OSCAR MSANZI Profile Banner
OSCAR MSANZI Profile
OSCAR MSANZI

@OscarMsanzi

Followers
2,199
Following
3,904
Media
617
Statuses
35,729

VERY WILD ,VERY RARE ,VERY WISE 💥.

Tanzania
Joined June 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 years
" The people witnessing your journey don't always realize that they're observing a MIRACLE in the making" . Oscar Msanzi ™2023 #OscarMsanziToday #facts #EveryTimeITurnAround
13
122
74
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Punguza kua mkweli mbele ya watu ambao wanaishi na wewe kimkakati 😎 .
18
70
265
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Ulimwengu wa roho umebeba uhalisia zaidi kuliko ulimwengu wa mwili , Hivyo ukitaka kuujua ukweli wa MTU mtizame kiroho kimwili wengi wana fake 🤔 .
19
45
191
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kuna watu wakienda hawarudi , Kama hukuishi nao kwa wema wakati upo pamoja nao basi sahau kuhusu kurudiana nao tena 😎 .
9
46
187
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Nyuma ya kila unachokitamani kuna hadithi isiyo tamanisha 😎 .
9
50
187
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kazana kutafuta hela , sio kila changamoto inatatuliwa kwa maombi 😎 .
16
45
181
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Maji Yale Yale yanayochemsha kiazi kigumu adi kua laini ndio hayo hayo huchemsha yai na kulifanya kua gumu ✍🏿 .
11
46
177
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Ujinga ni kuendelea kuchangamana na watu wasio kutakia mema na ambao kisiri siri wanashindana na wewe ✍🏿 .
18
47
177
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Huwezi ibadili chumvi kua sukari kwa sababu tu unaipenda Sana , pia kwa mwanamke muovu hawi nwema kwa kumpenda sana 🤔 .
11
50
171
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Ishi ukijua kwamba usivyovijua ni vingi kuliko unavyovijua ✍🏿 .
13
49
167
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kabla hujayatamani maisha ya mtu mwingine jiulize kwanza je utayaweza yalioko moyoni mwake 🤔 .
9
37
166
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
7 months
Kama unadhani wanawake wamejaa wa kumwaga basi subiri Adi pale utakapoanza kutafuta mke apo ndio utakapojua kua wanawake wa kuoa ni wachache mno 📌.
31
40
164
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Tunaishi kwenye dunia ambayo watu wasio na faida kwenye maisha yako wanajitangaza kwa watu kua wana msaada kwako 🤔 .
17
49
165
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Maisha yana siri nyingi mmojawapo ni kesho 📌 .
12
38
162
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Jifunze kua mwenye shukrani kwa watu ambao wanajitolea kukusaidia hata Kama msaada wao ni mdogo kwako ✍🏿 .
11
42
161
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Dunia ni danganyifu na potofu , bila Mungu hutoboi 📌 .
12
32
153
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Shukuru kwa maisha umejaaliwa , hujui tu ni wangapi wanaomba walau wangekua na maisha Kama yako 🤔 .
11
38
156
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Hata rula inatumika kupima lakini haijui chochote kuhusu vipimo ✍🏿 .
10
39
153
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Jifunze kufanya maamuzi kulingana na kipi kilicho bora kwako na sio kilicho bora kwao kwa maoni yao kwako 😎 .
11
44
147
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Success ni ule uwezo wa kugharamia mahitaji ya maisha yako pasipo kumsumbua mtu yeyote yule 😎 .
12
42
147
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Kwenye maisha yako chagua kua vyovyote vile unataka kua lakini kamwe usije kuchagua kua adui wa hatima za watu wengine 🤔 .
10
39
145
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Ukienda Gym hauwezi jenga misuli kwa kukiangalia tu chuma ila unajenga misuli kwa kunyanyua chuma , hata kwenye maisha pia unakomaa kiakili kwa kuzibeba changamoto zako mwenyewe sio kwa kuziangalia tu na kuzikwepa 😎 .
12
37
145
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Shida ya hii generation yetu nayo ukikataa kua na Tabia mbaya mbaya ndio unaitwa mshamba 😂 .
10
34
144
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
1 month
Ukiachana na kufaulu maisha , ishara nyingine kuonesha kua Una akili nyingi ni kutambua kua kila mtu ni feki 😎 .
9
41
146
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Pesa unatumia uku ukijua fika kua umebakiwa na kiasi gani lakini Muda ndio rasilimali pekee unayoitumia bila hata kujua kua imebaki kiasi gani , Hivyo tumia muda wako kwa uangalifu maana hujui muda wako utaisha baada ya muda gani 😎 .
