Nyie kumwambia Mungu yale unapitia,ni therapy session isiyo na mpinzani..Yaani ile amani unayopata baada ya hapo haina izidiyo aisee.
"Ongea na Mungu wako" maana wengine hawana imani na wanadamu wenzao.🙏🏿
mimi na amini sana kwenye kuzungumza,usipende kukaa na vitu moyoni una jambo tafuta mtu zungumza nae,hakuna mtu nenda hata beach kaongee na bahari,ongea na Mungu wako..kile ambacho kimekushinda kuna watu wana solution,usijiue..TUZUNGUMZE
Customer service ya Equity Bank ni impeccable.😍
Imagine wanakuhudumia had unatamani kuwe na kitu ufanye kwa ajili yao...wanajua maana ya mteja mfalme.
Bank zingine waje wajifunze kwao aisee🙌🏾,hawa watu ni balaa...
Nimekumbuka kuna wimbo wa Ney Basata waliuzuia hayati akaupenda akauongelea ukaanza kupigwa,nimeusikiliza wimbo wa mama(umejaa ubunifu wakutosha) na uwakika mama
@SuluhuSamia
ataupenda pia.Halafu
@BasataTanzania
acheni kufanya kazi kama nyie ni tawi la sisiemu chato
I wanna rt every tweet from
@koredebello
coz he's like my personal therapist that i can't have. The way he speaks out his mind,is a total Therapy I've been missing.
Sisi sio wazalendo kila siku mnatusema mnatulazimisha tuwe wazalendo tumegoma,iyo kodi ya uzalendo mjikate wenyewe(nyie ndio wazalendo tunawakubali kinoma)