Majani🇲🇿 Profile Banner
Majani🇲🇿 Profile
Majani🇲🇿

@igy_bm23

Followers
4,261
Following
2,866
Media
1,246
Statuses
32,351

| Mwakimonya | lobbylist | inspired by nyonyo😋 |chelsea n yanga shabiki lia lia |Mganga wa kienyeji |Marshall D Teach |buza citizen | Mmed chaos | trauma guy

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Reality !
@Neo_officiall
Neo_officiall
1 year
There is not a single woman on earth who has tasted sex that can ever fully abstain, so when you meet a girl who is not a virgin and she tells you "no sex before marriage", it's not because she has found christ or she has learnt any lesson from all her previous whoring around, it
820
3K
8K
0
1
4
@igy_bm23
Majani🇲🇿
15 days
Wazee wa kitei Na msuli tembo Hapa ulifika form 5 Unakuta form 1 ana kushangaa braza mbona unalala mapema hyo ni saa 7 usiku 😂😂
Tweet media one
134
70
2K
@igy_bm23
Majani🇲🇿
6 months
Appreciation tweet kwa Wilbad chambulo The Chairman of Tanzania Tourism agency association Mwana kawachana BOT katika namna ya data !
Tweet media one
66
107
987
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
P.E.N.S D.O.W.N
Tweet media one
74
28
723
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 months
Ukiwa umetulia zako OPD Una piga moja mbili zako Ukiona tu gafla kuna mmama au mzee amekuja na ki mfuko kina label ya AGA KHAN,MOI,JKCI au MNH Jua siku yako imeharibika 🤣🤣🤣🤣 Umwambii kitu huyo kila Matibabu lazm apige simu kwa daktari wake kwanza ,🤣🤣🤣🤣
48
29
369
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
sema ukiona tweet za medical student(much knows) utazan uwa wanatibu wakiwa wodini au wana pasua wakiwa theatre ...kumbe ni clerkers na wafuta jasho ma surgeon wakizidisha sanaa..wako kubeba miguu pale OT😂😂😂😂
35
13
345
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Thanks God for another year...☺☺
Tweet media one
65
14
351
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Wameanza kuisifia album hata haijatoka😂😂😂😂
37
3
322
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
braza kaoa na alianza mwez wa 6 yule mwingine kazi yake kumsifia tu manzi ake ana akili na ana muinspire toka mwaka jana😂😂😂😂
46
14
323
@igy_bm23
Majani🇲🇿
11 months
😂😂😂😂😂oya wanangu sup moja tu (IM301) ndani miaka mitano tena pale upanga ina watoa roho hivi Ningepata sup kama 3 si mngekuja na petition nisiwe daktari 😂😂😂😂😂😂😂😂
@SharonMontana20
Mishy🇲🇫
11 months
Majani ndo Nani Tena 😲
Tweet media one
2
4
32
69
6
306
@igy_bm23
Majani🇲🇿
7 months
Ukiwa na NHIF sahiz ukalazwa akikisha una ka laki ka pembeni 😂😂😂
18
24
291
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Narudia kwa niaba ya @Kudu_ze_Kudu mkiwa mnaenda kuwaona wagonjwa badala ya kubeba machungwa na other unncessary stuffs ,MUWAPE HELA wagonjwa au wauguliwa ,wanahitaji sana HELA kuliko hivyo vitu vingine matibabu ni GHALI......
9
30
274
@igy_bm23
Majani🇲🇿
6 months
Madaktari wa MNH(upanga na mloganzila) Ina paswa wajifunze kucontrol ndimi zao Ukiangalia medical-legal cases nyingi za karibuni chanzo kikubwa ni ukosefu wa ku appreciate wenzao wa chini walivyo jaribu kupambana kuokoa maisha Reference Case ya kitonka Case ya kairuki
28
26
222
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Nilikuwa najuaga sina akili sana Mpaka mada ya CONSULTATION FEES ilipokuja ndio nikagundua humu ndani vizibo ni wengi sana wanajificha nyuma ya uinfluencer !
