ZITATU Profile Banner
ZITATU Profile
ZITATU

@max_zitatu

Followers
227,572
Following
583
Media
47
Statuses
3,261
Explore trending content on Musk Viewer
@max_zitatu
ZITATU
8 months
Tafuta Mwanamke ambaye ataweza kukwambia: • Nakupenda • Samahani • Ngoja nikupikie • Nina nyege
36
146
1K
@max_zitatu
ZITATU
1 month
Kanipa namba yake jana, leo asubuhi kanitumia meseji "Am Bored".. Nikamuuliza shida nini , kajibu "Bando langu la mwezi limeisha" akamalizia na vi emoji vya kulia. Kazi tunayo ichi kizazi
115
111
1K
@max_zitatu
ZITATU
2 months
Kuna ile baada ya kukupa namba, kila kitu unachomwambia, anakubali. "Lini uko free uje kunisalimia," anakujibu "wewe tu" Unamwambia "Kama vipi njoo jumamosi, jumapili utarudi" anakujibu "Haina shida". Unaweza kudhani dada wa watu ni malaya kumbe na yeye kichupa kimejaa..
57
66
1K
@max_zitatu
ZITATU
7 days
Wanawake wengi wa siku hizi kwao wanaona upendo ni :- • kufanya mapenzi • kupostiana mitandaoni • kupewa zawadi • kupewa hela • Kutolewa out Wakati Upendo ni : • maelewano • msamaha • kusaidiana • heshima • kuwasiliana • kutafuta maisha wote kwa pamoja
23
220
987
@max_zitatu
ZITATU
7 days
Mwisho wa siku UTAKUFA Tu KWANINI unaogopa kuanzisha biashara, KWANINI unaogopa kwenda kuongea na huyo binti jirani yako KWANINI unaogopa kupitia matatizo KWANINI unajali watu wengine watasema nini KWANINI unaumia baada ya kuachwa na mpenzi wako. Jua UTAKUFA Tu.
26
183
967
@max_zitatu
ZITATU
3 months
Kuna muda inabidi uachane na mwanamke unayempenda. Na kwenda kuwa na mwanamke anayekupenda..
40
112
909
@max_zitatu
ZITATU
5 months
Hii nimeikuta sehemu ila sijataka kuamini kama ni kweli..
Tweet media one
Tweet media two
182
62
886
@max_zitatu
ZITATU
18 days
Kuchepuka sio bahati mbaya, ni mchakato wa muda mrefu.. Usimsamehe mwanamke aliyechepuka..
26
99
889
@max_zitatu
ZITATU
7 months
Wanaume, Ukipata mchongo na ukawa na uwezo wa kumsaidia mwanaume yeyote.. Msaidie Mtaani kuna manyanyaso makubwa sana kwa Mwanaume asiyekua na hela
12
115
861
@max_zitatu
ZITATU
6 months
Nina uhakika 100% maombi ya wazazi wetu yameokoa maisha yetu mara nyingi kuliko tunavyofikiria..
13
114
851