![Mkanaani ๐ฎ๐ฑ๐น๐ฟ Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1727326398170140672/BDHoSg6-_x96.jpg)
Mkanaani ๐ฎ๐ฑ๐น๐ฟ
@Mkanaani_
Followers
21K
Following
125K
Statuses
78K
Saved by the blood of Jesus|| I'M king in Zion || Bible Knowledge || Zone Fleet Technician French West Africa ||Psalms 119:173-176
Kayenze, Mwanza
Joined January 2012
RT @fifikraft: Hatumwombi Mungu ili atutimizie haja zetu. Tunaomba ili kushawishi mioyo yetu kwamba alishatutimizia haja zetu miaka 2000+ iโฆ
0
1
0
@KamigakikuMbise angekuwa Mourinho dunia inge. zizima kwa habari zake
Incase you missed the Manchester City vs Real Madrid game, here's everything that happened. Featuring all goals, reactions and Pep Guardiola losing his mind ๐ Open the thread ๐งต
1
0
0
RT @HildaNewton21: โTunaposema bila Mabadiliko ya mfumo hakuna Uchaguzi tunaamnisha kwamba hatutasusia Uchaguzi ila tutafanya kila lililo nโฆ
0
105
0
RT @godbless_lema: Changia ku-support harakati CHADEMA.Jina litasema M-Pesa CHADEMA HQ: 0744-446969
0
413
0
RT @godbless_lema: CBC5GP2L29P Imethibitishwa Tsh20,000.00 imetumwa kwa 255744446969 - CHADEMA DEMOKRASIA HQ Tarehe 12/2/25 saa 6:18 PM Jumโฆ
0
86
0
RT @EliabuDanford: Ukiona spidi imepungua ujue adui anakupinga, kaingiza au kapandikiza kitu ndani yako, ule uchungu ni silaha ya adui, ukiโฆ
0
2
0
RT @KamigakikuMbise: @EliabuDanford Juzi tu Mwl Mwakasege alikua na semina Mbeya anafundisha โMbinu za kushinda vita vya kifikra vinavyokujโฆ
0
1
0
RT @SamsonErnest_: Kwa ushuhuda huu ukusaidie kutambua vile Neno la Mungu lina nguvu, hili ndio lengo la kupiga kelele kila wakati watu wasโฆ
0
6
0
Waebrania 1:1-4 [1]Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, [2]mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu. ๐น๏ธWaebrania inatuambia agano la kale Mungu alisema na baba zetu wakiwemo makuhani, manabii, wafalme, waobaji kuwajulisha kwa njia nyingi. ๐น๏ธLakini mwisho wa siku hizi yaani agano jipya anasema na sisi kupitia Yesu Kristo amemweka mkono wake wa kuume. Roho Mtakatifu anatujulisha kupita kitabu cha Waebrania ya kwamba sasa hivi ukitaka kupokea ujumbe usihangike na hao wote walioajwa agano la kale wala hizi madhabahu zilizojengwa kwa mikono ya wanadamu wala chochote hangaika na Yesu. - Hivyo wote walio na Roho Mtakatifu Mungu atawajulisha kupitia Roho Mtakatifu, ikiwa huna uhusiano na Mungu siyo rahisi kujua kinachokuja au kumsikia Mungu akikujulisha au kukutahadharisha hatari iliyo mbele yako.
0
0
3
@MtumwaWaYesu Shalom mtumishi navoona hawa watatu Nuhu, Danieli na Ayubu walikuwa ni waaaminifu sana mbele za MUNGU na wenye kutembea katika haki kiasi kuupendeza sana moyo wa MUNGU Nuhu Biblia inamtaja kama mtu mwenye neema machoni pa BWANA na mtu wa haki na mkamilifu
0
0
0
RT @KamigakikuMbise: Mwangaza Wa Siku. โ
Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi. โ2 Thesalonike 1:6 SUVโ
0
6
0
RT @SamsonErnest_: Namshukuru Mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine tena. Heri ya siku yangu ya kuzaliwa๐
0
34
0