M E C K I E🇹🇿 Profile Banner
M E C K I E🇹🇿 Profile
M E C K I E🇹🇿

@mee_nicodemus

Followers
5,618
Following
4,043
Media
1,446
Statuses
46,356

A servant of God | Drummer | Accountant.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
6 months
Wanangu leo nauacha ujobless, naanza kuwa busy na kazi za watu. GOD help me.🙏🏼
Tweet media one
153
85
986
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
For me, I rate Job over Bacca. Maybe mnipe Elimu, ni jambo gan Bacca anamzidi Job??
Tweet media one
121
32
819
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 month
Huyu atakuja kupigwa mawe sasa…….😂😂
75
80
816
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Huyu @George_Ambangil ikifikaga kwenye wakati wa kuchezesha droo ya chota mihela anatulia tulii kmy as if nae kacheza anasikilizia namba yake😀
18
13
666
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
6 months
DICKSON JOB🇹🇿 Wakati wa AFCON hakuwa starter kwenye NT, Waliporudi TZ alikuwa mchezaji wa kwanza kurudi kwenye kambi ya Yanga na kucheza. Alijua kuna ushindani kwenye Club na NT, so he pull up his socks and perform at his best. Both games after AFCON, He was superb🔥🙌🏽
Tweet media one
10
30
646
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
23 days
Mchome leo kasema ukweli mtupu…..😂😂😂😂
157
65
643
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Oyaaaa😂😂😂 Huyu mwamba apewe siti ya VIP pale kwa Mkapa.
51
69
626
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
16 days
Sheria Ngowi na Yanga wanataka tununue jezi ngapi jamani……..🥲🙌🏽
Tweet media one
16
22
622
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Mtaongea kuhusu takwimu za Goals + Assists ila kwa uchezaji wa huyu mwamba, kwangu ni moja kati ya usajili bora wa January. Mudathir Yahya👏🏽
Tweet media one
12
13
572
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 month
Leo Ahmed Ally umeongea ukweli……..😂😂😂😂
30
67
573
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
MNABEBWA🚮 Refa kaongeza dk 6 then mpka dk ya 8 mpira unachezwa tuu mpk mfunge goli, Hovyooo🥴
Tweet media one
125
12
554
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Huyu @George_Ambangil anavyoitetea MANU kwenye Sport Arena mpaka anataka kulia😃
5
6
502
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Mzeee umesemaaaaaa…….😂😂😂😂😂
23
60
500
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
7 months
One pass is needed to assist to a goalscore at 90+min to finish the game. Who would you choose??
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
173
24
476
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Ali Kamwe mdomo huoooo……😂😂😂😂😂
15
42
452
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Huyu kijana ana mikimbio mizuri. Au tulipigwa😁
Tweet media one
9
12
413
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
25 days
Ngoja tumtumie msg Manara atuambia Ambangile ana timu gani pale Kariakoo…….🌝
Tweet media one
13
12
370
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
8 months
Kibwana Shomari katika mechi ya Mtibwa Sugar na Tabora United, zote alikuwa na kiwango kizuri. 2 Games 1 Assist. Wonderful performance from @KibwanaShomar15 💛💚 #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
2
11
352
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Mimi siyo mtabiri ila dirisha kubwa Makolo nao wataleta mchezaji mwenye bleach😂😂
Tweet media one
12
10
359
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
ALIOU DIENG Huyu mwamba uwezo wake wa kunusa hatari ni mkubwa sana. Ana press, nenda mbele rudi nyuma fantastic, anacheza tactical fouls vizuri sana. Man of the Match for me.
Tweet media one
10
13
339
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Dr Khalid Aucho. My appreciation post to him. Jana ameipa uhai sana kiungo cha Yanga, vitu vingi ambavyo alikuwa anafanya vilikuwa basics sana. Man of the match kwangu.
