Mr47 Profile Banner
Mr47 Profile
Mr47

@kevo_Dady

Followers
6,088
Following
2,434
Media
831
Statuses
31,838

INFLUENCER MAN || CONTENTS CREATER 📗|| KIPENZI CHA WAPWA🎀 @ManUtd @cristiano @YoungAfricansEN #Wakuretweet_HQ MR video Chini 👇

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Dada ajamuachisha mwanae kunyonya adi katimiza miaka 7 sijajua shida nini Ila huu ni upumbavu haiwezekani Jamaa li kubwa kiasi hicho linyonye Tazama video chini
Tweet media one
Tweet media two
220
100
1K
@kevo_Dady
Mr47
1 year
George Ambangile ni hatari Lakini Ramadhani Mbwaduke ni hatari zaidi🔥 Fact: Anacho fanya Ambangile Mbwaduke anaweza Lakini Anachofanya Mbwaduke Ambangile hawezi. (Takwimu)!!!
Tweet media one
Tweet media two
123
64
1K
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Wazee wa jkt location ni wapi…???
Tweet media one
105
51
1K
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Haya tujifunze sasa
Tweet media one
188
66
954
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Kuna vitu ukijichanganye inabidi iwe siri yenu tu mademu wakiwa mapacha ni tabu sana Jamaa kaingia mkenge Kama wew ungefanyaje Tazama video chini
Tweet media one
Tweet media two
41
51
710
@kevo_Dady
Mr47
11 months
NAJUA WATOTO WA 2002 hawawezi mjua kuwa huyu ndo muanzilishi wa Neno WASAFI pale WCB
Tweet media one
60
59
619
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Hakuna mtu mwenye picha kali kuzidi hii ata yeye mwenyewe hana Onyesha
Tweet media one
22
35
391
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Najua hamjui acha niwaambie Harmonize kajichukulia Tuzo 3 yani Tatrick msanii bora Africa nyimbo bora afrika na video bora Africa Usiniulize alishindana na nani we elewa ivo tu Tazama video
Tweet media one
Tweet media two
16
34
262
@kevo_Dady
Mr47
1 year
7
18
236
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Haitaji kumwachisha kunyonya
17
25
212
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Watu wanapambana sana kutoboa imagine huyu mama anavuka apo na mtoto mdogo kiasi icho 🥹 Video ipo chini 👇
Tweet media one
16
43
196
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Hivi Apa sijaelewa alieelewa masaada
Tweet media one
23
32
183
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Umiza kichwa kidogo….?
Tweet media one
120
20
179
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Kijana wa secondary Ametumwa kuleta mzazikaleta mzazi Fake Baada ya kugundulika kuwa si mzazi wake Huyo mzazi fake akashikishwa vidole na Mwalimu kupigwa stiki Je kama ndo wewe mzazi fake ungekubali uchapwa..!!
Tweet media one
Tweet media two
22
35
181
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Vijana wamevamia Duka la Apple uko Malekani na kuiba tablets IPhone 15 na product mbali mbali za apple Baada ya kutoka nazo nje tu zikawa disabled kumbe zilikuwa kwajili ya maonyesho tu jinsi ya kutumia izo product za Especially IPhone 15 Video ipo chini 👇
Tweet media one
18
29
176
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Oya kuna kitu kinanichanganya ivi yule demu alie cheza movie ya the twins ndo huyu Luckiya au uyu ni nani..??
Tweet media one
Tweet media two
17
33
168
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Nikikumbuka kuwa hi ndo ilikuwa movie yangu pendwa pumbu zote zinarudi ndani tumepangwa sana enewei Jamaa yupo wapi saiv
Tweet media one
Tweet media two
26
38
152
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Wanangu nipo kwa broo hapa tuone sasa wazee wa location hapa ni wapi wengi hawawezi pajua hapa
Tweet media one
85
29
149
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Mh Shabby wa mkoa wa Moro kaongea ukweli mtupu hapa chajabu hata makofi hajapigiwa inauma sana hii Tatizo ni uwoga maybe 🤔 Video ipo chini tizama apo
Tweet media one
13
34
144
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Haya kimenuka uku mbagara Live Video ipo chini 👇👇
Tweet media one
23
40
136
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hawa wa dada wanachokifanya uko mbagara ni aibu haya wanamwaga razi kweupe hivi vigoma inabidi vikatazwe sio siri Video chini hapo
Tweet media one
13
28
136
@kevo_Dady
Mr47
1 year
TENGE SIKU YA JUMAPILI KWAJILI YA KUMWOMBA MUNGU NA KUTUBU ZAMBI ZAKO AMEN 🙏
10
51
131
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Huyu dada anaitwa caren simba Ana mtoto mmoja alishaachana na baba watoto wake kiukweli huyu dada anasifanyingi sana Ana umiss b flani ivi
Tweet media one
18
32
131
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Huu ushamba watu utawauwa huyu dada kashindwa kupanda apo nakuanguka kwa aibu mpaka kuvutwa chini Tazama video chini
Tweet media one
Tweet media two
19
39
128
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Ukingia anga za Bulutiki Violensi muhimu kesho kutwa sio mbali lakini
Tweet media one
24
27
114
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Oya wanangu tunaweza tukaanzisha ka Group ehh maana jana Mwindi nimemfumua nje ndani 💵💵 Haya shusheni namba zenu uko Dm niwape za vocha Hakikisha umeni follow mamae🙃
Tweet media one
Tweet media two
39
32
113
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hawa jamaa wakipata msaada watafika mbali sana Natamani ngoma yao ya pamoja siku
Tweet media one
Tweet media two
9
36
118
