Uhamiaji Tanzania Profile Banner
Uhamiaji Tanzania Profile
Uhamiaji Tanzania

@UhamiajiTz

Followers
58,406
Following
88
Media
2,137
Statuses
2,551

Tanzania Immigration Services Department Official Twitter Account

Dodoma, Tanzania
Joined April 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
10 hours
#NewsUpdates #UhamiajiHabari : Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACI) Fakih Nyakunga Afisa Uhamiaji Mkoa wa Arusha leo tarehe 02/08/2024 ameendelea na ziara ya kikazi katika ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Arumeru pamoja na hifadhi ya Taifa ya Arusha. #UhamiajiUsalamaNaMaendeleo 🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
2
13
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
11 hours
Karibu katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo NaneNane 2024, Nzuguni jijini Dodoma. Idara ya Uhamiaji tupo kukupa Elimu katika masuala mbalimbali ya Kiuhamiaji! #UhamiajiTanzania #e -Immigration
0
0
8
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
1 day
Tweet media one
0
2
12
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
1 day
#UhamiajiNews : Afisa Uhamiaji Mkoa Arusha SACI. Fakih Nyakunga na naibu wake SSI. Dickson Mwandikile wamefanya ziara ya kikazi Wilayani Longido na Namanga, wakihimiza masuala ya ulinzi na usalama na kuwataka Maafisa Uhamiaji kushirikiana na vyombo vingine vya Ulinzi na usalama.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
0
15
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
3 days
#UhamiajiUpdates : Idara ya Uhamiaji Arusha chini ya Afisa Uhamiaji Mkoa SACI Fakhi Nyakunga imeendelea kuelimisha umma katika kampeni yake ya "Mjue Jirani yako" maeneo ya Sombetini, Arusha. Maafisa Uhamiaji wamehimiza Wananchi katika suala zima la uhamiaji haramu na walowezi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
3
32
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
3 days
Tweet media one
0
10
111
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
4 days
#UhamiajiUpdates : Idara ya Uhamiaji Lindi yaendelea kutoa elimu kwa Umma kupitia kampeni ya #MjueJiraniYako katika Chuo Kikuu cha LICHAS na Mahiwa Sekondari. Mwitikio umekuwa mkubwa kwa wanafunzi kutaka kujua zaidi masuala ya kiuhamiaji! 🇹🇿📚 #MjueJiraniYako
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
2
23
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
4 days
#UhamiajiUpdates #NewsUpdates Uhamiaji imeshiriki matembezi ya kuadhimisha Siku ya Kupinga Usafirishaji Haramu wa Binadamu yaliyofanyika leo, Julai 30, 2024, Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mhe. Hamza Juma, alikuwa mgeni rasmi katika tukio hili.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
2
22
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
6 days
#uhamiajiupdates #newsupdates Leo tarehe 28 Julai 2024, Idara ya Uhamiaji imeshiriki katika NBC Marathon iliyofanyika jijini Dodoma. Mgeni rasmi alikuwa ni Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ambaye pia alishiriki katika mbio hizo. #NBCMarathon2024 #MichezoNiAfya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
3
24
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
9 days
Tweet media one
0
4
32
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
9 days
#Uhamiajiupdates #NewsUpdates Idara ya Uhamiaji yashiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Mwaka 2024. Katika Maadhimisho hayo, Mgeni rasmi alikuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
6
63
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
10 days
Benki ya NBC imetoa mwaliko kwa Idara ya Uhamiaji kushiriki NBC Marathon Dodoma tarehe 28/07/2024. Kamishna Gerald Kihinga kwa Niaba ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji ameishukuru NBC na kupokea vifaa (Kits) vitakavyotumiwa kwenye marathon hiyo. #nbcmaratho #UhamiajiTanzania
Tweet media one
Tweet media two
0
2
22
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
10 days
0
1
7
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
10 days
Tweet media one
0
6
10
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
11 days
Tweet media one
0
5
44
@UhamiajiTz
Uhamiaji Tanzania
11 days
Tweet media one
2
3
36