Prof. Joyce Lazaro Ndalichako Profile Banner
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako Profile
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako

@PNdalichako

Followers
7,208
Following
28
Media
316
Statuses
465

Official Page of Member of Parliament representing Kasulu Town Constituency/ Ukurasa rasmi wa Mbunge wa Kasulu Mjini

Joined May 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
9 months
Nawatakia wikendi njema.
Tweet media one
289
152
4K
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nasikitika kuwataarifu kuwa tumeondokewa na Mama Mzazi, Mama Mary Ndalichako. Maazishi yatafanyika siku ya Jumatano, Wilaya ya Kasulu Mjini, Mkoa wa Kigoma. Pumzika kwa amani Mama yetu Mary Ive Ndalichako😭.
Tweet media one
615
134
2K
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
7 months
Tweet media one
85
45
2K
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nawatakia heri ya Kristmas na Mwaka Mpya 2023.🙏
Tweet media one
92
49
1K
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Nawatakia Kwaresma njema Wakristo wote. Mungu apokee ibada zetu, na kwa neema zake, mfungo wetu uweze kutusaidia zaidi kushindana na kila hali inayotuzuia kutekeleza mapenzi yake kwa kuzaa matunda mema kwa wakati.
Tweet media one
47
47
1K
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Nimefurahi sana kuonana na Dkt Shukuru Kawambwa ambaye alikuwa Waziri wangu wa Elimu wakati nikiwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania. Imekuwa wakati mzuri.
Tweet media one
82
60
1K
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Kutokea Kasulu Mjini, Wana CCM wenzangu wote Tanzania nawatakia umoja, amani na ushindi wakati wote tunapo sherekea miaka 47 ya kuanzishwa kwa Chama chetu. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.👍
Tweet media one
133
41
658
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Heri ya siku ya wafanyakazi watanzania wote.
Tweet media one
42
30
564
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Nikiteta jambo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. @DBiteko
Tweet media one
22
17
353
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
11 months
Mapema leo bungeni
Tweet media one
55
15
341
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Heri ya Pasaka kwa watanzania wote.
Tweet media one
25
18
326
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
9 months
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @SuluhuSamia , akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
Tweet media one
19
25
310
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Napenda kuwatakia sikukuu njema ya Eid Al Adha
Tweet media one
23
12
303
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Asubuhi ya leo nimeshiriki kikao cha kundi la Afrika ambapo nimetoa salamu za nchi na kuwaalika nchi wanachama wa Afrika na Duniani kote kutembelea nchi yetu kwa lengo la kujionea Vivutio vya kitalii na shughuli za ustawi wa Wananchi chini ya Uongozi wa Mhe. @SuluhuSamia
Tweet media one
41
31
277
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Nikiwa na Makatibu watendaji Wastaafu wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) katika Maadhimisho ya MIAKA 50 ya Baraza hilo. Kazi inaendelea.
Tweet media one
25
18
283
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Napenda kuwatakia wote Eid Mubarak🙏
Tweet media one
18
14
269
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Nawatakia wakristo wote nchini ibada njema ya Kwaresma. Mungu awabariki 🙏
Tweet media one
24
20
260
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
7 months
Napenda kuwatakia kheri ya sikukuu ya krismas na Mwaka Mpya 2024 kwa Watanzania wote.
Tweet media one
23
22
256
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Pumzika kwa amani Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa.
Tweet media one
10
12
185
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Leo tumempumzisha Mama yetu mpendwa katika nyumba yake ya milele, hapa Kasulu Mjini. Nawashukuru wote kwa kutupatia salamu za pole na faraja kwa njia mbalimbali na kuungana nasi katika kipindi hiki kigumu, kama familia tumefarijika sana,Mungu awabariki sana. Asanteni
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
50
17
180
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Haya maelekezo nimeyatoa wapi ? Lini ? Kwa njia gani ?. Tujikite katika matumizi sahihi ya mitandao @TCRA_Tz . Taarifa hii ni upotoshaji. IPUUZWE.
@VitusNkuna
Vitus Nkuna
3 years
Waziri wa Elimu Tz ametoa maelekezo Wilayani Bunda, Shule ya Msingi Bunda na S/M Bigutu kuwa Wazazi wa Watoto wanaopaswa kuandikishwa kuanza Darasa la Kwanza 2022 lazima kila mzazi afike na mfuko mmoja wa Saruji (Cement) ndipo mtoto aandikishwe. mfuko wa Saruji ni Tsh 22,000/=.
