Magogoni Daily Profile Banner
Magogoni Daily Profile
Magogoni Daily

@magogonidaily

Followers
4,169
Following
3
Media
144
Statuses
182

Habari, Uchambuzi, Sera, Siasa na Historia kwa namna tofauti | Bilingual

Dar es Salaam & Dodoma
Joined May 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 days
TUKIO LA KUPOTEA KWA WATOTO WAWILI LAMADI Huu ndio ukweli kuhusu yaliyotokea Lamadi, Simiyu kama unavyoelezwa na wahusika wa tukio lenyewe.
55
101
2K
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja.
Tweet media one
54
144
4K
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Tweet media one
22
96
2K
@magogonidaily
Magogoni Daily
27 days
📍Ifakara, Morogoro Dakika chache kabla ya kupandisha bei ya mpunga toka shilingi 570 kwa kilo hadi shilingi 900. Kazi Kazi Asubuhi. Mchana. Jioni.
Tweet media one
37
80
2K
@magogonidaily
Magogoni Daily
13 days
#TanzaniaKwanza Kwa miaka mingi ukubwa wa maeneo yetu ya hifadhi na amani ya nchi yetu umevutia wageni wengi kutoka nje ya nchi majirani kuingia na kufanya shughuli zao za ufugaji wakishirikiana na wenyeji. Wageni hawa wamekuwa sehemu za vijiji vyetu katika hifadhi na wengine
Tweet media one
147
112
2K
@magogonidaily
Magogoni Daily
26 days
📍 Muda wa Kazi @ Kiwanda cha uchakataji tumbaku Mkwawa (MTPL) na Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC). Mama na Kanuni iliyonyooka Mazingira Bora ya Biashara na Uwezaji = Viwanda Zaidi = Ajira Mpya = Uhakika wa Maisha kwa Wananchi
Tweet media one
22
66
2K
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Neatly done @MikaChavala #SwahiliNation 🇹🇿
32
88
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
28 days
Dumila, Morogoro #TuongozeMama
Tweet media one
19
48
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
14 days
31
74
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Morogoro sasa ni Mpya | Karibu sana Morogoro Mama
24
60
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
26 days
Mama na wananchi wake ndani ya Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
43
61
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
10 days
📍Amiri Jeshi Mkuu katika kazi Kusini Unguja. Kinara wa Haki, Amani, Utulivu na Muumini wa Utaratibu katika kuiishi leo njema na kuifikia kesho bora ya nchi yetu. Nchi moja. Imara. Yetu sote.
Tweet media one
68
65
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
29 days
Upendo kwa Mama ndani ya Morogoro. Upendo toka kwa kila rika.
Tweet media one
14
40
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
22 days
Sauti ya Wengi Uwanja wa Lake Tanganyika.
Tweet media one
16
33
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
21 days
Sauti za Wengi. Sauti za Watanzania. Ahsante Sana Mama.
24
65
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
10 days
Maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ni Tanzania na watu wake kuendelea kubaki salama 🤲🏾 Mwenyezi Mungu aisimamie dhidi ya wote mwenye nia ya kuigawa kwa namna yoyote ile. Endelea kupumzika pema Mwalimu. 🇹🇿✊🏾🇹🇿
81
171
2K
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Tweet media one
13
32
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
18 days
Tweet media one
28
44
1K
@magogonidaily
Magogoni Daily
29 days
Amiri Jeshi Mkuu na wananchi wake pori kwa pori. Picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Mtibwa Sugar wakifurahi kutembelewa na anayeimarisha mazingira ya uwekezaji na kuwahakikishia ajira zao.
Tweet media one
12
35
979
@magogonidaily
Magogoni Daily
18 days
Mtu wa wote kwa vitendo. Wote ni wake. Katika hali zote. Ametuleta na kutuweka pamoja.
