Mr.Japh
@Mponda30
Followers
4K
Following
54K
Media
47
Statuses
111
#Accountant #DCB Commercial Bank Enthusiast
Joined May 2021
@Joshua_Ubeku @allfootballapp These two Gvadiol&Theo both have been destroyed by L.Messi.Romero &Hakimi would be destroyed too but they didn't meet against him.
0
1
62
DCB E-BANKING inakupatia huduma za kibenki hata Kama Upo nje ya Tanzania,pokea na tuma pesa kwa haraka zaidi ukiwa na DCB E-BANKING.@DCBBankTZ
5
3
17
Benki zimefungwa na umeme umeisha weekend hii?.Usikwame DCB Pesa App ipo kwa ajili yako au piga *150*85# ukiwa unatumia Simu ndogo(kitochi). Fuata maelezo ni rahisi na salama zaidi. NB:Usimpatie yeyote neno la Siri(Password) Yako. @DCBBankTZ
1
0
5
Kwa wafanyabiashara/wasafiri nje ya nchi DCB Masterpass/Visa Card ipo kwa ajili kuhakikisha unapata huduma za kibenki popote duniani. Tembelea Tawi la DCB lililopo karibu nawe kuunganishwa na huduma hii. @DCBBankTZ
3
1
3
Ndugu Mteja wa DCB Commercial Bank unapopata changamoto au swali lolote kuhusiana na huduma zetu usisite kufika Moja ya Tawi letu au tupigie Simu 0659 077 000 Bure kabisa bila kutumia vocha Yako. @DCBBankTZ
1
0
3
Happy Customer service Week. Tunajivunia kwa Pamoja,Huduma kwa wote. Tunakupatia huduma Bora zaidi kila Wakati kupitia Matawi yetu. #DcbTemeke #DcbMabibo.#DcbVictoria #DcbUhuru.#DcbMagomeni #DcbTabata.#DcbUkonga #DcbDodoma. We are proud to serve you 🥳.
0
0
2
Kupima Afya zetu mara kwa mara sio mpaka tuhisi tatizo.Pia Epuka matumizi ya vidonge hivi.*D-baridi.*Vicks action-500.*Coldarin.*Nimulid.*Cetrizet-D.Vina Phenyl Propanol-amide,PPA.ambayo husababisha Stroke. Tujilinde M/Mungu atatulinda zaidi.Please Follow me @dikokomoke.Asante🙏.
0
0
2
#DCBJirani Tumekufikia mtaani kwako fanya malipo na mihamala kwa wakala wa DCB bank aliyekaribu Yako. @DCBBankTZ
0
1
3
Kunywa glasi za maji zisizopungua 10 kila siku.Kuna Njia rahisi ya kuangalia ikiwa unakunywa maji ya Kutosha fuatilia rangi ya mkojo wako ikiwa nyeupe ni nzuri zaidi. #6 Matibabu yaliyochelewa.Tibu matatizo yako yote ya kiafya haraka iwezekanavyo na tuwe na desturi ya kupima. .
1
0
1