Kuna ile baada ya kukupa namba, kila kitu unachomwambia, anakubali.
"Lini uko free uje kunisalimia," anakujibu "wewe tu"
Unamwambia "Kama vipi njoo jumamosi, jumapili utarudi" anakujibu "Haina shida".
Unaweza kudhani dada wa watu ni malaya kumbe na yeye kichupa kimejaa..