Mikidadi Hamidu | PRO Profile Banner
Mikidadi Hamidu | PRO Profile
Mikidadi Hamidu | PRO

@hamidumikidadi

Followers
3,809
Following
3,897
Media
513
Statuses
5,590

|TanzanianUniversityCulture| A Public Relation Officer @udomtheofficial | View are my own and do not represent any Org.

Dodoma, Tanzania
Joined October 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
Kama Una Laki nane hapo kwa Mwaka, Naomba nikutajie Course ya kusoma kwa Diploma.
Tweet media one
Tweet media two
27
32
615
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 months
Wakali wa Location, hapa ni wapi?
Tweet media one
81
15
247
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Hiki ni Chuo gani hapa Tanzania?
Tweet media one
38
16
213
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Ukitaka kupata ELIMU nenda UDOM, ukitaka mademu wasafi nenda UDSM.
Tweet media one
Tweet media two
26
15
159
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Usidai malipo katika kazi ya kujitolea🙏
Tweet media one
Tweet media two
9
9
100
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Nikiiangalia UDOM, naichukulia kama China. Usiniulize kwa nini…
Tweet media one
15
7
99
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
Ada laki 900k, Hosteli 250k, nini Unasubiri ku-confirm UDOM?.
Tweet media one
11
6
82
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
After breakfast, nimegundua kufuta boom sio sawa Kabisa.
Tweet media one
8
7
78
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Kama unamjua, Mtaje.
Tweet media one
8
7
73
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Vipi, bado hayavuki mstari?
Tweet media one
7
6
60
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
@MrIQ_01 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂watoto wa UDSM wanalia lia sana
5
1
56
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Hakuna wa Kuipenda UDOM isipokuwa mimi na wewe🫵🥹
Tweet media one
3
7
54
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Asubuhi hii Principal ameniambia “Kwa Umri wako kuwa na mtoto ni sawa, Lakini kuoa, bado sana.” Hapa amemaanisha nini?
7
11
52
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Hii Library ikifunguliwa mutakuja kusoma?
Tweet media one
2
5
48
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 days
Unaambiwa Kwa Hapo UDOM, Hii ni 1 kati ya College zote 11 🙌
Tweet media one
4
10
49
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Twitter wajuaji, Hiki ni Chuo gani hapa Tanzania?
Tweet media one
4
5
42
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Taja jina la Chuo chenye Hostel nzuri kushinda hiki.
Tweet media one
Tweet media two
8
5
39
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Tunaanza na Mungu, Tunamaliza na Mungu!.
Tweet media one
4
5
38
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
4 months
0
0
36
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Hiki Chuo wana kila kila except what’s between V and N😂!
Tweet media one
5
3
37
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Hii chuma Mkurugenzi ni nani hapa Dodoma?
Tweet media one
1
3
36
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
Hapa sio Camp Nou, ni CT 1.
Tweet media one
Tweet media two
4
5
36
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
0
0
31
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
1 month
Hii kitaalamu tunaita Admission Scandal, UDOM Inaongoza Point 3.
Tweet media one
1
3
33
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
3 months
1
1
34
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Mashabiki wa Madrid kutokea UDOM Tujuane💪
Tweet media one
2
4
33
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Wewe ungekuwa Media personel, ipi ni habari kati ya Hizi? Ni nini kinakuzuia kusema kuwa @millardayo Amelipwa hili tangazo?
Tweet media one
Tweet media two
3
3
32
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
CBE wameshinda kucheza bao😂 kwani ndio kazi yao hapa Mjini Dodoma?
3
7
30
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Ukiachana na UDOM, Chuo gani kingine kwa hapa Tz kina Branding nzuri?
Tweet media one
6
2
31
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
3 months
0
0
27
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
14 days
@mentor209 Waombe msaada UDOM CIVE😂😂
5
1
29
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Piga Picha kilichopo mbele yako.
Tweet media one
3
6
29
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
@Roma_Mkatoliki Mimi kwa kweli nimekuwa nikipokea mabinti wengi sana hasa katika kipindi ambacho shule zinakaribia kufunga wakiwa wanakuja kutembelea na Kujifunza UDOM, nikiwauliza hilo swali, kiukweli wanamtaja @SuluhuSamia pamoja na @ummymwalimu .
15
0
28
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
10 days
Mbuzi wajiandae kunywa Soda sasa.😂
Tweet media one
4
7
28
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Ulikwenda Chuo kusoma Degree au kuchukua Degree?
5
3
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
“Sikukuu ya Mtumwa ni Mei Mosi, Sikukuu ya Mfanyakazi ni kuwa Bosi” 🎶 Tafadhali, Taja jina la kwanza tu la Msanii…
7
10
27
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 months
1
1
27
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
4 months
@Kissaka0 Huyu sio wa kupata shida hivi, muulize anaitwa nani?
2
1
