Easy Profile
Easy

@LoveEasy1234

Followers
41,988
Following
3,895
Media
254
Statuses
7,409

Life was Never Easy || Medical Personnel 💊💉

Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@LoveEasy1234
Easy
1 month
King Kiba hakukosea kumuweka Salim Kikeke pale crown FM 👑. Ametupa yote yaliyojiri siku ya Leo . Usipite bila ku - Repost (1000 ) kwake.
Tweet media one
45
313
3K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Usiku wa leo nikiwa usingizini nimeota Yanga wamefungwa 2 -0 na Simba Sports Club pale uwanja wa Benjamin William Mkapa.
250
200
2K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
mwenye wallpaper nzuri anisaidie hii nimeichoka sasa 👇👇😘😘🫂🫂
Tweet media one
367
103
2K
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Kodi zetu zilizotumika kununulia mitutu, magari ya maji washawasha, na mishahara Kwa askari, vitu hivyo vinatumika kutuadhibu sisi walipa kodi. MUNGU UTUSAIDIE 🙏
47
252
2K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Kwa hisani ya Chama, naomba niwa follow mashabiki zangu ambao sijawafolo weka jina lako 👇🏻🫂😘😘 Mda huu 🙏🙏
Tweet media one
433
75
2K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
I love you Simba Sports Club na mashabiki wake Wote. Kama wewe una shabikia hii timu weka jina lako hapa nikufollow mda huu ✌️👇🏻🫂
Tweet media one
220
78
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
17' minutes to go 😁😁🦁🦁🙌🙌
Tweet media one
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Usiku wa leo nikiwa usingizini nimeota Yanga wamefungwa 2 -0 na Simba Sports Club pale uwanja wa Benjamin William Mkapa.
250
200
2K
19
38
1K
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Hatukumpata Raisi wa TLS kama huyu mapema, haya yote yangekomeshwa, basi tumempata wakati huu, na nchi inaongozwa kisheria basi mambo yataenda sawa na hakuna baya litakalo wakuta viongozi wa upinzani waliokamatwa na police. Respect sana @Mwabuk2Boniface 🙏
Tweet media one
38
173
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Serikali yetu imefikia pabaya sana, kuna haja kubwa ya kupiga kura 2025.
54
215
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Pale Manchester City kuna Erling Haaland ila huku Simba Sports Club kuna Baleke. 🦁 Mutu Hatari Sana, Final CAF Champions league ileeee naiona kabisa. 😂
Tweet media one
26
40
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Just imagine 🥺🥺😔😔
Tweet media one
61
25
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Halooooooo! This is Simba 🦁 Mnyamaaaa 🤩🤩🤩 #UbayaUbwela ndio huu sasa. 💃💞
Tweet media one
22
48
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Mmetisha sana watu wangu 💃💃🙌🙌 Ubayaaaaa..... ,!!
Tweet media one
Tweet media two
34
49
1K
@LoveEasy1234
Easy
2 years
B.A.B.A
Tweet media one
18
35
1K
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Hivi ni lini sisi watanzania wote tutaishi maisha ya huru na amani ???
79
121
1K
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Nawaza yani askari wanaolipwa Kwa kodi ya wananchi ambao wanaandamana Leo, ndio hao hao askari wanatakao tushughulikia kwasababu ya kufanya jambo ambalo katiba/ Sheria inaruhusu. Naumia sana Mimi. 😭😭😭💔💔💔
42
140
967
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Niseme tu Mungu ndie kimbilio na Kinga yetu. Ni yeye pekee ndie atakae tusaidia kuvuka pande ya pili. Uishi sana kiongozi bado tunakutegemea vizazi vinne baadae.
Tweet media one
11
102
874
@LoveEasy1234
Easy
3 months
Kesho sio mbali na masaa yanaenda kwa Kasi sana. Naiombea club yangu pendwa ushindi wa hali ya juu. @SimbaSCTanzania Nawaonea huruma wapinzani kesho tutawapiga 5 bila. #UbayaUbwela .
28
43
867
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Hivi ukiachana na Roma, Fareed, ni msanii gani mwingine (ke / me) amekemea hili suala la binti kulawitiwa na kubakwa ???
116
70
822
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Hivi hawa mabinti wako na wazazi kweli. ? 🤔
116
47
748
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Hivi kwanini wanaume wa siku hizi hawaoi mapema kama zamani ?? 1 reason please 🤝🏻
161
31
730
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Kama nilivyo sema imekuwa ....🦁🦁🦁🦁
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Usiku wa leo nikiwa usingizini nimeota Yanga wamefungwa 2 -0 na Simba Sports Club pale uwanja wa Benjamin William Mkapa.