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Wabunge wamshangilia hamedy ally na ally kamwe Bungeni lakin Mbona kama kuna kaunafki Fulani hivi hapa Bungeni Tazama video chini
Tweet media one
Tweet media two
7
13
111
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hawa jamaa kwa Arusha na Moshi yani Kaskazini nzima Kwa ujumla wana mashabiki wengi Kuliko msanii yeyote Yule Wana ka Ufalme flani hivi “Machali wa Tundu”
Tweet media one
10
32
107
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Tukumbushane kidogo JKT ulikuwa kikosi gani mi Ruvu 832kj
Tweet media one
37
31
98
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Shusha Handle Followers Ni Wengi Leo
Tweet media one
58
17
97
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Mwombe mungu kwa kila ulifanyalo maana yeye ndiye muweza wa yote Good morning my family gang..!!!
17
47
95
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Yupi anastahili kati ya hawa kwa simba lamasimba dangote A Vs B
Tweet media one
Tweet media two
18
47
96
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Je simu yako umeishika vipi kwa sasa
Tweet media one
37
30
93
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Katika penye mafanikio Lazima tungane kwa pamoja na kusupportiana haya nayo ni mafanikio pia Jifunze kuwa na Furaha pindi mwenzio anapokuwa na furaha katika jambo lake onyesha kuwa na upendo Hongera sana @Neypaul01 Dj play “POST MALONE CONGRATULATION 🎵
Tweet media one
Tweet media two
6
42
91
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hili zoezi kwa mwanaume linahumuhimu gani maana naona matako yanazidi kujaa tuu Video chini hapo uone
Tweet media one
Tweet media two
23
37
93
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Hizi ist ni nyingi kirefu chake ni nini tujifunze kidogo
Tweet media one
28
30
89
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hivi hii simba kuanzia kipa adi Mashabiki njee wote wana Laumiana tu yani mpaka waseme Video ipo chini👇
Tweet media one
4
23
85
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Kijana miaka 23 utelezi ni mgumu kwako Sa sibola ungekuwa fisi tu Tazama video chini
Tweet media one
Tweet media two
16
28
82
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Best Rapper Ever…!!!
Tweet media one
17
33
81
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hakikisha mpenzi wako ajui kipato chako itakusaidia katika maisha yako ya mbeleni
Tweet media one
19
29
79
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Ukweli usemwe huyu hawezi kuwa mridhi wa Diamond kipindi diamond ana miaka 28 alikuwa tayari kashafanya kila kitu na collaboration nyingi kubwa sasa kwa omary ni kipi kikubwa alicho kifanya ambacho njee ya nchii kuwa ni tishio na kushindanishwa hakuna kwahyo hawezi tena📌
Tweet media one
10
21
85
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Huyu Pau Marioo hakukosea Cheki video uwone majabu 👇
Tweet media one
7
26
77
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Ni kitu gani unakukumbuka Kutoka kwa mkali Dullah planet pale East Africa
Tweet media one
5
27
79
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Tuacheni masihara ila huyu mwamba qmmk anapenda sifa 😂😂
Tweet media one
16
32
81
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Msaada Please 🙏 Je unaweza kuwa na mpenzi mcheza mpira na pia mkawa namalengo yakatimia
Tweet media one
13
17
79
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Drop Down picha yako kali kuzidi hii Tuone👇
Tweet media one
16
11
82
@kevo_Dady
Mr47
1 year
@nyuki_malkia Ila nyeto haijawahi kumuuacha mtu salama ushauli wangu aendelee na nyeto
Tweet media one
13
2
80
@kevo_Dady
Mr47
1 year
ZABURI 50: 15 Mtimizie mungu aliejuu ahadi zako Uniite wakati wa tabu nami ntakuokoa nawe utaniheshimu..!! Good Morning my Family Gang…!!!
19
54
77
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hakikisha unamwomba mungu kila uamkapo Asubuhi Good morning my family gang…!!!
Tweet media one
11
39
77
@kevo_Dady
Mr47
4 years
0
0
61
@kevo_Dady
Mr47
10 months
Yupi alikuwa mkali kati ya hawa Watoto wa 2003 hawawezi elewa
Tweet media one
Tweet media two
12
25
74
@kevo_Dady
Mr47
1 year
TUISHI HUMU 1: Sali sana 2: Tafuta Pesa 3: Pendeza 5: Acha shobo
10
39
74
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Maisha ni kama SPACE TWITTER…!! Wewe ni Host Wazazi ni Co host Ndugu ni speakers Sisi ni listeners Ishi nayo hii masta….!!!!!
Tweet media one
9
52
73
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Watoto wa shule ya msingi wameshikwa na ugonjwa usio julikana kuishiwa nguvu za miguu kutetemeka na kushindwa kutembea kabisa haijulikani sababu ni nini takribsni wanafunzi 60 wamepatwa na ilo tatizo Tazama video chini 👇
Tweet media one
16
41
75
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Mwombe mungu kwa kila jambo Yeye ndiye muweza wa yote Good morning my family gang
21
45
75
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Hakikisha umeshusha Handle Yako ili niweze kuku Follow Back
27
27
71
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Je ni sifa gani unayo ifahamu wenye majina ya Kelvin or Kevo…..????
Tweet media one
9
25
69
@kevo_Dady
Mr47
1 year
Kuna ile hali kwenye Daladala kila mtu anatoa simu yake vile wanakuona ume drip vizuri wakiamini unatoa iPhone nawashangaza na my pop2
Tweet media one
15
32
70