ZUNGU Profile Banner
ZUNGU Profile
ZUNGU

@callmezungu

Followers
18,225
Following
5,700
Media
1,041
Statuses
80,347

Grinding All Day

Tanzania
Joined April 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Uliwahi kusikia nini kuhusu jeans zinazouzwa kwenye maduka ya Vunja Bei? 🤔 😂
Tweet media one
293
87
3K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Mzalendo kaamua aweke na Lyrics kabisa, wasije sema kuna maneno hawakuyasikia vizuri 😃🙌🏼
Tweet media one
64
116
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Sio kwa ubaya; hivi Mwana FA alistahili U-Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo mbele ya Mheshimiwa Dr. Babu Tale? 🤔
Tweet media one
Tweet media two
395
73
2K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Na bado Msela wake Ana-cheat, ila sisi🙌🏼😅
Tweet media one
362
140
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kwa ukubwa alionao Millad Ayo, unadhani ni sahihi kwa yeye kuendelea kuwa chini ya Clouds Media?🤔
Tweet media one
177
103
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Sema jamaa ni dizaini ya wale Wanafunzi hawasomi sana wala kuonekana Shuleni, ila wakute kwenye paper sasa 😅🙌🏼
Tweet media one
70
85
2K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Ukipata ka hivi si unatulia mzee au bado? 🤔
Tweet media one
423
90
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
"Kijana sauti anayo, vocal limekaa mahala pake zaidi hata ya Wasanii wakubwa wengi tu. Aise ndugu Mtazamaji kula Chuma hicho" 😅 🙌🏼
Tweet media one
110
82
2K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
"Kodi nalipa mimi, Chakula ndani nanunua mimi, bills zote nalipa mimi halafu unapanda dakika mbili tu UMESHUKA" 😅 🙌🏼
Tweet media one
172
98
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Basi kuna Madada watamfuata Simon ili tu wahakikishe 😅🙌🏼
Tweet media one
95
66
2K
@callmezungu
ZUNGU
9 months
Hivi Sele wa Mbosso na Idd wa Juma Nature nani ni mtata zaidi? 🤔😅
Tweet media one
Tweet media two
309
67
2K
@callmezungu
ZUNGU
6 months
Billnas na Nandy wameweza kuwa-prove wrong Wasanii wenzao kwenye ile dhana ya Msanii ukiingia kwenye ndoa Muziki ndo basi tena.
Tweet media one
24
60
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kwa hiyo kuna mtu bado hajaiona hii?😅🙌🏼
Tweet media one
153
59
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi kunà uhusiano gani kati ya Manesi na kuvaa nguo fupi?🤔
Tweet media one
211
67
2K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Sema Wanangu Best Naso waga anajua, ni vile hatumzingatiagi tu 😅 🙌🏼
Tweet media one
145
63
2K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Anayeingia sasa ni single Mother ambaye hajawahi kupasha kiporo na Baba wa mtoto wake 😅🙌🏼
Tweet media one
67
93
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Mnaofuatilia kipindi, vipi jamaa wameanza kusikilizana au bado kila mtu mjuaji?
Tweet media one
117
55
2K
@callmezungu
ZUNGU
7 months
Sema kwenye HALLELUJAH Simba alikamia sana wazee 😎🙌
Tweet media one
49
72
2K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Huyu Maza anachekesha bana na video zake hazichoshi kutazama 😅🙌🏼
Tweet media one
201
70
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi kwenye ile 30 si huwa wanahesabu Mchana na Usiku, kwa hiyo inakuwa 15 au? 🤔
Tweet media one
202
85
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Boss wako anauliza kwanini ulimwaga ndani? 🤔 😂
Tweet media one
116
92
1K
@callmezungu
ZUNGU
3 months
Jamaa hakuwahi kuimba Wimbo wa kuteseka teseka mara sijui Maisha yamemkamata, yeye ilikuwa ni Bata, Kuku moshi (Kijiti) na Mirupo. 😅🙌
Tweet media one
116
83
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Sema haya yote umeyataka wewe Mmakonde, fanya kitu aise ukiendelea kukaa kimya Bongoflava inaenda kuwa Taarabu.
