Mauwezo_Jr
@Mauwezo_1
Followers
3K
Following
8K
Statuses
4K
_Liverpool my life đ -Only acc managed by Mauwezojr
Dar es Salaam, Tanzania
Joined February 2024
@gratian_barbosa Ndio maana sizan kama atanunuliwa bwana FGS alikua anamkwamisha sana klopp mpak akaamua kua anawainua vijana
1
0
0
@DullahTheking2 @Sambelieve79 @PresenterNoah Kalili maneno tu ukifika pale lazima wakupe mf Box to box False no 9 High pressing nk đ
2
0
2
@Neypaul01 Sio kila kiuni kikiuma ni ugonjwa unaweza kua unakalibia M.P yako wengi huwa wanasumbuliwa na kiuno au tumbo la chini,. Nje na hapo kafanye vipimo
0
0
1
@Neypaul01 @Godie_StarboeII Hapo mloganzila kuna mama alikuja kujifungua (prime gravida) 39yrs. Kuna shida alipata sasa kuulizwa kwa nini hukuzaa mapema akasema nilikua sitaki mtoto mapema je uzazi wa mpango ilikuaje ? Akasema alichoma sindano 9 na baadae akaweka kijiti cha 10yrs. Aloo tuzae mapema tukiweza
2
0
4