Tweet media one
66
47
956
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜: 𝗝𝗜𝗡𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗡𝗔 𝗗𝗞. 𝗦𝗦𝗛 𝗨𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗧𝗘𝗨𝗟𝗘 𝗪𝗔𝗞𝗘 𝗣𝗢𝗣𝗢𝗧𝗘 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜𝗡𝗜 1. Ukifanya madudu kwenye kutumikia wananchi usidhani hakuoni, hasha. Ana tochi kila kona ya nchi hii isipokuwa yeye pia ni Mama. Ukiendelea kwa
Tweet media one
45
73
857
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Mama na Wananchi wake. Mama ndani ya Morogoro.
14
38
864
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
🎶 Kazi ya Jeshi kweli moralii 🎶 🎶 Inahitaji uvumilivu 🎶 Vijana wa Amiri Jeshi Mkuu Dkt. SSH katika chenja za amsha amsha ya Mazoezi ya Medani, CTC Mapinga, Bagamoyo.
38
100
860
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Katavi wanasema AHSANTE Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia #magogonidaily
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
19
820
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Busara za Mama | 📹 #MagogoniDaily ✍️✍️✍️✍️✍️✍️
19
65
784
@magogonidaily
Magogoni Daily
20 days
Amiri Jeshi Mkuu. Kinara wa Mabadiliko. Muumini wa Maridhiano. Nahodha Mahiri. Mlinzi Namba Moja wa Amani na Utulivu wa Nchi yetu.
Tweet media one
82
50
770
@magogonidaily
Magogoni Daily
18 days
Mtu wa wote kwa vitendo. Amiri Jeshi Mkuu anayejali wote katika hali zote. Wote ni wake. Furaha ya kupokea mchango wa kanisa toka kwa Mama.
29
51
760
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Karibu Katavi Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia .
11
35
724
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Kazi za Mama. Kituo cha Afya Buza, Temeke. Kazi Inafanyika. Matokeo yanaonekana.
Tweet media one
43
42
716
@magogonidaily
Magogoni Daily
19 days
📍Chuo cha Ualimu Korogwe, Tanga
13
36
625
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Kazi nzuri ya Mama Mabadiliko na uwekezaji Bandari ya Dar es Salaam yapunguza wastani wa meli kwenye foleni kusubiri kupakua mzigo kutoka meli 34 hadi 7 kwa mwezi. Kasi ya kushusha mzigo, kukusanya mapato na biashara yaongezeka zaidi ya mara 4.
Tweet media one
29
33
531
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
6
22
491
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Upendo kwa Amiri Jeshi Mkuu Gairo. Upendo kwa Mama ndani ya Gairo.
15
31
467
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Katavi kwa ufupi Idadi ya watu: 1,152,958 (Sensa ya Mwaka 2022) Baadhi ya miradi mikubwa toka kwa Rais @SuluhuSamia kwenda kwa Wanakatavi 1. Bandari ya Karema 2. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi Julai 12-15 Mheshimiwa Rais atakuwa Katavi kuwajulia hali wananchi wake na
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
25
427
@magogonidaily
Magogoni Daily
25 days
Amiri Jeshi Mkuu na Wananchi wake Morogoro ❤️
14
28
389
@magogonidaily
Magogoni Daily
15 days
Mwanadiplomasia Namba Moja. Muhtasari wa kazi toka Harare, Zimbabwe.
11
28
380
@magogonidaily
Magogoni Daily
16 days
Bila amani hakuna maendeleo. Tanzania itabaki salama tukiendelea kuwakataa wanaotaka kutugawa kidini, kikabila, kikanda, kibara & kivisiwani au kijinsia kuleta mifarakano. Tuliwakataa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020 na tutaendelea kusema HAPANA kwa kila mbaguzi na kibaraka.
Tweet media one
18
23
320
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Mama Nahodha wa Chombo Maridhiano tulipokoseana. Mabadiliko kuelekea nchi bora zaidi. Ustahimilivu tunapotofautiana. Kujenga Upya. #MagogoniDaily
Tweet media one
5
11
303
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Karibuni Nkondwe Waterfalls kwenye Mto Lugufu. Karibuni Katavi. Kwa namna ya kipekee karibu Katavi Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia . Asante kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kuboresha sekta ya utalii. Katavi tunaendelea kufurahia matunda yake.