Tweet media one
162
71
745
23
42
167
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Barabara za Mitaa katika Jimbo la Kasulu Mjini zikiwa katika hatua ya awali ya maandalizi ya kuwekewa Lami. Kasulu Mjini - Kazi inaendelea.
Tweet media one
37
23
169
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Tweet media one
14
21
161
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Leo nikijibu swali bungeni kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda (Mb) kuhusu vijana waliopata nafasi za Ufadhili wa Masomo Nje ya Nchi kwa Mwaka 2015 - 2020. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
8
11
153
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
7 months
Tunawatakia heri ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Tweet media one
9
21
156
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Eid Mubarak ndugu zangu Watanzania
Tweet media one
12
3
144
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya Kifo cha Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe na aliekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, PROF. MATTHEW LUHANGA, kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jana tarehe 16.09. 2021.
Tweet media one
18
10
135
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Nikijadiliana jambo na Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @KassimMajaliwa_ 📍Bungeni, DODOMA Kazi inaendelea.
Tweet media one
14
11
134
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Picha ya pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. @SuluhuSamia , tukiwa pamoja na Idriss Ramadhan Mavura mara baada ya kuapishwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi pamoja na Makamishna wa Tume hiyo katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino DOM
Tweet media one
11
21
121
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Kasulu Mjini katika Mkutano na Wananchi, kupeana mrejesho kuhusu kazi walizonituma Bungeni. Nawashukuru kwa imani yao kwangu. #kaziinaendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
19
13
119
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Mhe.Rais @samia_suluhu_hassan atawezesha usafiri wa Wajasiriamal Wadogo na wa Kati 250 kushiriki Maonesho ya 22 ya Wajasiriamali Wadogo & wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu kama Nguvu Kazi/Jua Kali yatakayofanyika Jijini Kampala, Uganda kuanzia trh 8 hadi 18/12/ 2022
Tweet media one
Tweet media two
17
18
113
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Matukio ya picha baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu leo Bungeni. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
20
5
115
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Napenda kuwatakia Watanzania wote heri ya sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya 2022, Tusherekee kwa Amani, Upendo na Mshikamano.
Tweet media one
8
9
113
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
11 months
Kesho Jumamosi Tarehe 23.09.2023 Saa 3.00 Asubuhi Kata Ya Nyansha-Kasulu Mjini tutakuwa na Jambo. Karibuni sana. #MamaSamia #Kasuluyamaendeleo #kazi
Tweet media one
15
12
110
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Katika kilele cha Maadhimisho ya siku ya Vijana Kimataifa yaliyofanyika jijini Dar es salaam. Nimesisitiza kwa sababu vijana ndio nguvu kazi, vijana ni kundi kubwa ukilinganisha na makundi mengine ya kijamii, vijana ni wabunifu, vijana ni wavumbuzi na vijana ni wadadisi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
18
105
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Nikiwa pamoja na Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Mhe. @mhe_vuma (kushoto) Bungeni, leo. Kazi inaendelea.
Tweet media one
18
2
103
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Nikizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Megawati 49.5 kwa nguvu ya Maji Katika Mto Malagarasi Mkoani Kigoma, hafla iliyofanyika jijini Dodoma. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
12
98
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Nawatakia sherehe njema za sikukuu ya Miaka 60 Uhuru. Mungu ibariki Tanzania na Watu wake wote. #kaziiendelee #happyindependenceday
Tweet media one
6
8
91
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Nimezindua Mwongozo wa Mpango wakushughulikia Kero za Wastaafu katika viwanja vya ofisi ya Hazina ndogo iliyopo Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
18
8
92
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Leo Bungeni - Kazi inaendelea.
Tweet media one
12
4
87
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Mazungumzo na Mhe. Waziri Mkuu Bungeni Dodoma. Kazi inaendelea.
