@iamcleopatricia
Manabii wote waliweka Mambo ya Dunia Pembeni. Na Mwonekano wao ulikuwa kama mfano kwa jamii iliyo wazunguka. Narudia kusema hamna Nabii hapa zaidi sana Shetani anataka kugeuza sehemu za kumwabudu Mungu wa kweli kuwa sehemu zake za kumwabudu yeye. Umakini unahitajika sana.