Milisubble Profile Banner
Milisubble Profile
Milisubble

@Subblehasitila

Followers
2,503
Following
3,293
Media
522
Statuses
33,717

Facts za watu mashuhuri za kujenga maisha yako//Facts za Kujua mambo mbalimbali// Ugumu Ugumu ✊// Mgandishaji

Joined June 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Subblehasitila
Milisubble
16 days
Mwanaume kwa namna yoyote ile usikubali kuishi huku ukitegemea chanzo kimoja cha mapato 📌📌
4
11
26
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Imani bila matendo imani hiyo imekufa . Good morning hustlers
12
24
56
@Subblehasitila
Milisubble
10 months
0
0
44
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
Katika Dunia tunayoishi Kuna watu hawaamini kabisa unaweza kufikia hatua Fulani kubwa ya mafanikio.Jambo la kufanya ni wewe mwenyewe kujiamini na kupambana Kwa nguvu zote na kuwafanya hao watu waone kwamba walikosea kutokukuamini.JIAMINI WEWE MWENYEWE KWANZA.
8
16
34
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
6
2
36
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Maisha yanahitaji uvumilivu mkubwa sana wazee...
Tweet media one
1
10
33
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Udadisi ni hatua ya kwanza ya kujifunza vitu vipya maishani
Tweet media one
6
9
27
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
Nyakati ngumu hazidumu ila wagumu wanadumu
Tweet media one
4
7
29
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
Mwanetu ni hivi maumivu ,nyakati ngumu,changamoto na mapambano makali uliyopitia siku ya leo ni maandalizi ya kukuandaa kuwa mtu imara sana baadae.Usiogope mwanetu
6
8
28
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
Katika mapambano yako unayoendelea nayo.Usisahau kufanya yafuatayo 1.Kumtanguliza MUNGU 2.Kupambana kwa bidii 3.Nidhamu 4.Uvumilivu 5.Kujiamini wewe mwenyewe 6.Kujiwekea malengo binafsi
8
15
24
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Wanangu wa ekisi doti komu katika mchezo wa maisha, mkakati mkubwa zaidi ni kuwa wa kweli. Kuwa mwaminifu kwako mwenyewe, na ulimwengu utakuwa wa kweli kwako.
5
14
26
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
MUNGU Kwanza.Mengine baadae. Good morning hustlers
Tweet media one
11
13
26
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
0
1
19
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Mkuu kumbuka ni muhimu sana kutokumwambia kila mtu mambo yote yanayokuhusu wewe katika maisha yako
Tweet media one
4
8
20
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
Je wajua ?Pichani ni sarafu zilizotumika katika kipindi Cha utawala wa Roma, Zilitengenezwa maalumu kwa ajili ya malipo ya ngono ,Kila sarafu ilikuwa na thamani yake kulingana na staili aliyotaka mteja.
Tweet media one
Tweet media two
7
7
19
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Weka lengo Usimwambie mtu yeyote. Date msichana mrembo Usimwambie mtu yeyote. Fanya biashara Usimwambie mtu yeyote. Piga mazoezi Usimwambie mtu yeyote. Wekeza pesa zako Usimwambie mtu yeyote. Jenga mtandao na watu wenye nguvu Usimwambie mtu yeyote. Good morning
8
19
22
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Isaya 45:22 Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni MUNGU hapana mwingine. Good morning hustlers.
6
11
21
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Wazo la usiku Ukiwa mtu mwenye kupambana kwa bidii na unaamini kwamba utapata matokeo chanya kutokana na upambanaji wako hautobaki kama ulivyo aisee...
5
11
22
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Hakikisha vitendo vinakuwa vingi kuliko maneno. Good morning hustlers
7
11
21
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
“Haijalishi unatoka wapi. Kilicho muhimu ni wapi unaenda." - Brian Tracy
Tweet media one
5
12
20
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Luka 1:37.Kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana Kwa MUNGU . Good morning hustlers.
6
11
18
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Mkuu Thamini afya yako . Thamini muda wako. Thamini uhuru wako.
1
7
18
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Mtu anayeongozwa na hisia zake kamwe hataweza kuwaongoza wengine.