Tweet media one
14
6
86
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Nimeungana na Makamu wa Rais wa JMT Mhe. @dr_mpango pamoja na viongozi wa Vyama vya Waajiri katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es salaam wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 7 wa Wadau wa Kijamii wa Afrika katika masuala ya Kazi na Ajira. Kazi inaendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
10
84
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Leo nimekutana na kufanya mazungumzo na wanufaika wa mfuko wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi @wcf_tz ambapo tunatarajia kuanzisha fao jipya la huduma ya mtengamano na fao hilo litawezesha elimu ya Ufundi Stadi kwa Wafanyakazi waliopata Ulemavu kazini. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
9
78
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
10 months
Tupo kwenye ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilayani Kasulu nikiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Ndg Thobias Andengenye. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
13
77
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Nimefurahi kupokea taarifa ya utekelezaji wa mpango na bajeti ya (fungu 65) kwa kipindi cha Julai hadi Novemba 2023. Nimetumia nafasi hiyo kuitaka Menejimenti ya Ofisi yetu kuendelea kufanya kazi kwa weledi, ubunifu na ufanisi katika kutekeleza majukumu yao. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
7
77
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nimezundua shindano la vijana, Tanzania Emerging Youth Awards (TEYA) 2022, katika Ukumbi wa maktaba ya chuo kikuu cha Dar es salaam Agosti 25, 2022. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
16
77
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Nimekutana na kamati ya maandalizi ya sherehe za mei, mosi hapa Mkoa wa Morogoro nimekagua maandalizi ya sherehe hizi na nimeridhishwa na hatua zilizofikiwa. Mwaka huu kilele cha sherehe za mei mosi zinazotarajiwa kuadhimishwa katika Uwanja wa Jamhuri, Mkoani Morogoro.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
5
74
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nipo tayari kuhesabiwa, wewe je ? @sensa_tanzania
Tweet media one
7
11
72
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Muonekano wa shule ya Msingi Museven Chato.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
5
65
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tunamshukuru sana Makamu wa Rais Mhe. @dr_mpango kwa kuzindua Mwenge wa Uhuru, tumepokea maelekezo yake na tutayafanyia kazi. Vijana wetu sita (6) kutoka Tanzania Bara na Zanzibar wataukimbiza Mwenge wa uhuru katika Mikoa yote 31 na Halmashauri 195 kwa siku 195.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
12
65
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
6 months
Nimeshiriki kwenye hafla ya mapokezi ya vijana 268 wanufaika wa Mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (BBT), iliyochini ya @WizaraKilimo katika Shamba la pamoja la Chinangali II Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, ambapo serikali imeanzisha programu hii ili kupunguza tatizo la ajira.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
10
67
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
7 months
Nimefungua kikao kazi cha tathmini na Mafunzo ya utendaji kazi wa tume ya Usuluhishi na Uamuzi ( CMA) mkoani Morogoro. Ambapo nimesisitiza kuhusu kuanzisha kwa mfumo wa kidijitali ili kuongeza kasi ya utendaji kazi na utoaji wa haki kwa wananchi. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
6
64
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Taarifa zinazo sambazwa kwenye mitandao ya kijamii juu ya kuhairishwa kwa maadhimisho ya miaka 30 ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) hakuhusiani na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhairisha Maadhimisho hayo.
9
11
63
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
9 months
Tunamshukuru Mwakilishi mkazi Tanzania wa Shirika la umoja wa Mataifa linaloshughukia Watoto, Elke Wisch kwa kuendeleza mashirikiano nasi kwa maslahi ya watoto, vijana na watu wenye ulemavu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
9
61
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunipa kibali cha kuitumikia Nchi yetu, Namshukuru sana Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan kwa kuendelea kuniamini , naahidi sitomuangusha. Nawashukuru wote kwa salam nyingi za pongezi, Karibuni tuendelee kushirikiana. Kaziiendelee.
16
3
60
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Leo baada ya Mhe. Waziri Mkuu kuahirsha shughuli za Bunge. Tunashukuru tumemaliza salama, na utekelezaji wa kazi inaendelea. @WMKVAW
Tweet media one
Tweet media two
5
2
60
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Nawatakia heri ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Watanzania wote.
Tweet media one
4
5
57
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Napenda kuwatakia Viongozi na Wana CCM wote tukiongozwa na Mwenyekiti wetu Mhe. @samia_suluhu_hassan kheir ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tuendeleze upendo, umoja na mshikamano wetu. Kidumu Chama Cha Mapinduzi (CCM)👍 @ccmtanzania
Tweet media one
3
3
57
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Serikali ya Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan imetenga Tshs. Bilion 1 kwaajili ya Vijana. Mwaka wa fedha 2022/2023.
29
8
56
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tweet media one
9
7
57
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nimeongoza kikao cha Menejimenti ya Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, kilichojikita katika namna bora ya kuendelea kuboresha ufanisi wa utekelezaji majukumu ya Ofisi yetu. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
2
56
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Wizara yetu itaendelea kutoa ushirikiano wa karibu sana kwa makundi yote maalum kwa ustawi wa Jamii nzima. Picha nikisalimiana na Mwenyekiti wa Shirikisho la Watu Wenye Ulemavu Mkoa wa Arusha, #kaziinaendelea
Tweet media one
4
7
55
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Nimeshiriki kama Mgeni rasmi katika zoezi la utoaji wa tuzo za Mwajiri bora kwa mwaka 2023 zilizo andaliwa na ATE .