11
39
143
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kwa faida ya afya yako ya akili ni heri kuachana na mtu unaempenda na kumfata yule anaekupenda kwa dhati 😎 .
13
42
143
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Hakuna ambae anaweza kufit kwenye maisha yako Kama vile ambavyo wewe umefit 😎 .
17
60
142
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Wakati mwingine ni hadi pale utakapoyabeba maji yako mwenyewe ndipo utakapotambua thamani ya kila tone la maji yako ✍🏿 .
9
41
145
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Baadhi ya marafiki zako sio rafiki zako, soma pole pole uelewe 😎 .
9
37
141
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Wasio kupenda na kukutakia mema huwa hawashindwi kukutupia lawama na kukuona wewe ni tatizo katika tatizo walilolitengeneza wao wenyewe 🤔 .
11
42
139
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Kwa kawaida mbwa mwenye njaa sio rafiki wa kweli ila ni rafiki wa kila mtu Mwenye chakula ✍🏿 .
9
32
140
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Ukiachana na hakuna ajuaye kesho ni msemo gani tena mwingine masikini hupenda kuutumia ili kujifariji 😂 .
16
34
140
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Usibembeleze MTU akupende / akuonyeshe upendo ambao unaweza kuupata mahali pengine hata bila kuuomba 😎 .
10
29
141
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kitakacho kutofautisha na watu wengine sio uwezo wako wa kufikiri hapana , maana kila mtu anafikiri ila ni ujasiri wako wa kuamua lililo sahihi baada ya kufikiri na hapo ndipo huleta tofauti 😎 .
10
45
139
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
1 month
Kama kuishi kwangu hakukutegemei wewe hakikisha tukiongea haunikalipii , Hivyo jifunze kuongea na watu kwa adabu 🤔 .
14
42
140
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Kwa kila kila mtu unae muona fahamu ya kua kwamba maisha yamemjerui kwa namna moja ama nyingine ✍🏿 .
13
41
138
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Acha pupa na ujifunze kwenda pole pole na maisha yako , maana siri ya ushindi ni kufanya maamuzi sahihi na uvumilivu ✍🏿 .
10
34
137
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
6 months
Kabla hujakaa chini na kuwasema watu vibaya , jiulize je Una faida gani katika maisha yao 🤔 .
15
29
132
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Unapaswa kujiamini wewe mwenyewe pale ambapo hakuna anae kuamini na hio ndio siri ya ushindi wako 😎 .
11
40
134
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Tupo katika nyakati ambazo ndugu wana danganyana na marafiki wanauzana wazi wazi ✍🏿 .
12
27
136
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Kua na nidhamu ya maisha na uepuke kuishi na watu Leo kana kwamba kesho hutowahitaji tena 😎 .
9
30
134
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Unaweza ukawadanganya watu wengi lakini haiwezekani kumdanganya kila mtu 😎 .
9
40
134
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
6 months
Jitahidi uwe unafanya Ibada , maana kuingia mbinguni hakuna staff wala shortcut 😎 .
15
30
130
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kua makini na watu unaonyanduana nao , baadhi yao wameshalala na watu walioko kwenye vifungo vya kishetani kazi yao ni kusambazia watu nuksi na mikosi kwa njia ya ngono 😎 .
12
35
132
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kwa bahati mbaya ukiishi kwa kuendekeza uongo mwisho wa siku unaishia kujidanganya mwenyewe 😆 .
10
48
130
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Make sure hueleweki , waache watu waendelee kuhadithiana uzushi kuhusu wewe hadi pale ukweli utakapowafika 😎 .
9
50
127
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Wakati mwingine kua mpole sana nako kuna karibisha dharau , kupuuzwa na kupata malipo yako chini ya kiwango hivyo unatakiwa kujiamini , madaha kama yote , tawala mazingira yako na uwaruhusu wanao kuchukia wajisikie vibaya kwa tambo zako 😎 .
9
38
128
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Hizi ni nyakati ambazo mtu muongo muongo huwanyooshea kidole na huwalaumu wengine kwa kukosa uaminifu 🤔 .
8
29
130
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Usiogope fedheha ndogo ndogo za kuishi kimasikini kwa muda tu , ila Ogopa kuishi maisha yasiyo na Uhuru ndani yake na yenye kuongozwa kwa misingi ya uongo na usaliti 😎 .
11
31
128
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
6 months
Hakikisha siri zako na mipango yako unabaki nayo mwenyewe , maana uyo rafiki yako nae ana rafiki ake ambaye wanapatana Sana na ambae wewe sio rafiki yake ✍🏿 .
10
28
130
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Laiti Kama ungelijua ni muda mfupi kiasi gani watu hutumia kumsahau marehemu , Basi ungeacha Mara moja kuishi ili kufurahisha watu wengine na ungeishi maisha yako 😎 .
