“Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna. Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uhai wa milele.”
Wagalatia 6:7-8 BHN
Ni juzi tu tumesherehekea siku yako ya kuzaliwa.
Bibi yangu' mama yangu ' baba yangu na mlezi wangu.
Leo umenitoka umeniacha pekeyangu' sina wakunifichia siri zangu' sina wakunipatia jeuri' umeniacha naona kama mtoto niliyezaliwa leo sielewi naishije.
Rest in peace bibi🙏
I don’t think people realise how hard it is for someone to get out from their dark places mentally and emotionally.
Sometimes we need all the help we can get from people close to us.
If your reading this and you managed, Am proud of you❤️
Makabila mawili; wachaga na wahaya…
Ukipata rafiki akakukubali na kukupenda anatokea huko, lazima akuinue.
Hawa watu, wanaamini yeye ni lango lako na wewe ni lango kwa wengine.
Get a man who has passed his sex craving stage….
Who craves for financial stability, peace of mind and settling down.
😋😋😋 a man who ain't triggered by a pretty face, bumbs and boobs🙊
Hakuna kitu kinaumiza kama upo na mgonjwa hawezi hata kutembea alaf watu wanaopaswa kuwasaidia wanawakimbia.
This is not how hospital attendees are trained.
Mungu asaidie
Unaenda kwa manzi Unalala, unapumulia pua mpaka asubuhi every weekend na katikati ya wiki.
Unakula, unaenda chooni unakunya.
Just because she is working, na hata ujigusi wala hushtuki.
Yan Wewe upo years hata mia yako hajui😂😂 eti true love
Manina, wacha nife single
Itoshe kusema,
Usichanganye kiburi na nidhamu binafsi cha mwanamke wako na elimu.
Tabia, haihusiani na pesa au elimu bali malezi, utu na hofu ya Mungu.
-USIPOTOSHE UMMA
Life is like making tea! Boil your ego, evaporate your worries, dilute your sorrows, filter your mistakes and get taste of happiness.
Happy Sunday Everyone🤗
”Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.“
1 Wakorintho 2:11
Men are very selective with whom they spend on. The same man who you think he is broke and stingy is making it rain for another girl.
In short, no matter how broke he might look, he will always find a way to provide for his woman.
All men they crave to be believed in. Speak life to your woman, speak life to your man.
Let your Toungue manifest grateness, even when you dont see it, it will definetly come with time.
Ushauri;
Kama Wewe na familia yako Mkijichanga hamfikishi hata 10Million.
Jitahidi, utafute harusi ya kawaida , ndani ya uwezo wenu au ghairi Sherehe.
Marafiki ni just Supporting system, nothing more, nothing less.
NB- Usiforce maisha ya watu yasimame kwa ajili yako.
The road to graduation was a long story of early mornings and sleepless nights that I’ve made up successfully. Thank you being part of this lifetime event.
Your wishes, presence and many more are dearly appreciated ❤️
#Mu2020graduation
Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana, Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali BWANA atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako. Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako hautajitenga; Kwa kuwa BWANA mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele
NAFASI YA KAZI
Natafuta mtu wa kumuajiri kupokea/kunipitia simu early morning and late night. Kuuliza siku yangu ilikuaje na kushauriana kuhusu maisha.
Mshahara na communication allowance ipo😊
Dear Future Husband,
I loved you from a broken place. My actions reflected who i was and not what I wanted you to be.
As I heal, you will see me grow as a wife and a mother.
I promise to Love you better.
Lovingly,
Future Wife❤️
”Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani. Tazama, nitatenda neno jipya; sasa litachipuka; je! Hamtalijua sasa? Nitafanya njia hata jangwani, na mito ya maji nyikani.“
Isa 43:18-19 SUV
Know your place in people’s lives and act accordingly. It's not Pride or Ego it is self- respect. You don't have to fight for true love and true friendship. They ride 100% naturally.
RIDE WITH PEOPLE WHO RIDE WITH YOU.
🤩
Mwanamke anayejitegemea kwa kila kitu ni ngumu kuwa na mwanaume asiyena chochote.
Kuna nguvu yakuwa na “partner” inaenda zaidi yakufanya mapenzi bali kupanga mipango na kusaidiana.
Ukitaka mtelezo, tafuta wanafunzi au anayekaa kwao.
Wasimbe, mtuache...
Nipate kijana anipe stress.
Yan , ratiba imeka ile ile,
Ukitoka job, kuoga, kuweka Miguu juu unaangalia series😂
Inabidi siku moja moja, siwashi hata tv nalia tu😂 au nawamotivate
People forget one thing,
We will not always be around...
Make the most of it, be true to the person you care and love.
Pay attention to details and appreciate the steps.
Nothing comes twice
Ni jambo zuri sana ila ogopa sana mwanaume anayeishi peke yake na hamumfahamu girlfriend wake au anajiita single.
Hatakama anakazi siku nzima jioni utamkuta anafanya arrangement na watu kila wakati ili asiwe mpweke kila mwanamke kwake atamuona mzuri na usiombe awe na kistatus'
Na mimi naongea' mmenipatia donda ambalo kamwe katika maisha yangu siwezi kusahau.
Kama nia ni kutuponya na kutuokoa kama nchi' kuweni wazi ili hali watu wajur hali halisi ya mambo yalivyo na wajikinge.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amen.
@umwalimu
@MagufuliJP
Dear Future Hubby ❤️.
I am not perfect, but one thing i know. Maybe your not around today or ten years to come. But when me and you come together ,i promise to try and be a good wife.
In your absence,i have endured alot & for that,i dedicate my time to build myself till we meet.