Wizara ya Maliasili na Utalii
7 months
Meli kubwa ya kifahari duniani, Norwegian Dawn, leo imetia nanga Bandari ya Dar es Salaam ikiwa na abiria 2,200. Ina urefu wa karibu viwanja vitatu vya mpira,kimo cha zaidi ya nusu uwanja, uwezo wa kuwa na watu jumla 2300 vyumba vya kulala takribani 1,000 na maeneo ya kupumzika.