Tweet media one
4
17
343
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Yanga imemuongezea mkataba wa miaka miwili Diarra na kuendelea kusalia mpaka 2026. Kwa kiwango cha Diarra, we are luck to have him at Jangwani, Maana hata kama angekuwa timu nyingine basi ni hawa ma-giants wa Africa. Pongezi kwa Management ya Yanga kwa deal hili.💛💚
8
10
324
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Msimu ujao hali itakavyo kuwa….👇🏽😂😂😂
20
34
302
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
Taarifa za kwamba, Simba SC ipo kwenye mazungumzo na George Ambangile ili kuwa Kocha Mkuu wa Simba SC, SI KWELI ni habari tuu za mitandaoni, na ni zaupotoshaji. Ambangile bado ana mkataba na WASAFI MEDIA na atautumikia mpaka mwisho wake. Source: Trust me.😎
Tweet media one
21
15
284
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Mechi ya CAF Champions hatua ya Robo Fainal ya Yanga Vs Mamelod amepewa kijana wa kizimkazi MUDATHIR YAHYA ABBAS (MUDA DAY) Slogan: “MUDA DAY - SIMU ZIITE - TUKUTANE KWA MKAPA” #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
11
20
280
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
Dear GOD, Ni siku nyingine tena, Wananchi tunaileta mbele zako, imani na tegemeo letu la kupata points 3 muhimu leo dhidi ya mtani simba liko kwako. Amen 🙏🏼 Goodluck my team @YoungAfricansSC 💚💛 #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
4
22
279
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Mudathir Yahya Abbas is man of the match for me…👏🏽👏🏽 Kaitendea haki siku yake.🟢🟡
14
15
272
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
8 months
Kadri siku zinavyozidi kwenda napata shida jinsi ya kumtetea huyu mwamba. Dah🤔
Tweet media one
30
14
257
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
▪️Yanga akiweka kiingilio Mzunguko Tsh 10k wanasema “Wananchi hawana hyo hela”. ▪️kiingilio Mzunguko Tsh 5k “Ni mechi ya kihistoria watoe kiingilio fans wawepo kushuhudia” ▪️Ikiwa bure, “Mapato ya Club yanapungua coz mechi kubwa ndio ya kupiga hela hii” TUWAELEWEJE JMN??????
Tweet media one
32
30
264
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Uwezo wa huu mwamba kupiga pasi hauimbwi sana but He is fantastic Hata makolo wenyewe wanatamani timu yao iwe kama Yanga😀.
Tweet media one
6
7
261
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Kwa upande wangu huyu mwamba alifaa kuwepo kwenye kikosi cha FIFA. Stats na achievements zake kwa mwaka jana ni bora kuliko za HAALAND.
Tweet media one
21
13
250
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
29 days
Huyu watakuja kumpiga siku siyo nyingi…..😂😂😂
16
13
249
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
9 months
Nico Williams to Barcelona, Yes or No????
Tweet media one
9
4
235
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
This man is fantastic But he is not a world class player
Tweet media one
26
9
223
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
It’s have been a long Journey from when it’s starts up to now. God have been good to me and I can’t explain. Thanks Lord for all the Blessings. Happy birthday to me🙏🏼🙏🏼
Tweet media one
Tweet media two
65
35
221
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
15 days
Zouzoua anahitaji kujua timing ya muda gani wa kudribble. Pamoja na uwezo wake wa kutoka katika maeneo magumu kuna muda ana over complicate. The best dribblers ni wale wanaojua muda gani wa kuddrible. Pacome anawez kuboresha hapo. 👇🏽
Tweet media one
62
6
218
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
6 months
In the Summer, Yanga should start looking to find replacement for Khalid Aucho. The player either awe mzawa au mgeni its ok. But apatikane now wakati Khalid yupo aweze kugain moment taratibu na kuzidi kuingia kwenye system of play ya Yanga.
Tweet media one
23
15
210
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
12 days
Wapiga picha wa Yanga, tunasubiri Picha fulani hivii, najua mnaelewa…………..😂😂
19
10
215
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Sisi tunaenda kushinda mechi yetu Benjamini Mkapa na kuweka gap la points 8. Matatizo yao hayatuhusu😂
Tweet media one
7
16
200
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
The man think the business is over😂
Tweet media one
10
5
203
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
Kama unalijua hili TANGAZO hama kwenu haraka iwezekanavyo kajitegemee.😂😂
26
30
201
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
Baba umefukuzisha makocha wawili pale msimbazi, na wengine wamekimbia na kusingizia matatizo ya kifamilia……😂🙌🏽
Tweet media one
9
17
206
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
KIKOSI CHANGU CHA LEO 1. Diarra 2. Attohola 3. Kibabage 4. Nondo 5. Job 6. Mkude 7. Maxi 8. Aucho 9. Konkon 10. Zizu 11. Musonda Formation: 4-2-3-1 Goodluck my team @YoungAfricansSC NIPE KIKOSI CHAKO????