2
10
21
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Siku zote katika maisha usiwaeleze watu hatua yako inayofuata katika mipango yako ya maisha, biashara na miradi mbalimbali uliyonayo.Wazungu wanasema kwamba privacy is power ✍️
3
11
19
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Jinsi ya kupoteza muda wako: Toa ushauri kwa watu ambao hawajakuomba uwape ushauri Jinsi ya kupoteza muda wa watu wengine: Omba ushauri kwa watu na usifuate.
2
7
18
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Ni siku nyingine tena mpya.Kumbuka kumkabidhi MUNGU siku yako aingoze
Tweet media one
1
8
20
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
"Wachache ni wale wanaoona kwa macho yao na kuhisi kwa mioyo yao wenyewe." - Albert Einstein
Tweet media one
3
7
18
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
“Wanaojua hawasemi. Wale wanaozungumza hawajui.” - Lao Tsu
Tweet media one
2
7
18
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Hakikisha unamaanisha unachokisema leo kaniambia it's over nikamwambia fresh akaanza kulia 😂😂💔
3
10
19
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Kuwa hai tena siku ya leo ni fursa makini ya kupambana na kuendelea kupushi harakati bila kukata tamaa. Good morning hustlers.
3
6
18
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Mwanaume katika jambo ambalo halitakiwi kukupa stress ni suala la demu kukuzingua zingua kama akizungua daka pisi nyingine.Kuna pisi kali za kutosha mtaani .Demu hapaswi kukuyumbisha kabisa
1
10
19
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Maumivu na vidonda katika maisha yetu ni Moja ya njia za kutusogeza kuwa watu bora zaidi maishani.
Tweet media one
0
5
18
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
MWANAUME KUWA MGUMU NI JAMBO LA LAZIMA NA SI HIARI.
Tweet media one
2
2
16
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
Wanangu wa ekisi doti komu ni vizuri kuwa na imani ila imani bila matendo imani hiyo imekufa..
6
8
18
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
"Maisha ni kama kuendesha baiskeli. Ili kuweka usawa wako, lazima uendelee kusonga mbele." - Albert Einstein
Tweet media one
5
9
16
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Wanangu wa ekisi doti komu iko hivi: Hakuna mtu anayepoteza usingizi kwa sababu ya mapambano yako. Ni juu yako kubeba mzigo wako mwenyewe na kuendelea kusonga mbele.
Tweet media one
5
12
15
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
JE WAJUA? Mamba hawafi kutokana na kuzeeka kwa kibaolojia. Badala yake, huendelea kukua na kukua hadi sababu fulani ya nje huwafanya kufa.
Tweet media one
1
8
16
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Ukiishi kwa kujifunza na kurekebisha maisha yako kila siku hautabaki kama ulivyo mwanetu..
6
16
19
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
1
0
18
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
JE WAJUA? AYAM CEMANI NI AINA ADIMU YA KUKU WANAOPATIKANA NCHINI INDONESIA .KUKU HAO NI WEUSI KWA KILA KITU ,MANYOYA ,MIFUPA HADI NYAMA
Tweet media one
4
4
16
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
JE WAJUA? MWANAUME YEYOTE MGENI ATAKAYEFIKA KATIKA KABILA LA "OVAHIMBA " NCHINI NAMIBIA ,ITAKAPOFIKA USIKU ATAPEWA MWANAMKE AMBAYE HAJAOLEWA ALALE NAE KWA USIKU HUO ,KAMA ISHARA YA KUACHA BARAKA KATIKA FAMILIA HIYO.
Tweet media one
3
4
17
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Umbali kati ya kufikiria kitu na kukifanya ndipo watu wengi hupoteza mchezo.Wana wengi wana michongo mingi kichwani ila kuifanyia kazi ndo kipengele..
1
5
16
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
Wekeza kwako na hakikisha unakuwa bora zaidi ya jana.Good morning hustlers
7
13
16
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Ukikutana na mshikaji wako uliyesoma nae usianze kumfuatilia sana mambo yake.Depression zingine mnajileteaga wenyewe tu kwenye maisha..
5
7
17
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
@Strictlyirene Let's connect
0
1
16
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Mathayo 21:22 Na yo yote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea. Good morning hustlers..
4
8
15
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Acha kutuma aya na jumbe ndefu zinazoelezea jinsi unavyohisi na namna hali yako ya maisha ilivyo, usiseme chochote. Nimejifunza kuwa haijalishi unasema nini, ikiwa watu hawajali ni hawajali tu.
