Huku social medial hakuna anayeonesha amefeli wapi, Kila mtu anaonesha amewin while in actual stuation watu wako broke/depression. Sometimes unaweza ukaona wewe peke yako ndo hauj awin kumbe kwenye real life na wao Bado hawajawin, nenda Kwa mwendo wako watu wanafake sana ✍️✍️