Tweet media one
15
7
197
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Hivi ndugu zangu mancity au liver au manu, hamuwezi fanya jambo huyu mwamba asiende Madrid🤔
Tweet media one
22
2
193
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Hii picha imepigwa tarehe 16/2 Wale chini ni Casemiro + Bruno 😀
Tweet media one
11
3
187
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
3 months
Mbona Ambangile anakazania sana kuwa Ubingwa wa EPL utakwenda kwa Arsenal….🤔 Au kuna za ndani???
Tweet media one
31
6
190
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
8 months
Team 4 kutoka LaLiga ambazo ni Barcelona, Real Madrid, Atlentico Madrid na Real Sociedad hizi zote zimemaliza Top of the group na zimeingia Round 16 ya UEFA Champions League. Bado ule mjadala wa PL ni bora kuliko LaLiga bado upo??
Tweet media one
39
10
186
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
3 months
Kama unalijua hili Tangazo na bado upo kwenu, itabidi tukufukuze sasa…😂😂
19
31
182
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Kuna watu wengi wanasema ooh tumesajili 30+ player wakati kama angesajiliwa kwenye timu yao wangeanza kusema UCL msimu ujao ya kwao.
Tweet media one
16
10
179
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
7 months
Ni vile tuu hana Profile kubwa kuliko Midfielders wengi wa pale Ivory Coast walioitwa kwenye AFCON. Ila mwamba Pacome Zouzoua🇨🇮 anacheza pale.
Tweet media one
21
17
174
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
7 months
Kwa profile yake, Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hastahili kuitwa National Team.
Tweet media one
17
10
172
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
9 months
Marcelo Technical Ability is to far🙌🏽 Kama una mdogo wako hajawahi muona mpe pole sana😀
13
37
169
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Wote mlikuwa mna doubt na GUEDE baada ya kuona line-up muombeni msamaha.
Tweet media one
9
7
176
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
6 months
Hakuna shabiki wa Yanga ataipita hii picha bila Like & RT.💛💚
Tweet media one
1
11
168
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Yaani nimetoka Kanisani Moyo wangu una amani kabisa😀 Hakika Mungu ni mwema.
Tweet media one
20
11
167
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Huyu mwamba, Ni nini kimesababisha anguko lake???? Kuna kipindi alitakiwa hadi na Barcelona.
Tweet media one
12
8
166
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Huyu mwamba kadri siku zinavyozidi kuongezeka ndio anakuwa balaa🙌🏽 Almost Big 6 teama pale EPL anaanza.
Tweet media one
8
11
164
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
3 months
Unampa marks ngapi huyu jamaa out of 10?? Me: 10/10. 😂😂🙌🏽
4
18
163
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Mwenye namba yake yuko wapi😀
Tweet media one
5
5
153
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Hapa Caicedo pale Enzo hakuna wa kutuzuia kuingia Top Four na Poch Ball😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
30
2
158
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Huyu Mchezaji yupo chini ya kiwango Sijui wanampima na mizani gani Sisi ndio Yangaaaaaaaaaaa🥳 Mama hyo 20mil wape Simba wakalipane Bonus😂😂
Tweet media one
7
11
156
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Dar Upewe Mshahara 600K Mbeya Upewe Mshahara 1.2M Utachagua Mkoa gani Mkuu? 😂🙏
27
3
158
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Bruh @George_Ambangil mwambie ahmed bhana anatuchelewesha kusikia uchambuzi wa MANU bhana😀.
2
3
137
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
3 months
If I speak, I will be in trouble…..🤐
Tweet media one
10
5
145
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
What a performance from this man. Pure brazilian football on his legs👏🏽 Mpk now sijaelewa kwanini alitolewa sub.
Tweet media one
22
11
137
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Jana baada ya kumuona yule dada kaja Church…😂
Tweet media one
23
14
141
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
AZIZI KI amefika hadi kwenye Jua Kali, Duh😂🙌🏽
5
5
144
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 month
Lamine Yamal anakuwa hype sana yaan…….
@FabrizioRomano
Fabrizio Romano
1 month
🚨🥇 Best Young Player of the Tournament: Lamine Yamal. ✨
Tweet media one
2K
25K
248K
36
4
143
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
6 months
Kwahy Palmer alikuwa anataka Foden akae bench, ili yeye acheze week in and out.