250
200
2K
46
38
715
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Hakuna alieuliwa, Hakuna alietekwa Leo, Hakuna alieumizwa, Ila walioshikiliwa na Polisi, Wataachiliwa tu. Mungu ni mwema sana. Wote tuseme AMINA.
30
79
717
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Kuna watu nimewapa namba ila waoga kuongea na wakipiga video call wanaficha sura ... What type of fans are you ?? 🥺🥺🥺😔😔😔
168
20
654
@LoveEasy1234
Easy
3 months
Kama wewe ni shabiki wa Mnyama 🦁, comment hapo chini #UbayaUbwela
Tweet media one
Tweet media two
48
37
661
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Hatushukiii ... !! 🤓🤓
Tweet media one
21
27
631
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Unataka uwe rafiki angu, basi weka username yako hapa tuwe marafiki muda huu >>>
253
51
623
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Binti alikuwa mdogo sana (17), Leo askari polisi wetu wa Tanzania wana mhalalisha na kumuita “KAHABA” (mtu anaejiuza). Hapana haikubaliki asee, huu ni zaidi ya unyama. 😭😭😭
19
78
615
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Roho zitakazokufa siku ya Leo, zitatia muhuri wa kisasi kwenye roho za watu waliohai kisichofutika milele yote. Natamani kuona askari wenye weledi, Upendo wa kulinda raia na sio kuua/ kuumiza raia, tena walipa kodi/ Tozo.
13
79
578
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Nikikupatia hizi 10 10 tatu, utazitumia kwa siku ngapi ?🤔 Mwenye jibu zuri anabeba zawadi. 👏⚡🙌
Tweet media one
204
34
551
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nani ana picha kali zaidi ya hii leo ?? Nione👇🏻👇🏻
Tweet media one
59
10
543
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Kuna watu nilitegemea wapaze sauti kuhusu haya yanayoendelea katika nchi yetu ila wamekaa kimya kama viziwi (hawasikii), vipofu (hawaoni) na kama bubu (hawasemi). Inasikitisha na kuumiza mno, inakupa mashaka na maswali kwani tunaelekea wapi Kwa sasa?!! 😭💔🥹
31
75
536
@LoveEasy1234
Easy
2 years
What is your favorite song from King Kiba ??
Tweet media one
49
8
510
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Pole sana Best, I pray for you. 🥺🙏🏻
Tweet media one
Tweet media two
7
9
475
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Andika kwenye comment #WeNeedJustice
Tweet media one
42
94
409
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Haya machozi mbona atayalipa tu. Muda utazungumza. 😭💔
23
37
409
@LoveEasy1234
Easy
2 years
what's your favorite song from Harmonize all the way from Konde gang ?? #DjSinyoritaMixSong
Tweet media one
54
15
389
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Mpaka sasa nimefolo Account 100 haya endeleeni kuweka jina lako niwafolo 👇🏻🤲 🙌❣️✌️🥰
174
46
375
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Maana halisi ya msanii kioo Cha jamii tunaipata Kwa Nay the true boy. Respect @naythetrueboy 🙌
Tweet media one
10
33
394
@LoveEasy1234
Easy
2 years
All women needs to be like this one 🫵🫂
33
89
374
@LoveEasy1234
Easy
2 months
TLS ya sasa inaenda kuleta mabadiliko makubwa katika nchi yetu.
24
38
383
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Kumhamisha huyo afande nikama kusogeza moto kwenye msitu mkavu, utazidi kuwaka tu. Ni vema angevuliwa u polisi alionao, akatafute kazi nyingine au awe mama wa nyumbani.
31
59
377
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Asanteni sana 🦁 retweet kama unaipenda simba.
Tweet media one
11
96
351
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Hiki ni nini ?? Nauliza tu
Tweet media one
60
12
362
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Hatujui baada ya kuchukuliwa na askari polisi wa Tz yetu atapalekwa wapi, hatujui Nini kitatokea kwake. Mungu akutie nguvu kiongozi, wewe ni shujaa. #FreeMbowe
@ChademaTz
CHADEMA Tanzania
1 month
Mwenyekiti wa Chadema Taifa. Mhe. @freemanmbowetz amekamatwa na Jeshi la Polisi eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Septemba 23, 2024 alipofika katika eneo hilo kuongoza maandamano ya amani.
69
406
2K
6
53
360
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Mahali popote penye HAKI kumejaa Amani, Upendo, Utulivu, Umoja na vyote vinavyofanana na hayo. Mahali popote pasipo na HAKI pamejaa ugomvi, wivu, majigambo, UNYANYASAJI, UONEVU na mengi mabaya yanayofanana na hayo. Tunahitaji HAKI itawale katika taifa letu, wote tuseme AMINA.
22
61
329
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Hivi hapa Tanzania kuna mtu ambae yupo juu ya Sheria??
