JE WAJUA?
Mwaka 2017 Mwanaume mmoja kutoka Jiji la "Texas " Nchini Marekani akiwa katika mazoezi ya kukimbia (jogging) alikutana na kundi la wanawake , wanawake hao walimkamata jamaa na kumbaka ,cha ajabu wiki moja baadae mamia ya wanaume walianza nao jogging katika eneo hilo