| Mwakimonya | lobbylist | inspired by nyonyo😋 |chelsea n yanga shabiki lia lia |Mganga wa kienyeji |Marshall D Teach |buza citizen | Mmed chaos | trauma guy
There is not a single woman on earth who has tasted sex that can ever fully abstain, so when you meet a girl who is not a virgin and she tells you "no sex before marriage", it's not because she has found christ or she has learnt any lesson from all her previous whoring around, it
Ukiwa umetulia zako OPD
Una piga moja mbili zako
Ukiona tu gafla kuna mmama au mzee amekuja na ki mfuko kina label ya AGA KHAN,MOI,JKCI au MNH
Jua siku yako imeharibika 🤣🤣🤣🤣
Umwambii kitu huyo kila
Matibabu lazm apige simu kwa daktari wake kwanza ,🤣🤣🤣🤣
sema ukiona tweet za medical student(much knows) utazan uwa wanatibu wakiwa wodini au wana pasua wakiwa theatre ...kumbe ni clerkers na wafuta jasho ma surgeon wakizidisha sanaa..wako kubeba miguu pale OT😂😂😂😂
😂😂😂😂😂oya wanangu sup moja tu (IM301) ndani miaka mitano tena pale upanga ina watoa roho hivi
Ningepata sup kama 3 si mngekuja na petition nisiwe daktari 😂😂😂😂😂😂😂😂
Narudia kwa niaba ya
@Kudu_ze_Kudu
mkiwa mnaenda kuwaona wagonjwa badala ya kubeba machungwa na other unncessary stuffs ,MUWAPE HELA wagonjwa au wauguliwa ,wanahitaji sana HELA kuliko hivyo vitu vingine matibabu ni GHALI......
Madaktari wa MNH(upanga na mloganzila)
Ina paswa wajifunze kucontrol ndimi zao
Ukiangalia medical-legal cases nyingi za karibuni chanzo kikubwa ni ukosefu wa ku appreciate wenzao wa chini walivyo jaribu kupambana kuokoa maisha
Reference
Case ya kitonka
Case ya kairuki
Nilikuwa najuaga sina akili sana
Mpaka mada ya CONSULTATION FEES ilipokuja ndio nikagundua humu ndani vizibo ni wengi sana wanajificha nyuma ya uinfluencer !
Mwaka 2008 mtihani wa necta form six ulifanyika mwez wa pili na sio mwezi wa tano kama unavyoandika hapa mfano wa pqper yq biology paper 1
Na swali la kwanza halikuwa la mazingira
sema wazee kuoa au kuolewa hakukufanyi wewe uwe ndo mshauri wa mambo ya ndoa au mahusiano ya watu wengine
na pia kuwa kwenye ndoa aimaanishi wewe ni mwanamke au mwanaume bora nyakati nyingine saa mbovu mbili zikikutana zinasaidiana kutulizana
Madogo mna yaforce yasome PCB akat manurse na madaktari sahz wamekuwa mawinga 🤣🤣🤣
Peleka dogo shule ya biashaea aijue mapema kabsa
Nchi ishajaa wataalamu wa afya hii
Tamisemi kwa kias flan
Inabidi ikabidhi jukumu la mambo ya afya kwa wizara ya afya !
Jukumu la mambo ya afya lisiwe sehem mbili tofauti lina leta changamoto hasa kwa watumishi
Ifike mahali kupima DNA kuwe sehemu ya kadi ya clinic
Mtoto anaanza clinics watu wana chapwa DNA test
Social father wamekuwa wengi sana
Kuliko biological father
Mwisho wanapata depression za uzeeni
So ukisikia maajabu ndio haya
kuna nchi flan bwana iko ukanda wa afrika mashariki
Kuna kazi ni ya wito
Lakini unatakiwa ulipie leseni kila mwaka
Ili ukatumikie wito eeh😂😂
Kufanya kazi hospitali ya serikali na tena wodi ya wazazi inabidi iwekwe kwenye DSM 10 kama ni chanzo cha depression pia
Ukiangalia wodi ya wazazi temeke inavyoongelewa kwa mange na ukweli ulivyo unaeza acha kazi ukanena kiyahudi
Mood ya intern kurutu wa zamu idara ya surgery TRRH nikiwa nasbr admission za stab wound kutoka kwa mkapa 😂😂😂😂 nikiwa kabsa najua hamna cha kunifanya hata nikijiita Dr
@DrFrankiejm
😂😂
Kauli ya "udaktari ni wito" ni moja ya kauli za kishenzi sana kuwah kutolewa na watangulizi wetu
Wamefanya watu wamekuwa wajinga katika kuwa treat watumishi wa afya
Sema kuna swala linaitwa kuvolunteer 😂😂
Unaeza piga zako kujitolea miaka miwili
Zinatoka ajira pale kati
Wana kupa na kaimani
Majina yakija haupo
Afu wana tulia
Yule muajiriw mpya wana mleta pale pale ulipojitolea 😂😂
Watumishi wa Mungu wanasema
Haikuwa kazi ya Mungu mtumishi mwenzao kufa
Ni uzembe wa madaktari
JKCI iwajibu
Jamaa anakwambia waliompasua amesoma nao walkw hawafaulu 😂😂
Unasoma MD miaka 5
Unafanya internship mwaka 1
Jumla miaka 6
Lakini inakuchukua miez 2-6 kujua
Ulipoteza muda future uliokw una iwaza aipo kwenye medicine 😂😂😂😂😂
Ni bora ungetumia huo muda kusoma soft skills au digital sijui marketing !
Mimi siwezi kuamini kwamba Daktari anayetoka direct A’Level anaweza kua bora kuliko aliyepita Clinical Medicine.
