Acha leo niwape thread ya misosi mikali afu cheap sana…
#MisosiYaChefCousin
😂
Wanangu wa kucopy and paste nawasogezea mzigo msihangaike tena… kazi yako ni kwenda post tuu now.. huu mzigo haupo popote.
Wahi sasa ujipatie mali safi.😂
Mzigo huu hapa…👇🏽👇🏽