DEAL DONE
THOBIAS SEBASTIAN ➡️ SIMBA SC
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba Sc Thobias ni deal done , to Simba Digital Platform Manager and Video Analyst 🙏🏼
Baada ya mchezo wa Jana dhidi ya Simba kumalizika wachezaji wa Wydad pamoja na viongozi wao wa benchi la ufundi walienda chumba cha Simba Sc kuomba kupata jezi za Simba kwa wachezaji na viongozi
N.B Walitaka hadi jezi ya Ahmed Ally.
Sikuwahi penda kuvaa suti maisha yangu ko hata siku ya kwanza kwenda hewani kwa tv nlivaa vbaya ,baadhi walinicheka.lkn huyu madam aliniita pekeyangu na kunielekeza suti,rangi na saizi itakayo nifaa na nlikuwa na pimples akaniunganisha na Dkt mmoja wa ngozi en now here am😭RIP
🚨TRANSFER,,,🚨
Klabu ya Simba imefikia pazuri mazungumzo dhidi ya RS Berkane kuhusu Victorean Adebayor hivyo kuna asilimia kubwa Adebayor akavaa uzi wa Simba msimu ujao.
TANZANIA TIMU 4 CAF MWAKANI
Kwa mara ya 3 mfululizo Simba na Yanga zimesaidia Tanzania kupeleka timu 4 michuano ya CAF msimu ujao,simba wakiongeza alama 1 na yanga alama 0.5 na kuifanya Tamzania kuwa na alama 29 na nafasi ya 9 kwa mafanikio kama nchi
Huyu ni aina ya wachezaji ambao timu za tanzania kwa sasa zinawakosa ,japo morisson huwa anajaribu lkn hana mwendelezo.Mwamba anaitwa PHILIPE KINZUMBI🙌🏼🙌🏼
"goli kipa wa Azam Fc ALI AHAMADA ndiye mchezaji anayelipwa mkwanja mrefu kuliko mchezaji yeyote yule kwenye ligi ya Tanzania na hata usajiri wake (Signing fee ) ndiyo ghari zaidi nchini"-CHARLES ABEL(Mchambuzi).
"Kombe la Shirikisho siokipaumbele cha sisi timu kubwa ,hatutamani kushiriki kombe hilo kwasababu haliakisi mafanikio na ukubwa wetu,,,,,sababu linashirikisha timu ndogo ndogo na timu mpya kama KMC,Biashara ,Geita"-AHMED ALLY.
🚨SIMBA NA MAKUSU 85% KUKAMILIKA🚨
Klabu ya Simba imefikia makubaliano mazuri na mshambuliaji wa DRC Jean Makusu (30) na jana imemtumia mkataba ili ausome na asaini nakuurudisha tena kwa njia ya mtandao,makusu hivi sasa yupo kwenye mashindano ya CHAN na timu ya taifa ya DRC
“Jwaneng ndo alikuwa kibonde wa group,sasa amempiga mbabe wa group ,,,,ametushtua ,,,,,,tunakwenda kuchukua alama 3 na 3 za hapa zinakuwa 6 na ile 1 ya Asec,na ile moja ya Wydad ,alaf Wydad anakuja kufia B Mkapa ,11 Mnyama robo fainali”-AHMED ALLY.
Baada ya kupambania vibali kwa takriban siku 3 ,huwenda sasa SAIDO NTIBAZONKIZA akawa sehemu ya kikosi cha Simba kitakacho minyana na TZ PRISONS kesho.
Simba ya akina micquisson mechi ya 18 ,magoli 41 ,point 42,conceded goals 8
Simba ya sasa mechi 18,magoli 40,conceded 9 ,point 41.
Simba hii si mbovu ni kama ile wanayoikumbuka wanasimba ni kuwa Simba sasa wanajipima kwa kumuangalia yanga ambaye msimu ule hakuwa mzuri.
"Tumeona raha kweli kweli kwasababu karekodi kao ka unbeaten kalikuwa kanatukera ,alaf ile vita ya kurejea kileleni imerejea ,,,,, sisi simba hatujifichi tumefurahi"-AHMED ALLY .
Kwa mujibu wa vyanzo vyangu I can comfirn kwamba hakuna mchakato wowote unaofanywa AS Vita kumtaka kiungo wa Simba Sadio Kanoute kutokana na gharama ya kumnasa kiungo huyo na Uchumi wa AS Vita kwa sasa.
Sio tuh kubeba alama 3 na Magoli 4 dhidi ya mtibwa,ila Yanga hii ni Yamoto sana aiseee ,,,,,,,,sema yule bwana mdogo khasim haruna (tiote) ni wamoto sana talent nyingine ya wakata miwa 🙌🏼🙌🏼
SIMBA TRANSFER UPDATES
🚨Nelson Esor-Bunulwo Okwa,sajili mpya ya Simba Sc . Ni kutoka Rivers United jezi no 8,Unaambiwa jamaa ni kama chama wa Rivers United ana kijiji hichoo balaaa.