52
29
324
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Kuna watu ambao mpaka sasa wapo kama hiyo picha hapo chini, wamefumba macho hawataki kuona na kukemea serikali kwa yaliyoisibu Tanzania. Siku likiwakuta na sisi tutaziba masikio na macho, mpambane wenyewe.
Tweet media one
21
46
321
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Jean Othos Baleke a.k.a J.O.B sina mashaka na timu yangu Simba Sports Club. Kama unampenda Mnyama 🦁 Comment #NguvuMoja 👇🏿👇🏿
Tweet media one
15
7
300
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Huyu mama sasa 🙄🙄😂😂
Tweet media one
18
13
298
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Oh !! My God, who can dance like this woman ?? 🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
20
37
291
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Kama una imani Simba SC inaenda kupeperusha bendera ya taifa letu Tanzania 🇹🇿 huko Angola kwa kuibuka na ushindi dhidi ya Primeiro De Agosto, comment “AMINA” hapo chini 👇🏻👇🏻 🇹🇿💖🫂
Tweet media one
41
19
289
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nani anataka tuchat whatsup mda huu ? Tuma namba dm, watano wa kwanza nawachukua. Ahsante. 💓🚶🏽‍♀️
44
10
276
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Huyu mwandishi alaaniwe yeye na familia yake. Shenzi type 🚮🚮🚮
Tweet media one
31
17
280
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Inawezekana kabisa kaka yetu diamond platinumz awe tajiri namba 1 Duniani. Ikimaanisha awe na utajiri wa kumpita Elon Musk, Jeff Bezos, Mark Zuckerberg, Warren Buffett, Bill Gates, Larry Ellison, Steve Ballmer, Bernard Arnault na wengine kama Aliko Dangote, Mo Dewji.
Tweet media one
70
14
282
@LoveEasy1234
Easy
1 month
10
30
283
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Picha la Kutisha sana leo... Kama wewe ni shabiki mkubwa wa Simba 🦁 kama mimi fanya hivi 👇🏻🙌🦁 Usipite bila kuComment “❤️”
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
8
268
@LoveEasy1234
Easy
2 years
NITONGOZE.
112
5
250
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nani kama mama ??? 👀💖🙋🏼‍♀️
Tweet media one
15
10
240
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Barabara imetengenezwa na Tozo & Kodi za wananchi bado inawekewa Tozo. Is this right ?? Maoni yako ni nini kuhusu hili??
Tweet media one
44
13
234
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Hivi ilishakutokeaga hii kitu ?? 😥😥😥
Tweet media one
25
11
233
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Amefanyaje mbona watu mna msema vibaya kijana wetu ??? 😰😰😰
Tweet media one
11
6
235
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Neno Malkia wa Nguvu isiwe sababu ya kujimwambafai mbele ya mwanaume, wewe bado ni mwanamke tu hupaswi kuwa juu ya mwanaume hata siku moja. Tujifunze kuwaheshimu wanaume hata kama tumewazidi kila kitu, yeye ni MWANAUME TU.
43
14
237
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nimeamka naumwa sana na kichwa 😭😭💔💔
84
11
234
@LoveEasy1234
Easy
2 months
WANAWAKE TUBADILISHE HUU MTAZAMO (adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie) KWA KUSHIKANA KWA PAMOJA, KUSAIDIANA NA KUPENDANA HASWA KWA WALE WANAWAKE WALIO KATIKA VITENGO MBALIMBALI VYA KUTOA HUDUMA ZA JAMII KAMA POLICE, HOSPITAL N.K Tunaomba HAKI itendeke Kwa mtoto wa watu.
Tweet media one
10
42
240
@LoveEasy1234
Easy
2 years
I know you can do it 💪🏿. #NguvuMoja Ngoja tukawafundishe adabu Wydad Casablanca leo.
Tweet media one
7
9
235
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Your the best Too @KMbappe ❤️🐐
Tweet media one
3
10
230
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Hili suala sikuwahi amini ila leo ndio nimeamini, watu humu ni kama zimeruka. Anyway nisiongee sana. 😷😷😷
Tweet media one
32
7
228
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Hapana siwezi mimi 🤣🤣🤣💔💔
46
36
233
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nono 🤗
@mrbenpeter
therealben🤓
2 years
anyone, wallpaper thread drop yours 🙌👇
Tweet media one
2
0
11
11
2
228
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nimelala nimechoka sana jana, nimeamka ninaumwa sana leo. Bad day 😞😞☹️☹️
41
6
229
@LoveEasy1234
Easy
3 months
TLS ✊ REPOST
Tweet media one
1
59
232
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Niseme tu, Mwanaume anapaswa kuheshimiwa hata kama umemzidi hela/ kazi hata umri. Wanaume wanapaswa kuheshimiwa.
