#UhamiajiUpdates
#NewsUpdates
Uhamiaji imeshiriki matembezi ya kuadhimisha Siku ya Kupinga Usafirishaji Haramu wa Binadamu yaliyofanyika leo, Julai 30, 2024, Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mhe. Hamza Juma, alikuwa mgeni rasmi katika tukio hili.