13
5
183
@igy_bm23
Majani🇲🇿
7 months
Nje ya box aliona mbali
Tweet media one
9
16
181
@igy_bm23
Majani🇲🇿
11 months
+1 thank God for another year !
Tweet media one
51
10
183
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Mwaka 2008 mtihani wa necta form six ulifanyika mwez wa pili na sio mwezi wa tano kama unavyoandika hapa mfano wa pqper yq biology paper 1 Na swali la kwanza halikuwa la mazingira
Tweet media one
83
12
132
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Wahuni...na mJOHO #MDkwambinde
Tweet media one
19
6
128
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
+1 To more years ,More hustles ,More sucess Till i die
Tweet media one
34
6
122
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Mzee alikuwa na maono sana Ukiachana na mengine yote
9
36
122
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Hospital za serikali watu wakipona hawatangazi Ikitokea mtu kafa hata kama kulikuwa hakuna kosa lolote kwenye utoaji huduma Vidole vyote vitanyoshwa
7
18
121
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
Its 3rd nov thank God for another year
Tweet media one
26
7
111
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
sema wazee kuoa au kuolewa hakukufanyi wewe uwe ndo mshauri wa mambo ya ndoa au mahusiano ya watu wengine na pia kuwa kwenye ndoa aimaanishi wewe ni mwanamke au mwanaume bora nyakati nyingine saa mbovu mbili zikikutana zinasaidiana kutulizana
14
12
110
@igy_bm23
Majani🇲🇿
10 months
We miso misondo umepigaje hapo
9
14
113
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
LFT (AST,ALT,ALP ) Total bilirubin level Direct bilirubin level FBP Abdomen ultrasound Abdomen CT Scan and MRI
@444holywitch
Srečko✨
1 year
Msoma viganja wa mchongo...tapeli😂
Tweet media one
69
11
415
46
3
107
@igy_bm23
Majani🇲🇿
9 months
Mtwara zonal ..hii hospital nikiambiwa hata ni volunteer nakubali chaap !
Tweet media one
12
3
103
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 months
Madogo mna yaforce yasome PCB akat manurse na madaktari sahz wamekuwa mawinga 🤣🤣🤣 Peleka dogo shule ya biashaea aijue mapema kabsa Nchi ishajaa wataalamu wa afya hii
11
6
98
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 years
Tweet media one
8
5
93
@igy_bm23
Majani🇲🇿
9 months
Wakati tuna subiri MCT waseme na vijana Tunapata kwanza mapumziko toka skull ya famasia Wamepiga ile kitu inaitwa fanya masiala 😂😂😂🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
40
13
85
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
good morning every one !.. siku yako iwe yenye baraka
5
8
78
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Kufika mwaka 2030 kutakuwa na high microbial resistance kwa azithromycin ,amoxyclav, metronidazole na ceftriaxone !kwasababu ya overprescription
17
18
82
@igy_bm23
Majani🇲🇿
27 days
Tutalala tukifa 😂😂😂
Tweet media one
20
3
81
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Tweet media one
10
1
66
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
@MarekaMalili operation red sea
12
2
63
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Tamisemi kwa kias flan Inabidi ikabidhi jukumu la mambo ya afya kwa wizara ya afya ! Jukumu la mambo ya afya lisiwe sehem mbili tofauti lina leta changamoto hasa kwa watumishi
11
6
59
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Wanaharakati wa twitter hawajawah kufeli kukuonyesha anae walipa Sahizi wako busy kumuombea umakamu wa rais alie walipa 😂😂😂😂 Akiwageuka baadae wanaanza harakati njaa
5
4
58
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
new jobless in town😂
19
3
59
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Ifike mahali kupima DNA kuwe sehemu ya kadi ya clinic Mtoto anaanza clinics watu wana chapwa DNA test Social father wamekuwa wengi sana Kuliko biological father Mwisho wanapata depression za uzeeni
7
6
59
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
Tweet media one
0
0
41
@igy_bm23
Majani🇲🇿
8 months
So ukisikia maajabu ndio haya kuna nchi flan bwana iko ukanda wa afrika mashariki Kuna kazi ni ya wito Lakini unatakiwa ulipie leseni kila mwaka Ili ukatumikie wito eeh😂😂
9
14
56
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
Tweet media one
5
2
53
@igy_bm23
Majani🇲🇿
11 months
Ukishamaliza kupambana na PPH Tulia zako sasa pale usbr lawama za customer care while sifa na shukrani apelekewe mwamposa !