12
32
126
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Kuna watu kwenye maisha yako ni Kama wingu la mvua wakiondoka tu lazima upate nuru ya jua ✍🏿 .
11
31
125
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Hakikisha wale watu wako wa muhimu kwako huwakutanishi na kila rafiki yako 😎 .
11
39
122
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Ili kuepuka majanga na misala kwenye maisha yako Learn to walk the pace of nature , her secrets is patience ✍🏿 .
9
34
124
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Hakikisha haujidanganyi mwenyewe ila unamuabudu Mwenyezi Mungu katika roho na kweli na wala usidanganyike na miujiza maana hata waganga pia hufanya miujiza 😎 .
11
41
124
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Ni ngumu wewe kua msafi endapo Kama marafiki zako wote wanaokuzunguka wamechafuka ✍🏿 .
14
32
120
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kuna wengine usione mambo yao kwenye maisha yanaenda na kutokea chap chap ukaona wivu hapana,huenda muda wao pia ni mchache . Hivyo jifunze kuPenda maisha yako na wala usitamani maisha ya mtu 😎 .
8
30
122
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Haijalishi maisha yana changamoto kiasi gani kuna watu hawapaswi kujua Kama leo umekosa au jana ulilala na njaa ili kuepuka dharau ndogo ndogo 📌 .
11
36
121
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Ukiona upo katikati ya kundi la matapeli na watu feki kujifanya mshamba ni akili 🤔 .
12
32
118
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Binadamu watakusukumia kwenye kisima cha mamba ili uangamie ila ukifanikiwa kutoka salama watawaambia watu tulitaka ajifunze kuogelea 🤔 .
9
45
119
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
6 months
Usiishi kana kwamba Mungu hayupo na wala usipande uovu kana kwamba hutovuna hapana ni lazima uvune ulichopanda ✍🏿 .
9
33
116
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Maji ya kishamwagika hayazoleki tena pia uaminifu , urafiki na hata undugu ukisha haribiwa hauwezi kuunganishika tena na kua kama zamani 📌 .
13
31
112
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
1 month
Kua makini na aina ya watu ambao hawajawai kukupongeza ukifanya vizuri wala kukubaliana na kile una hokifanya ila wao wanapenda wawe wana kukosoa tu 🤔 .
8
37
117
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
28 days
Jizoeshe kufanya ibada na kumuabudu mwenyezi Mungu pekee, maana peponi hakuna staff 📌 .
6
29
118
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Usipokua makini na Mitandao inaweza Fanya ujione wewe ni mwalimu mbele ya watu ambao ni wewe ndio ulipaswa kujifunza kutoka kwao 🤔 .
11
34
116
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Ujinga na kiburi vitakufungia baadhi ya milango maishani mwako ambayo samahani yako kamwe haitoweza kuifungua 🤔 .
14
31
117
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Usivumilie mtu wewe sio mama yake 😎 .
11
29
115
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Sikuhizi nayo kupewa namba imekua sio ishu tena ila kujibiwa messages sasa na kupokelewa simu zako ndio kipengele 🤔 .
10
23
117
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Usidanganyike na muonekano wa nje , Uhalisia wao upo ndani ✍🏿 .
12
33
115
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Sio kila anaecheka ana furaha hapana , wengine wanatimiza tu wajibu ✍🏿 .
7
31
112
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Tunawakumbusheni kua kila mtu anatakiwa kuishi maisha yake , watasemaje na watanionaje ndio adui wakuu wa Uhuru wako wa kuishi unavyotaka 😎 .
7
42
112
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Wengi wana feli kwenye maisha yao kwa sababu ya kuiga mtindo wa maisha wasijue kua tunaishi dunia moja lakini kila mtu na mtihani wake 🤔 .
10
33
111
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Tazama ndege wa angani hawalimi wala hawavuni lakini hawajawahi kulala na njaa , sasa wewe waige hao ndege wa angani ujionee 🤔 .
13
24
110
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Usipokua makini na maisha yako unaweza jikuta unasaidia kuwainua watu ambao hawataki kukuona ukiinuka 🤔 .
8
30
112
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Kama ili kuitambua hekima unahitaji kua na hekima na je kinahitajika nini ili kuutambua upumbavu 🤔 .
10
22
113
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Kadiri muda unazidi kwenda kwenye maisha yako utagundua kua maisha hayawi maraisi ila ni wewe ndio unatakiwa kuongeza nguvu na ufanisi ili kwenda nayo sawa 😎 .
13
36
111
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
MTU hatari kuliko wote ni yule anaeuamini uongo wake mwenyewe akidhani yupo sahihi na ni mkweli kumbe sio 🤔 .
