Namshukuru Mungu kutajwa katika orodha ya Vijana 100 Wenye Ushawishi Zaidi Katika Bara La Afrika iliyotolewa Mwaka huu.
Katika orodha hiyo kuna watanzania watatu tuliotajwa akiwemo
@Samagoal77
na
@DiamondPlatnumz
Najisikia fahari kuiwakilisha nchi yangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
#NiliambiwaNipendezeSana
: Hii ni Siku ambayo nilienda Kwenye sherehe ya kupokea zawadi yangu ya kuwa mwanafunzi bora wa kitaifa Kidato cha nne (TO) na kupewa cheti na Wizara ya Elimu, nilisindikizwa na Mkuu wangu wa Shule ya Sekondari Kibaha Mwl Abel Mwampaja. Alikuwa ni
Nimepata nafasi kutembelea Makao Makuu ya kampuni ya “Google” yaliyoko San Francisco, California.
Nimeendelea kujifunza kuhusu namna Mapinduzi ya Teknolojia na kampuni zinazotoa suluhisho za Teknolojia zinavyoweza kubadilisha Uchumi.
#TunaendeleaKujifunza
Namshukuru Mungu leo nimehitimu na kutunikiwa Shahada ya Umahiri katika Maendeleo na Uhusiano wa Kimataifa (Masters of Arts in International Cooperation and Development) na GPA ya 4.6 🙏🏼🙏🏼
#BeInspired
Kadiri unavyoendelea kukaa mahali ambako watu HAWATHAMINI ulichonacho, ndivyo ambavyo unaanza KUJIONA na wewe hauna THAMANI. Go where you are appreciated. Wakati mwingine watu huiona thamani yako baada ya KUKUPOTEZA.
See You At The Top
Kuna STRESS huwa zinaanza pale Unapong’ang’ania MTU/MAHALI/KITU ambacho Unajua kabisa unatakiwa kuachana nacho.Usisahau kuwa kuna wakati AMANI,FURAHA na MAFANIKIO yako itaanza pale utakapokubali kuachilia. Sio kila wakati UNAPOACHILIA UNAPOTEZA, kuna wakati UNAPATA FAIDA.
Kama Mungu angetufungua MACHO tuone IDADI ya MITEGO ambayo iliwekwa kwa SIRI ili ITUANGUSHE, TUNGESHTUSHWA sana na UWINGI WA MITEGO na pia tusingeamini WATU ambao WAMETUWEKEA MITEGO.
Ndio mana usiache KUMUOMBA MUNGU akushindie na vile VITA AMBAVYO HAUVIONI.
See You At The Top
Kuna mtu mmoja mara kwa mara alikuwa ananitukana/kuandika comments mbaya kwenye posts zangu. Siku moja nikampigia simu nikajifanya MTEJA nahitaji bidhaa anazouza.
Nilipofika alipokuwa, aliponiona ALISHTUKA sana. Nikamwambia awe na amani. Nikamuuliza swali “Kwa nini huwa
Kuna NYAKATI kwenye maisha ni lazima UJILAZIMISHE kuisikiliza SAUTI YAKO ya NDANI inayokutia MOYO kwa sababu HAUTAKUWA na MTU ambaye ANAKUTIA MOYO kwenye yale UNAYOPITIA. Usisahau kuwa, nyakati hizi zinamjenga MTU IMARA WA NDANI YAKO.
Usikubali Mwaka 2019 uendelee kuishi nje ya Ndoto Yako-Kitabu hiki ni Program ya siku 30 ya kuanza kuishi ndoto unayoitamani-Wasiliana na 0756094875 kukipata.
#ISHINDOTOYAKO
Kila MTU ana nafasi ya KUNG’ARA kwenye ENEO LAKE.Hakuna NYOTA inayozuia nyota nyingine kuonekana ANGANI, ila USISAHAU kuwa kila nyota huwa inatofautiana NGUVU ya kung’ara kwake. Badala ya kuhangaika KUIZUA nyota nyingine KUNG’ARA weka bidii KUONGEZA MNG’ARO kwenye ya KWAKO.
Kila Unayemuona ANATABASAMU au AMEVAA AMEPENDEZA sio kwamba HANA kinachomsibu; Kila mmoja ana MAPAMBANO yake mazito ambayo wewe HUYAJUI. Tofauti ni kuwa yeye AMEAMUA kuwa chochote KINACHOMSUMBUA hatakubali KIMZEESHE. Nawe unaweza kuamua vivyo hivyo.