10
11
54
@igy_bm23
Majani🇲🇿
10 months
Kufanya kazi hospitali ya serikali na tena wodi ya wazazi inabidi iwekwe kwenye DSM 10 kama ni chanzo cha depression pia Ukiangalia wodi ya wazazi temeke inavyoongelewa kwa mange na ukweli ulivyo unaeza acha kazi ukanena kiyahudi
5
7
54
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
@ts__david @swahilitimes @AllyHapi Oya degree ile inasomwa miaka 5 mzee usi ropoke kila kitu kufit in
4
1
54
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Sema sijui how but kama una kias cha kutosha jenga Nyumba ina sitili sana mzee ! Kipindi cha ugumu wa maisha
@rollymsouth
Madenge
1 year
Nani aliyetuaminisha ukipata hela cha kwanza ni kujenga?sasa hizi apartments kajengewa nani?na we unaewaza kujenga nyumba za biashara ataishi nani?
220
51
1K
4
1
53
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 years
Mood ya intern kurutu wa zamu idara ya surgery TRRH nikiwa nasbr admission za stab wound kutoka kwa mkapa 😂😂😂😂 nikiwa kabsa najua hamna cha kunifanya hata nikijiita Dr @DrFrankiejm 😂😂
Tweet media one
9
3
51
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 months
Kauli ya "udaktari ni wito" ni moja ya kauli za kishenzi sana kuwah kutolewa na watangulizi wetu Wamefanya watu wamekuwa wajinga katika kuwa treat watumishi wa afya
10
8
51
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
Tweet media one
6
4
49
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
@kigogo2014 hyo si ume screenshotiwa hyo mzee au ndo parody account yako ukawa una mchora mwana
3
0
50
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Sema kuna swala linaitwa kuvolunteer 😂😂 Unaeza piga zako kujitolea miaka miwili Zinatoka ajira pale kati Wana kupa na kaimani Majina yakija haupo Afu wana tulia Yule muajiriw mpya wana mleta pale pale ulipojitolea 😂😂
11
6
49
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Bachelor of usela ,upiga kete and ugai gai mwingi University of Buza
Tweet media one
@MichaelBucwa
Mr Smeg
2 years
Graduation Day Photo Thread 🤲🏾
Tweet media one
517
181
6K
12
1
46
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 month
Watumishi wa Mungu wanasema Haikuwa kazi ya Mungu mtumishi mwenzao kufa Ni uzembe wa madaktari JKCI iwajibu Jamaa anakwambia waliompasua amesoma nao walkw hawafaulu 😂😂
9
1
48
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Unasoma MD miaka 5 Unafanya internship mwaka 1 Jumla miaka 6 Lakini inakuchukua miez 2-6 kujua Ulipoteza muda future uliokw una iwaza aipo kwenye medicine 😂😂😂😂😂 Ni bora ungetumia huo muda kusoma soft skills au digital sijui marketing !