Tweet media one
36
75
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Ma-legends hii mali inasindikizwa au ndiyo imepokelewa? 🤔😅
Tweet media one
256
63
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
"Sawa hutaki kuniona mimi, basi njoo umuone hata Mwanao Ameku-miss kweli" 🚮😅🙌🏼
Tweet media one
88
77
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hili la Kenny kuonekana kwenye kila Video anayo-shoot binafsi sijawahi kulikubali na sidhani kama lina ULAZIMA. 🤔
Tweet media one
150
46
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
"Unaambiwa huo Mtandao wa Twitter kuutumia ni kisanga, kama hauna Degree hata kujiunga haukubaliwi" 😅 🙌🏼
Tweet media one
110
106
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Leo tumalize Ubishi, Mkoa gani kukuta Milima kama hii ni uhakika? 🤔 😃
Tweet media one
340
79
1K
@callmezungu
ZUNGU
9 months
Mpaka hivi tunavyoongea hakuna Mchizi hata mmoja ambaye Ghetto lake limefikia asilimia hata 10% tu ya lile Ghetto la Mangwair 😅🙌🏼
Tweet media one
71
58
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi hizi kokoto kazi yake huwa ni nini kwenye Reli? 🤔
Tweet media one
276
73
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Hivi hii Mistari waga inatokana na nini? 🤔
Tweet media one
220
63
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
"Sawa kazime taa, ila huyo Fetty nisimsikie tena" 😅 🙌🏼
Tweet media one
90
58
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Jaymond tangia ampate Mzungu ameacha kabisa U-Comedian, sasa hivi amekuwa Mtalii tu 😅🙌🏼
Tweet media one
41
62
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
"Angekuwepo Mzee lile giza jana lingeondoka na vibarua vya watu kama 30 hivi" 😅 🙌🏼
Tweet media one
75
90
1K
@callmezungu
ZUNGU
9 months
Miaka ya 90s mpaka 2000s Miziki ya Bongo Flava ilikuwa na Beats kali sana, Msinitenge ya Profesa Jay kwangu ndiyo Beat kali ya muda wote. Kwako ni Beat gani unaikubali mpaka kesho?
Tweet media one
274
80
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Sio kwa ubaya! Lakini kwanini Misaada hasa tunayopeleka kwa Watu wenye mazingira magumu isiwe Nafaka, Mafuta, sabuni, mavazi na vitu ka hivyo. Hizi juisi, soda sijui maji ya viwandani ni kweli ndicho wanachohitaji?.
Tweet media one
227
96
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Ukimkuta Bi mkubwa kama huyu barabarani jitahidi umuungishe tu, nunua hata kama sio mlaji wa hicho anachouza. Hawatafuti utajiri hawa bali wanatafuta mkate wa kula wao na watoto wao.
Tweet media one
71
160
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
As salam Alaikum ndugu zangu katika imani, bila makasiriko wala chuki Muislamu ukiangalia watu wako wa shida na raha utagundua wengi ni Wakristo kuliko Waislamu. Unadhani tatizo ni nini hasa? 🤔
Tweet media one
195
78
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Unadhani kwanini wanawake wenye maumbo yakuvutia hawaolewi? 🤔
Tweet media one
351
68
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Leo hatuangalii Kanzu tu, ili ule lazima kwanza usome Suratul Ikhlasi 😅
Tweet media one
52
39
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Huyu ndiye mama mzazi wa Billionaire Elon Musk anae fahamika kwa jina la Maye Musk, ambaye anajishughulisha na uwana mitindo.
Tweet media one
90
62
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Kwa shilingi 500 tu mchana umepita, halafu mtu ndo aniambie nihame Mbeya. Niende wapi nikateseke? 🤔 😂🙌🏼
Tweet media one
120
56
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Unaweza kununua chakula hapa? 🤔
Tweet media one
319
65
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kila Chupa ya chai inakuaga na hiki kikombe kidogo, kazi yake huwa ni nini? 🤔
Tweet media one
166
62
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi Perfect Crispin aliendaga wapi?🤔
Tweet media one
55
33
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kwa hiyo Baraka Da Prince ndiyo basi tena, kwani tatizo lilikuwa nini? 🤔
Tweet media one
74
60
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Wali wa mia tano Mama John pale, hapa nasubiria Parachichi la mia mbili halafu mtu aniambie nihame Mbeya una utani wewe 😅🙌🏼
Tweet media one
139
95
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Mlinzi wa Nyumbani kwa Davido amepandishwa cheo kuwa Inspekta wa Jeshi la Polisi huko Nigeria, wasanii wetu walinzi wao huwa wanawaokota wapi? 😂
Tweet media one
46
44
1K
@callmezungu
ZUNGU
6 months
Sema jamaa akiwa Balozi wa bidhaa yako utafurahi sana maana haachi GAP aise kila kwenye fursa ya kuitangaza ataitangaza tena kwa kiwango cha lami. 😎🙌
Tweet media one
30
56
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Sendo kama hizi za Wanafunzi wa Yesu naweza nikazipata wapi? 🤔
Tweet media one
229
56
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Ukienda kutambulishwa Ukweni Kanda ya Ziwa 😅🙌🏼
Tweet media one
133
75
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hii ilikuwa bonge moja la ngoma na ilipendwa na watu wengi kutokana na ujumbe wake, kubwa zaidi ni ubinifu uliotumika ndani ya hii video. Kama unaikumbuka taja jina lake.