See You At The Top
Kuna wakati KUPUUZWA na wale ambao ungetamani WAKUTHAMINI ndio njia PEKEE ya KUKUTENGENEZEA USONGO wa mafanikio yako. Badala ya KUUMIA zaidi, fanya BIDII ili siku moja WAJUTE kwa nini WALIKUPUUZA.
Jifunze kukubali kuwa sio kila ULIPO leo utadumu MILELE (Nafasi, Kazi, Cheo n.k), kuna wakati utalazimika KUONDOKA. Watu wengi sana wamekaribisha MATATIZO kwenye maisha yao kwa sababu walishahisi MOYONI muda wao wa KUONDOKA umefika ila WAKAENDELEA kung’ang’ania KUBAKIA WALIPO.
Kuna wakati yale mambo MAGUMU ambayo MUNGU anayaruhusu yatokee kwenye maisha yako,ndio huwa yanakusaidia KUKUWEKA katika NJIA ambayo ulikuwa UNAPASWA KUIENDEA tangu ZAMANI.Kabla haujalaumu magumu yaliyokupata,Jiulize “Je,kuna mwelekeo mpya naweza kuupata kutokana na ninayopitia?”
Sio kila ANAYEKUFUATILIA kwa karibu ANAFURAHISHWA na unavyoendelea KUNG’ARA. Usisahau kuna watu WANASUBIRIA UFELI ili “waprove” walichowahi KUZUNGUMZA kuhusu wewe.Ndio maana ni MUHIMU sana kila WAKATI KUMUOMBA MUNGU AKUEPUSHE na MATAMANIO mabaya ya wale WANAOSUBIRIA ANGUKO LAKO.
Watu wengi ambao ni WATOAJI sana kwenye FAMILIA, OFISINI, KANISANI/MSIKITINI; mara nyingi huwa wanateseka sana wanapokuwa kwenye MATATIZO kwa sababu huwa WANAACHWA PEKE YAO. Kila mtu huwa anaamini WANAJIWEZA. Jifunze KUSIMAMA Nao wanapopitia kwenye NYAKATI NGUMU.
Kuna wakati UKIMYA wako utakusaidia KUMALIZA UGOMVI kwa haraka,ila kuna wakati ukimya HUTUMIKA na wengine kama TIKETI ya KUENDELEA KUKUONEA na KUKUKANDAMIZA. Hekima IKUONGOZE ili usichanganye wakati unapotakiwa kuwa kimya na pale unapotakiwa KUTOA SAUTI yako.
See You At The Top
Kuna baadhi ya MAAMUZI ukiyachukua YATAKUFANYA UPOTEZE baadhi ya WATU ila yatakusaidia kupata UNACHOKITHAMINI kwenye maisha yako, na kuna maamuzi mengine yatakusaidia KUBAKIZA WATU kwenye maisha yako ila unapoteza UNACHOKITHAMINI.Lazima Uchague!
See You At The Top
Kuna wakati badala ya KUTUMIA NGUVU kubwa kupambana KUREJESHA Kile ULICHOPOTEZA, unatakiwa kutumia nguvu kubwa KUTUNZA ULICHOBAKI nacho au KUPATA KIPYA. Sio kila UNACHOPOTEZA ni HASARA, Kuna vingine INATOKEA ili KUTENGENEZA nafasi ili UPATE KILICHO KIZURI ZAIDI.
Usisahau kuwa mara nyingi FURAHA ya WADHAIFU wengi ni Kuona Mwenye NGUVU anapata SHIDA. SHEREHE ya wengi wasio na KITU ni Kuona Mwenye kitu ANAPOTEZA. Akili yao huwaambia kuwa HATA Kama HAWATAKIPATA wao ila HUJIFARIJI kuwa angalau WATALINGANA. Hili nalo ni Tatizo la Kisaikolojia.
Mazungumzo yalijikita zaidi katika kuinua kizazi kipya cha Vijana wa Kiafrika wanaoweza kuwa chachu ya mapinduzi ya kiungozi na kifikra. Ahsante sana
@ProfPLOLumumba
kwa hekima. Naendelea Kujifunza.
Kuna mambo yakitokea kwenye maisha yako unahitaji “Moment of Dissapearance”. Unahitaji KUPOTEA kidogo kabla HAUJAONEKANA TENA.
