I remember nikiwa form 1 &2 the kind of animosity ilikuwa shule pale DH. Ulikuwa unafika 3 mins later DH unapata wasee wa table yako hawako, washaenda na mkate yako. My deskmate Musuu kuna siku chakula iligrabbiwa hio supper , breko akapata mikate ishaenda, tea break pia akahata