Tweet media one
102
79
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kwa mfano wewe ndiyo Mwalimu wa nidhamu, Mwanafunzi kama huyu utampa adhabu gani? 🤔
Tweet media one
305
61
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
We unadhani nini kifanyike? 🤔
Tweet media one
391
70
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Haya Mambo kweli hayana Ujeshi wala Useminari! 😅🙌🏼
Tweet media one
57
53
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi kwanini Wasanii wengi wa Marekani especially Blacks wanapenda kujihusisha na Nigeria & Ghana na sio Nchi kama hii yetu?🤔
Tweet media one
225
51
1K
@callmezungu
ZUNGU
7 months
Miaka kadhaa nyuma kiwanda cha Bongo fleva kilikuwa na hiki chuma DULLAYO, moja kati ya mashine zake tata ni NAUMIA ROHO. Anyways sijui mwamba yuko wapi now ila nilitaka tu kusema Dullayo anajua sana 🤞🏼
Tweet media one
77
64
1K
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Movie gani imekujia kichwani ulivyoona hili dude ☺️🙌🏼
Tweet media one
488
72
977
@callmezungu
ZUNGU
6 months
Hivi ni mimi peke yangu ndiyo naonaga hawa jamaa wakipigwa Matukio na Wanawake zao huwa wanatoa Ngoma kali sana 😃🙌
Tweet media one
Tweet media two
23
55
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
The 🐐 with UNBREAKABLE RECORD! 😅
Tweet media one
114
25
1K
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kachumbari kwa kingereza inaitwaje.? 🤔
Tweet media one
259
51
985
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kwa heshima na taadhima, sisi wana Mwanza tunaomba hii vita iendelee mpaka mmoja Afe 😂 🙌🏼
Tweet media one
66
68
991
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Idadi ya Wanawake Tanzania ilikuwa mara mbili ya idadi ya Wanaume, ila wewe ukakomaa na Bakari Nondo kale kuni kule 😅🙌🏼
Tweet media one
89
89
967
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Bro! Kama huwezi kusimama kama huyu jamaa hapo, Achana nae hakufai huyo 😅🙌🏼
Tweet media one
91
65
943
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi mnaanzaje kuwa Mashoga? 🤔
Tweet media one
133
64
949
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi kwanini Wanajeshi hawaruhusiwi kufuga Ndevu?🤔
Tweet media one
106
71
938
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi hii gari bado inaendelea na kazi au ilifungiwa?🤔😃
Tweet media one
102
54
919
@callmezungu
ZUNGU
11 months
Hivi kuna Mtandao una Customer Care mbovu zaidi ya huu? 🤔
Tweet media one
248
33
934
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Hivi ni kwanini Marasta hawali Nyama?🤔
Tweet media one
118
71
910
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Hivi hizi huwa zina kazi gani? 🤔
Tweet media one
162
54
874
@callmezungu
ZUNGU
8 months
Kama na huyu dada unamjua, we sahau kabisa kuhusu Pepo ya Mungu 😅🙌
Tweet media one
97
30
904
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kampuni gani hapa ukiiona tu, unajua hiyo Movie ina Unyama wa kutosha? 🤔
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
274
67
896
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Lavalava alifanya vizuri sana kabla ya Mbosso kujiunga WCB, Kilicho kuja kumpoteza Mbosso anafanya aina ile ile ya muziki wa Lavalava 😎
Tweet media one
29
55
887
@callmezungu
ZUNGU
6 months
Mr Ebo jamaa alikuwa Genius sana, alijivunia Kabila lake na kufanya Muziki wake kwa style ya pekee kabisa. #BongoFlevaLEGENDARY
Tweet media one
16
44
875
@callmezungu
ZUNGU
1 year
"Yaani sisi Yanga sio Uwanjani tu mpaka nje ya Uwanja Makolo hawatuwezi" 😃
Tweet media one
106
45
854
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Unaweza kuowa Mwanamke mwenye mtoto? 🤔 😅 🙌🏼
Tweet media one
177
57
840
@callmezungu
ZUNGU
2 years
Unakumbuka siku uliyochapwa fimbo nyingi Shuleni, Zilikuwa ngapi? 🤔 😅
Tweet media one
230
61
822
@callmezungu
ZUNGU
1 year
Kama unaikumbuka hii, ndugu yangu sahau Pepo wewe ni moja kwa moja jehanamu 😃🙌🏼
Tweet media one
104
27
852