Koku Shekya🇹🇿 Profile Banner
Koku Shekya🇹🇿 Profile
Koku Shekya🇹🇿

@koku_shekya

Followers
2,274
Following
869
Media
208
Statuses
8,360

♊️GEMINI || INTROVERT 🤗||Liverpool ||YoungAfrican ❤️💚| stubborn ,tenacious, playful and loyal

Kemondo Rwagati
Joined October 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Nimemvalisha huyu kijana 🤗! Wababa njoeni mpendeze jameni sina kazi ingine mjini ….🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
26
61
314
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
21 days
“Ukisha kuwa kwenye mahusiano na Mtu ambae kwao ni “First Born” kuna vitu unatakiwa umuelewe tu na umpunguzie majukumu. Hawa watu wana beba mizigo mingi mno.
69
192
1K
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
6 days
Nna mwaka na nusu nanunua vitu kwenye hili duka , yaani wananijua haswa(loyal customer) , leo nimeenda buy kitu imepungua 30k wakagoma kunikopesha 😫 nimehuzunika sana, na nikajifunza kitu.
114
49
999
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
Kuna hii famili nimetembelea, mkimaliza kula kila mtu anaosha sahani yake hadi baba mwenye nyumba na mgeni pia unaosha sahani yako 🤭😅
60
36
742
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
7 months
🥂
Tweet media one
27
48
694
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
“Nizalie Nikuoe “ “Nioe Nikuzalie “
Tweet media one
36
68
646
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Kila nikimuangalia Mke wa P funky , na Kajala Mke wa sugu na Faiza !😅 Najifunza vitu vingi .
45
37
561
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
🤗 daima mbele nyuma mwiko 🔥💛💚
Tweet media one
63
31
551
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Wanandoa watarajiwa wako hapa dukani , harusi jumamosi lakini 🤣 washatoleana maneno ya karaha hapa yoo🤣🤣 dada anataka gauni 2 in 1 ni 1.8M ,kaka anataka gauni ya laki 8 na nusu💔
68
27
543
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Mwanamke anaweza akaolewa, akazaa na bado akawa haja move on kutoka kwa Ex wake 🤣🤣
37
30
514
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
27 days
Karatasi ya mwaka jana ya kulipia Bango la biashara walipima wakanambia ni laki 2 na 35, mwaka huu wamepima nimeambiwa nilipe laki 335,400🤦🏾‍♀️ bango lile lile , mwakani nahisi ntaambiwa laki 5 Mama samia tuue wafanya biashara.
50
52
478
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
16 days
“ Nimepita mtaani nikakuta Mubaba mmoja amekaa chini ya mti na mtoto wa kike , uyo kiddo ni kama ana miaka 4 hivi au 5 kwa muonekano nimechoka zaidi naskia uyo mubaba anamwambia “ Hivi Kwanini Mama yako anaponigombeza unitetei 😂 Kwani uoni kama naonewa “.
23
20
433
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Yaani wanaume nowdays wanajua kupika hadi wananiogopesha jamani 🤣🤣 sijui nita bring nini to the table muhaya 😫
51
16
385
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
28 days
Humu twitter mtu anaweza kukuchafua na kitu ambacho unashindwa hata kujitetea mtu anasema “ Ana kibamia “ Ananuka kisamaki “ Anashiriki” mapenzi ya jinsia moja” unawezaje kuaminisha mamilioni ya watu kuwa hauko hivyo 🤦🏾‍♀️
43
19
350
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
23 days
Me: Baada ya kumpa boxer, perfume na soksi.
Tweet media one
39
17
337
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Kuna mtu kanambia mwanaume hadi akuoe ni lazima utoke nae mbali 🥹 yaani uanze nae chini … amenipa hofu sana na wasiwasi yani sina nilie anza nae chini wala kati 😅🥹 Kasheshe😂😂
58
13
332
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
Nimeona picha ya mke wa yalevis tiktok nikalinganisha na wale wadada wa Uganda 😂🤭, kama kweli huyo ndo wife , itoshe kusema “ Wanaume wanajua wanachotaka 😄yoo
20
13
321
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
🍫 ☺️
Tweet media one
@Njoki_Njanja
Kiki
2 months
There's something about mirror selfies. Let me see your favourite one
172
153
739
27
31
272
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
27 🤗
Tweet media one
@Iameniolamyde
DemiLade
3 months
20yrs - 45yrs old , bless us with your picture/video. Let’s see you and appreciate God’s creatures.
