legendary_gend Profile Banner
legendary Profile
legendary

@legendary_gend

Followers
4K
Following
192K
Media
2K
Statuses
59K

๐Ÿ’ฅnikopeshe buku mkuu

Yufu-shi, Oita
Joined July 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅSIKU YA LEO NDIYO SIKU YA MWISHO MIMI KUJIHUSISHA NA BETTING,,,. ni mda Sasa ni focus na mambo mengine,,.
10
62
54
@legendary_gend
legendary
8 months
๐Ÿ’ฅMadogo wa morogoro jau Sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.Wanaleta watoto tu mama zao wamefichwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
30
88
2K
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ’ฅSio mtu wa siasa Wala Sina chama . Ila tangu nazaliwa had leo nadhan huyu ndiye kiongozi niliyekuwa naelewa nn anafanya,,,, โœ๏ธ
Tweet media one
47
116
1K
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ’ฅMfano uwanja wa Arusha huo ukaitwa Kilimanjaro stadium au Serengeti stadium. Nje ya uwanja kwenye garden my be ikawekwa mifano ya wanyama waliopo mbuga husika au ukatengenezwa mfano wa Mt Kilimanjaro?? Maoni tu,,
Tweet media one
88
43
467
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅHizi picha za yanga Siri ya quality zake ni mpiga picha au camera yenyewe??. Au vyote wanapicha maskini sana ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tweet media one
Tweet media two
9
19
183
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ’ฅBANGO ni kubwa mno wajumbe,,,,๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Tweet media one
5
19
119
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅukiachana na Aziz ki na diarra hata GAMOND ana hati hati ya kukosekana mchezo wa kesho pia,,,โœ๏ธ
Tweet media one
11
8
112
@legendary_gend
legendary
1 year
Huyu anamaanisha mapenz yapi??
Tweet media one
19
15
89
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅkwenye mahusiano jitahidi uwe upande wa nakupenda pia,,,๐Ÿ˜…. Ukiwa upande wa nakupenda Sana.YOWE halikwepeki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
12
15
85
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ“ŒKuna kitu hakipo sawa tangu ngao ya jamii simba sio ile iliyozoeleka their playing out of their rythm organizasion, sharpness, speed, pass accuracy , game fitness vyote vipo chin sana kuna mda unahoj shida n kocha au wachezaj ?? Kama ni kocha ๐Ÿ‘‡
Tweet media one
7
19
77
@legendary_gend
legendary
1 year
Mwenye handle ya huyu jamaa karibu na ayubu aishushe kwenye comment rt ifike majuuu
Tweet media one
9
5
77
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ’ฅStephanie Aziz ki wanangu mnapambana Sana kudus,,,,๐Ÿ˜…
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
10
77
@legendary_gend
legendary
1 year
Hawa jamaa wakiwa Bondeni wanaburudisha, wana elimisha wanakosoa na wanaonya jamii hawa wanajua boli mamelod nikama unatazama timu ya bara la ulaya๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
25
76
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅWanetu hivi huwa ni afu KEKI au half KEKI,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
7
12
71
@legendary_gend
legendary
1 year
CHAMA VS AZIZI KI ๐Ÿงต. wachambuzi mashabiki washangiliaji na wanachama kwenye huu mjadala wamejikuta kwenye group 1 yaani mawazo ya mchambuzi, shabiki, washangiliaji na wanachama yamekuwa sawa kuhusu huu mjadala yaan hauwezi tofautisha mshangiliaji na Mchambuzi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Tweet media one
Tweet media two
7
10
68
@legendary_gend
legendary
1 year
Alooo nyie baselona hebu nambien leo nakula nn mbwa nyie
Tweet media one
13
32
62
@legendary_gend
legendary
1 year
Kumpa pesa dem haujamuoa ni kuingilia majukum ya wazazi wake . โœ๏ธ
Tweet media one
7
24
65
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ˜‚saiv sambili Ila bado haujala,,,. Sawa janabi
Tweet media one
3
8
65
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅ unaaandika personal unajibiwa general ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Hii nayo huuma mno,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