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
4
55
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tukiwa na Viongozi wetu wa Kuu wa Nchi, Mhe. @SuluhuSamia Rais na Mhe. @dr_mpango Makamu wa Rais katika Misa Takatifu ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kabisa Kuu la Katoliki Jimbo la Bukoba. Mungu ni mwema.
Tweet media one
Tweet media two
12
5
53
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Kazi kubwa Mhe. Rais @SuluhuSamia amefanya. Tunampongeza sana.
5
13
51
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nmefungua Mashindano ya Mpira wa Miguu yatakayohusisha kata 15 za Halmashauri ya Mji Kasulu. Lengo la Mashindano haya ni kukuza vipaji kwa Vijana na kuleta Umoja Kwa Wadau mbalimbali wa Maendeleo. Jimboni - Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
8
12
55
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Namshukuru Mungu nimeungana na Wana Parokia ya Parokia ya utatu mtakatifu Changanyikeni, katika harambee ya kutegemeza parokia hiyo, iliyo ambatana na kilele cha sikukuu ya mavuno. Nimesistiza tunapotoa tusiangalie thamani ya kitu bali thamani ya uwekezaji kwa Mungu wetu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
9
52
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
11 months
Karibu sana Mhe. Mhandisi Cyprian Luhemeja.
Tweet media one
4
1
51
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
10 months
Nimepokea Mwenge wa Uhuru kutoka Kwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. @queen_sendiga Mkoani Manyara.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
9
51
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Naomba tujitokeze kuhesabiwa tarehe 23 Agosti 2022, ni muhimu kwa maslahi na maendeleo ya Nchi yetu. @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @ofisi_ya_waziri_mkuu_kazi
Tweet media one
9
10
43
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tweet media one
4
1
48
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nashukuru Mungu kwa niaba ya Nchi yetu nimehutubia katika Mkutano wa 110 wa Kazi wa Kimataifa. Chini ya Uongozi wa Mhe. @samia_suluhu_hassan tunakwenda vizuri na kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
6
46
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Maandalizi ya Mei Mosi yamekamilika. Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan ndio atakuwa mgeni rasmi. Karibuni wote. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
6
46
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
9 months
Asante Mhe. Rais @SuluhuSamia , vijana changamkeni fursa.
4
15
46
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
7 months
Nimefungua mafunzo kwa wadadisi na wasimamizi wa utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi Nchini. Nimesisitiza lengo la Utafiti huo ni kupata viashiria vya soko la Ajira nchini ikiwemo kubaini kiwango cha ukosefu cha Ajira, Kiwango cha Ajira isiyotimilifu,
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
8
47
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Serikali yetu chini ya Uongozi mahiri wa Dkt. @samia_suluhu_hassan tayari imeshatoa Tshs. Bilioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vitatu vya watu wenye ulemavu na utegamano kwenye Mikoa ya Songwe, Ruvuma na Kigoma ili kujenga madarasa, mabweni na nyumba za walimu. Kazi inaendelea
Tweet media one
Tweet media two
2
4
47
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tumempokea Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan mkoani, atakuwa na ziara ya kikazi ya siku 4 Kwa ajili ya kufungua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi. Ni fursa kubwa kwetu wana Kigoma, kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
10
44
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tukizungumza jambo na Mhe. @patrobasskatambi_ Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Watu wenye ulemavu. Bungeni Dodoma. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
8
4
45
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Nawashukuru Wananchi wa Kasulu Mjini kwa kujitokeza kwa wingi kwenye tukio la “Funga Mwaka na Mama Ndalichako” hivi ndivyo Wana Kasulu tulivyofunga Mwaka 2021. Kutoka kwetu kuja kwenu nawatakia Heri ya Mwaka 2022, ukawe Mwaka wenye baraka na mafanikio zaidi. Happy New Year 2022.
