Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunipa kibali cha kuitumikia Nchi yetu, Namshukuru sana Mhe. Rais
@samia_suluhu_hassan
kwa kuendelea kuniamini , naahidi sitomuangusha. Nawashukuru wote kwa salam nyingi za pongezi, Karibuni tuendelee kushirikiana. Kaziiendelee.