Bongo Zozo Profile Banner
Bongo Zozo Profile
Bongo Zozo

@bongozozo_tz

Followers
5,882
Following
56
Media
222
Statuses
400

Tanzanian Influencer of the Year 2021-2 / Tourism Ambassador to Tanzania / Harmless mayhem

Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 months
Kashinda! Tanzania na. 1! Si arudishiwe uraia sasa?
Tweet media one
27
72
2K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Napamisi Mbokomu!
Tweet media one
95
86
3K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Lugalo, Iringa - mradi wa Kukuco. Mwaka 1999
Tweet media one
137
85
3K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 months
Hongera sana Mwanangu. Tanzania wasipoteze vipaji vyake! #uraiapacha
Tweet media one
42
173
3K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 months
Mali ya Tanzania!
Tweet media one
24
54
2K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Tunafunga Goli Uturuki Tunaenda kushangilia Uingereza. Go Samatta waoneshe Fujo Isiyo Umiza Hao..
17
45
1K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Hakuna Raha kubwa zaidi ya kuwa shabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Mimi naipenda Taifa Stars, Naipenda Tanzania. #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
20
49
1K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 months
Muda umewadia #uraiapacha
Tweet media one
18
32
1K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
29 days
KIA - UHURU
24
136
1K
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Nimewanunulia Ndugu Zangu Jezi Za Taifa Stars, Wamependeza sana. 🇹🇿❤ #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
Tweet media two
40
69
981
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Asante sana @ToyotaUK
32
91
851
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tweet media one
20
20
771
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Timu yangu Ya Nyumbani Norwich msimu wa 2021/2022 inapanda Ligi kuu Kuchukua nafasi ya arsenal .....
36
9
616
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kitu kikubwa kinachofanya niiepende Sana Tanzania Ni watu wake, wana mapenzi ya kweli na wakarimu Sana, kitu kingine ni uzuri Lugha ya Kiswahili Naipenda. #FujoIsiyoUmiza
14
23
536
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 months
Welcome to Tanzania - by Bongozozo
50
92
524
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Niko na warembo hapa, MTU unaanzaje kuichukia Tanzania? #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
22
4
495
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Mko salama Wanyalukolo wenzangu? Leo saa Tisa Alasiri nitawaleteeni habari Njema hapa hapa, ikiwezekana weka notification ON uwe wa kwanza kuipata, Pia Retweet watu wengi waone Ujumbe huu.
16
39
486
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Maalim BongoZozo... Maana ukinichunguza sina tofauti sana na mwarabu Wa Pembaa kwa mbaaaaali. Jina LA kiislam lipi linanifaa? #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
96
7
437
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Watanzania wana kila kitu na wala hawaringi wala kujisifia na wala kujisikia,wao pure souls ❤
13
12
393
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Niichukue nafasi hii kuwatambulisa rasmi TEAM BONGOZOZO kushoto ni @clintzero_ ambaye ni social media manager Anaedatia ni kipotabo_zozo ambae ni kiongozi wa wanamuziki wote watakaotaka kufanya kazi na bongozozo na mwisho ni Prince ambaye ni produser na videographer
Tweet media one
17
27
380
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Wapare ni mabahili ama ni uzushi tu? 😁😁
13
25
350
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
6 months
Tanzania in Japan
11
40
334
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kwa mlio tizama Mchezo wa Taifa Stars leo mnaweza kusema kwanini tumefungwa?
57
11
308
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Mimi #bongozozo nimeingia Tanzania 🇹🇿 tayari kwa kucheki mechi ya @taifastars_ nani yuko tayari kwa #fujoisiyoumiza @taifastars_ @tanfootball
Tweet media one
17
34
306
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Mmenipata Kwa Ufasaha lakini? #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
5
5
283
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Tanzania 🔥 🔥 🔥
Tweet media one
8
8
279
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Hongera Bwana Mbwana! Popote ulipo tupo pa1 babu langu. Nimezoom kwenye sura yako maana kwangu sijali umevaa jezi gani wala unachezea timu gani. Nimekupenda kutokana na ustadi wako wa mpira, mwendo wako wa busara na jinsi unavyoonyesha utanzania ugeneni.
