Mwanja_Kim Profile Banner
Hangover🐾 Profile
Hangover🐾

@Mwanja_Kim

Followers
2K
Following
15K
Statuses
9K

Real character || Loyal libra⚖ || Dysthymic Cogitator

Joined September 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
22 days
Mambo ya kuniona kwa church alafu unacheka sipendi😂
20
268
938
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
1 minute
RT @_kelvinreal: Elon ameanza kuwa mbwa sana ama nyinyi mnapenda story zake?
0
38
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
2 minutes
RT @juren_0: Ukitaka kuniacha juu navuta bangi wee niache tu.
0
23
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
2 minutes
RT @phill_bright: saying "mimi siwezi ibiwa simu " is the same as saying"hii gas imekaa sana "
0
24
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
2 minutes
RT @kinara_69: Kuna bois wangu ameniitia uradi mahali,,shida ni eti fom zake zote hazijawahikosa maswara😂😂Sijui nifike ama nichoree🤧🤕
0
8
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
2 minutes
RT @Makori_Official: Mapenzi pia imenikataa vile cuzo yake masomo pia alinikataa
0
11
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
2 minutes
RT @_voice_maill: Utapata kuna bois atabuy maua na kuingia cemeteries ni bure
0
69
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
2 minutes
RT @yuyaaustine: So gachagua is the good guy now,no way
0
4
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
3 minutes
RT @NanjieGalgalo: “Kijana, panda kitanda !” is something I would definitely say in real life😂
0
170
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
3 minutes
RT @agolajon_: Simu, earphones na tuandred, ndio natoka nje kuchanganya na matajiri
0
7
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
3 minutes
RT @_antidote____: Unahug mamako alafu mzae anakuita kamkutano kando kukuambia uyo ni bibi yake.
0
29
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
4 minutes
RT @Kajiado_Niccur_: Statistics inasema 90% ya sisi November borns ni results za Valentines me naisha 😂😂
0
28
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
4 minutes
RT @sirtun666: Kunakuanga na ka peace fulani unexplainable ukikaa pekee yako not talking to anyone umetulia tu.
0
107
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
4 minutes
RT @frank620Knight: Netflix usually has every movie except for the one that you always want to watch!
0
14
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
4 minutes
RT @SadiqKQ: Mutuse alienda wapi?
0
7
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
4 minutes
RT @Its_pablitoh: Mwanaume ametoboa maskio nahajotoboa kimaisha kila mtu hudhani yeye ni ghei
0
16
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
5 minutes
RT @iam_kendiii: ukiingia kwa nyumba ya mtu anaishi pekeyake bila kubisha mlango, kuna high chances utampata uchi😂
0
149
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
5 minutes
RT @agolajon_: Kama sio twitter na wale Arabic comedians wa Instagram mimi depression ingeshanitambariza
0
35
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
6 minutes
RT @kellyb202020: ati mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,,nani alikulea kwa club?😂
0
24
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
6 minutes
RT @_antidote____: Unasemaga heartbreak wewe ushaijikanyaga mrija ukioga 🥲💀
0
44
0
@Mwanja_Kim
Hangover🐾
6 minutes
RT @Its_Onyinkwa: To be honest wakenya wamechoka, fvck dere na makanga
0
16
0