6
6
43
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Kazi inaendelea
Tweet media one
6
5
43
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Tweet media one
3
5
44
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Hongera Mhe. Rais @SuluhuSamia kwa Miaka Miwili ya kazi na mafanikio🙏💪
Tweet media one
1
6
43
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
11 months
Kikao Kazi chini ya Waziri Mkuu, Mhe. @KassimMajaliwa_ Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
3
2
41
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nimeshuhudia uwekaji saini Mkataba wa Hiari wa Hali Bora kati ya Menejimenti ya Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), na Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) Tawi la Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
11
43
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nikiwa na Wadau wa UTATU wa nchini Tanzania niliyouongoza kushiriki Mkutano wa Utatu wa Mawaziri wa Kazi na Ajira na Wadau wa Utatu wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC nikiwa na Naibu Katibu Mkuu –TUCTA; Kanali Lucas Magembe na kutoka ATE Bibi. Mercy Patric. Kazi inaendelea
Tweet media one
Tweet media two
2
6
42
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nawashukuru kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, kwa pongezi zao kwetu Ofisi ya @WMKVAW kwa kutekeleza maagizo ya kamati hiyo na tunawaahidi kuwa ushauri wa kamati uliyotolewa tumeupokea na tutaufanyia kazi, ikiwemo namna ya kuendelea kupambana na changamoto ya ajira.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
4
41
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Leo Bungeni, - Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
3
3
40
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
Nimefanya ziara katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) na kukagua miundombinu ya elimu ya nadharia na vitendo kwa vijana waliopata fursa ya masomo kupitia ufadhili wa ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi inaendelea. @ofisi_ya_waziri_mkuu_kazi @ikulu_mawasiliano
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
6
42
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
1 year
kiwanda cha A TO Z kina wafanyakazi 8000 na asilimia 70 ya wafanyakazi hao ni wanawake ambao wamepewa mikataba ya kazi na kujumuishwa katika mifuko hifadhi ya jamii (PSSSF) na kuchangia asilimia 0.5 kwenye mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF). Nawapongeza kwa kazi nzuri.
Tweet media one
Tweet media two
2
4
40
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Nimefika Mkoa wa Ruvuma, naupongeza sana uongozi wa mkoa kwa usimamizi mzuri wa ujenzi wa Chuo cha Wenye Ulemavu Songea, nimekagua na kuridhishwa na kasi ya ujenzi. Namshukuru Mhe. Rais @SuluhuSamia kwa kutuwezesha katika hili. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
6
40
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Leo nimefanya kikao kazi na Menejimenti pamoja na Watumishi wa ofisi yetu. Nimeendelea kuwasisitiza kufanya kazi kwa ushirikiano, weledi na maarifa ili mipango na malengo tuliyojiwekea katika kuwahudumia Watanzania iweze kutimia kwa kasi, wakati na ufanisi. #kaziinaendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
4
37
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Tukutane saa 5 asubuhi hii
Tweet media one
7
4
39
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Nimefungua semina ya siku moja kwa Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kuhusu uelewa wa Kanuni mpya ya mafao ya pensheni katika ukumbi wa PSSSF, jijini Dodoma. Kazi inaendelea. @ofisi_ya_waziri_mkuu_kazi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
7
39
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
8 months
Leo tukiwa pamoja na Mhe. Waziri Mkuu @KassimMajaliwa_ tumetembelea Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ikiwemo PSSF, WCF na NSSSF ikiwa ni Maadhimisho ya 3 ya Wiki ya Huduma za Fedha yanayofanyika Jijini Arusha. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
6
38
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
10 months
Nikifafanua jambo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakati wa kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa shughuli za Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA), Bungeni, Jijini Dodoma. Kazi inaendelea.
Tweet media one
Tweet media two
5
4
38
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Asante Mhe Rais @samia_suluhu_hassan Ndugu zangu Watumishi wa Umma, Kazi inaendelea.
Tweet media one
11
4
37
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
3 years
Kazi zinaendelea jimboni, na leo tutakuwa na tukio kubwa la Funga Mwaka na Mama Ndalichako Viwanja vya Umoja. Karibuni sana
4
3
36
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
2 years
Ziara ya Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan Mkoa wa Kigoma, inaendelea. Asanteni sana wananchi kwa kujitokeza kwenu kwa wingi sana, kazi inaendelea. @ofisi_ya_waziri_mkuu_kazi @ikulu_mawasiliano
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
7
37
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
11 months
Karibu sana Prof. Jamal Adam Katundu
Tweet media one
0
1
36
@PNdalichako
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
11 months
Nimefanya ziara ya kutembelea kiwanda cha Mbolea cha ITRACOM kilichopo jijini Dodoma kwa lengo la kukagua utekelezaji wa Sheria za kazi, ambapo nimewataka wawekaji nchini kuiga mfano kwa ITRACOM. Kazi inaendelea.
1
4
37