“Ukisha kuwa kwenye mahusiano na Mtu ambae kwao ni “First Born” kuna vitu unatakiwa umuelewe tu na umpunguzie majukumu. Hawa watu wana beba mizigo mingi mno.
Nna mwaka na nusu nanunua vitu kwenye hili duka , yaani wananijua haswa(loyal customer) , leo nimeenda buy kitu imepungua 30k wakagoma kunikopesha 😫 nimehuzunika sana, na nikajifunza kitu.
Wanandoa watarajiwa wako hapa dukani , harusi jumamosi lakini 🤣 washatoleana maneno ya karaha hapa yoo🤣🤣 dada anataka gauni 2 in 1 ni 1.8M ,kaka anataka gauni ya laki 8 na nusu💔
Karatasi ya mwaka jana ya kulipia Bango la biashara walipima wakanambia ni laki 2 na 35, mwaka huu wamepima nimeambiwa nilipe laki 335,400🤦🏾♀️ bango lile lile , mwakani nahisi ntaambiwa laki 5
Mama samia tuue wafanya biashara.
“ Nimepita mtaani nikakuta Mubaba mmoja amekaa chini ya mti na mtoto wa kike , uyo kiddo ni kama ana miaka 4 hivi au 5 kwa muonekano nimechoka zaidi naskia uyo mubaba anamwambia “ Hivi Kwanini Mama yako anaponigombeza unitetei 😂 Kwani uoni kama naonewa “.
Humu twitter mtu anaweza kukuchafua na kitu ambacho unashindwa hata kujitetea mtu anasema “ Ana kibamia “ Ananuka kisamaki “ Anashiriki” mapenzi ya jinsia moja” unawezaje kuaminisha mamilioni ya watu kuwa hauko hivyo 🤦🏾♀️
Kuna mtu kanambia mwanaume hadi akuoe ni lazima utoke nae mbali 🥹 yaani uanze nae chini … amenipa hofu sana na wasiwasi yani sina nilie anza nae chini wala kati 😅🥹
Kasheshe😂😂
Nimeona picha ya mke wa yalevis tiktok nikalinganisha na wale wadada wa Uganda 😂🤭, kama kweli huyo ndo wife , itoshe kusema “ Wanaume wanajua wanachotaka 😄yoo
Bio inasoma Taken 💍 Lakini picha zote mtu anapiga amegeuka kwa nyuma , au amekaa hivi kinamna 😅… Uyo alie mtake haoni izo picha au ? Me ndo sielewi hapa
Mtu alienizidi miaka kuanzia 8 kuendelea akishindwa ku Reason…ananipa wakati mgumu sana asee🤣😅 mtu anaamua tu kuwa bumunda bila kujali umri wake oke …oke
Kuuza nguo za wababa kazi sana 🤭🤣
“ koku unaweza kuja kunivalisha .“
“ koku niletee suti saba ila ulete wewe sio boda niko bagamoyo “.
“ koku zipu ya suruali aifungi njoo unisaidie “
Nafikiri ni bora kumwambia mtu asie kufahamu kabisa Siri zako na matatizo yako kuliko ndugu zako au Rafiki zako 🤣🙌🏾….. mimi nikitaka ku vent huwa nachagua mtu asie nijua kabisaa …
So dukani kwangu leo kulitokea vita😂 amekuja mbaba na mwanamke wake ku shop suti na gauni , sasa wakati wanajaribisha akaingia mteja mwingine mwanamke wa makamo 😩😆 kumbe ni mke wa huyu baba , ndio natoka polisi kutoa ushaidi 😂
Nimepigiwa Cm akasema yeye ni mtendaji wa kata yangu kuna Mfuko wa Tasafu natakiwa kuchangia pesa 🤣🤭nikamuuliza kata gani?
Akanitukana sana 🥹matusi mengi mno 😫
Asubuhi nafungua duka , nikakuta mkaka kalala kwenye kibaraza nikajua mlevi nikampita tu , kumbe alikuwa kashakufa wanasema alilewa sana jana akagongwa na boda then boda wakambeba wakamlaza hapa 😭
Bolt: samahani dada ! Ww ni dada nimekushusha apo samaki samaki ? Mida hii?
Me: Ndio , kuna shida?
Bolt: Sasa katika izi ela umenipa moja imeandikwa na kalamu ya blue alafu majina ni ya ukoo wangu !
Me: 🤔( confused)????’!!!??
Unachati na Muwekezaji , alafu ni wa makamo haswa ajui matumizi ya emoji inabidi utume na maelekezo , unamtumia hii anakwambia
🤭 “ mbona umefunga mdomo mamaa”
😂” unalia nini “
😌” umechukia ??wapi nimekukwaza”
After watching hii series ! Nafikiri mwanamke akisha olewa anatakiwa kuacha kabisa urafiki na mashoga zake ambao hawaja olewa 🤭 atengeneze new friends ambao wako kwa ndoa .
“ mwambie ntamblock “
“ Soon nablock watu humu “
“Kuna baadhi ya namba nafuta “.
🤦🏽♀️🤣🤣 hivi hawa huwa wako sawa ‘? Kwamba ukiniblock sitaweza kula chipsi mayai au childish 😅 block bila matangazo … who cares 🤷🏾♀️
Wanapaki o estrogen supplements vizuri. 😅 vidonge 60 wanauza 350k .. wanasema..
Zinaongeza makalio na kutoa nyama uzembe, na kuweka boobs vizuri, na kutoa chunusi, bla bla bla
Wanapiga hela 🤔