18
4
48
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 months
Seliani hata kulipa walinzi sahz imeshindwa mamae Walinzi nao wamegoma
9
4
46
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
Tweet media one
7
3
43
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 years
Watu wana tabia ya kusahau kuwa sisi ni mabingwa mfuatano @RohoMbayaFClub na tunadhaminiwa kiboss na @StreetSoulTZ 😂
Tweet media one
1
7
42
@igy_bm23
Majani🇲🇿
10 months
@minxmilliyon @theImpalar siku isiishe kinyonge kaka
1
0
18
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
@hancymachemba Bro mtu mwenye akili timamu uwez sema una haki ya kumdharau mwingne kisa umemzid leo mshahara Muwe mnakaa mnaambiana kuwa Kuen na kias
2
2
42
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 months
MD,Mmed volunteer 🤣🤣
Tweet media one
12
3
41
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
😂😂😂medicine ndio kitu pekee kila mtu ana hisi ana jua Mpaka siku apate urine retention au fecal impaction
@thisistemidayo
Temidayo
1 year
Mimi siwezi kuamini kwamba Daktari anayetoka direct A’Level anaweza kua bora kuliko aliyepita Clinical Medicine. Imagine mtu anatokea kusoma PCB, ambayo kwenye Biology practical yake ni kupasua Panya na Mende. Hata dawa anasoma theoretical zaidi, alafu huyu mwengine anakwenda
128
35
618
26
4
42
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Chukua udongo huu umba Mwanaume wako
Tweet media one
@Neypaul01
Neypaul🤎
1 year
Sitaki mwanaume wangu atembee uku anadunda.
152
31
625
12
0
40
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 months
This one
Tweet media one
@BridgetNBrina
Bridget Nahwera
3 months
Quote this with a picture that you can never delete from your gallery!
102
61
330
4
4
40
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Tweet media one
7
0
37
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
To every doctor out there Watu wanaamka saa 10 usiku kuwahi kupata ushauri au tiba mbali mbali kutoka kwako pls jitahd kufanya wakati wanao tumia kukuona kuwa worth enough kuwafanya waamke siku nyngne tena !
7
5
38
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
@pompeowabuza tofautisha bilionea wa US D na bilionea wa T shillings mwanza
1
0
38
@igy_bm23
Majani🇲🇿
11 months
Mngekwa mna deal na maswala ya maslahi ya madaktari kama mnavyo deal na swala la mitihan mngekwnafanya jambo jema sana
@ElishaOsati
Dr. Elisha Osati
11 months
Vijana wajitahidi kusoma. Udaktari ni taaluma inayohitaji juhudi kubwa. Udaktari hautolewi mezani au mtandaoni. Udaktari unakuja baada ya nidhamu kubwa Sana ya kitaaluma. @wizara_afyatz @association_mat @muhimbiliuniver @MuhimbiliTaifa
Tweet media one
Tweet media two
32
37
215
5
5
37
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Una mleta mtu saa 10 usiku kwaajili ya mafua na kikohozi kweli Niki mcatheterize unasema mm na roho mbaya jamani
12
1
37
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
support watu katika harakati zao either za kibiashara au za kijamii uwezi jua kwa namna gani una msaidia na kwa namna gani atasema neno la baraka maishani kwako
3
8
34
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Mbezi - Temeke na mwanangu @Kudu_ze_Kudu lazima tukonde mpk intern iishe 🤣🤣🤣
4
1
36
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
@Pdizaina05 sikia mzee watu wanauza vyakula kwenye vita sembuse vitakasa kwenyw corona
4
0
33
@igy_bm23
Majani🇲🇿
16 days
Low key mitihani ya clinical officers namna ina simamiwa na NACTVET Ni Migumu sana ukifananisha na ya medical school Just wasimamizi tu ndio uwa wana kiasi wale wa medical school wangesimamia kwa system hii watu wangekw hawatoboi
8
1
35
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Tuwe makini na watoto wetu hasa tunapokuwa tuna chemsha maji ya moto au kunapokw na mazingira yanayo weza kusababisha kuungua na moto -incidence ya watoto kuungua na moto zimezid sana @Kudu_ze_Kudu
1
2
34
@igy_bm23
Majani🇲🇿
3 months
Ubaya wa kuwa GP ni mgonjwa Hakuchagulii ugonjwa Niko hapa nakomaa na mambo ya kina sales nico Pericoronitis 🤣🤣🤣🤣 Asubuhi wanangu watakuja malizia nilipoanza 🤣🤣🤣
6
0
34
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
lets me take my time and appreciate mhuni @harmonize_tz humu kaua #hatusubiriafendotumsifie
Tweet media one
2
4
33
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Dodoma is overrated
13
2
31
@igy_bm23
Majani🇲🇿
11 months
Bro hospital ya mloganzila haikuwa mipango ya MNH kutoa huduma za kibingwa Mlonganzia ilianzishwa chini ya chuo cha MUhas Kwa kushirikiana na serikali ya korea katika plan za kuhamisha clinical practise kutoka MNH -ili chuo cha muhas kiwe na hospital yake ndio uitwa MAMC
@BongeLaAfya
Bonge La Afya
11 months
Alikua mtu wa kutisha, kapanda hewani, muda wote anatembea na shoka, panga na jembe, alikua anaogopwa kwa namna amepanda hewani na mwili wake kama mbuyu. Bwana huyu alipenda kuongea na kuimba mwenyewe akiwa anatembea, wazaramo wakasema yule “Mlonga Nzila” yani “muongea njiani”
Tweet media one
20
10
134
7
7
33
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Tweet media one
6
0
31
@igy_bm23
Majani🇲🇿
11 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@LuckyLu____
FUNDI JUMA 🇿🇦
11 months
October photo dumps lets have it.