439
126
846
25
23
259
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Bio inasoma Taken 💍 Lakini picha zote mtu anapiga amegeuka kwa nyuma , au amekaa hivi kinamna 😅… Uyo alie mtake haoni izo picha au ? Me ndo sielewi hapa
32
19
253
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
15 days
☺️🔥
Tweet media one
Tweet media two
35
41
226
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
“ Mwanaume anatoa Taarifa” “Mwanamke anaomba Ruhusa “ Mdau kutoka Mpumalanga 😅
14
19
225
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Ningepata mkaka avae suti zangu tupige picha angenisaidia sana jamani 😒nipate kuzipost
48
23
218
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
2 hours in Relationship !! Me : saidia maskini babe 😂
Tweet media one
42
45
216
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Kutongoza ni kazi sana binafsi nisingeweza 😂’ Kuanzisha usihano jipya ndio kibarua zaidi hadi mzoeane mmh🤭 it’s not easy Bado ujaombwa nunu mmh 😩
22
13
212
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Mtu alienizidi miaka kuanzia 8 kuendelea akishindwa ku Reason…ananipa wakati mgumu sana asee🤣😅 mtu anaamua tu kuwa bumunda bila kujali umri wake oke …oke
24
22
210
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
“Mwanaume akikuzidi akili anakuwa na mvuto wa kipekee sana “ Mdau kutoka kinyanambo A.
17
26
204
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Lakini kupiga picha kwenye mahotel makubwa haimaanishi ww ni Tajiri ! Tusijisahau jamani
27
27
195
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
12 days
Tweet media one
@its_tiidoo
tido bling
1 year
Quote this tweet with your Instagram feed? 🥺🤲🏾
2K
294
4K
23
26
194
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
🤗
Tweet media one
Tweet media two
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Denim skirt 🔥🔥🔥
1
0
6
37
22
192
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
9 days
Tweet media one
Tweet media two
23
23
191
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Kyakulya 😋
Tweet media one
28
9
190
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
Kuna watu ukiwapa zawadi ata kama ndogo tu wanashukuru hadi unasikia raha moyoni 🥰 wanatia moyo sana hawa .
15
25
187
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Kulea ni kazi sana 😂 My Nephew kachukua veet( hair removal cream) kapaka kichwani adi usoni 😂nywele zimetoka zote hadi nyusi 🤭😂😩
24
7
186
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Siku za weekend 🍻 ntakuwa nazima cm naiacha home 🤭kuna mahali nilituma voice note jana uwiii 💔🤣 Shame 😭
20
7
179
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Mtu akikutoa dinner date make sure anacho agiza yeye ndio unacho agiza 🤭 mambo ya niagize juice ya 10k afu yako 25k utanikwaza 😂🤭
31
17
179
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
I was once a loyal side chick 😭.. the faithful side chick ..mnisaidie kusikitika kwanza 🤣🤣
22
6
164
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
16 days
Psalm 23:😌
Tweet media one
13
13
163
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
September 1 🤗 Dhow Palace Hotel
Tweet media one
Tweet media two
12
15
161
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Bwana yesu Asante kwa maisha ☺️!.
Tweet media one
17
12
160
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Tl madaktari: Mimi mtu akisugua sufuria au chuma chochote meno yanauma sana shida nini ?
12
5
155
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Huyu dada yuko Dubai , nikamwambia na mimi nataka kwenda 😕, kanijibu .. Hela aitaki waoga je ntaweza ? ?
18
9
146
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
Bukoba Tanzania 🇹🇿 🤗
Tweet media one
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Wazululaji wenzangu hiki kisiwa kipo mkoa gani apa TZ?? 🤨
Tweet media one
25
10
68
19
14
147
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Mtu ana mahusiano saba na yote yeye ndio Main chick 😫.. 🤣 huwa wanafanyaje fanyaje jameni
19
5
142
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Kuuza nguo za wababa kazi sana 🤭🤣 “ koku unaweza kuja kunivalisha .“ “ koku niletee suti saba ila ulete wewe sio boda niko bagamoyo “. “ koku zipu ya suruali aifungi njoo unisaidie “
17
7
142
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Nafikiri ni bora kumwambia mtu asie kufahamu kabisa Siri zako na matatizo yako kuliko ndugu zako au Rafiki zako 🤣🙌🏾….. mimi nikitaka ku vent huwa nachagua mtu asie nijua kabisaa …
13
22
142
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Wababa ili mtu ahongwe 5M vigezo ni vipi ??🤣🤭
34
8
140
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
6 months
So dukani kwangu leo kulitokea vita😂 amekuja mbaba na mwanamke wake ku shop suti na gauni , sasa wakati wanajaribisha akaingia mteja mwingine mwanamke wa makamo 😩😆 kumbe ni mke wa huyu baba , ndio natoka polisi kutoa ushaidi 😂
15
10
140
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Rafiki angu kafanya tounge piercing 🥺 kazimia …?? Wamempeleka marie stopes… yoo 😟
16
7
138
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Sitawafundisha kila kitu , Muwekezaji lazima umpige na maombi kidogo 😂😂..🤭 azidi kuwa Rich plenty times
29
15
136
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Meseji ya I miss you uko wapi njoo 🤣 huwa wanataka ijibiwe kwa haraka .. Ila ya …. Baby sorry nashida na hela huwa inachelewa sana kuwafikia 😅??!!
