Usijutie kumpoteza mpenzi ambae alikua hakupendi na ameweka tamaa zake mbele kuliko penzi lenu.
ila Chunga sana usimpoteze Mwanamke Anaye Kupenda Sanaaa Kwa Tamaa Zako.
Pesa Mali Zinatafutwa ila Upendo wa Kweli Sio Rahisi Kuupata._✍️
Kuna watu wanapata support kutoka kwenye familia zao Na kuna watu wanatakiwa ku-support familia zao Ukishajijua upo kundi gani,Basi hutakiwi kuiga maisha ya mtu.
Kuna wakati inabidi umwache tu aende,sio kwamba umechoka kumpenda,ila ni kwa sababu unahitaji kujipumzisha kutokana na maumivu anayokusababishia moyoni mwako✍
"Usimdharau mtu kwa sababu anadharauliwa na kila mtu,sio kila mtu ambae wengine hawamuhitaji na wewe humuhitaji.kuna watu hawahitajiki na wengine lakini kwa upande wako wewe unamuhitaji✍