Tweet media one
3
15
252
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Wanyalukolo Naona mko bize na Mambo Yenu 😀, Ila Mimi nawakumbusha tu msinisahau ndugu Yenu hapa nipo pamoja na ninyi🤝 #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
16
10
246
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Buza kwa Mparange 😋😋😋
Tweet media one
15
1
212
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Tanzania mimi ni shabiki wa Lipuli FC, kwa ligi ya Uingereza nashabikia Norwich FC, wewe unashabikia timu zipi VPL na EPL?
22
5
196
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Sasa baada ya Ukimya wa muda Mrefu nimerejea tena Katika Uwanja huu, hii Ni #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
8
8
191
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kesho nitapiga picha na Jezi ya Yanga kama Pique tu alivofanya ila mimi nitaivaa kabisa..
7
4
178
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Samatta Usiondoke EPL, Ni fahari ya Kila mtanzania kukuona hapo, Nasubiri kwa hamu kukutazama uwanjani.. #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
6
16
162
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
1 year
Watoto wetu wa 🇹🇿 wasinyang'anywe haki yao ya URAIA waliozaliwa nao. Hawawezi kukana 🇹🇿 na hata hawaulizwi chaguo lao. Wakifikisha miaka 18 wanapoteza haki zao. Watoto wa 🇹🇿 waliosoma ughaibuni wana MCHANGO MKUBWA na wanaweza kuwakilisha 🇹🇿 vizuri na kusaidia kujenga taifa la🇹🇿
14
38
159
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Inasemekana mchezaji wetu anaenda uturuki, lakini Kuna Timu mbili zinamuhitaji Samatta hiyo ya Uturuki na West Brom, namuomba Samatta abaki EPL hata kama wanalipa hela ndogo zingine atanidai Mimi 😀, nisikilize hapa chini Kisha nipe mtazamo wako. #FujoIsiyoUmiza
11
18
148
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
6 months
Tanzania in Vietnam
15
9
149
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kwa kiasi kikubwa huyu Ndiye aliyenipa Umaarufu Sana Tanzania baada ya kurusha Ile clip yangu ya "Mbege" mitandaoni na wengi wenu mlianza kunionea hapo. #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
3
1
140
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kwamba leo Dar Kulikua na Vita? Hongereni Sana Wana @SimbaSCTanzania wote, Tuendelee kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa. Mimi kama Bongozozo Nawatakia kila La kheri Na sisi Lipuli tunakuja.
4
2
130
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Bitcoin itakavyopanda mwaka huu - HADI RAHA
Tweet media one
24
9
127
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Ni Chakula gani #Tanzania kinafaa kuwa utambulisho wa taifa? #FujoIsiyoumiza Ugali Dagaa ama Wali Maharage au Kiepe Yai? 😅
33
6
120
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Lini tena tukutane kwa Mkapa?
Tweet media one
11
2
118
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Mnyalukolo Niliingia Bungeni Mwezi February Nyie... I love Tanzania ❤️🇹🇿
Tweet media one
2
6
110
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Mnakunywa Maziwa ya ASAS lakini?
Tweet media one
4
3
109
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Taifa Stars, Our Pride, Burundi Tutamchakaza kwa #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
3
5
111
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Ni match day natamani ningekua Tanzania 😔, Kila la kheri Taifa Stars Katika Mchezo wenu wa leo dhidi ya Burundi
2
7
101
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Youtuber Maarufu @Drewbinsky leo anakuja tanzania kwa ajili ya utalii, baada ya jitihada muda mrefu nikishirikiana na @TTBTanzania hatimaye leo blogger huyu mkubwa anakuja nchini kwetu, ana subscriber 2.2M YouTube na 3.5M followers on FB, ana zaidi ya 2B views kwenye video zake.
Tweet media one
8
14
103
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Namungo na @SimbaSCTanzania wanaliwakilisha vizuri taifa letu, Tuzidi kuwaombea dua na kuwaunga mkono kwa Fujo zisizo umiza, hata sisi Lipuli tunawaunga mkono wawakilishi wetu hawa kwa taifa letu. 🇹🇿❤
2
8
94
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 months
#uraiapacha uko njiani, twende mbele, tusiwe nyuma!
Tweet media one
5
6
101
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Mnyalukolo wa 🇹🇿, Hii Ni #FujoIsiyoUmiza Unajua kwanini Nawapenda watanzania na Lugha ya Kiswahili?