16
9
135
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
“Hio firigisi ni ya Baba “ Mtu asiguse . 🤣🤣 Why ?? Yaani why ni yake?? Si ale kipapatio 🤭
27
4
135
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Nimepigiwa Cm akasema yeye ni mtendaji wa kata yangu kuna Mfuko wa Tasafu natakiwa kuchangia pesa 🤣🤭nikamuuliza kata gani? Akanitukana sana 🥹matusi mengi mno 😫
15
12
135
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Bio : I’m Taken 💍🔐❤️ Whatsup status: Nani ako free tukale piza ?? Nani aninunulie biriyani ? Si mtu anikopeshe 20k ….
22
16
132
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
6 months
Mimi Binafsi namuomba Mungu anipe mwanaume atakae nihurumia tu, 😂😑 mengine yanavumilika 😑
14
8
133
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Mimi binafsi , mubaba wangu atavaa sana 🤣🤣 ntahakikisha anavaa vizuri ananukia ndo akanisaliti huko na wengine akiwa smart 🤗🤣
21
12
128
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
“ Kama ana bring everything to the table , na kwa kitanda why usimpe allowence ama ni uchoyo “?? Mdau kutoka Rwamishenye.
16
10
126
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Msaada sio haki yako . Tafuta vya kwako .
@LeyAllyie
Leyla Mohamed🇹🇿
2 months
As you got older what did you realize?
31
7
63
5
45
126
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Ela ni ngumu sana 😫🤣 kama kuna mtu anakuhonga tu Respect that muwekezaji na mpige maombi mazito
10
12
125
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Numero uno wana sell 🔥🔥Bei kitonga
Tweet media one
Tweet media two
7
3
124
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Akianza kukuita tu independent lady, mara boss lady, 🤣 ooh wakishua wewe mmmh 🚩🚩Run ….😅 kuna namna hutakaa upewe ata ya bando
14
14
122
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
🔥🔥💃🏽🥂
Tweet media one
14
9
122
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Kupika chapati ya kusukuma imekuwa bado ni changamoto sana kwangu 😫😅 hii ya leo ni ngumu sana 🤣🤭
22
2
122
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Asubuhi nafungua duka , nikakuta mkaka kalala kwenye kibaraza nikajua mlevi nikampita tu , kumbe alikuwa kashakufa wanasema alilewa sana jana akagongwa na boda then boda wakambeba wakamlaza hapa 😭
19
8
117
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Na bado mtu anakuacha 🥹😫 haki wababa …
Tweet media one
18
8
117
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Hapa wana mbuzi kitunguu moja 🔥😋
Tweet media one
Tweet media two
20
13
119
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Bolt: samahani dada ! Ww ni dada nimekushusha apo samaki samaki ? Mida hii? Me: Ndio , kuna shida? Bolt: Sasa katika izi ela umenipa moja imeandikwa na kalamu ya blue alafu majina ni ya ukoo wangu ! Me: 🤔( confused)????’!!!??
5
11
119
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Huyu Ana miaka 29 amevalishwa leo promise Ring 🤣 ila wanaume …
14
7
118
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Unafatwa na Range …. Unarudi na boda boda 🤣🤣🤣💔
11
15
111
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
20 days
Unachati na Muwekezaji , alafu ni wa makamo haswa ajui matumizi ya emoji inabidi utume na maelekezo , unamtumia hii anakwambia 🤭 “ mbona umefunga mdomo mamaa” 😂” unalia nini “ 😌” umechukia ??wapi nimekukwaza”
23
15
112
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
After watching hii series ! Nafikiri mwanamke akisha olewa anatakiwa kuacha kabisa urafiki na mashoga zake ambao hawaja olewa 🤭 atengeneze new friends ambao wako kwa ndoa .
9
8
113
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
7 days
Isaiah 60:22 A little one shall become a thousand, and a small one a strong nation: I the LORD will hasten it in his time.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@LuckyLu____
FUNDI JUMA 🇿🇦
8 days
September photo dump let’s have it.