20
20
67
@legendary_gend
legendary
9 months
๐Ÿ’ฅmaana halisi ya mihemuko. Kuna uhalisia na matamanio huwa tunavichanganya sana
Tweet media one
11
6
64
@legendary_gend
legendary
9 months
๐Ÿ’ฅHumu ndani pyala nyingi sana . Kingereza kidogo tu + kile Cha google mtu ashajiita content creator ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Tweet media one
8
18
60
@legendary_gend
legendary
6 months
๐Ÿ’ฅ Nawakumbusha Wakali ule mwaka wa kuforce umebaki 4 months,,!๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
22
62
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ’ฅLeo ngolo kante kapewa red sema anavyotia huruma unaweza irudisha mfukoni. A man is very humble โœ๏ธ
Tweet media one
3
6
54
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ†Msingi wa timu yoyote duniani ni midfield zone ikiwa mbov timu always itazidiwa2 kinachomsumbua olveira ni kujua aanze na nan kati ya kanoute na Ngoma kulingana na mahitaj ya tim yake na uimala wa mpinzan wake H1 simba alizidiwa eneo la kat pasi nying zilikuw hazifik utuliv ๐Ÿ‘‡
Tweet media one
2
17
56
@legendary_gend
legendary
8 months
๐Ÿ’ฅwakuu ndo naachiwa kutoka kuvuna mpunga majarubani. Hoiiii๐Ÿ˜
Tweet media one
5
14
54
@legendary_gend
legendary
3 months
๐Ÿ’ฅHivi tunakubaliana kwamba hii ni talent?? Au naikubali peke yangu,,,,
Tweet media one
6
13
55
@legendary_gend
legendary
7 months
๐Ÿ’ฅGOD protect this man,,,,๐Ÿ“–
Tweet media one
1
38
55
@legendary_gend
legendary
1 year
Leo nimedamka asbuh na mapema nikapiga maji safi nikapaka na mafuta yangu ya baby care nikawah road kuhesabu magari ya mwanza-kampala siunajua mm jobless๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….
10
18
52
@legendary_gend
legendary
3 months
๐Ÿ’ฅ huyu lyanga ni mfano bora wa kuiga,,,
Tweet media one
3
6
53
@legendary_gend
legendary
1 year
gamond kafanikiwa kutengeneza tim shindan shambuliz linajengwa na diarra slowly na beki zake wakifika katikati wanakuw aggressive sana uwepo wa aucho,mda,aziz pacome na max wana intertain na wanapiga pas fup fup kwa kas kwenye 18 yard n rahis kulazimisha mpinzan afanye mistake
Tweet media one
3
19
52
@legendary_gend
legendary
9 months
๐Ÿ’ฅAmkaaaaa Kumekucha MUNGU sio mwanzalima,,,,,,
Tweet media one
5
19
52
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅIsingekuwa shule mwanetu usingefika dasilamu bisha,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
11
15
54
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ’ฅMungu ni wetu sote,,,
Tweet media one
6
6
46
@legendary_gend
legendary
1 year
Ni asbuh nyingine ya kushukur Mungu ,kuombea haso na kuombea mema maadui zako
Tweet media one
9
25
48
@legendary_gend
legendary
1 year
kuna moment ume loose mkeka unatembelea X unakuta kuna mwana kaloose stake kubwa kuliko chenji uliyokuw ume stake oa ina fariji kinoma ๐Ÿ˜
Tweet media one
9
23
47
@legendary_gend
legendary
6 months
๐Ÿ’ฅ Ni siku nyingine ya kukumbushana kuwa MUNGU wetu ni MUNGU wa utaratibu,,,,๐Ÿ“–
Tweet media one
6
18
48
@legendary_gend
legendary
1 year
Shusha hendo tuinuke ukifollow na follow back ASAP
Tweet media one
18
23
46
@legendary_gend
legendary
2 months
๐Ÿ’ฅwanachuo wanaoishi geto baada ya boom kutoka ,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. "andika dagaa wa nyama ",,
Tweet media one
7
13
51
@legendary_gend
legendary
1 year
Vijana pimeni HIV mjue Afya zenu msiseme nawapangia ,,,๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Tweet media one
13
13
45
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅKisicho ridhiki hakiliki . Ukishagundua Hilo huwezi kata tamaa kwenye mapambano yako,,,,โœ๏ธ
Tweet media one
4
7
48
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅ control ya huyu janja ni viwango vya dunia ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tweet media one
6
12
51
@legendary_gend
legendary
1 year
Mlisema huyu kijana anaitwa chino wana man ??