Kupotea kidogo sio ISHARA kuwa UMESHINDWA, Ila itakusaidia mambo 3:
1) Kukusanya NGUVU na kujipanga UPYA ili UINUKE TENA.
2) Kujiondoa kwenye MIDOMO
Kuna wakati UKIONYESHA kutaka KUHURUMIWA ili WATU WASIENDELEE KUKUONEA, ndio unakuwa UMEJIONYESHA kuwa hauna NGUVU na watatumia hiyo TIKETI KUKUONEA ZAIDI. Usisahau kuna wakati ukiwa KONDOO utahurumiwa kwa UNYONGE wako ila kuna wakati inakuwa ni TIKETI YA KUCHINJWA KIRAHISI.
Baadhi ya watu namna yao ya KUONYESHA kuwa wako kwenye MAUMIVU ya KIWANGO cha JUU ni KUKAA KIMYA. Sio kila anayekuambia NIKO SAWA baada ya KUMKWAZA inamaanisha yuko SAWA kweli, HEKIMA ikuongoze kujua WANACHOMAANISHA.
See You At The Top
Eneo la kwanza linaloweza kumshushia mtu THAMANI kwa HARAKA, ni kuongea pale anapotakiwa kunyamaza kabisa.
Eneo la pili hatari, ni pale mtu ANAPOLAZIMISHA kuwepo na kutambuliwa sehemu ASIYOTAKIWA KUWEPO kabisa kwa WAKATI huo.
Moja ya kitu muhimu cha kujifunza kwenye maisha ni
Kuna wale watu ambao ndio CHANZO cha wewe KUCHELEWA kutimiza MALENGO yako. Siku utakayofanya MAAMUZI MAGUMU ya Kuachana nao,ndio huwa wa kwanza KUTAFUTA Mbinu ya kuhurumiwa ili WAPATE TENA NAFASI kwenye MAISHA YAKO. Uwe nao Makini Sana.🙇🏽♂️
See You At The Top
#NILIKOTOKA
#PichaYaFamiliaYetu
Sijui nilikuwa natabasamu kwa ajili gani, ila nimejifunza kuwa MUNGU anaweza kubadilisha maisha ya mtu yeyote.
USIKATE TAMAA.
See You At The Top
Kuna MAHALI ambapo ,kulingana na mtazamo wako patakuwa HAPANA THAMANI tena, ila kulingana na MITAZAMO ya wengine watakuwa wanapaona pa thamani na watakushangaa kwa nini unataka KUONDOKA.
Usisahau kuwa thamani ya mahali inatokana na MAJIRA uliyonayo kwenye maisha yako.
Kuna Vitu Unafanya ili upate “CONNECTION” ya watu unaowahitaji, kuna vingine unafanya ili upate “EXPOSURE”uonyeshe THAMANI yako, kuna vingine unafanya ili upate PESA. Na Kuna wakati utafanya vitu ili upate VYOTE.Kila unachokilenga kuna MAJIRA na WAKATI wake,jitahidi USICHANGANYE!
Kwa sababu ya CHANGAMOTO unazopitia unaweza kujikuta UNAPUNGUZA UKUBWA WA NDOTO YAKO. Kama unataka kuwa MTU MKUU: USIPUNGUZE ukubwa wa NDOTO yako, ONGEZA kiwango cha IMANI Yako Kuhusu Ndoto Yako (Don’t REDUCE The SIZE of Your DREAM, INCREASE The Size Of Your FAITH).
Ndani ya MAFANIKIO yako, kuna mafanikio ya watu wengine wengi YAMEJIFICHA. Unapokatia tamaa MAONO/MALENGO yako kwa sababu ya CHANGAMOTO unazokutana nazo, kumbuka kuna HATIMA za watu wengi nyuma yako
ZINAHARIBIKA pia.
Kuna wengine mmeteuliwa na MUNGU kuongoza mabadiliko ya
Kuna wakati ukifika, ile NGUVU ndogo uliyobaki nayo HAUTAKIWI kuitumia KUNG’ANG’ANIA kisicho cha kwako, unatakiwa uitumie KUANZA UPYA.
Wakati mwingine NAMNA pekee ya kurejesha AMANI na FURAHA yako ni kukubali KUANZA UPYA.
Kuna wakati kuanza UPYA sio KUSHINDWA, ni USHINDI.