Tweet media one
17
13
139
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
Ambangile friji lake haligandishi huyu, kafungua code😂😂😂
Tweet media one
9
6
136
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Both in their prime, who would you take?? 😎 Lamine Yamal Gareth Bale
Tweet media one
Tweet media two
50
17
136
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
It's been a long journey. I want to thank GOD, my family and all others who have been part of this journey. Yesterday, I was officially graduated with a Bachelor degree in Accounting from Institute of Finance Management.
Tweet media one
15
17
129
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Etiiii wana msimbazi hiii ni kweliiii…….😂😂😂
2
6
137
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Barca 4-1 Man United Lord have Mercy
Tweet media one
12
6
134
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Hakuna Mchezaji mtakaye kuja mchukia kama huyu ndugu zetu MANU
Tweet media one
27
5
128
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Nipo kwenye Harusi wapwa, nyie endeleeni na mampira yenu tuu kwa Amani ya Bwanaa…🌝
8
3
135
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
3 months
Kipindi ambacho Pele anacheza soka…👇🏽👇🏽
10
20
132
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
8 months
SIYO MBAYA…. Na sisi kesho tutashinda Inshaallah.
Tweet media one
15
14
131
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Kumbe wanasherehekea kupata sare Ila maumivu yako pale pale😂
Tweet media one
6
8
129
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Kumbe ana mahaba bado na timu🚮
Tweet media one
4
11
130
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
12 days
Mzigo huu hapa……..😂😂
Tweet media one
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
12 days
Wapiga picha wa Yanga, tunasubiri Picha fulani hivii, najua mnaelewa…………..😂😂
19
10
215
21
7
130
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Kumbee ni familia bhana……😂😂😂😂
15
13
129
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
12 days
Ahoua is much better than Azizi Ki. Wanetu mbingu mtaisikia tu…….😂
22
3
130
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
9 months
Stop that Sergio Busquets😳🙌🏽 “Pressing him was useless”
10
17
128
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
I don’t know Gamondi ataingia na approach gan, but Wachezaji wa Yanga wamecheza mechi mfululizo bila kupata muda mzuri wa kumpumzika na kujiandaa na game ya Azam, na inawezekana wengi wakawa chini ya kiwango leo. But, Iwe Haram Football au nini, but Let’s fight for 3 points.🟢🟡
19
13
128
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 months
GUEDE is clinacal finisher than any striker we have at Yanga. Look at that chance Musonda have, that should be a goal for a striker. The same area, GUEDE finish the goal against CR Belouizdad.
7
8
128
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Baba ulituweka ROHO JUU wewe😂 Congratulations to the Team👏🏽 Raha ya game, bao la pili lichelewe.
Tweet media one
4
8
125
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
My best Manager. You made us a dream. 💛💚
Tweet media one
5
17
119
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Appreciation tweet for Aziz Ki. Form is temporary, Class is PERMANENT.
Tweet media one
3
9
120
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Rate this kit out of 10?? Me: 10/10 Unaweza ombea mkopo kabisa hii😀
Tweet media one
19
8
118
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 months
Why Kocha wa Spain kaamua kuanza na Olmo na siyo Pedri. Hii ni kujipiga risasi mguuni…..
31
3
121
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
11 months
Nimemsikiliza leo George Ambangile kuhusu inshu ya MANU, niseme hivi, sitoijadili vibaya tena maana tatizo ni kubwa.
4
5
119
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
I prefer Leandro Paredes than Marcelo Brozovic in DM. Please Xavi consider him.
Tweet media one
11
2
115
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Top 3 yangu ya Ballon D’or ni 1. Messi 2. Haaland 3. Vini Jr Best Coach - Pep Guardiola Nipe ya kwako.
Tweet media one
15
5
116
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Tukisema Saka ni World Class Player mnasema tuna mahaba. Taratibu tutaelewana😀.
Tweet media one
13
7
111
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
3 months
Why wachezaji wengi wanaomba kuondoka Azam FC, kuna shida gani????
11
3
117
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
2 years
Bora hii mechi iishe sare maana hatuwezi pumua aisee😂🙌🏽
Tweet media one
8
7
115
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
5 months
Most of girls hata ukikutana nae kwa dalala ukimpa salam, anahisi unamtaka. Seriously 😐
15
17
117
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
1 year
Tulikuwa better first half na tukaongoza😂 Mengine yote INSHAALLAH.
Tweet media one
13
3
115
@mee_nicodemus
M E C K I E🇹🇿
4 years
Hivi Madaktari inakuwaje jamani😅😅
Tweet media one
16
6
102