Tweet media one
10
20
46
@legendary_gend
legendary
8 months
๐Ÿ’ฅWakuu Amkeni amkeni MUNGU ni mwema anaendelea kujibu maombi yetu
Tweet media one
10
21
47
@legendary_gend
legendary
1 year
nimewaza nipike ndizi nyama kama watu wa dasilamu nakumbuka nyama ni mboga ndizi ni matunda ndipo wazo la ugari linakuja upes,,,๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Tweet media one
8
18
43
@legendary_gend
legendary
7 months
2
0
46
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅHuyu muvibe kwenye medani za vita tungemuita sniper ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ. Anapiga hadi impossible angle kama ni muvi bas jamaa n JIMONG,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tweet media one
1
10
46
@legendary_gend
legendary
1 year
Kwan nyie nan aliwaambia sisi chelsea tuna hitaji ushindi?? why mnatupea mipango ambayo sisi hatupo nayo aaah achaneni na sisi bwana
Tweet media one
11
21
44
@legendary_gend
legendary
6 months
๐Ÿ’ฅ GPA kubwa siyo akili wajuba hiyo inaonyesha tu nikwajinsi gan ulikuwaga mkamiaji chuo,,๐Ÿ˜. Au nawafokea wajuba,,๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
14
47
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅJe ni Nani wa kuwatenga vijana wa mbeya na mashati ya vitengeee?. Je ni dhiki ,njaaa au malazii?๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Tweet media one
4
7
44
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ”ŠTUSISHINDANE SIMBA NA YANGA KIMATAIFA TUSHINDANE NA AFRICA GIANTS,,,,
Tweet media one
7
23
42
@legendary_gend
legendary
2 years
1
2
42
@legendary_gend
legendary
1 year
0
0
40
@legendary_gend
legendary
10 months
๐Ÿ’ฅKumekucha Tena mapambano yaendelee wakuu,,๐Ÿ’ช
Tweet media one
7
12
40
@legendary_gend
legendary
1 year
Presenters wa clouds wavumilivu sana ningekuwa mm mwenye . t shirt nyeupe hapo nyuma ningemlamba kofi la kichogo akili zimkae sawa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Tweet media one
5
24
44
@legendary_gend
legendary
1 year
X wachuuzi kuna mda unaenda shop kununua ktu unampa pesa mwenye duka mkononi anakwambia weka mezan ndo aichukue hii imekaaje wapwa??.
10
15
42
@legendary_gend
legendary
1 year
Kuwen makini sana nahawa wanawake wa wigi 500k kwa jonijo na 2m ya iphone 15. hawa sio wanawake ni mapepo narudia tena backbencha haya ni mapepo๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Tweet media one
0
22
43
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ’ฅkuna lile goma la mamelod wanaimba . ๐ŸŽถBukelamasandawana๐ŸŽถ. Ukiuskia2 unajua kazi ipo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
7
7
42
@legendary_gend
legendary
1 year
Mtoto wa 2004 unapata wap ujasir wakusema. "ukiendelea kuongea upuuzi na ku brok". ?? daaaah๐Ÿ˜ฒ
Tweet media one
1
16
39
@legendary_gend
legendary
10 months
"Mo atuachie timu yetu tuiendeshe wenyewe"
Tweet media one
4
5
42
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ’ฅnisiwe mnafiki huwa napenda za namna hii nyuma pasikosekane kabisa kuwe na balance,,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
4
43
@legendary_gend
legendary
9 months
๐Ÿ’ฅHivi ni kweli kwamba Kila mtanzania ana ndugu dasilamu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
9
40
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅUtaskia vijana acheni kubeti tafteni hela. Stake za vijana,,๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Tweet media one
3
10
42
@legendary_gend
legendary
1 year
leo nimewaletea vipimo haya mjipime sasa tuone,,๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Tweet media one
10
6
36
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅNikakidimue Sasa nipate uchovu usiku nilale mapema ,,๐Ÿ˜‚
Tweet media one
10
15
42
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅDaaah kweli akitupacho yeye kwake ni dhahabu,,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
3
16
43
@legendary_gend
legendary
8 months
๐Ÿ’ฅAmka kajitafte Master Kuna laana uzeeni utakuwa unatoa na hazimshiki mhusika๐Ÿ˜‚
Tweet media one
7
14
43
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅUongo dhambi jamaa angu huwa ananifanya nione mpira ni mchezo mgumu Sana,,
Tweet media one
10
14
42
@legendary_gend
legendary
2 years
1
1
35
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ’ฅImekuwa ghafra Sana wakuu,,,
Tweet media one
4
9
40
@legendary_gend
legendary
1 year
Eeee kwahyo ulizaliwa na mama ako
Tweet media one
3
21
40
@legendary_gend
legendary
8 months
๐Ÿ’ฅshalauti kwa wanangu wa chuo mpo tayari kupiga pas ndefu au kushindia mihogo Ila mfukoni una IPHONE mnasemaga Zina unyama kwenye picha. Na huwa mpo smart Sana Ila njaa kali sema fresh nawakubar Sana ๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช
Tweet media one
6
16
39
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅko wanetu wa dasilamu round hii bill ya ulinzi hamlipi mnalindwa na jeshi la polisi,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
4
17
40
@legendary_gend
legendary
2 years
0
0
34
@legendary_gend
legendary
8 months
๐Ÿ’ฅMapambio ya kukwepa lunch Kila day tunapiga wote Ila wanangu Kila siku mnanunua blue tick,,. Umoja uko wap??