Mara nyingi KINACHOTUNYIMA FURSA sio MANENO MABAYA ya watu WASIOTUPENDA bali ni UKIMYA wa WANAOTUPENDA ambao walitakiwa KUTUSEMEA VIZURI ila hawako tayari KUFANYA HIVYO.
Kwenye BAADHI ya mambo, watu HAWATAKUWA tayari kusikia MAELEZO yako au UTETEZI wako kwa sababu tayari WAMESHAAMUA cha KUKIAMININI. Ikifika wakati huu hautakuwa na NGUVU ya kubadilisha MAWAZO yao.Tumia NGUVU na MUDA wako KUSONGA MBELE.
See You At The Top
Kuna WENGI ambao waliwahi KUHUKUMIWA kwa sababu hawakupata NAFASI ya KUSIKILIZWA.Kuna wengine waliwahi kuhukumiwa kwa sababu WALITENGENEZEWA USHAHIDI ambao ilikuwa NGUMU watu KUAMINI WALIPOJITETEA.Siku zote JITAHIDI kutafuta UKWELI wa JAMBO kabla HAUJAHUKUMU,Ili USIUMIZE WENGINE.
Ukimya nao ni SAUTI inayotakiwa KUSIKILIZWA. Kuna watu ukimya wao ni ISHARA ya MAUMIVU MAKALI, wengine ni KUKATA TAMAA na wengine ni KUPOTEZA MWELEKO na kutojua cha kufanya. Ukiona mtu wako wa karibu amekuwa KIMYA GHAFLA usipuuze, UKIMYA ni SAUTI yenye UJUMBE MZITO.
Kama ni NDOTO YAKO basi AMUA KUIPIGANIA. “You Can’t Conquer What You Don’t Confront”.
Watu wengi wana uwezo mkubwa, wana fursa ya kufanya makubwa zaidi na kuwa zaidi ya walivyo leo.
Changamoto moja inawakabili ni “Kugive Up Mapema”. Yaani, mtu anaona UMRI UMESHAENDA, anaona
Kuna wakati utalazimika kuwawekea MIPAKA baadhi ya watu ili kulinda AMANI yako na AFYA YAKO ya AKILI. Kuna wengine wanaweza kutafsiri UNAJITENGA au HAUWATHAMINI, ila hiyo haibadilishi UKWELI kuwa wao ndio CHANZO KIKUU Cha KUKUVURUGA.
Kwa USALAMA WAKO, Weka Mipaka na UISIMAMIE.
Kuna wakati KUCHELEWA kwa BARAKA unayohiitaji ni kwa FAIDA yako ili UJENGE MISULI inayohitajika ya kupambana na VITA inayoambatana nayo. Wakati wa kusubiri ni wakati wa KUJIANDAA na kujenga STAMINA inayotakiwa. Kuna vitu VINACHELEWA kwa FAIDA YAKO ili vikukute Uko IMARA, njia
Baadhi ya watu HUWA na Mchango Mkubwa kwako UNAPOKUWA Uko VIZURI,Una PESA, Una CHEO au UNA NAFASI; ila siku UKIANGUKA chini kwa namna walivyo HAWATAKUWA na NGUVU na MSAADA wa KUKUINUA. Hii ndio maana UKIPANDA Juu hautakiwi KUWASAHAU wote walio CHINI, Kuna Siku Ndio WATAKAOKUFAA.
Kuna wakati kinachokufanya uonekane ni wa KAWAIDA sio kwa sababu HAUNA UWEZO,ila ni kwa sababu uko mahali ambako UWEZO WAKO HAUWEZI KUONEKANA.Hii ndio maana wachezaju wengi wa mpira wa miguu HUONDOKA TIMU KUBWA wasiyopata nafasi ya kucheza na kwenda TIMU NDOGO wanayopata NAFASI.
Kuna BAADHI ya watu watatafsiri UJASIRI wako kuwa ni kujiamini kulikopitiliza, Kuna wengine watatafsiri SHAUKU yako kuwa ni KIBURI, wengine wataona KUPAMBANA kwako ni KUJIPENDEKEZA, na wapo watakaosema UBIZE wako ni KUJIDAI. Unachotakiwa kujua ni kuwa kwa CHOCHOTE utakachoamua
Sio kila MSAADA unaohitaji kwenye maisha yako UTAKUJA kwa namna inayofanana. Kuna namna mbalimbali:
1) Kuna ambao watakuletea RASILIMALI (Fedha, Vitu n.k) ambazo zitatatua changamoto yako.