49
30
213
7
11
109
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
26 days
Vanilla icecream mix Amarula mix Jägermeister 🥂 very nice combo 🔥
19
7
109
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
9 days
Gratitude 🙏
Tweet media one
Tweet media two
3
10
110
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Ukipiga masanga kidogo ndio unajua nani ! unampenda 🤣🤣😅….. wacha nizime cm 🤭🤣🤣
12
6
108
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Na wazungu wakijifungua wanakandwa maji ya moto ?? Or??
16
7
106
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
•Level 27 unlocked 🎮🔓 #Gemini ♊️🥳🥳
Tweet media one
46
13
105
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Wa hivi tu God 🤲🏾 saidia mimi 🤣
15
4
100
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Achana na bamia 🤣🤭 piga hii kutwa mara 2 😑😅
Tweet media one
17
7
100
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
😫😅 mimi nimetulia sana , uwe na Amani 🫠🤣
@SharonMontana20
Mishy🇲🇫
4 months
@koku_shekya njoo hapa wanyumbani 😂
Tweet media one
1
0
3
25
2
100
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Friday 🤗
Tweet media one
5
4
101
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Nitoe hela yangu ninunue Hennessy?? sio mimi 🤣 bora ata flying fish ina sukari 😅🤣
11
7
98
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Hawa wachina na waturuki wanauza dawa za kuongeza shape na nono🤣 lakini mbona wao hawazitumii izo dawa jamani 😫😭
16
8
97
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
What if KATERERO FISH BUTCHERY SHOP mtanunua ?🤣🤣 maana nguo hamtaki 😭
18
2
96
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 months
Him: koku zamu yako kukalia kwa juu Me :
Tweet media one
15
4
97
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Man u akifungwa ntalala kwa amani sana 🤭😅
Tweet media one
30
6
96
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
5 days
Chipsi yai ya mwisho kabla nianze Gym 🏋️‍♀️🤭😂
Tweet media one
32
9
135
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
21 days
Umesikia wewe 🤭
Tweet media one
@BenyTheTraveler
Travel With Ben🇹🇿🌍
21 days
T3 on point 🔥🔥🔥
2
1
15
20
5
93
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Standard inakuwaga Earned sio unadai dai kama mwehu , My ego this my ego that …we ni kajinga tumia akili uishi na watu vizuri 🤣🤣😫
12
13
87
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
“ mwambie ntamblock “ “ Soon nablock watu humu “ “Kuna baadhi ya namba nafuta “. 🤦🏽‍♀️🤣🤣 hivi hawa huwa wako sawa ‘? Kwamba ukiniblock sitaweza kula chipsi mayai au childish 😅 block bila matangazo … who cares 🤷🏾‍♀️
14
11
89
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
2 months
Psalm 16:11 ☺️
Tweet media one
Tweet media two
5
4
90
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Wanapaki o estrogen supplements vizuri. 😅 vidonge 60 wanauza 350k .. wanasema.. Zinaongeza makalio na kutoa nyama uzembe, na kuweka boobs vizuri, na kutoa chunusi, bla bla bla Wanapiga hela 🤔
8
4
83
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
Psalm 107 🦦
Tweet media one
Tweet media two
8
9
86
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
22 days
Umekaa zako tu hivi Una swipe up Tiktok unakutana na video ya yule Lulu mganga analoga mtu na majina yanayotajwa ni yako alafu yote matatu 😫😂😅
7
3
86
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
So this guy blocked me, and then unblocked me to send the middle finger emoji, then reblocked before I could respond 😭😭 Yoo chest pain 🥹😫😭
20
3
79
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
3 months
Akuu🤣 mambo ya watu wanao chunguliana sio ya kuingilia kabisa …🤭💔
Tweet media one
14
4
79
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
6 months
@jobles_bukujero Mtu ana duka la soksi sinza ! 🤭 frame milioni moja 😂 hii inabidi nikae chini nielekezwe
11
1
80
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
12 days
“ Mtu anae kuandikia meseji ndefu kama gazeti ni wa kuwa nae makini sana hashindwi kukunyonga usiku mkilala “ Mdau kutoka duga mwembeni.
12
8
81
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
1 month
🤗🦦
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@LuckyLu____
FUNDI JUMA 🇿🇦
1 month
August photodumps let’s have it.
66
22
200
1
4
78
@koku_shekya
Koku Shekya🇹🇿
4 months
Nipate hata ya kupima hii 🤣 asee inanukia vizuri jamani 🔥🔥
Tweet media one
6
7
75