chacha_heche Profile Banner
Chacha Heche Profile
Chacha Heche

@chacha_heche

Followers
32K
Following
75K
Statuses
15K

Jesus never fails

Mara, Tanzania
Joined January 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @John_Pambalu: Ninakuja Tarime
Tweet media one
0
101
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @Mwabuk2Boniface: Suala la Utekaji kwa Watanganyika lipo.Waliotekwa wapo,Waliopotea baada ya kutekwa ambao mpaka sasa hawajaonekana wap…
0
177
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @Jambotv_: VIDEO: Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo @ACTwazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan @SuluhuSamia alitumi…
0
33
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
@AdvMatata Wakili karibu sana
0
2
36
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @OlengurumwaO: Ila jama mbona wanabonga sana kiswahili-usikute ni wenzetu
0
64
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @fanuel_siyame: Tukiwa tunajiandaa kwenda Nyumbani kwa Makam Mwenyekiti CHADEMA Tanganyika, Mhe. @HecheJohn. Naomba Kuwasogezea na hii k…
0
78
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
@John_Pambalu @HecheJohn Karibu Sana kamanda
2
3
36
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
Nimeumia Sana 😭
@IamLyenda
LYENDA
2 days
Pumzika Kwa Amani Kamanda Derick Magoma. Uliutumia muda wako vizuri ulipokuwa nasi hapa duniani
0
5
23
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
Nimesikitishwa Sana na kauli hii iliyotolewa na kinywa cha Mzee ambaye tulitegemea awe anatoa kauli alizopima zina ukweli gani kama mkoa wa Mara tutampa takwimu halisi kuwa Sisi watu wa mkoa wa Mara sio watu WA fujo kama anavyotaka tusomeke duniani na tutalaani Jambo hili sana
@eastafricatv
EastAfricaTV
2 days
#HABARI Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama vya upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali. Amesema CCM ina mipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini. Wasira aliyasema hayo alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara. "Nataka niwaambie wananchi wa Tarime CHADEMA wakitaka kufanya fujo mahali popote wanakuja kuchukua vijana Tarime wanapelekwa kufanya fujo kama majeshi ya kukodi, wakitaka kufanya fujo Mbeya wanakuja, Tarime, wakitaka kufanya fujo sehemu Tarime," amesema Wasira "Tunawaambia vijana wa Tarime wana mvua wana jua na Tarime panalimika, kila kitu kinaota tuwasaidie vijana wa Tarime watumie fursa zilizopo, tunawaambia CHADEMA muache kuja kuchukua vijana Tarime, sisi sio eneo la mapambano, vijana wetu sio wa kukodisha kwenda katika mapambano, nasema kama mzee wa Tarime waache kuja kuchukua vijana wa Tarime," Wasira amewataka vijana wasikubali kuchukuliwa na kutumika katika vurugu kwa kuwa wakienda huko hupigwa, kuumizwa na hata kupata ulemavu kisha kurudishwa Tarime wakiwa na hali mbaya. #EastAfricaTV @ccm_tanzania
Tweet media one
6
20
76
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
0
137
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @JustineOctavian: Endelea kupumzika kwa amani Alphonce! tuna kazi kubwa ya Kuhakikisha legacy yako hasa ya kuijenga Chadema @ChademaTz m…
0
64
0
@chacha_heche
Chacha Heche
1 day
RT @HildaNewton21: Mliokaribu na Rais Samia mfikishieni huu ujumbe kutoka kwa Mwanaccm mwenzake.
0
190
0
@chacha_heche
Chacha Heche
2 days
Niliwahi kuuliza yuko wapi Nathan wa leo? Hatimaye nimekuona
@HildaNewton21
Hilda Newton
2 days
“Usishindane na Tundu Lissu, Mungu ana agenda kwenye taifa hili kupitia yeye.”-; Mchungaji
1
19
117
@chacha_heche
Chacha Heche
2 days
Mzee katibu WA bavicha Tarime atakujibu uongo wako
@Jambotv_
Jambo TV
2 days
VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama vya upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali. Wasira aliyasema hayo alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara. Amesema CCM ina mipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini. Wasira amewataka vijana wasikubali kuchukuliwa na kutumika katika vurugu kwa kuwa wakienda huko hupigwa, kuumizwa na hata kupata ulemavu kisha kurudishwa Tarime wakiwa na hali mbaya.
4
8
45
@chacha_heche
Chacha Heche
2 days
Taarifa ya Ajali hii ni ya wazushi
Tweet media one
3
7
37
@chacha_heche
Chacha Heche
2 days
@Sativa255 Damu ya watu NI Ile Ile kama inavyomwaga Tanzania kila mhusika historia itamhukumu
3
0
9
@chacha_heche
Chacha Heche
2 days
Majuzi Tu Mzee wasira aliita watu vibaka ...
@Jambotv_
Jambo TV
3 days
VIDEO: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mgombea Mwenza wa kiti cha Urais Tanzania Bara kwa upande wa chama hicho Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema CCM lazima kiwe chama cha mfano katika kuhakikisha kinaheshimu utu wa watu na kufanya kazi kwa kufuata misingi na sera huku akidai chama hicho siyo chama cha kuzungumza matusi. Balozi Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo Jumamosi Februari 8, 2025 Jijini Dodoma wakati wa ufunguzi kikao cha kamati ya utekelezaji wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi (CCM).
0
2
5
@chacha_heche
Chacha Heche
3 days
RT @mdudenyagali: Ndugu @mwigulunchemba1 ni kweli unahusika kutumia cheo chako kuiba pesa za Umma? Kuna ukweli wowote kwamba pesa za Umma u…
0
216
0
@chacha_heche
Chacha Heche
3 days
" 'Bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii,ya kwamba ananifahamu Mimi ,na kunijua ,ya kuwa Mimi ni Bwana,nitendaye wema,na hukumu, na Haki,katika nchi maana Mimi napendezwa na mambo hayo asema Bwana (Yeremia 9:24) Sabato njema ...
0
6
28
@chacha_heche
Chacha Heche
4 days
RT @MariaSTsehai: Say his name! DR WILBROD SLAA Former presidential candidate, former ambassador, former MP and former secretary general of…
0
151
0