Nimepanda boda anipeleke sehemu wakati wa kurudi mafuta yakakata nikatembea juani kwa zaidi ya saa na nusu... Nimefika kwa mama ntilie nikaagiza wali samaki, nikapewa wali maharage kwa maelezo kwamba samaki imebaki ya ugali… unategemea nina sura ya kushiriki kwenye ule uzi?