2) Kuna ambao WATAKUUNGANISHA na WATU/FURSA itakayokutoa Kimaisha.
3) Kuna ambao
Kwenye “Network” yako kuna watu wa kukupa MAWAZO (Idea) kuna wa kukupa PESA na kuna wakukupa FURSA.Wote unawahitaji:Ukiwa na wa PESA bila wa MAWAZO (Ideas) na wanaokupa FURSA,Pesa UTAZIPOTEZA. Ukiwa na wale wa MAWAZO na FURSA bila wa PESA,kila siku mtakuwa mnapanga Mipango MIPYA.
Kuna WATU WATAKUFURAHIA kwa sababu UMEBADILIKA, lakini kuna wengine WATAKULAUMU kwa sababu ya MABADILIKO uliyofanya. Usisahau kuwa kila MAJIRA ya maisha yako unapofanya mabadiliko, kuna watu WAPYA utawapata na baadhi ya ZAMANI UTAWAPOTEZA. Uwe na Ujasiri ukishaamua Mwelekeo Wako.
Usijisikie vibaya kwa sababu Ya “Struggles” zako ULIZOPITIA au UNAZOPITIA. Kila changamoto inakufanya uwe BORA zaidi,inakujengea UWEZO na inakusogeza karibu na NDOTO YAKO. Kuna NAMNA hautaweza kuwa hadi UMEJENGA aina fulani ya MITAZAMO au UWEZO. Na njia pekee ya kupata hivyo
Ingawa mafanikio yako yanaweza KUONEKANA na kupiga KELELE. Usisahau kuwa mambo yanayosababisha mafanikio yako huwa HAYAONEKANI na ni yale unayoyafanya KIMYAKIMYA.
Kuna wakati MBEGU inalazimika KUKUBALI kuwa chini ya UDONGO kwa muda mrefu hadi unaweza KUDHANIA kuwa IMESHAKUFA,
MAADUI zako huwa wanalenga maeneo makubwa MAWILI ili KUKUDHOOFISHA: Moja ni CHANZO CHA NGUVU ZAKO na mbili ni CHANZO CHA FURAHA YAKO. Kitu chochote ambacho kinashikilia NGUVU ZAKO au KUKUPA FURAHA sana jitahidi UKILINDE na UKIFICHE kisije kikaharibiwa.
See You At The Top
Kuna wakati njia rahisi ya wale wanaotaka KUKUSHINDA huwa HAWAANZISHI VITA na wewe bali wanaamua KUKUPA NDOTO tofauti na ULIYO NAYO. Siku ukikubali tu KWENDA mwelekeo WANAOUTAKA wao, unakuwa UMEWAPA ushindi waliokuwa WANAOUTAFUTA.
Usisahau kuwa unapokuwa Ofisini, kwenye Biashara, Sanaa , Siasa n.k kuna watu HAWATAUKUBALI UWEZO WAKO sio kwa sababu HAWAUONI/HAWAUJUI ila ni kwa sababu WANATAFSIRI uwezo wako kuwa ni TISHIO kwa NAFASI zao.
Usisahau kuwa HATA WEMA nao huwa wanapitia MAGUMU. Sio kila wakati mtu akipitia magumu ni kwa sababu ya UOVU wake, wengine wako kwenye MCHAKATO wa KUTENGENEZWA.
Usifanye HARAKA kumuhukumu anayepitia MAGUMU. Na usihitimishe kuwa MUNGU AMEKUACHA kwa sababu ya MAGUMU UNAYOPITIA.
Kuna wakati kitakachokupa FURSA ni UWEZO WAKO MKUBWA kuliko wengine. Ila kuna wakati KITAKACHOKUNYIMA FURSA ni huo huo uwezo wako mkubwa KULIKO WENGINE. Kwenye kundi la kwanza unaitwa MTAALAMU kundi la pili unaitwa TISHIO.
Soma Mchezo, Jihadhari.
See You At The Top
Moja Ya MTIHANI ambao lazima UUSHINDE ni KUENDELEA kufanya kwa UBORA na kwa BIDII Hata pale ambapo hakuna mtu ANAYEKUTAJA au ANAYEKUSIFIA.
Usisahau Kuna WENGI wanakufuatilia na WANAKUTATHMINI KIMYAKIMYA bila kukuambia. UKIACHA kufanya utawathibitishia kuwa hauko “SERIOUS” na
Kuna Watu WAKISHAKUDHURU mara ya KWANZA unatakiwa kuwawekea MIPAKA ya KUDUMU,usipofanya hivyo,madhara ya PILI watakayoleta yataharibu kabisa HATIMA YAKO.
