Akaporwa kila kitu, kwanzia pk hadi jaba. Nkafika mmi, simu yenyewe nlikua nnaacha mtaani ikicharge, pesa nayo nlikua nmenunua chaser. Mhuni 1"mbona we msenge huna chochote?, toa simu kwa makende au tuitoe wenyewe". Nkamwambia mi sina chochote, chaser. Kisha wakasema nisubiri