@HildaNewton21
Hilda Newton
2 years
Aiseeeeee 😳
1K
287
2K
64
31
225
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Tunahitaji HAKI kwa wakazi wote ( wamasai) wa ngorongoro.
10
32
229
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Matokeo ya Sensa nayo yana uzinduzi?? Hii nchi tunapenda shughuli kama wazaramo bhana. 😂😂😂
29
13
223
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Afande Sele Ft Ditto Song: Darubini Kali Mimi ni msanii kioo Cha jamii, Mimi naona mbali Kwa Darubini Kali. Wasanii wetu siku hizi ni kioo Cha jamii ??
40
30
229
@LoveEasy1234
Easy
2 years
What's your favorite song from wizkid ??
Tweet media one
36
2
219
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Nay wa Mitego Moja ya wasanii ambao wanajua mashabiki zake wanataka Nini, alafu yeye anawapa. Mnaonaje tuifanye ifikishe 1M views ndani ya saa 24, Kwa heshima ya Raisi wa kitaa. Twendeni mjini YouTube tukamsapoti link REPOST >>>>> Let's gooooo
Tweet media one
1
52
224
@LoveEasy1234
Easy
2 years
❤️❤️❤️
@GoldenWriters_
Golden Essay Writers || Essay Help | Homework Help
2 years
E bwana Mungu leo Ninaombi moja tu kama kweli @DjSinyoritaTz Ndio ubavu wangu wa kushoto basi Mwambie aje kwangu haraka nimechoka kuishi mwenyewe. Mwambie bado hujanipa gari,pesa na nyumba za kifahari ila umenipa upendo wa kweli Na Nitampenda na kumjali AMEN. KINDLY RETWEET
Tweet media one
17
35
90
11
6
216
@LoveEasy1234
Easy
2 months
THIS IS NOT FAIR AT ALL. 💔🥹
Tweet media one
18
30
218
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Wasiopenda Simba Sports Club kufanikiwa wote VAVAYO. 😁😁😁
Tweet media one
7
6
207
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Fei Toto akiwa chumbani kwake 😂😂
12
18
210
@LoveEasy1234
Easy
2 years
mwenye wallpaper nzuri anisaidie hii niliyonayo nimeichoka sasa 👇😁 #djSinyorita
74
5
201
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nakupenda wewe, Yani wewe unaesoma tweet hii, nakupenda sana. 😘🙋🏼‍♀️💖
41
10
204
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nipe sifa moja nzuri ya Raisi Mstaafu JK Kikwete unayoijua !! 🤝🏻 👇🏻👇🏻❤️❤️
Tweet media one
11
6
206
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Kama wewe ni mwanaume alafu huna nguvu hata za kunibeba sikuhitaji kwenye maisha yangu.
31
5
201
@LoveEasy1234
Easy
2 years
His name is ________ ???
Tweet media one
15
1
196
@LoveEasy1234
Easy
2 years
How ?? Kwani kodi mnazotukata kila iitwapo leo ni wa Kenya ndio wanawalipaga ?? Sio sisi watanzania ?? 😂😂😂
Tweet media one
39
17
197
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Una nini cha kumwambia Mzee Makamba ???
Tweet media one
58
4
193
@LoveEasy1234
Easy
3 months
Una nini cha kunishauri siku ya Leo ? 🤔💞
62
11
197
@LoveEasy1234
Easy
2 months
Unaempenda hakupendi, anaekupenda humpendi. Sasa Mimi napendwa na nani ?
42
11
194
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Simba fans naomba handle zenu 👇🏻👇🏻💖💖🙋🏼‍♀️🙋🏼‍♀️
32
17
187
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Atukuzwe Baba, Mwana na Roho Mtakatifu _ _ _ _ _
32
10
188
@LoveEasy1234
Easy
2 years
GREATEST OF ALL TIME. G.O.A.T 🐐
Tweet media one
9
7
190
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Mungu ni mwema juzi, Jana, Leo, kesho mpaka mtondo goo.
10
22
189
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Kwamba ambao hatuchagui kazi tupo tz ? 👀
Tweet media one
4
5
178
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Tuwe marafiki sasa, weka username yako hapa niku follow 👇 🤗💃❣️
103
18
187
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Nasema leo, timu inayoweza kuleta kikombe cha shirikisho la CAF ni Simba pekee na sio wale wengine. Simba inaheshimisha nchi. 7-0 😂😂😂
13
10
178
@LoveEasy1234
Easy
1 month
Tweet media one
12
23
183
@LoveEasy1234
Easy
2 years
Mpigie simu mwanaume wako mwambie unampenda sana, mtumie 30k akapate Breakfast ya nguvu. Alafu mtakie baraka nyingi siku ya leo.
20
9
180