9
14
298
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Tweet media one
6
22
287
@magogonidaily
Magogoni Daily
23 days
Morogoro inarudi kwenye ramani kama Mkoa wenye idadi kubwa ya viwanda. Asante Mama.
8
22
268
@magogonidaily
Magogoni Daily
8 days
Tweet media one
38
111
3K
@magogonidaily
Magogoni Daily
23 days
Unaamini kwamba wapo Watanzania wanaoweza kuwa wanafadhiliwa na mataifa au mashirika ya kigeni kuendesha mijadala hasi dhidi ya Tanzania (viongozi wake, maendeleo yake, amani na ustawi wake) ndani na nje ya mitandao ya kijamii?
Yes
510
No
629
23
24
114
@magogonidaily
Magogoni Daily
23 days
UCHUNGUZI WA TUKIO LA BINTI WA YOMBO DOVYA 1. Hadi leo Agosti 9 Jeshi la Polisi limewatia mbaroni watuhumiwa 4 kati ya 6. 2. Binti yuko sehemu salama akipatiwa msaada wa kisaikolojia kutokana na tukio hilo. 3. Majina ya waliokamatwa mpaka sasa ni Clinton Honest Damas
Tweet media one
28
30
86
@magogonidaily
Magogoni Daily
19 days
Tweet media one
16
27
47
@magogonidaily
Magogoni Daily
22 days
Tweet media one
11
20
38
@magogonidaily
Magogoni Daily
21 days
📍Kigali, Rwanda
Tweet media one
Tweet media two
9
18
34
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Siku ya Kihistoria. Siku kubwa kwa Taifa letu.
Tweet media one
6
13
30
@magogonidaily
Magogoni Daily
22 days
Sauti ya Wengi Morogoro.
Tweet media one
7
14
29
@magogonidaily
Magogoni Daily
28 days
Kiongozi na Mwananchi wake Mwalimu na Mwanafunzi wake Amiri Jeshi Mkuu akiwa na Mwalimu wake wa zamani leo Chuo Kikuu Mzumbe.
Tweet media one
2
10
28
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
🔴🔴 UTEUZI 🔴🔴
Tweet media one
Tweet media two
6
14
26
@magogonidaily
Magogoni Daily
25 days
Postikadi toka Morogoro ✉️✉️✉️✉️✉️
6
18
27
@magogonidaily
Magogoni Daily
26 days
#TuongozeSamia Amiri Jeshi Mkuu na Wananchi wake Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
18
27
@magogonidaily
Magogoni Daily
25 days
Morogoro ❤️ Mama Mji wa viwanda na utalii umeamka tena 👏🏽 Ahsante Mama.
6
16
27
@magogonidaily
Magogoni Daily
26 days
Amiri Jeshi Mkuu na wananchi wake Uwanja wa Jamhuri Morogoro 👏🏽👏🏽
4
15
27
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Her Excellency President @SuluhuSamia at work. Postcards from Mandela Stadium, Rukwa Region.
6
17
25
@magogonidaily
Magogoni Daily
17 days
Maneno mazito kuhusu kazi, nchi, kiapo na utumishi toka kwa Amiri Jeshi Mkuu.
7
15
27
@magogonidaily
Magogoni Daily
24 days
Kinara wa Mapinduzi ya Kilimo Bajeti kubwa zaidi ya Wizara toka nchi ipate uhuru. Sekta inayoajiri asilimia kubwa zaidi ya Watanzania.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
11
25
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Siku ya Kihistoria. Mama anasema sasa anajenga maeneo zaidi, SGR ifike hadi mipaka ya DRC na Burundi. Nchi ifunguke, fursa zisambae kila kona.
6
15
23
@magogonidaily
Magogoni Daily
9 days
📍Msata Pwani Amiri Jeshi Mkuu | Mazoezi ya Medani Miaka 60 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) #Umoja 🇹🇿 ✊🏿
Tweet media one
8
15
33
@magogonidaily
Magogoni Daily
22 days
Sauti ya Wengi Kigoma.