TOFAUTISHA anayekosea kwa BAHATI MBAYA na ADUI wa KIMYAKIMYA anayejua ANACHOFANYA.
See You At The Top
#TIMIZAMALENGOYAKO
Bila kujali Uko kwenye level gani Ya maisha, “YOU CAN HAVE A BETTER VERSION OF YOURSELF”.
Watu wengi sana wamekubali KUFUKIA na KUZIKA uwezo wao kwa sababu Ya MAZINGIRA yao ya sasa na yale WALIYOYAPITIA. Usiwe MMOJA wao.
Ndani yako KUNA KITU CHA ZIADA na DUNIA INAKISUBIRI.
Chochote UNACHOKIHOFIA hauwezi KUKISHINDA kwa kuendelea KUKITAFAKARI, unakisha kwa KUKIKABILI. Leo Amua kukabiliana na kile ambacho umekuwa UNAKIHOFIA NA HOFU ITAISHA.
See You At The Top
Sio kila ANAYEUJUA UWEZO wako atakutaja anapoona kuna FURSA inayokufaa.
Wengine watakaa kimya kwa sababu ya WIVU na kuna ambao hawatakutaja kwa sababu HAWAKUAMINI bado.
Kuna watu ni bora WAMTAJE mtu aliye mbali nao kuliko KUMUINUA mtu wa KARIBU YAO.
Usiwachukie kwa sababu
Mahusiano hujengwa na vitu 3 vikubwa: LOVE(Upendo) ambazo ni HISIA, “COMMITMENT” ambayo hubebwa na MAAMUZI yako na COMPATIBILITY (Kuendana);ambako hubebwa na kuendana kwa TABIA na HAIBA (Personality) zenu.Chochote katika haya matatu kikikosekana KUISHI PAMOJA itakuwa CHANGAMOTO.
Kuna wakati MTU uliyezoea ANAKUSAIDIA kila wakati ATASHINDWA kukusaidia, sio kwa sababu HATAKI ila ni kwa sababu na yeye yuko kwenye CHANGAMOTO ambayo anahitaji MSAADA pia. Usisahau kuwa watu wengi waliozoea KUTOA, mara nyingi huwa watu HAWAKUMBUKI kuwapa, WANAUMIA peke YAO.
Mara nyingi unapomuomba MUNGU akupe KITU fulani, huwa anakutumia WATU wanaoweza KUKUPA hicho kitu au ambao wanaweza KUKUUNGANISHA na UNACHOKITAFUTA.
Hii ndio maana ni MUHIMU kuwa MAKINI na AINA ya watu wanaokuja kwenye maisha yako na kuyajua MAKUSUDI yao pia.
USIDHARAU mtu kwa
Watu wengi waliowahi KUKATALIWA na watu wao muhimu huko NYUMA (Mzazi/Mpenzi/Ofisini n.k) huwa wanapata shida KUJIKUBALI na pia huwa WANAHITAJI uwathibitishie mara kwa mara kuwa UNAWAPENDA, unahitaji kutumia NGUVU kubwa ili WARIDHIKE na UPENDO WAKO.
Kila Unayemuona ANATABASAMU au AMEVAA AMEPENDEZA sio kwamba HANA kinachomsibu; Kila mmoja ana MAPAMBANO yake mazito ambayo wewe HUYAJUI.
Tofauti ni kuwa yeye AMEAMUA kuwa chochote KINACHOMSUMBUA hatakubali KIMZEESHE. Nawe unaweza kuamua vivyo hivyo.
Usisahau kuna watu
SILAHA KUBWA ya watu wanaotaka KUKUKANDAMIZA ni kukuonyesha kuwa WEWE SI KITU. Watafanya hivyo kwa KUKUMBUSHA kila siku MAKOSA YAKO YA ZAMANI na pia WATAKUONYESHA kuwa HAKUNA ANAYEKUHITAJI wala KUKUTHAMINI hapa DUNIANI. Uwe Makini na Watu Wa Namna Hiyo.
See You At The Top
Mara nyingi VITU VIDOGO vinaweza KUKUFUATA kwa sababu UNAVISUBIRIA, ila VITU VIKUBWA vinavyoweza KUBADILISHA maisha yako ili KUVIPATA ni lazima UVIFUATE na UVIPAMBANIE.