82
23
312
6
1
32
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Niwe serious na vijiwe nipate hela nikasome masters niwe naona wagonjwa kwa appointment sasa !
8
2
32
@igy_bm23
Majani🇲🇿
8 months
Nchi ambayo bado hata liver transplantation haijawa mastered vizuri Hospital ya taifa inawezekeza kwenye makalio na vipara Aiseeeh
10
5
32
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
Tweet media one
2
1
31
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
So tukubaliane kwanza wazee Bar tunaenda kutumia laki moja mpaka milioni kadhaa Lakini tukipata ajali Hospitalin ndio huduma zinatakiwa zitolewe bure sio bila hivyo madaktari na manurse wanakuwa na roho mbaya ety eeh 😒😒
5
1
31
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Sema wote wanataka upanga Hawatak mbeye ,mwanza ,makumbusho au bunju Ndio shida 😂😂😂😂😂afu baadae watasema upanga is overrated wakishakosa
@iboysean
Sean 🔰
1 year
PCB ni comb pekee mtu kapiga Div One yake ya 6 lakini akajikuta anakosa chuo 😂
17
9
145
17
1
30
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Customer sastification uwa ina mambo mengi sana Siku moja same team inaeza hudumia wagonjwa wawili tofauti na wote wakawa na majibu tofauti ya namna wame ridhishwa
@Fred_Waaah
Fredwaah
1 year
Same for me, nilikimbizwa ICU pale temp inasoma 42° na nilizima kabisa. Kuja kushtuka nakuta nimezungukwa na madokta na manesi wanne, cold saline lines zishatundikwa na zinakaribia kuisha na nyingie wameniwekea kifuani kushusha hio temp. Itoshe kusema bila wao leo nisingekua hapa
Tweet media one
Tweet media two
16
3
100
6
6
30
@igy_bm23
Majani🇲🇿
4 years
muhimbili university of health and allied science (MUHAS) -ukisikia story za wanafunzi wa muhas zinavyosimuliwa na watu wengine jinsi walivyo mpaka wanafunzi wenyewe wa muhas wanajiuliza hawa jamaa wanasoma wapi mnao wasimulia ...mbona wana dharau hivyo 🤣🤣🤣🤣🤣
2
1
30
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Kuna matibabu as matibabu ambayo umeyasomea shule ya tiba Afu kuna matibabu inayo somea vijiwen kwa kufata NHIF wanavyotaka !unajua hii sio sahihi lakn hauna namna
11
0
30
@igy_bm23
Majani🇲🇿
15 days
@robindamas7_tz 😂😂😂😂vijana sijui walkw wanatafuta nn 😂
1
0
30
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Medicine imekuwa rahis sana
@sam_md_29
Samson Ngonyani
1 year
My class 🎂
Tweet media one
13
4
60
21
1
29
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
@HecheJohn kachukue form ya uenyekiti taifa mkuu
2
1
29
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Kuna offer za ajira unazinagalia hivi Unavuta shuka unalala gheto 😂😂😂 Ili mradi hela ya kula ipo
2
3
28
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 year
Naendelea kusisitiza kwa waganga wote hii si TAFITI bali ni CASE REPORT(upo emd au wodin umepokea mgonjwa ana ugonjwa flan lakn leo umekuja kwa namna tofauti unauandkkia karatasi kutaarifu wengine kuwa ina wezekana mambo yakawa hivi)