Tweet media one
5
18
24
@magogonidaily
Magogoni Daily
13 days
🚨Taarifa ya Jeshi la Polisi Tanzania 🚔
Tweet media one
6
19
26
@magogonidaily
Magogoni Daily
14 days
Tafakari ya leo Je, kauli hizi ni sawa kwa amani, utulivu na ustawi wa taifa letu?
12
15
23
@magogonidaily
Magogoni Daily
22 days
Sauti ya Wengi Namanyere Rukwa.
Tweet media one
6
16
24
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
🔴🔴🔴 UTEUZI 🔴🔴🔴 Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)
Tweet media one
3
13
22
@magogonidaily
Magogoni Daily
19 days
Unaamini lipi kati ya haya kuhusu Upinzani Tanzania?
Upo wa kweli
103
Upo kama biashara za watu
105
11
16
21
@magogonidaily
Magogoni Daily
23 days
Nasaha za Mama. Maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu.
5
14
22
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyambuli Etanga Mashauri, kuwa Brigedia Jenerali. Mbali na kazi ya Uanajeshi, Kitaaluma Brigedia Jenerali Nyambuli ni Mwanasheria.
Tweet media one
2
1
21
@magogonidaily
Magogoni Daily
10 days
Mali ya Tanzania. Faida ya Tanzania. Ahsante sana Mama.
10
15
24
@magogonidaily
Magogoni Daily
13 days
Amiri Jeshi Mkuu Rais Mama Kiongozi Mpenda Haki
8
18
20
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Karibu Morogoro Mheshimiwa @SuluhuSamia . Wana CCM Morogoro Mjini wana ujumbe wao kwako kupitia kwa Mwenyekiti Mheshimiwa Fikiri Juma. #ZiaraYaMamaMorogoro
4
12
19
@magogonidaily
Magogoni Daily
13 days
8
13
21
@magogonidaily
Magogoni Daily
28 days
Falsafa ya R Nne za Mama kwa vitendo. Ustahimilivu hutufanya kubaki wamoja.
6
16
19
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Karibu Rukwa Mama. Karibu Rukwa Mheshimiwa Rais. Karibu nyumbani. Shule na madarasa mapya tumeyaona, tunayatumia. Hospitali, vituo vya afya na zahanati mpya , tumepokea. Kuongezeka kwa barabara za lami Rukwa, tunafurahia. Uimara, utulivu na amani ya nchi yetu tunajivunia.
1
3
19
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Upendo wa wananchi kwa Rais wao Upendo kwa Amiri Jeshi Mkuu Upendo kwa Mama toka Gairo Sehemu ya wananchi wa Gairo wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akianza ziara yake wilayani humo leo.
Tweet media one
5
13
18
@magogonidaily
Magogoni Daily
17 days
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Gabriel Mugabe kwa ajilli ya kushiriki Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Harare nchini
Tweet media one
6
16
19
@magogonidaily
Magogoni Daily
16 days
Amiri Jeshi Mkuu akiwa kazini Harare Zimbabwe. #SADCSummit #panafricanism
8
16
18
@magogonidaily
Magogoni Daily
24 days
📍 Dodoma Muda wa Kazi
Tweet media one
8
13
17
@magogonidaily
Magogoni Daily
11 days
Siku njema toka Kizimkazi #UtamaduniWetu #FahariYetu
8
14
19
@magogonidaily
Magogoni Daily
12 days
📍Skuli ya Maandalizi Tasani Makunduchi, Kusini Unguja #Zanzibar Elimu | Malezi | Maadili
Tweet media one
11
13
17
@magogonidaily
Magogoni Daily
8 days
🇹🇿❤️✊🏾🇹🇿
Tweet media one
12
16
40
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Mtu wa Watu. Mtu wa Kazi. Mtu wa Matokeo.
Tweet media one
6
11
15
@magogonidaily
Magogoni Daily
16 days
📍Harare, Zimbabwe Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ Troika Summit).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
14
16
@magogonidaily
Magogoni Daily
28 days
Amiri Jeshi Mkuu na Wananchi Wake Series 📍Njiani Mang’ula, Morogoro
Tweet media one
Tweet media two
3
13
15
@magogonidaily
Magogoni Daily
15 days
Chini ya uongozi wa Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Tanzania imechukua Uenyekiti wa TROIKA (Sehemu ya SADC inayosimamia mambo yanayohusu Siasa, Ulinzi na Usalama).