Imagine mtu anatokea kusoma PCB, ambayo kwenye Biology practical yake ni kupasua Panya na Mende.
Hata dawa anasoma theoretical zaidi, alafu huyu mwengine anakwenda
To every doctor out there
Watu wanaamka saa 10 usiku kuwahi kupata ushauri au tiba mbali mbali kutoka kwako pls jitahd kufanya wakati wanao tumia kukuona kuwa worth enough kuwafanya waamke siku nyngne tena !
support watu katika harakati zao either za kibiashara au za kijamii
uwezi jua kwa namna gani una msaidia na kwa namna gani atasema neno la baraka maishani kwako
Low key mitihani ya clinical officers namna ina simamiwa na NACTVET
Ni Migumu sana ukifananisha na ya medical school
Just wasimamizi tu ndio uwa wana kiasi wale wa medical school wangesimamia kwa system hii watu wangekw hawatoboi
Tuwe makini na watoto wetu hasa tunapokuwa tuna chemsha maji ya moto au kunapokw na mazingira yanayo weza kusababisha kuungua na moto
-incidence ya watoto kuungua na moto zimezid sana
@Kudu_ze_Kudu
Ubaya wa kuwa GP ni mgonjwa
Hakuchagulii ugonjwa
Niko hapa nakomaa na mambo ya kina sales nico
Pericoronitis 🤣🤣🤣🤣
Asubuhi wanangu watakuja malizia nilipoanza 🤣🤣🤣
Bro hospital ya mloganzila haikuwa mipango ya MNH kutoa huduma za kibingwa
Mlonganzia ilianzishwa chini ya chuo cha MUhas Kwa kushirikiana na serikali ya korea katika plan za kuhamisha clinical practise kutoka MNH -ili chuo cha muhas kiwe na hospital yake ndio uitwa MAMC
Alikua mtu wa kutisha, kapanda hewani, muda wote anatembea na shoka, panga na jembe, alikua anaogopwa kwa namna amepanda hewani na mwili wake kama mbuyu.
Bwana huyu alipenda kuongea na kuimba mwenyewe akiwa anatembea, wazaramo wakasema yule “Mlonga Nzila” yani “muongea njiani”
So tukubaliane kwanza wazee
Bar tunaenda kutumia laki moja mpaka milioni kadhaa
Lakini tukipata ajali
Hospitalin ndio huduma zinatakiwa zitolewe bure sio bila hivyo madaktari na manurse wanakuwa na roho mbaya ety eeh 😒😒
Customer sastification uwa ina mambo mengi sana
Siku moja same team inaeza hudumia wagonjwa wawili tofauti na wote wakawa na majibu tofauti ya namna wame ridhishwa
Same for me, nilikimbizwa ICU pale temp inasoma 42° na nilizima kabisa. Kuja kushtuka nakuta nimezungukwa na madokta na manesi wanne, cold saline lines zishatundikwa na zinakaribia kuisha na nyingie wameniwekea kifuani kushusha hio temp. Itoshe kusema bila wao leo nisingekua hapa
muhimbili university of health and allied science (MUHAS)
-ukisikia story za wanafunzi wa muhas zinavyosimuliwa na watu wengine jinsi walivyo mpaka wanafunzi wenyewe wa muhas wanajiuliza hawa jamaa wanasoma wapi mnao wasimulia ...mbona wana dharau hivyo
🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna matibabu as matibabu ambayo umeyasomea shule ya tiba
Afu kuna matibabu inayo somea vijiwen kwa kufata NHIF wanavyotaka !unajua hii sio sahihi lakn hauna namna
Naendelea kusisitiza kwa waganga wote hii si TAFITI bali ni CASE REPORT(upo emd au wodin umepokea mgonjwa ana ugonjwa flan lakn leo umekuja kwa namna tofauti unauandkkia karatasi kutaarifu wengine kuwa ina wezekana mambo yakawa hivi)
Ngoja niwasaidie ambao hamuelewi hapa maana ni muhimu kuelewa tafiti hii.
Kapata heart attack baada ya kunywa energy drinks 5
- Ana miaka 28
- Hana historia ya magonjwa ya moyo
- Hana kihatarishi cha magonjwa ya moyo
Kanywa energy drinks 5, baada ya masaa 4 akaanza kupata
Katika harakati za utafutaji inabidi uzoee ku move on fast sana yaan leo asbh upo kwenye mahusiano jion upo single aujali ushaanza tongoza manzi mpya
Asbh umetoka nyt kazin
Mchan ushafukuzwa kazi una beba CV Chap jioni unaanza smbz upya haina kulala
Mambo ni Mengi muda mchache
zaidi ya asilimia 90 ya watu wanao ambiwa wana malaria au typhoid kwenye maabara ambazo hazina consultant uwa hawana just wana andikiwa kuridhisha matamanio yao
Ya kuonekana una umwa kwa kuwa tayar wana hisia za magonjwa yao
Una ji aibisha NICU haiwez kuwa na madirisha wazi hvyo maana ina hitaji joto kubwa plus NICU ina tuvitanda tudogo sana ambavyo uwez mlaza mama humo plus kama ulikw ujui nikujuze inaitwa NICU (NEONATAL INTENSIVE CARE UNIT )
Ushawah ona wap wauguzaji wanalala ICU ???
Mfano vitnda
WODI MAALUM (NCU) YAANZISHWA BUZURUGA
Wodi maalum {NCU} ya kulaza watoto wachanga tu wanaohitaji uchunguzi zaidi wa hali zao za ki-afya baada ya kuzaliwa kabla ya kuruhusiwa kurejea nyumbani, imeanzishwa rasmi Kituo cha Afya Buzuruga.
Kambi maalum ya 'Madaktari Bingwa wa Mama’