Karibuni kwenye ukurasa rasmi wa mshabiki wa Simba hapa Twitter. Huu utakuwa ni ukurasa wa kuisapoti
@SimbaSCTanzania
hapa Twitter na kukutanisha mashabiki pamoja wenye nia na lengo la kuisapoti Simba Sports Club.
#NguvuMoja
#SimbaSportFamily
Leo tumetembelea shule yetu ya MSIMBAZI kama sehemu ya programu yetu ya kuwafikia mashabiki wachanga wa SSC.
Tumebadilishana nao mawazo na kuwahamasisha umuhimu wa elimu na michezo.
Tunawaushukuru uongozi wa shule kwa mapokezi mazuri.
#UbayaUbwela
#NguvuMoja
#SimbaDay
Maandalizi ya Mechii ya Simba Sc vs Al alhy yanaendelea vizuri
Haya Mambo wenzetu mnayaona Kwenye TV
Sasa Tarehe 20 October 2023 yatakuwa Live Uwanjani kwa Mkapa Nyumbani kwa Machinjio ya Simba Sc
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#Hiihaiwahusu
Kesho saa 11:30 jioni tutacheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya El-Qanah Egypt.
Taarifa za kambi yetu nchini Misri zitapatikana kupitia Simba App na Simba Bando. Piga *149*01# > 7 > 1.
Jamanieeee tumesikia huko wananunua wachezaji kwa ajili ya kesho.
Mchezaji anatakiwa kuwa ni mwana Twitter na awe na Handle humu kwa kipindi kisicho pungua miezi 3.
#NguvuMoja
#SimbaTotFans
#TOTBonanza
Mashabiki Kesho mchana kupitia ukurasa huu tutakuwa na jambo kubwa sanaaaa.
Mwambie mwenzako amwambie mwenzake kwamba
#KIMENUKAAAAAAA
Hatufanyi kama wao tunafanya kama sisi.
#NguvuMoja
#SimbaTotFamily
Count Down kuelekea tarehe 29/5/2021 katika viwanja vya Posta Sayansi Kijitonyama kutakuwa na mechi ya kukata na shoka kati yetu
@SimbaToTFans
dhidi ya watani zetu Yanga Tot Fans. Wazee hii si ya kukosa tujitokeze kwa wingi kumyoosha mtani.
#NguvuMoja
#SimbaTotFamily