Youtuber Maarufu
@Drewbinsky
leo anakuja tanzania kwa ajili ya utalii, baada ya jitihada muda mrefu nikishirikiana na
@TTBTanzania
hatimaye leo blogger huyu mkubwa anakuja nchini kwetu, ana subscriber 2.2M YouTube na 3.5M followers on FB, ana zaidi ya 2B views kwenye video zake.