2
4
16
@Subblehasitila
Milisubble
10 months
Ni siku nyingine tena.Usisahau kumkabidhi MUNGU Kila kitu kinachokuhusu katika siku ya leo.
Tweet media one
2
7
18
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Kuwa jasiri kunaweza kukuwezesha kujiondoa katika mazingira yenye sumu au ya kuumiza .Usiache kuwa jasiri champ💪
Tweet media one
1
8
16
@Subblehasitila
Milisubble
10 months
@Strictlyirene ❤️‍🩹
0
0
15
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
"Unapojiamini kabisa na uwezo wako wa kufanikiwa, hakuna kitakachokuzuia." - Brian Tracy
2
7
13
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
2
1
16
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Usisahau kumkabidhi MUNGU siku yako aiongoze.Good Morning hustlers.
Tweet media one
6
6
15
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Mwanetu hakikisha unajipenda wewe mwenyewe...
3
7
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
MAISHA YAKO YATAKUWA BORA UTAKAPOANZA KUFANYA KAZI NA KUMKABIDHI MUNGU MIPANGO YAKO YOTE..
Tweet media one
2
5
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Mwanetu siku zote kumbuka hukutani na watu kwa bahati mbaya. Daima kuna sababu. Ni unaweza kujifunza kitu kutoka kwao au baraka..
2
7
13
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Watu wengine hawaoni ni kiasi gani unawafanyia, wao wanaona tu usichofanya.Mkuu hutawahi kamwe kumridhisha mtu asiye na shukrani..
0
6
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
"Uwe jasiri kutetea kile unachokiamini hata ukisimama peke yako." ~ Roy T. Bennett
Tweet media one
1
6
13
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
Maamuzi yako unayofanya leo ndio yatakayoamua mustakabali wa maisha yako ya baadae...Ni jukumu lako kuamua vizuri ili usije kujutia baadae. Good morning hustlers.
5
12
15
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
JE WAJUA? Mwaka 2017 Mwanaume mmoja kutoka Jiji la "Texas " Nchini Marekani akiwa katika mazoezi ya kukimbia (jogging) alikutana na kundi la wanawake , wanawake hao walimkamata jamaa na kumbaka ,cha ajabu wiki moja baadae mamia ya wanaume walianza nao jogging katika eneo hilo
Tweet media one
2
5
15
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
Usisahau kuomba kabla ya kulala . Usisahau kuomba kabla ya kulala. Usisahau kuomba kabla ya kulala Usisahau kuomba kabla ya kulala. Usisahau kuomba kabla ya kulala.
1
5
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Wathamini wale wanaokupenda. Wasaidie wanaokuhitaji. Wasamehe waliokuumiza. Wasahau wanaokuacha.
2
6
15
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
Katika Dunia hii ya upambanaji na mahangaiko ya maisha .Kufeli na kuanguka ni sehemu ya maisha. Hivyo basi kufeli kusikuvunje moyo badala yake kukutie hamasa na nguvu ya kuendelea kupambana zaidi
4
8
16
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
-Acha kuwaambia watu mipango yako -Acha kuwaambia watu mipango yako -Acha kuwaambia watu mipango yako -Acha kuwaambia watu mipango yako -Acha kuwaambia watu mipango yako
3
7
15
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Wapambanaji wenzangu hata kama unahisi umechoka ,hata kama unajihisi kukata tamaa ,hata kama unaona mitikasi haiendi unapaswa kuendelea kupambana bila kukata tamaa ✊
1
7
15
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
1
0
15
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Wanangu wa ekisi doti komu tunapoendelea kuishi katika Dunia hii tusisahau kuzingatia mambo yafuatayo. 1. Kusudi lako maishani 2. Afya yako 3. Ustawi wako wa kiakili 4. Kuwa na furaha zaidi 5. Kurahisisha maisha yako 7. Kutumia muda na marafiki wa kweli 8.Kujiamini
4
6
14
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
Mkuu amini usiamini .Kuna baadhi ya marafiki na ndugu zako wanakuchukia kisiri siri
Tweet media one
4
6
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Mwanetu wasamehe wengine sio kwa sababu wanastahili msamaha, lakini kwa sababu unastahili amani.