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Mtandao gani nikitumia napata huduma hii? Nataka kukusanya madeni yangu politely.
Tweet media one
5
7
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Nimepokea kwa Masikitiko Makubwa taarifa ya kusogezwa mbele kwa Kikao kazi cha 19 cha Maafisa habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano wa Serikali. Tatizo sio kuahirisha, tatizo ni the way My Principal alivyonifikishia, “Safari Hakuna dogo”😂
4
2
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
KAMA WEWE NI #MWANAFUNZI WA #CHUO , ZINGATIA HAYA! Hakika! Kama wewe ni Mwanafunzi aliyopo Chuo Kikuu, kuna vidokezo kadhaa vya ushauri ambavyo vinaweza kukusaidia kutumia vyema uzoefu wako wa Chuo Kikuu na kujiweka tayari kwa mafanikio yako ya kitaaluma kwa siku zijazo. Hapa
Tweet media one
3
10
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
1 year
@El_chapo10000 Tumbo halina kioo, ukila kisamvu hamna atakae jua. Keep grinding 💪
1
5
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 months
@iamjuddah Who is this Man?
2
0
24
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
0
1
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
Huko kwenu bei inasoma Shilingi ngapi?
Tweet media one
Tweet media two
3
3
25
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 months
1
1
24
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
@ze_mandevu Jamaa pia alifanya I miss you ya diamond mwishoni akapiga zile trampet hatari tupu
0
1
23
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 months
@iamcleopatricia Hakuna Mwanafunzi wa UDOM mwenye tabia hzi,
3
0
22
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
18 days
Mumeona Graduation Mbovu Kuwahi kutokea katika Historia ya Elimu Tanzania?
Tweet media one
2
2
21
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
1
0
21
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
Madogo saizi wanadeka sana, yaani kutoka CHSS kwenda CIVE uwanjani, wanataka Bus😂
7
4
21
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
1 month
Watanzania Munaona pale, Pale ni kama Ndaki ya Sayansi Asilia na Hisabati. (CNMS) SUA 8 ukijumlisha unapata College hiyo Moja.
Tweet media one
3
4
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
7 months
0
0
17
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
🌟 Epuka mahusiano ya kimapenzi na wateja ili kudumisha weledi na uaminifu. Kutoweka mipaka kunaweza kusababisha matatizo ya kimaadili, mgongano wa kimaslahi na masuala ya kisheria yanayoweza kutokea. Daima weka kipaumbele mipaka iliyo wazi! 💼❤️ #Taaluma #Mipaka
Tweet media one
Tweet media two
3
3
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
8 months
I wonder to UDOM, hoping to explore, Little thing I know, I want little more.🎵 #CIVE #UDOMEmbracingKnowledge
Tweet media one
Tweet media two
0
5
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
Ngoja nikuulize, Ni sababu gani inafanya mpaka sasa haujalala usingizi?
4
3
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
24 days
I Visited Ngorongoro.
Tweet media one
3
4
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
9 days
Nifundishe Kunyamaza.
Tweet media one
Tweet media two
2
7
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
3 months
1
0
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
9 months
Kipi kinakuzuia Hadi kufikia Leo hii Haujasoma Master yako UDOM?
Tweet media one
Tweet media two
2
1
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
“Mwanafunzi wa Chuo unauliza kuhusu Essay?. Maswali ni matano, dakika ni 40.”
Tweet media one
2
4
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
1 month
Leo Kimetokea nini hapa Twitter?
Tweet media one
Tweet media two
0
4
18
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
1 month
Leo Ulfat alikuwa mwenye masikitiko sana, amegoma kwenda Chuo.
Tweet media one
Tweet media two
1
3
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
27 days
Hili jengo liko mkoa gani hapa Tz? #EAPRW2024
Tweet media one
2
3
20
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
29 days
Vyuo vyote vipo hapa, Hawajaambulia kitu.😂 Asanteni sana wanafamilia kwa Support yenu🙏.
Tweet media one
1
3
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
0
0
18
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
29 days
Kuna Mkutano wa Public Relations hapa Lush Garden Arusha nimekuta kwa umoja wao wanacheza Music. Ngoja na mimi nijiunge. #EAPRWeek2024 #EAPRW2024
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
1
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
2 months
0
1
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
6 months
Nyie Mliosomea Masuala ya Anga, mtusaidie hapa ikitokea hizi tufanyaje?
11
5
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
5 months
@datius_tz Naitwa Mikidadi, Age 17 Location Dom Nichek chap😂
8
0
19
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
20 days
Nimejiandikisha kushiriki katika Kongamano la uhamasishaji wa Afya ya Akili Mahali pa kazi litakalofanyika tarehe 10.10.2024, New Dodoma Hoteli. Kongamano hili linaratibiwa na @Mirembe_hosptz pamoja na wadau wengine kama vile @VAFTanzania . Hakika “Afya ya Akili ni Afya”.
Tweet media one
1
7
18
@hamidumikidadi
Mikidadi Hamidu | PRO
1 month
Mimi popote nikikuta mtu sijamfollow, namfollow. Weka handle nikufollow, wewe utafollow back..🌺
5
3
18