba yako ya kwanza it's better your first house iwe kama ma…
0
5
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
1 year
0
1
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
@athanas_pius Oyaa 🔥
0
0
1
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
@Salaph1
Salafi✨
2 years
Ishi peke yako kwa mafanikio Kama mwanaume: 01. Osha vyombo vyako baada ya kula. Umemaliza kunywa chai, safisha kikombe. Umemaliza ugali, safisha vyombo. Hakuna kinachokatisha tamaa Kama vyombo vilivyo rundikwa, vichafu. Vyombo vichafu Vitakufanya kutumia pesa nyingi kula...
Tweet media one
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
@Millambo_
Millambo®
2 years
Sheria 40 Mwanaume Anapaswa Kuziishi😎 Kama bado mvulana, achana nazo. 🧵Time 📢 RETWEET Wengi Wajifunze 🙏
Tweet media one
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
@444holywitch
🪽
2 years
MGENI KABISA KWENYE MAMBO YA NYOTA NA UNATAKA KUJUA? TUANZE SASA.. Kuna nyota 12 lakini zimegawanyika katika makundi 4 kulingana na sifa zake tofauti tofauti kwa kutumia vigezo tofauti tofauti.. 🔥Kundi la Moto: Punda, Simba, Mshale 🌱Kundi la Udongo: Ng'ombe, Mashuke, Mbuzi
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
@lexestep
lex
2 years
dear sister, you are not overreacting, you are not crazy, you are not being ridiculous or looking too much into it. we are taught to constantly suppress our worry, that our emotions are too wild, & that we think too much. if something bothers you, it bothers you. you are valid.
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
0
0
0
@mmassy_godfrey
ʙʀᴏ.ɢᴍᴍ
2 years
0
0
0