Tweet media one
3
3
11
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Kumbuka mafanikio yako yapo mikononi mwako.Wewe ndie mhusika mkuu katika kutimiza ndoto na malengo yako maishani.Usiache na usichoke kupambania ndoto zako na malengo yako.
Tweet media one
4
4
13
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Wanangu wa ekisi doti komu nidhamu ndio msingi wa mafanikio. Kila wakati unapochagua nidhamu badala ya msukumo, haufanyi uchaguzi tu, unabuni hatima yako na kutengeneza maisha yako kuwa bora zaidi
2
9
12
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
Maisha ni yako lakini unaogopa kuona watu watakuonaje...Basi freshi mwanetu
3
7
14
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Ni hivi jiamini wewe mwenyewe hata kama hakuna yeyote anayekuamini.Juhudi , maamuzi na uvumilivu ndio vitakuwezesha kufanikiwa.
Tweet media one
1
6
13
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
JE WAJUA? "Behram, jambazi wa Kihindi, anashikilia rekodi ya mauaji mengi ya mtu mmoja. Alinyonga watu 931 kati ya 1790-1840 na kipande cha kitambaa cha manjano na nyeupe, kinachoitwa ruhmal.
Tweet media one
1
8
13
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Wanangu wa ekisi doti komu tusiache kuwa na fikra chanya katika maisha yetu. -Fikiria mafanikio na utafanikiwa -Fikiria kutoboa na utatoboa -Fikiria kushinda na utashinda -Fikiria mitikasi yako kutiki na itatiki. .Katika kila hali wewe kuwa chanya mwanetu
2
6
13
@Subblehasitila
Milisubble
10 months
Njia nyingi na mipango mingi katika vita huleta matokeo chanya.Vivyo hivyo katika maisha ,ukiwa na vyanzo vingi vya mapato matokeo ya mafanikio huwa chanya na bora zaidi kila siku.
Tweet media one
0
2
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Kuzungumza na rafiki yako bora wakati mwingine ni tiba pekee unayohitaji katika maisha yako...
1
10
12
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
@Neypaul01 Kabisaaa
2
1
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Ikiwa Mpango A haufanyi kazi, alfabeti ina herufi 25 zaidi. -Claire Cook
Tweet media one
4
6
12
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
"Lengo bila mpango ni ndoto tu." - Brian Tracy
Tweet media one
2
5
13
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
JE WAJUA? "Mwanapatholojia aliyefanya uchunguzi wa mwili wa Einstein aliiba ubongo wake na kuuweka kwenye chupa kwa miaka 20."
Tweet media one
2
5
13
@Subblehasitila
Milisubble
5 months
“Sijakasirishwa na kunidanganya, nimekasirishwa na kwamba kuanzia sasa siwezi kukuamini.” - Friedrich Nietzsche
Tweet media one
2
5
14
@Subblehasitila
Milisubble
4 months
“Haijalishi unatoka wapi. Kilicho muhimu ni wapi unaenda." - Brian Tracy
Tweet media one
3
7
14
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
"Kamwe usiogope kupaza sauti yako kwa uaminifu na ukweli na huruma dhidi ya dhuluma na uwongo na uchoyo." - William Faulkner
Tweet media one
2
6
12
@Subblehasitila
Milisubble
3 months
Anza siku yako kwa kumkabidhi MUNGU kwanza aiongoze na kukubariki harakati zako. Good morning hustlers
7
9
13
@Subblehasitila
Milisubble
6 months
Tunaangalia nyuma na kumshukuru MUNGU Tunaangalia mbele na kumwamini MUNGU
Tweet media one
3
4
11
@Subblehasitila
Milisubble
8 months
JE WAJUA? Pichani ni Leymah Gbowee Mwanaharakati wa Liberia . Wakati wa vita ya wenyewe Kwa wenyewe mwaka 2003 alihamasisha wanawake wote kuandamana wakisema hawatofanya mapenzi tena na Mwanaume yeyote mpaka vita hiyo ikome.Kweli vita ikaisha na haijatokea tena hadi leo
Tweet media one
1
5
13
@Subblehasitila
Milisubble
7 months
Usisahau kumkabidhi MUNGU siku yako aingoze.
Tweet media one
3
7
12