Dada ajamuachisha mwanae kunyonya adi katimiza miaka 7 sijajua shida nini Ila huu ni upumbavu haiwezekani Jamaa li kubwa kiasi hicho linyonye
Tazama video chini
George Ambangile ni hatari Lakini Ramadhani Mbwaduke ni hatari zaidi🔥
Fact: Anacho fanya Ambangile Mbwaduke anaweza Lakini Anachofanya Mbwaduke Ambangile hawezi. (Takwimu)!!!
Najua hamjui acha niwaambie Harmonize kajichukulia Tuzo 3 yani Tatrick msanii bora Africa nyimbo bora afrika na video bora Africa
Usiniulize alishindana na nani we elewa ivo tu
Tazama video
Kijana wa secondary Ametumwa kuleta mzazikaleta mzazi Fake
Baada ya kugundulika kuwa si mzazi wake
Huyo mzazi fake akashikishwa vidole na Mwalimu kupigwa stiki
Je kama ndo wewe mzazi fake ungekubali uchapwa..!!
Vijana wamevamia Duka la Apple uko Malekani na kuiba tablets IPhone 15 na product mbali mbali za apple
Baada ya kutoka nazo nje tu zikawa disabled kumbe zilikuwa kwajili ya maonyesho tu jinsi ya kutumia izo product za Especially IPhone 15
Video ipo chini 👇
Oya wanangu tunaweza tukaanzisha ka Group ehh maana jana Mwindi nimemfumua nje ndani 💵💵
Haya shusheni namba zenu uko Dm niwape za vocha
Hakikisha umeni follow mamae🙃
Hawa jamaa kwa Arusha na Moshi yani Kaskazini nzima Kwa ujumla wana mashabiki wengi Kuliko msanii yeyote Yule Wana ka Ufalme flani hivi
“Machali wa Tundu”
Katika penye mafanikio Lazima tungane kwa pamoja na kusupportiana
haya nayo ni mafanikio pia
Jifunze kuwa na Furaha pindi mwenzio anapokuwa na furaha katika jambo lake onyesha kuwa na upendo
Hongera sana
@Neypaul01
Dj play “POST MALONE CONGRATULATION 🎵
Ukweli usemwe huyu hawezi kuwa mridhi wa Diamond kipindi diamond ana miaka 28 alikuwa tayari kashafanya kila kitu na collaboration nyingi kubwa sasa kwa omary ni kipi kikubwa alicho kifanya ambacho njee ya nchii kuwa ni tishio na kushindanishwa hakuna kwahyo hawezi tena📌
Watoto wa shule ya msingi wameshikwa na ugonjwa usio julikana kuishiwa nguvu za miguu kutetemeka na kushindwa kutembea kabisa haijulikani sababu ni nini takribsni wanafunzi 60 wamepatwa na ilo tatizo
Tazama video chini 👇