11
32
110
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kwa kawaida wanadamu ni wachoyo tu wa chakula lakini sio habari 😎 .
9
30
111
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Umepewa hayo maisha uliyonayo kwa sababu hakuna mtu mwingine angeweza kutembea kwa umahili katika njia hiyo zaidi yako 😎 .
10
27
107
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
1 month
Ni kweli maisha ni mzunguko , lakini Kama huna connection utaishia kuzungukia hapo hapo ulipo miaka nenda rudi 😎 .
10
27
108
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Wengine watakuombea mabaya sio kwa sababu umewakosea hapana ila ni kwa sababu hakuna kinachoenda sawa kwenye maisha yao 🤔 .
11
29
107
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Wakati mwingine milango ya Fursa haifunguki maishani mwako mpaka pale utakapotambua kua adui ni nani na kujitenga na watu Fulani Fulani 😎 .
11
40
108
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Wengine muda wao kwenye maisha yako ulishapita siku nyingi sana , wanang'ang'ana kuwepo pamoja na wewe kwa vile hawajui kusoma majira wala nyakati 😎 .
8
34
108
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Hakuna mtu aliwahi kuleta utofauti kwenye maisha kwa kutaka kufanana awe sawa na kila mtu 😎 .
5
35
108
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Aliekufa kwa njaa msibani kwake walikula wakasaza na vyakula vingine vikamwagwa discuss 🤔 .
13
22
104
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
2 months
Tazama ya kale yamepita yamekuja mapya vivyo hivyo na wewe waache hao marafiki zako wa kale wapite kwenye maisha yako waje wapya 😎 .
15
36
104
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Usipaparike na watu ila kazana kujenga maisha bora , tafuta kua na amani na watu wote na ujiweke Karibu na Mungu wako kwa usalama wako ✍🏿 .
11
37
106
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Kama umetoka mbali basi tambua ya kua unatakiwa kufika mbali pia 📌 .
12
44
107
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
1 month
Ili kua bora unatakiwa utengane na baadhi ya watu ambao wanakwamisha mchakato wako wa kupata ubora 😎 .
7
31
104
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Usitumie maumivu yako Kama kigezo cha kukupa uhalali wa kuwajerui wengine , badala yake tibu majeraha ya moyo wako ili uwe na amani ✍🏿 .
11
31
103
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Vijana nyie mshawai ona wapi mtu successful akivuta bangi ama kua mlevi chapombe 🤔 . NB: kua na pesa sio kua successful.
11
17
102
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Dunia sio tamu wala sio nzuri Kama ilivyopambwa na kutamanisha , Hivyo Tafuta sehemu wanako muabudu Mungu katika roho na kweli ufanye ibada kwa faida ya nafsi yako 😎 .
11
26
101
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Yeyote yule anaetabiri kuhusu kesho anadanganya maana kesho haijulikani unachotarajia kitokee kinaweza kisitokee na usichotarajia kitokee pia kinaweza tokea 📌 .
13
32
103
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Tunawakumbusheni kwamba msaliti hasamehewi maana laiti Kama usaliti unasameheka shetani hadi Leo angekuepo bado yupo mbinguni na Sir God 😎 .
8
26
102
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Ukipata rafiki mpya jifunze kujizuia kuongea kila kitu 😎 .
11
27
102
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
3 months
Kwa bahati mbaya Kama ilivyo kwako huwa umthamini mtu asie na faida kwako , kadharika wewe pia hutoheshimiwa wala kuthaminiwa na yeyote yule usie na faida kwake 😎 .
9
38
100
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
5 months
Kwa kawaida kila chenye mwanzo lazima kifike mwisho iwe mahusiano ya kindugu , kirafiki au kimapenzi habari njema ni kwamba maisha bado yanaendelea hata bila ndugu , rafiki au hata mpenzi 😎 .
7
25
102
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Haimaanishi kwa sababu tu una kiu basi ndio unywe adi maji machafu hapana utaharisha , Usiruhusu upweke ukufanye urudiane na ndugu, mchumba ama rafiki asiyefaa 🤔 .
15
25
101
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Kabla haujachagua kuikashifu elimu hakikisha unakua nayo kwanza ✍🏿 .
9
25
101
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
4 months
Kama starehe ya masikini ni pombe na wanawake starehe ya matajiri ni ipi , ama ukute ndio upinde 😅 .
7
22
101
@OscarMsanzi
OSCAR MSANZI
6 months
Kwa bahati mbaya au nzuri shida huwa ina tabia ya kukurudisha kwa wale wale uliowakosea apo awali ✍🏿 .
9
32
101