COMFIRMED:
Baada ya pre match meeting ,mchezo wa Wydad vs Simba Sc utakuwa ni saa 2:00 usiku kwa saa za Morocco sawa na saa 04:00 usiku kwa saa za Tanzania.
Ni mwaka mpya sasa,bila shaka natakiwa kukua zaidi kikazi ,nambie ukweli, nini unadhani natakiwa kuacha kukifanya ili kuwa bora 2023 na nini niongeze ilikuwa bora zaidi kikazi,,,,,?
Raja Club Athletic wamewasiliana na uongozi wa kocha pablo franco Martin ili kuweza kupata huduma ya kocha huyo ikiwa ni saa chache tuh baada ya kuachana na Simba,Orlando pirates na wao hawako nyuma licha ya kuwa mazungumzo rasmi bado hayajaanza.
"masuala ya kusapotiana timu 4 yameishia hapa , katika kitu wananchi tunakitamani ni kukutana nao (Simba ) makundi,,,uzuri tukikutana naye makundi guarantee point 6 hzo"-ALLY KAMWE .
TETESI:
Feisal Salum amekubali kurejea yanga kwa mkataba wa miaka 02 kwa dau la Tsh Mil 350 na mshahara Tsh mil 15 kwa mwezi,kama mambo yataenda sawa, Feitoto atakuwa ndiye mchezaji mzawa anaye lipwa pesa nyingi kuliko yeyote yule NBC.
🚨TRANSFER UPDATES🚨,,,
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imekamilisha usajili wa beki Joash Onyango raia wa Kenya kutoka klabu ya Simba SC. Onyango mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka miwili Singida.
🚨AKAPAN NA OKWA IHEFU KWA MKOPO🚨
Nelson Okwa na Victor Akpan wametolewa kwa mkopo kwenda IHEFU na huwenda wakatambulishwa muda wowote toka sasa,,,,,,,,
N.B mechi ya Yanga inayofuata ni dhidi ya IHEFU.
Pongezi wananchi mmepeperusha vyema bendera ya Tanzania+15m ,mbali na boli m nmeinjoy kuwa na mwanangu sana salama Ngale leo,,,,,,,wewe nini kilikuvutia leo,,,,?
"ZAKARIA HABTI" huyu jamaa Simba waka mgoogle kabla ya game ya jumamosi na wampangie mkakati,msimu wa mwisho wa Msuva yeye alkuwa na magoli 7,huyu mwamba alkuwa na magoli 16 na bado yupo.
"Mchezo wetu wa derby tarehe 16 dhidi ya Yanga japo uwezo wake ni mdogo ,lakini tutautumia kama mazoezi yetu kuelekea kwenye robo fainali dhidi ya Wydad"-AHMED ALLY
Zimebakia siku 8 wananchi waanze shughuli ya kimataifa ,miongoni mwa nnao tamani kuona shughuli zao kimataifa ni Profesa ,,,,,,,,nani we unatamani kuona akikichafua kimataifa,,,,?
"Yani usajili wa safari hii ,wachezaji tunao kwenda kuwasajili,ukiwachukuwa ukawaweka katikati ya bahari,bahari inagawanyika mara 2,hii sio porojo nimewaona kwa macho yangu"-AHMED ALLY
DICKSON JOB ANATEMBEA NA MIKATABA MIWILI.
1.Ada ya usajili mil 200, mshahara mil 10 kwa mwezi.
2.ada usajili mil 70,nyongeza mshahara kutoka mil 3-7 kwa mwezi
N.B mkataba wake na Yanga unamalizika mwisho wa msimu huu.
Kikao cha uongozi na wachezaji wa Simba kikifuatiwa na technical meeting kimemalizika hapa casablanca na sasa kinacho subiriwa ni muda wa kwenda uwanjani.
Bado tutaendelea kuwalaumu magolikipa wetu ,au ni kwa muda tulikosa mafundi wa kupiga mipira ya faulo,,,,,,,tutalaumu sana makipa wasipo badilika this guy is Exceptional kwenye deadballs🙌🏼🙌🏼🙌🏼
KIBU DENIS AKIKOSEA ANAIMBWA AKIUWASHA HASEMWI:
Dhidi ya Wydad ,kushambulia yupo,kuzuia yupo tena kwa wakati anatoa assists .
Mchezaji mzur anapimwa kwa moment 2 timu inapokuwa na mpira na wakati haina Congole KIBU DENIS.