mariaziontz Profile Banner
MARIA ZION Profile
MARIA ZION

@mariaziontz

Followers
3K
Following
14K
Statuses
14K

Forex is my Life//Miss of the Kingdom. A virgin Queen 👑//Big Brain 🧠// Father's Legacy//@LFC//@YoungAfricansSc// Funny

WORLD WIDE
Joined April 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mariaziontz
MARIA ZION
4 days
Utabiri wa October usio na mihemko ya kisiasa. Mwaka huu bila kujali uimara wa vyama vya siasa. Wapinzani wake atawashinda kwa ujuzi zingatia ujuzi. Rais atatoka CCM. Namaanisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan @SuluhuSamia Ataongoza tena kwa kura na ujuzi.
Tweet media one
@mariaziontz
MARIA ZION
11 days
Mwezi wa pili nitaleta utabiri juu ya Kiti cha Urais wa Tanzania. Kuwa ni nani atashika hatamu ya kuiongoza nchi. Je ataendelea Mama Samia ? Au Upinzani utachukua nchi? February tutajua sote ili tuende October tukijua kabisa nani ataibuka mshindi.
8
8
10
@mariaziontz
MARIA ZION
5 minutes
Binafsi kuabudu Mizimu kwa sasa ni kazi ngumu sana, Sababu kuanzia Babu, Baba sio wa damu. Wakina mama wa kisasa wanatoa sadaka watoto kwa Baba mwingine. Kwanini dini za wazungu zisitawale akili na mioyo ya watoto wa kiafrika? AFRIKA ILISHALAANIWA KWA KUIKATAA ASILI YAKE.
0
0
2
@mariaziontz
MARIA ZION
6 minutes
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
6 minutes
RT @kimea_john20267: @mariaziontz Umeongea kwa Hasira sana
0
1
0
@mariaziontz
MARIA ZION
10 minutes
@vinquez_victor 😂😂😂
1
0
1
@mariaziontz
MARIA ZION
10 minutes
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
11 minutes
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
11 minutes
@frediejustine @EKaungo Binafsi naungana naye kwa asilimia mia moja. Mfano: Ughaibuni kuruhusiwa kufanya shughuli ambazo wazungu wanazifanya huko kwetu Afrika ni ngumu sana na huwezi kufanikiwa kukubaliwa ila kwetu wanajichukulia tu
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
13 minutes
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
14 minutes
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
14 minutes
@Enemy_19 Hata kama Mimi ningesubiri... Unadhani mia tatu zaidi ni ndogo?
0
0
2
@mariaziontz
MARIA ZION
17 minutes
@imdior01 Oooh nimelijua liko speed kweli kweli
1
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
20 minutes
@1ngadu1 @SuluhuSamia Naaam iko hivyo kabisaa, ila Kuna watu hawataki kuikubali ukweli.
0
0
1
@mariaziontz
MARIA ZION
21 minutes
@1ngadu1 Kuna watu wanaleta ujinga katika maisha na kuharibu jamii njema
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
26 minutes
0
0
2
@mariaziontz
MARIA ZION
28 minutes
0
0
2
@mariaziontz
MARIA ZION
1 hour
@MagdalenaJ81011 Tarime ndani ndani kabisaa dada hao utawapata
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
1 hour
0
0
0
@mariaziontz
MARIA ZION
1 hour
@ChopaWang @SifaMakasi5886 Watoto katika umri mdogo kabisa wanaondoka kwenda kuanza maisha mengine nje ya dunia hii ya macho mawili
1
0
0