8
14
15
@magogonidaily
Magogoni Daily
29 days
Morogoro | Amiri Jeshi Mkuu na Wananchi wake. Kazi Mkoa kwa Mkoa, Wilaya kwa Wilaya, Kata kwa Kata. #SamiaWaWatanzania
2
11
12
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
🔴🔴🔴𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐈𝐊𝐀𝐋𝐈 🔴🔴🔴 Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akifuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2024/25 kwa njia ya runinga akiwa kwenye Makazi ya Rais, Chamwino mkoani Dodoma leo Juni 13, 2024. #MagogoniDaily
Tweet media one
1
0
10
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
📰UTEUZI Mteuliwa: Zuhura Yunus Abdallah Mamlaka ya Uteuzi: Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Nafasi: Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Wasifu kwa ufupi: Zuhura Yunus alikuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
Tweet media one
1
2
11
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
𝗔 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗜𝗗𝗘𝗡𝗧𝗜𝗔𝗟 𝗟𝗔𝗨𝗡𝗖𝗛 & 𝗔 𝗡𝗜𝗚𝗛𝗧 𝗙𝗢𝗥 𝗛𝗔𝗥𝗠𝗢𝗡𝗜𝗭𝗘 The President of the United Republic of Tanzania Her Excellency @SuluhuSamia attending Harmonize's music album launch "Muziki wa Mama" in Dar es Salaam over the weekend.
Tweet media one
0
1
10
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
Barua ya Mwalimu Julius Nyerere kwenda kwa Rais John Fitzgerald Kennedy wa Marekani mwaka 1963. #MagogoniDailyHistory
Tweet media one
1
0
11
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Mama Karibu Morogoro Mkoa uliokuwa umelala kiuchumi sasa umerudi kwenye chati kwa usafiri wa uhakika wa kutoka na kwenda Dar es Salaam pamoja na ukuaji wa viwanda vipya. Wana Morogoro wanasema Ahsante Sana!
0
2
10
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
Mkeka wa kilometa 107 kutoka Sumbawanga kwenda Bandari ya Kasanga kupitia Matai uliozinduliwa leo na Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia . Kazi ya kufungua nchi kila kona inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
4
10
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
Bibi & Wajukuu Ikulu Siku ya Mtoto wa Afrika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
2
9
@magogonidaily
Magogoni Daily
2 months
“Mama was here.” Signing in for work and a busy day in Kalambo, Rukwa.
Tweet media one
0
2
10
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
🔴🔴 TAARIFA KUTOKA IKULU 🔴🔴
Tweet media one
0
3
10
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Ndugu Daniel Fransisco Chapo na ujumbe wake Ikulu Dodoma leo. Katika ukurasa wake wa X (Twitter) Ndugu Chapo ameandika “Tumeanza ziara ya kikazi Tanzania. Tumekuja kuchota
Tweet media one
1
1
9
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Afrika Kusini jioni hii. Kesho, atajiunga na wageni wengine wa kimataifa kushuhudia kuapishwa kwa Mheshimiwa Matamela Cyril Ramaphosa kuwa Rais wa nchi hiyo kwa muhula wa pili.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
3
8
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
🔴 UTEUZI Jina: Elias Daniel Mwandobo Nafasi aliyoteuliwa: Mkuu wa Wilaya ya Momba
Tweet media one
1
1
8
@magogonidaily
Magogoni Daily
1 month
Ikulu, Chamwino, Dodoma Mheshimiwa Rais @suluhusamia atazungumza na Machifu wenzake leo kuanzia saa 5 asubuhi.
Tweet media one
0
1
9
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
🇹🇿🤝🇰🇷 #MagogoniDaily
Tweet media one
0
0
8
@magogonidaily
Magogoni Daily
3 months
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Ndugu Daniel Fransisco Chapo na Ujumbe wake, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 12 Juni, 2024.
Tweet media one
0
1
7