Tweet media one
5
13
38
@legendary_gend
legendary
9 months
๐Ÿ’ฅKuna wanetu jau Sana humu ha engage Ila anakumbuka kukutag kwenye post yake. Hawa nao ni wachawi Tena wanaroga mchana๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ.
6
14
36
@legendary_gend
legendary
6 months
๐Ÿ’ฅMtu Demu huna, pombe hunywi, unashabikia timu mbovu bado mchana unakwepa lunch, hauna ujenzi,,. Si Bora uende urusi ukapigane vita,,,,๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
19
39
@legendary_gend
legendary
11 months
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ reaction ya pacome baada ya kuchip mpira umfikie guede๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
3
1
38
@legendary_gend
legendary
1 year
I stend with wakat upo geto ambalo hata umeme haupo toka mageton nenda battlefield uka stend with TZ tuomben aman siku ikitokea vita tutakufa kama kunguni wa paris
Tweet media one
4
13
34
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅ last time nilipima October 16 Leo Tena nimepima HIV October 25 still neg. Mjuba nitafte mali moja Safi Sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.Wajuba pimeni nyau nyie mwanaume unapima UTI ,,๐Ÿ˜‚ Kapimeni HIV wahalifu nyie,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
15
12
37
@legendary_gend
legendary
6 months
๐Ÿ’ฅ. Hawa yanga u serious ndo vitu hawanaga kabisa kwenye mishe zao Wakali๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
6
33
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅWanetu mlio oa mna mioyo ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ. Kila nikikumbuka NDOA ni pingu za maisha wazi la kuoa linayeyuka,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
4
15
36
@legendary_gend
legendary
1 year
๐Ÿ’ฅMaaaamae Hawa chipkizi soon wataanza kutufokea jobless Wakati hawana hata vyeti๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
5
2
33
@legendary_gend
legendary
1 year
Leo nimepita kwa dada muuza uji nikasema nionje uji mtam mno huu๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Tweet media one
6
16
34
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅKuna muda mjuba napita kwenye maduka ya nguo naona vinguo vizuri kinoma najisemea hiki kitamfaa mtoto wa mama mkwe ,,๐Ÿ˜‚. Ila nikikumbuka kunitafta mpaka nimtafte ninawahi kuweka bili ya matunda na maziwa,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
9
17
36
@legendary_gend
legendary
1 year
Vile nasukuma maisha yangu weekend,,,๐Ÿ˜
Tweet media one
1
5
32
@legendary_gend
legendary
5 months
๐Ÿ’ฅ Kuna hii jobless unaulizwa na Demu hivi unafanyaga kazi gan ,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Wajuba huu nao ni ukatili,,๐Ÿ˜‚
Tweet media one
10
17
36
@legendary_gend
legendary
7 months
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ˜… Kuna siku Gamond ataweka Hawa pichani kwenye line up mwenye blich mmoja anashuka chini watatu wanamaliza juu ,, nawaza tu. Chini AUCHO na mdathir halafu timu yako iwe UNGA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
6
16
33
@legendary_gend
legendary
6 months
๐Ÿ’ฅAnatokea mlevi mmoja anatanua mdomo Wanawake wote ni sawa,,๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Tweet media one
8
6
36
@legendary_gend
legendary
1 year
IG; queen B.FB; joceline.X; De cute .Home; Nyangoma sabini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
8
16
34
@legendary_gend
legendary
4 months
๐Ÿ’ฅBaridi Kali Sina pesa Sina Demu na Sina mchongo ,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Mbaya Zaid Sina hata mkeka na Leo ni UEFA nahisi kuganda daadek,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
6
14
32