Leo badala ya KUENDELEA KUVISUBIRIA, amua KUKIFUATA unachokitaka kabla HAUJACHELEWA.
Kumbuka kuwa NDOTO zako nyingi ZITAKWAMISHWA na watu wako wa KARIBU ambao kwanza HAWATAAMINI kuwa unaweza kwa sababu wanaona kuwa WANAKUJUA SANA na pia wengi HAWATAKUWA TAYARI Kuona unafanya mambo MAKUBWA zaidi yao.
Ukiendelea KUWATEGEMEA ndivyo UTAKAVYOKWAMA ZAIDI.
Kuna ule wakati ambao unajiona UMEFIKA MWISHO na HAUWEZI TENA.
Kuna sauti inakuambia HAUTAINUKA TENA, na wewe mwenyewe ukiangalia MAZINGIRA yanayokuzunguka unaamini kuwa HAKUNA TUMAINI TENA.
Kibaya zaidi, watu ambao ULIWATARAJIA wasimame na wewe HAUWAONI TENA.
Mara zote
Unapofanya kwa UBORA sio kwa faida ya yule UNAYEMFANYIA TU, bali ina faida kubwa kwako kwa KUVUTIA watu BORA kwenye maisha yako. “Quality Attracts Quality”. Njia ya KUVUTIA watu wa maana kwenye maisha yako ni kuwa BORA katika UNACHOFANYA.
See You At The Top
Kuna watu WANAFELI kwa sababu UWEZO wao ni MDOGO; ila kuna wengine wanafeli kwa sababu WAKO MAHALI PASIPO SAHIHI. Kundi la kwanza anatakiwa KUONGEZA UWEZO, wa kundi la PILI anatakiwa KUHAMA ALIPO kwenda PENGINE.
Jua wewe ni yupi na CHUKUA HATUA SAHIHI.
See You At The Top
Moja ya VITA Kubwa ambayo UTAHITAJI kuendelea KUPAMBANA nayo siku zote za MAISHA yako ni “Battle of Identity. Dunia ina tabia ya kukufanya vile INAVYOTAKA na sio kile UNACHOTAKA.
Watu wengi huwa wanaoamini wanakujua, watataka KUKUCHAGULIA kitu cha KUFANYA. Wengi ambao pia
Kuna watu ambao wameandaliwa KUKUPOKEA wewe na kile ULICHONACHO. Ukitumia muda mwingi KULAZIMISHA kukubalika pasipo sahihi, unajichelewesha KUSAPOTIWA na wale walioandaliwa. Jifunze siku zote “Go Where You Are Celebrated”. Wapo wanaokukubali na wanaokuhitaji.
Kuna wakati watu WATAKUOMBA msaada kwenye ENEO ambalo HAWAJUI kuwa wewe mwenyewe una CHANGAMOTO nalo. Hiyo ni ishara kuwa kuna UKUBWA umejificha NDANI yako UNAOONEKANA bila kujali HALI YAKO YA SASA. Usiruhusu MAGUMU ya sasa, YAUE NDOTO yako KUBWA.
Watu wengi WALIOUMIZWA MOYONI na HAWAKUPONA, wanaishia KUWAUMIZA wasiohusika: Wenzi, ofisini,watoto,rafiki
“If you Never Heal From What Hurt You,You Will Bleed on People Who Didn’t Cut You”-Tamara Kulish
Jizuie kuleta madhara kwa wengine kwa kushughulikia UPONYAJI wa MOYO wako.
Kuna watu wanakupiga VITA kwa sababu wanataka kupata kile ULICHONACHO SASA HIVI,kuna wengine wanakupiga vita kwa sababu wanataka KUKUZUIA UKUBWA wako unaokuja KESHO.Kundi la kwanza wanakupiga vita unapokuwa na kitu TU,kundi la PILI hata USIPOKUWA na kitu BADO watakupiga vita TU.
Watu wa Jabesh-Gileadi kwa HOFU waliomba WAPATANE na ADUI yao Mfalme wa AMONI na wawe watumwa Wake.Akawajibu yuko tayari ila kila mtu ATAMNG’OA JICHO MOJA KWANZA. Kuliko kuwa CHONGO,wakaamua KUPIGANA NAYE, wakamshinda.Kuna MAADUI HAWATAKI AMANI NA WEWE,Inabidi UPAMBANE UWASHINDE!