Mahali popote penye HAKI kumejaa Amani, Upendo, Utulivu, Umoja na vyote vinavyofanana na hayo.
Mahali popote pasipo na HAKI pamejaa ugomvi, wivu, majigambo, UNYANYASAJI, UONEVU na mengi mabaya yanayofanana na hayo.
Tunahitaji HAKI itawale katika taifa letu, wote tuseme AMINA.