Tweet media one
7
8
96
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Najua hili nitakalolisema leo linaweza kuwakera na kuwaudhi wengi wenu, japo mimi sijali ila ninapata wakati mgumu maana ni jambo ambalo linatesa sana mimi kama bongo zozo, ila leo kwakua mwaka unaisha acha tu niwaambie hata kama mtanuna ni kwamba nawapenda sana watanzania nyie
6
4
94
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Naomba Unisaidie ku Retweet Cartoon Yangu Mpya Isambae... #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
2
26
90
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kuna Anaye weza kujua hapa nilikua wapi Tanzania? #TZUnforgatable
Tweet media one
36
1
84
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Niko hapa Uwanja Wa taifa kwa ajili ya mechi ya Tanzania VS DRC ukiniona niite tupate selfie 2 3...
1
2
82
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Tunataka siku Moja kwa sababu ya Samatta kucheza ulaya tupate Timu zije pre-season Tanzania, wapande Mlima kirimanjaro na kutembelea mbuga zetu za wanyama.
2
3
88
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Wanyalukolo Mko Salama? Natua Hapo Sooon...
Tweet media one
7
5
87
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Leo Guinea hawatoki, mimi nipo kama kawaida, mashabiki wao wako 190 na sisi tupo 60 tu, ila hawatatoka hapa... Go Stars
3
5
81
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Tweet media one
2
1
80
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kwa mlio tizama Jana Mechi Ya Mbwana samatta, mnazungumziaje uwezo wake siku ya Jana?
6
4
75
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Muda wa Samatta Huu, tukamuangalie Sasa..
3
2
72
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Kesho Jioni Nakuja Wanyalukolo, Tukutane Airport Tu, nitakua na Press Conference na Waandishi wa habari, nimemiss mbegeeeeeeeeee #FujoIsiyoUmiza
6
1
68
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Naipenda Tanzania ❤❤❤
@BabaAiyla
Jengo III
4 years
Ila huyu mnyalu hapewi heshima anayostahili kabisa. @bongozozo_tz #TotalCHAN2020 #NAMTAN
1
0
14
1
5
64
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 years
Nilisahau kuwaambia timu yangu ya Norwich Imerejea Ligi Kuu Sasa, bado Lipuli tu #FujoIsiyoumiza
6
7
66
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Watanzania Tumeshamaia @fernabahce Tayari, Ila acheni kuwatukana Aston Villa kwenye Akaunti yao, tulete #FujoIsiyoUmiza kistaarabu
Tweet media one
8
3
68
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Mvua Ya Uingereza tunashinda ndani tu, Ila hapa Dar tunaingia mitaani Safi na Kahawa na kashata tunapata, Miaka Mingi sijanywa Kahawa Mimi... #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
1
6
65
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Endelea kupambana Mh @HKigwangalla tuhakikishe Moto ulizuka Mlima Wetu hauleti madhara makubwa, Mlima Kirimanjaro Ni miongoni Mwa vyanzo vya mapato vya Taifa. Tuko Pamoja Watanzania Katika hili. #FujoIsiyoUmiza #UtaliiWetu
Tweet media one
5
4
65
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Wanyalukolo Kama Umeamka Salama Mshukuru Sana Mungu Wako kwa Imani yako. #FujoIsiyoUmiza
4
3
63
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Hawa Aston Villa watatoboa kweli Wanyalukolo wenzangu?
4
1
63
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Tusubiri Taarifa Rasmi Kama kweli Mchezaji Wetu Mahiri ameenda huko uturuki, tuwe wavumilivu. Tusilete #FujoIsiyoUmiza
3
5
64
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Niwatangazie Mapema kabisa kwamba #FujoIsiyoUmiza itakuwepo Kwenye mechi zote za CHAN kule Cameroon Mwezi January 2021, Kama umetazama kundi Letu unadhani tutatoboa?
4
7
61
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Safiri na @AirTanzania safiri na #fujoisiyoumiza 👍👍🇹🇿
5
6
63
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Hiyo Style Ya Nywele Wasanii hawakawii kuniiga muda si mrefu, si mnawafahamu wasanii wetu walivyo lakini 😀😀 #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
0
4
63
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Good Morning Tanzania, Jioni Tupo Wote #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
2
1
64
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Leo tunamfunga Namibia Goli 2.
