Radio Kaya
@RadioKaya
Followers
4K
Following
5K
Statuses
15K
93.1FmMsa^Kwl ||94.9FmKlf^Voi^LungaLunga|| 99.7FmMlnd^Lamu || - Coast of Kenya (Mombasa)
Kenya
Joined October 2009
Gavana wa Kaunti ya Mombasa Abdulswammad Shariff Nasir ameungana na viongozi mbalimbali katika Kaunti hiyo kumlaki kiongozi wa dini ya kiislamu @muftimenk katika ziara yake kaunti ya Mombasa.
0
0
1
Mtangazaji mkongwe Leonard Mambo Mbotela ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 85. Atakumbukwa kwa kipindi maarufu , je huu ni ungwana? #RIP
0
0
0