TUJADILI : Hivi Kwanini Biashara za Mastaa wa Bongo Hazidumu kama Mastaa wenzetu wa Nje? Mofaya imekufa, ChibuPerfume imekufa, Viatu Vya Vanessa vimepotea, Lipstick za Wema zimepotea sokoni, Shida iko wapi ??😟😟😟
Your Birth Month Is Your Personality. Which Month Are You?😂😂😂
Jan: Serious Person
Feb; Stingy
Mar: Cutest
Apr: Softest Person
May: Kindest
Jun: Funniest Person
Jul: Perfectionist
Aug: Charming Person
Sep: Romantic
Oct: Prettiest Person
Nov: Perfect Lover
Dec: horny Person
JAMANI TUWE MAKINI NA VYAKULA VYA MABARABARANI HUKO.
Kuna jirani yangu hapa katoka kazini kafika Sinza Mori akakuta pweza basi akala pweza wa buku na kachori za mia tanoAkaomba na supu ya pweza ya mia tatu akashushia.Baadae kaelelekea nyumbani kwake kamkuta mkewe akamuomba maji
Gm
Which country are you from?
🇦🇪🇳🇬🇮🇳🇦🇺🇺🇸🇰🇪🇵🇰🇨🇳🇳🇵🇿🇦🇬🇭🇳🇬🇪🇬🇧🇷🇩🇿🇺🇸🇵🇰🇹🇷🇿🇦🇬🇩🇳🇪🇩🇰🇯🇵🇹🇬🇪🇷🇲🇦🇭🇹🇹🇹🇨🇦🇮🇳🇭🇷🇰🇵🏴🇬🇧🇫🇮🇵🇪🇸🇦🇷🇺🇮🇶🇫🇷🇸🇴🇵🇾🇲🇾🇱🇷🇵🇷🇨🇺🇨🇬🇰🇷🇸🇾🇾🇪🇭🇺🇳🇴🇹🇯🇮🇷🇦🇺🇳🇱🇸🇪🇬🇭🇩🇪🇦🇷🇬🇬🇱🇧🇻🇪🇬🇲🇷🇸🇱🇹🇸🇷🇰🇪🇬🇲🇨🇲🇸🇳🇮🇹🇲🇽🇮🇪🇬🇳🇬🇷🇲🇱🇬🇾🇮🇸🇦🇫🇦🇴🇸🇬🏴🇨🇭🇳🇵🇵🇸🏴🇰🇼🇸🇩🇹🇨🇸🇽🇨🇦🇹🇭🇺🇸
Let's. Make Friends 🌎👤
I Will Follow B.ack All retweet.
WATU WENGI WANA AMINI KAMA UKICHORA TATOO BASI WEWE NI MUHUNI TU... HAIJALISHI UMECHORA KITU GANI,HATA KAMA UMECHORA KITU CHA DINI..
Maoni yako ni yapi?
Kuna jamaa anafollowers 100 kila post yake inalikes 1000 lakini sasa kuna mwamba anafollowers 11k ila sasa post zake zina like hazifiki hata 100 maana yake ni nini 🤔
Ni mtandao gani wa kijamii kwako ni bora muda wote toka umeanza kuutumia?
1. Instagram
2. Facebook
3. WhatsApp
4. Telegram
5. Snapchat
6. WeChat
7. Twitter
8. Messenger
Taja mmoja tu 👇
KAKA ANGU ALINUNUA SIMU MPYA AKANIPA YA ZAMANI,AKANUNUA GARI JIPYA AKANIPA LILE LA ZAMANI JANA KAOA MKE WA PILI NDO NIPO HAPA KWAKE NASUBIRI HATMA YANGU😎
Hamna kitu inaumizaga akili kama mtu anakuambia follow for follow back alafu ana followers 14.5k following 10 sijui wanamaanishaga wanafollow back majini
Hii ni picha ilipigwa wakati wa kushoot moja ya scene katika movie ya 2PAC inayo tambulika kwa jina la JUICE ya mwaka 1996. Movie ambayo inaelezea maisha ya vijana wa kimarekani jinsi gani wanaishi, michezo ya kamari, matumizi ya silaa, sanaa na mambo mengine kibao. JUICE1996
Leo nikiwa natoka chuo kuna shule ipo hapa sinza ni ya sekondari kuna mama na mwanae anamimba alikuwa anampeleka mwanae kwa mwalimu ili ataje aliempa mimba, Ss nimebaki na maswali huyu mwanafunzi kama kashindwa kumwambia mama yake aliempa mimba je akfika kwa mwalimu ndo atamtaja?