Naona button like wametoa marangi ya upinde safi sana
@elonmusk
you doing well kwanza kutoa twitter for ilikuwa inawapa promo apple halafu hawalipi chochote....🙏🏼💪🏾
huyu
@JemsiMunisi
ndio mtu pekee anayeweza kukushawishi kununua android hadi 2M kama unapesa... Anazijuwa android both best Mid range and Flagship Ones....
@SimuZaNjiwa
big up broh... Duka lako halina iPhone na still linashines
Hakuna cha ukweli mzee ni hivi "wanunuaji iPhone wa bongo wengi ni limbukeni" sasa uko na 900k then unataka iPhone mpya tena 11 unategemea utapata mpya kweli .. watu waamke wajue vtu gani wanataka.. kulingana na pesa zao
Nina uhakika wauza iPhone wengi watanichukia baada ya kutoboa siri hii,
Kama una mpango wa kununua iPhone Mwaka huu,
Hivi ndivyo utakavyo uziwa iPhone iliyotumika bila wewe kujua...
🧵👇🏾