3
2
63
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Tuko uwanjani kuwakilisha Tanzania 🇹🇿 ili samatta @samagoal77 asijihisi mpweke tumeleta #fujoisiyoumiza uwanjani yani Leo hawa wazungu wataimba kiswahili tu.. Kwaya imekamilika @salim_kikeke @kitengemaulid @carojessica3 na @mickaldo7 wanaingiza mapambio hadi kieleweke #bongo
Tweet media one
2
4
59
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
kila mtu anataka selfie na mimi lakini hii selfie nimeomba mwenyewe na #JB #bongozozo #bongo2020 #fujoisiyoumiza
Tweet media one
4
2
53
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Bado niko Senegal.nimejiskia raha sana kuona upendo kama wa kitanzania na nmepewa chakula kitamu cha samaki yani wamenipatia ni kama nilikuwa nakomba mboga😀😀 #bongozozo #fujoisiyoumiza #bongo2020 #senegal
Tweet media one
4
8
54
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
kesho mapema sana nitakuwepo Birmingham kuangalia mechi yakwanza ya @samagoal77 na ntawafundisha wazungu hawa kumuimbia samata 😀😀😀 #bongozozo #bongo2020 #fujoisiyoumiza
Tweet media one
3
7
49
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Kila mtu huvuna anachopanda. Jifunze kupanda kwa kujitolea na kusaidia wengine, hujui kesho yako, sote ni jamii moja #bongozozo #fujoisiyoumiza #bongo2020
Tweet media one
4
5
56
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Wanyalukolo Naona Mpo Bize Sana na Uchaguzi, Mimi Nawatakieni tu Kila la kheri, mkamilishe kwa Amani.
0
2
55
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Good Morning Wanyalukolo Leo naingia Tanzania Jioni Jioni niwaletee #FujoIsiyoUmiza Japo Jana tumepoteza Mchezo Wetu dhidi ya Tunisia.
5
2
53
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
2
5
50
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
MwenyeziMungu Awasimamie Wanyalukolo wenzangu, Nawapenda sana, naipenda Tanzania Sana 🇹🇿 #FujoIsiyoUmiza
4
4
52
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Leo napenda kuwashukuru ndugu zetu wa Aston Villa kwa kumuamini mchezaji wetu Samatta kwa kumpa nafasi kucheza ligi ya Uingereza, fuatilia video hii Kisha nipe maoni na mtazamo wako #FujoIsiyoumiza #RefollowAstonVilla
2
2
53
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Umewahi kuchanganikiwa na demu mpaka umeamua kujitengeneza hivyo? 😝😝😝
Tweet media one
6
1
55
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Tweet media one
5
2
51
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
@gidion_pau48399 Ndio nilikuwa nammendea!
6
0
54
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
@Steven_Mongi Mpaka leo, sijamjua Mama Esther 😂😂😂
10
0
54
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Wanyalukolo Mpooo????? #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
3
2
48
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Nimekuja Moshi Kuhesabiwa kwa kina Mama Jesica, Mnajua ninavyo penda Mbege mimi.
3
0
52
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 months
Hivi, sheria zinaweza kutungwa hapo hapo au mpaka zipitishwe bungeni kwanza?
Tweet media one
7
0
52
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
3 years
6
4
46
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Hongera samatta @samagoal77 kwa kuwa mtanzania wakwanza kufunga gori kwenye ligi kuu ya uingereza #bongozozo #fujoisiyoumiza #bongo2020
Tweet media one
0
3
45
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 months
Secrets of success no. 1: Reduce your load
3
9
51
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Ni Rasmi Sasa @Samagoal_77 amejiunga na Fernabace FC, tuanze kununua jezi zetu Sasa, alafu Hawa si wapo UEFA??? #FujoIsiyoUmiza
Tweet media one
3
4
48
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
4 years
Hapa Uingereza tunaelekea kwekwa ndani yaani Lockdown kwa Mara ya Pili, kwa sababu lockdown ya kwanza badala ya Ugonjwa kuisha walivyotuachia maambukizi yameongezeka tena, Mimi nizipongeze Nchi zilizo amua kuishi na huu Ugonjwa kimkakati, nifuatilie hapa chini Kisha weka mawazo.
5
7
50
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
Kama tukifugwa nitadai nauli yangu kwa wachezaji wa @TaifaStars_ #bongozozo #fujoisiyoumiza @Tanfootball @clintzero_
4
8
50
@bongozozo_tz
Bongo Zozo
5 years
#Samaspider kama mshale.. Kipa mwenyewe kafurahi iyo #fujoisiyoumiza @Samagoal77_
Tweet media one
2
2
47