@BongeLaAfya
Bonge La Afya
1 year
Ngoja niwasaidie ambao hamuelewi hapa maana ni muhimu kuelewa tafiti hii. Kapata heart attack baada ya kunywa energy drinks 5 - Ana miaka 28 - Hana historia ya magonjwa ya moyo - Hana kihatarishi cha magonjwa ya moyo Kanywa energy drinks 5, baada ya masaa 4 akaanza kupata
Tweet media one
158
326
735
4
6
29
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
Tweet media one
4
6
28
@igy_bm23
Majani🇲🇿
7 months
😂😂😂😂uzuri wa milio hii imesambazwa corner zote
Tweet media one
12
2
28
@igy_bm23
Majani🇲🇿
1 month
Katika harakati za utafutaji inabidi uzoee ku move on fast sana yaan leo asbh upo kwenye mahusiano jion upo single aujali ushaanza tongoza manzi mpya Asbh umetoka nyt kazin Mchan ushafukuzwa kazi una beba CV Chap jioni unaanza smbz upya haina kulala Mambo ni Mengi muda mchache
2
5
28
@igy_bm23
Majani🇲🇿
8 months
zaidi ya asilimia 90 ya watu wanao ambiwa wana malaria au typhoid kwenye maabara ambazo hazina consultant uwa hawana just wana andikiwa kuridhisha matamanio yao Ya kuonekana una umwa kwa kuwa tayar wana hisia za magonjwa yao
@Nigerian_Doctor
Nigerian Doctor
8 months
Unpopular medical opinion that would get you in this position? #MedTwitter
Tweet media one
79
164
2K
11
3
28
@igy_bm23
Majani🇲🇿
10 months
Una ji aibisha NICU haiwez kuwa na madirisha wazi hvyo maana ina hitaji joto kubwa plus NICU ina tuvitanda tudogo sana ambavyo uwez mlaza mama humo plus kama ulikw ujui nikujuze inaitwa NICU (NEONATAL INTENSIVE CARE UNIT ) Ushawah ona wap wauguzaji wanalala ICU ??? Mfano vitnda
Tweet media one
@Eric__Bernard
MR BEN
10 months
WODI MAALUM (NCU) YAANZISHWA BUZURUGA Wodi maalum {NCU} ya kulaza watoto wachanga tu wanaohitaji uchunguzi zaidi wa hali zao za ki-afya baada ya kuzaliwa kabla ya kuruhusiwa kurejea nyumbani, imeanzishwa rasmi Kituo cha Afya Buzuruga. Kambi maalum ya 'Madaktari Bingwa wa Mama’
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
76
20
118
17
5
27
@igy_bm23
Majani🇲🇿
6 years
@JideJaydee Siami Africa mahali mtu ameandika kitu hichi mwingne anakuja na tafsiri nyngne kama mashairi ya mpoto ..ili kuridhisha anachoamin
0
3
28
@igy_bm23
Majani🇲🇿
2 years
Despite Mapungufu ya kibinadamu Lakini Mkongwe uliupiga mwingi sana Mungu akupe pumziko la amani -hii nchi uliishape katika namna yake
Tweet media one
3
3
25
@igy_bm23
Majani🇲🇿
7 months
Madogo yatakosa physiology of body fluid na english ya havard
@muhimbiliuniver
Muhimbili University
7 months
Congratulations Prof.Balandya👏👏
Tweet media one
11
39
241
2
0
27
@igy_bm23
Majani🇲🇿
5 years
@onono_teddy kaandike kikuyu huko sura kavu ka unatumia dawa za kuharisha
3
0
25
@igy_bm23
Majani🇲🇿
15 days
@Octavianlasway Haha hapo ujakutana na elikinjie na eudora
3
0
27